Tuesday, November 22, 2016

QURAN YACHANWA CHANWA MALAYSIA


Allah Ni msanii, mbona alisema atailinda Qur'an yake, mbona inachanwachanwa na yeye kushindwa kuilinda? Popote muionapo Qur'an, chaneni chaneni, kwa kuwa sio kitabu cha Mungu, Bali Ni cha Shetani.

KITABU CHA DANIEL (SEHEMU YA TANO)





Mfalme Nebukadreza aliota ndoto ambayo ilimshtusha sana, Usingizi wake ulimwacha, Alipoamka, Akaisahau ile ndoto aliyoiota. Akawaita waganga,na wachawi,na wasirihi,na wakaldayo, wapate kumweleza mfalme ndoto yake. Waganga wote na wenye Hekima wote walishindwa kumtafsiria Mfalme Ile ndoto.Mfalme akakasirika akataka kuwaangamiza wachawi wote,na wenye Hekima wote wa Babeli.

Ndipo Danieli alimwomba mfalme ampe Muda ili Amtafsirie Mfalme Ile ndoto. Danieli na wenzake walimwomba Mungu kuhusu ile ndoto, naye Mungu akamfunulia Danieli Ndoto ya mfalme na Maana yake.Danieli akasimama mbele ya Mfalme na Kumtafsiria ile ndoto akasema,’’ Wewe, Ee Mfalme, uliona, na tazama, sanamu kubwa sana. Sanamu hii, iliyokuwa kubwa sana, na mwangaza wake mwingi sana, ilisimama mbele yako; na umbo lake lilikuwa lenye kutisha.Na sanamu hii kichwa chake kilikuwa ni cha dhahabu safi; kifua chake na mikono yake ni ya fedha; tumbo lake na viuno vyake ni vya shaba;miguu yake ni ya chuma; na nyayo za miguu yake nusu ya chuma na nusu ya udongo.

Nawe ukatazama hata jiwe likachongwa bila kazi ya mikono, nalo jiwe hilo likaipiga sanamu miguu yake, iliyokuwa ya chuma na udongo, likaivunja vipande vipande.Ndipo kile chuma, na ule udongo, na ile shaba, na ile fedha, na ile dhahabu, vilivunjwa vipande vipande pamoja vikawa kama makapi ya viwanja vya kupepetea wakati wa hari; upepo ukavipeperusha hata pasionekane mahali pake; na lile jiwe lililoipiga hiyo sanamu likawa milima mikubwa, likaijaza dunia yote.[DAN2:31-35].

Danieli alitoa tafsiri yake kuwa ile sanamu Huwakilisha falme kuu nne zitakazotawala Dunia [DAN2:36-45]. Alimwambia Mfalme kuwa Kichwa cha Dhahabu kilimaanisha UFALME WA BABELI, chini ya mfalme Nebukadreza. Ufalme Huu ulitawala kuanzia 605BC-539BC.

Baada ya Ufalme wa Babeli, ufalme uliofuata ulikuwa ni ufalme UMEDI NA UAJEMI unaofananishwa na mikono na kifua cha Fedha uliotawala tangu 539BC-331BC.

Baada ya Ufalme wa Umedi na Uajemi,Ufalme uliofuata ulikuwa ni Ufalme wa UYUNANI unaofananishwa na tumbo na kiuno cha shaba ambao ulitawala tangu mwaka 331BC-168BC.

Ufalme wa nne unaofananishwa na Miguu ya Chuma unawakilisha ufalme wa Rumi ambao ulitawala tangu 168BC-476AD.

Nyayo za Miguu zenye mchanganyiko wa chuma na udongo,ni Rumi iliyokuja kugawanyika katika mataifa Kumi ya Ulaya nayo ni Portuguese [suevi], Spanish [Visigoths] Germany [Alamanni], swiss [Burgundians], French[Franks], Italians [Lombards], England [Saxons], na Heruli, vandals, Othtrogoths- [Haya mataifa matatu yalikuja baadaye kung’olewa na upapa]. Haya mataifa, mengine ni Chuma ikimaanisha yana nguvu, na mengine ni Udongo, ikimaanisha kuwa Hayana nguvu.

Mataifa haya hayataweza kushikamana kama chuma kisivyoweza kushikamana na udongo.Wapo waliojaribu kuunganisha Ulaya iwe Taifa moja Kubwa kama Rumi ya zamani,wengine hata kwa kuunda undugu kwa njia ya kuoana kiukoo wa kifalme lakini walishindwa.Mfano wa Watu mashuhuri kihistoria waliojaribu kuunganisha ulaya lakini wakashindwa ni [charlemagne, charlesV, LouisXIV, Kaiser wilhelm, Hitler].

Lile jiwe lililochongwa mlimani bila kazi ya Mikono,na kuvunjavunja ile sanamu vipande vipande,na Kuwa mlima Mkubwa na Kuijaza Dunia yote,ni Ufalme wa Yesu ambao ndio Ufalme wa Mwisho utakaokuja na Kuzishinda falme zote za Dunia, na Kutawala Milele na Milele,wala watu wengine hawataachiwa Enzi yake.

SWALI:
Kwenye Danieli 2, ndoto hii ilitokea lini?

Kwenye Danieli 2, Danieli alichukuliwa mwezi wa sita hadi nane mwaka 605 KK. Tarehe 7 Septemba 605 KK, Mfalme Nebopolasa, baba yake Nebukadneza, alikufa, na Nebukadneza akawa mtawala mkuu wa Babeli. Danieli 2 ilikuwa kwenye mwaka wa pili wa utawala wa Nebukadneza.

Mwaka 604 KK kwa mujibu wa maelezo kwenye NIV Study Bible, uk.1301 na Evangelical Bible Commentary, uk.592.

Mwaka 603 KK kwa mujibu wa New International Bible Commentary, uk. 854 na Daniel: Key to Prophetic Understanding, uk.45-46 cha Walvoord.

Kati ya Aprili 603 na Machi 602 KK The Expositor’s Bible Commentary, juzuu ya 7, uk.39.

Karibu miaka minne baada ya mwaka 605 KK na matukio ya Danieli 1 kwa mujibu wa Lange’s Commentary on Daniel, uk.66 ya zamani (iliyochapishwa mwaka 1901). Aliamini kuwa Nebukadneza hakuwa mtawala pekee hadi miaka kadhaa baada ya kifo cha baba yake.

SWALI:
Kwenye Daniel 2:1, kwa nini aliwasiliana moja kwa moja na Nebukadneza, mtu asiyekuwa anamcha, kwenye ndoto badala ya kuongea na Danieli?

Uovu wa mtu haumzuii Mungu kuwasiliana naye au kumtumia kwa makusudi yake.

SWALI:
Kwenye Daniel 2:2-10; 4:7; 5:7,11, je Wakaldayo walikuwa ni watu gani?

Ingawa Waamori wa Babeli waliitwa Wakaldayo, hivi sivyo inavyomaanisha hapa. Katika jamii ya Kibabeli, Wakaldayo walikuwa ni tabaka la makuhani. Waamori walitokea kaskazini magharibi. Wakaldayo hawakutokea jangwa la Arabuni, licha ya jinsi Asimov’s Guide to the Bible, uk.387 inavyosema.

SWALI:
Kwenye Daniel 2:2-10; 4:7; 5:7, 11, je kuwaita makuhani Wakaldayo kunaonyesha kuwa Kitabu cha Danieli kiliandikwa maiaka ya baadaye kama kitabu cha mwenye kushuku kiitwacho Asimov’s Guide to the Bible, uk.601 kinavyodai?

Hapana. Gleason Archer anayo makala ya kina kwenye Encyclopedia of Bible Difficulties, uk.285-286 inayoongelea jambo hili.

1. Danieli anatumia neno la Kiebrania, Kasdim, si tu kwa makuhani, bali pia kwa Wakaldayo (Wababeli) kwenye Dan 5:30. Kama kutumika kwa neno hili kulionyesha kuwa kitabu hiki kiliandikwa baadaye, basi Dan 5:30 ingeonyesha kuwa kitabu hiki kiliandikwa miaka ya awali.

2. Hata hivyo, kutumika kwake kwa namna mbili kunaonyesha kuwa kitabu hiki kiliandikwa wakati wa uhai wa Danieli. Lugha ya Kiakadi, ambayo Wababeli wa wakati wa Danieli waliiongea, walitumia neno hilohilo Kal-du (litokanalo na neno la Kisumeri Gal-du) kwa makuhani na taifa. Mbao yenye maandiko iliyoandikwa kwenye mwaka wa 14 wa Shamash-shumukin (mwaka 668-648 KK) unatumia neno Gal-du kwa makuhani. Archer anasema Wababeli kabla wa miaka iliyotangulia kuanguka kwa Ashuri walitumia neno Gas’du kwa Wakaldayo. Baada ya kuangukwa kwa Ashuri, walibadilisha konsonanti "s" kwenye maneno mengi kuwa konsonanti "l."

3. Wagiriki, waliokuwa wanawafahamu Wababeli muda mrefu kabla Daniele hajazaliwa, waliliita taifa hili Chaldaioi.

SWALI:
Kwenye Dan 2:3-7, je Mfalme Nebukadneza alikosa busara kuliko wafalme wengine kwa kuwaambia wanajimu na wabashiri kuwa watauawa endapo hawatato tafsiri ya ndoto?

Si lazima iwe hivyo. Kwa mujibu wa Herodotus kwenye History, kitabu cha 14, uk.134, wakati mfalme wa Sinthia alipougua, aliomba watabiri watatu wamwambie mtu aliyemfanya aumwe kwa kuapa kwa uongo kutumia meko ya mfalme. Endapo mtuhumiwa angekiri kufanya hivyo angeuawa. Endapo mtuhumiwa angekana kufanya hivyo, watabiri wengine sita wangeitwa, na endapo wasingemtaja mtu yule yule basi wabashiri watatu wa kwanza wangefungwa na kutupwa kwenye mkokoteni na kichaka kilichowashwa moto.

Hivyi ndivyo inavyoelekea kuwa wakati kazi ilipokuwa na malipo mazuri, lakini bado kukawa na sababu nzuri za kutoifanya. Nafikiri nisingekubali kufanya kazi ya utabiri wa mfalme! Baadhi ya kazi siku hizi, kama kutumikia taasisi za kihalifu, haziwezi kurekebishika na usingetaka kuzifanya. Lakini kazi nyingine zinaweza kuwa zinashinikiza sana, na unaweza kuchoka, lakini Mungu anataka uwepo hapo kumshuhudia. Kwa mfano, tuchukulie kuwa umechaguliwa kuwa kiongozi wa kisiasa ambapo unatakiwa uchague kati ya kuwiwa shukrani na moja ya makundi yenye maslahi maalumu. Unaweza kuchagua kutokuwiwa na kundi lolote lile, ingawa wakatti wa uchaguzi hautapata kiasi kizuri cha hela za kufanyia kampeni, utashindwa vibaya sana kwenye uchaguzi, na utapaswa kutafuta kazi nyingine. Danieli alikuwa anafanya kazi yenye kushinikiza sana. Lakini badala ya kuikimbia kazi hiyo, Danieli alisimama mahali ambapo Mungu alitaka awepo.

SWALI:
Je Daniel 2:4-16 inaeleza nini kuhusu tabia ya Nebukadneza?

Yafuatayo ni mambo matano.

1. Nebukadneza alikuwa na kigeugeu. Aliagiza vijana hawa wanne wa Kiyahudi wafunzwe, na baada ya kufunzwa alikuwa anaenda kuwaua pamoja na watu wengine wenye hekima kwa jambo ambalo mtu yeyote asingeweza kulifanya? Nebukadneza alifurahishwa na Danieli na rafiki zakekwenye Daniel 1:18-20, lakini walikuwa wanakwenda kuuawa pamoja na watu wengine kwenye Daniel 2:17!

2. Alikuwa mtu katili na mkali. Katika sehemu hii ya dunia, kwenye Daniel 2:5 walipokuwa wanabomoa nyumba walivuta mihimili ya mbao hadi vitu vyote vilipoanguka. Wakati wanafanya hivi, familia ilikuwa bado imo ndani ya nyumba.

3. Nebukadneza alikuwa na hasira mbaya.

4. Nebukadneza alikuwa mwenye kiburi na majivuno.

5. Nebukadneza alishangazwa kusikia wanajimu wakimjibu kuwa hakuna mtu aliyeweza kufanya jambo hili kwenye Daniel 2:10-11. Anaelekea kutokuwa na fununu yeyote jinsi maneno yake yanavyoweza kuwafanya watu wengine wajisikie au wafikiri. Au huenda hakujali jambo hili.

USIKOSE SEHEMU YA SITA Kwa nini Daniel 2:4b-7:28 iliandikwa Kiarami wakati Daniel 8:1-12:13 iliandikwa Kiebrania?

Shalom

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo

YESU HAKUWA MUISLAM (SEHEMU YA NNE)


YESU HAKUFUNGA SWAUMU KILA MWAKA
Yesu hakuwa anafunga Ramadhani/Saumu kila mwaka, jambo ambalo ni sehemu ya Uislam kufunga ramadhani kila Mwaka. Quran 2:183, Enyi mlio amini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyo andikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kuchamngu.
Hakuna hata sehemu moja katika Biblia ambayo tunasoma kuwa Yesu alitoa amri kwa wafuasi wake kuwa ni lazima wafunge swaumu kila mwaka, lakini tunasoma kuwa Mathayo 6:16-18: Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana; maana hujiumbua nyuso zao, ili waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambia, wamekwisha kupata thawabu yao. 17 Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso;
18 ili usionekane na watu kuwa unafunga, ila na Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.
YESU NI MUNGU

MAANA YA NAMBA 666? (SEHEMU YA NNE)


Dini ya Uislam ni ya Mpinga Kristo
Ndugu Msomaji,
Leo nitawathibitishia kwa kutumia Biblia na Quran kuhusu nani ni Mpinga Kristo. Hebu tuanze kwa kusoma neno la Mungu.
WARAKA WA KWANZA WA YOHANA 4:1-6
Wapenzi msiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho kwamba zimetokana na Mungu, kwa sababu manabii wa uongo wametokea duniani. Katika hili mwamjua Roho wa Mungu , kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu. Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya Mpinga Kristo, ambayo mmeisikia kwa yaja , na sasa imekwisha kuwako duniani, ninyi watoto wadogo mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda kwa sababu yeye aliye ndanii yenu ni mkuu kuliko yeye aliyeko katika dunia.hao ni wa dunia , kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia. Sisi twatokana na Mungu . yeye amjua Mungu atusikia na yeye asiyetokana na Mungu hatusikii. Katika hili twamjua Roho wa kweli, na roho ya upotevu.
Kwanza: Biblia inatufundisha kuwa Mpinga Kristo ni yule ANAYEKATAA KUWA YESU KRISTO HAJAJA KATIKA MWILI…YANI SIYE MWANA WA MUNGU, Soma (2 Yohana 1:7) na hapa tunawaona Waisilamu ndiyo namba moja wa kukataa hilo, sasa je, ni nani ni Mpinga Kristo kama si nyinyi waislamu? Isitoshe bado mnakazania kuwa YESU SIYE KRISTO Kwa madai kuwa eti huyo Kristo ni wa Paulo, na hapo pia Biblia inatuthibitishia kuwa nyinyi waislamu ndiyo haswa ni Wapinga Kristo…tazama na uthibitishe mwenyewe kwenye (1 Yohana 2:22).
Sisi Wakristo lazima tufahamu kuwa Mpinga Kristo kwa mujibu wa Biblia ni yule anayekataa kuwa YESU KRISTO NI MWANA WA MUNGU ALIYESHUKA KATIKA MWILI ILI KUTUOKOA SISI WANADAMU HAPA DUNIANI…Huu ndiyo msingi wetu sisi Wakristo ambao Waislamu wote duniani wamefundishwa na mungu wao Allah kuupinga kabisa kabisa msingi huu…Sasa lazima tujiulize Mpinga Kristo haswa ni nani? Jibu ni rahisi mno ‘ALLAH NA DINI YAKE YA UISILAMU’.
Pili: Mtu yeyote ambaye hamwamini Bwana Yesu ya kuwa ni Bwana na Mwokozi wa maisha yake huyo tayari ni mpinga Kristo kwa sababu hana ushirika nayeye na wala hamuabudu yeye kabisa. Aliye hivyo huyo anaitwa Mpinga Kristo na ule mwisho Yesu akija kuhukumu ulimwengu hatawachukua hao wasiyo mwabudu yeye, na Nabii huyo Yesu wa Nazareti. Nabii huyu watu wanamjua ni nabii wa Mungu na ndiye atakayekuja kuhukumu ulimwengu siku ile ya kiama. Sasa kama hapa tu sasa hivi unampinga, je jiulize swali nayeye atakukubali uende naye uzimani alipo yeye? Jibu hatakuchukua na ameniambia niuambie ulimwengu wote atakaye sikia na asikie atakayekataa shauri lake. Wote wasiomwabudu yeye 100% ni wapingaji wa kumpinga Yesu Kristo na hao ni wapinga Kristo.
Tazama sasa shetani alivyoitumia Quruani kuwa Mpinga Kristo wa wazi wazi kabisa!! Kwa sababu alijua kabisa kuwa Mwana wa Mungu na damu yake ya wokovu pale Msalabani vingewaletea wanadamu wote neema ya Mungu na kuwatoa katika utumwa wa dhambi na hukumu dhidi ya sheria au haki ya Mungu, soma (Zaburi 85:13). Akaona azuie njia ile ya Mungu ili watu waangamie!!. Fahamu kuwa msamaha wa dhambi katika Torati ni damu ya wanyama, soma (Walawi 17:11) na msamaha wa dhambi katika njia ya Mungu (Injili) ni Yesu Kristo) soma (Isaya 53:4-12) linganisha na (Waefeso 1:7).
Sasa baada ya yote haya, namalizia na mpambano mkali kati ya MPINGA KRISTO (ALLAH NA KURUANI YAKE) DHIDI YA BIBLIA NENO LA KWELI LA MUNGU.
Ndugu msomaji utakaesoma mpambano huu sitanukuu moja kwa moja maandiko lakini nitakachokiandika, mashahidi mtakuwa wenyewe kuona kama ni kweli au uongo ya kuwa vitabu hivi vinapambana kiasi hicho..nami sitaandika uongo kamwe.
Hebu tuanze:
BIBLIA: ‘Yesu Kristo alisulubiwa. QURAN: hapana hapana walimsulubisha mwandaazimu mwingine wakizani ndiye!!.
BIBLIA: Yesu ni Mwana wa Mungu. QURAN: ni uongo kwa kuwa Mungu hana mwana wala hazai!!.
BIBLIA: ’tunapata msamaha wa dhambi kupitia damu ya Yesu. QURAN: sivyo kabisa…Mnyaai Mungu ndiye akusameheni madhambi yenu pale mtakapoenda Makka japo mara moja kuhiji. (kiswali chandu cha uzushi..wale masikini je?..Ndiyo kusema pepo ni ya matajiri tu?!!).
BIBLIA: Majini wana asili ya mashetani, ni kundi au jeshi la yule muovu, msishirikiane nayo katika ibada wala kuwatolea sadaka.
QURAN: ALLAH asema: nimekuumbeni na majini ili mpate kuniabudu!! (swali la uzushi:Shetani na majini yake yanaabudu na waisilamu ili yaende wapi wakati wao walisha laaniwa na wanachosubiri ni jehanam tu!!).
Huu ni Msiba Mwengine katika dini ya Allah ambayo sasa tumejifunza kuwa ni ya Mpinga Kristo.
Nawakaribisha kwa Mungu Mkuu ambaye ni Yesu Kristo aliye hai.
Katika huduma yake,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo
For Max Shimba Ministries Org

DALLAS: “Is this where the terrorists are meeting?”


Another stupid non-story reported by the media, FOX News, this time. Designated terrorist group CAIR spokesjihadist claims that Muslims are frightened after a prank caller called a cafe where Muslims were meeting to ask the above question. Seems like a legitimate question to me.

AUSTRALIA: Illegal alien Muslim invader injures 27 after setting himself on fire causing an explosion at Melbourne bank


3a812ab500000578-3949382-on_friday_morning_the_man_became_agitated_after_not_having_enoug-a-19_1479510363563The 21-year-old MUSLIM FREELOADER from Myanmar who doused himself in accelerant and set fire to a Commonwealth Bank branch had minutes earlier complained about being ‘broke’ and not having enough welfare money for food. Witnesses said the man became agitated after not having enough funds to withdraw money from the ATM.

UK Daily Mail (h/t David Y)  The suspect, known by his friends as Noor, and five bystanders were taken to hospital with serious burns following the fire and had been waiting three years to be accepted as a refugee. Another 21 people ranging from children to elderly in their 80s were taken to hospitals with breathing problems.

Muslim entering back with petrol container
Muslim entering bank with petrol container

A witness said the alleged attacker was angry because not enough staff were available to help him. Commonwealth Bank never pays enough staff to serve us customers. I have been waiting for one hour,’ the witness claimed he said, to which a bank staff member replied ‘it’s not your business’.

‘The guy eventually went home and got a flamethrower to burn everyone especially bank staff,’ the witness wrote on his Facebook page. (How come he had enough money to buy a flamethrower but not food?)

The Muslim perp with police
The Muslim perp with police

Australian Burmese (Muslim) Rohingya Organisation president Habib Habib said the man was by himself in Australia and had been struggling financially and mentally, worried about his family and immigration status.

‘He was struggling mentally for the past year or two because his visa has not been processing,’ he told the Sydney Morning Herald(Maybe because he is a Muslim nutjob? Should have sent him back)

4f9ced721c12171459659d1909f93c18

‘He has been suffering and his friends say his welfare payment was not received and he couldn’t pay his rent.’ (He HAD enough money but spent it on something else)

ISRAELI bill seeks to end the extreme noise pollution of the Muslim Call to Prayer


makeitstop-225x300A bill aimed at banning mosques from broadcasting the Muslim supremacist call to prayer over loudspeakers has been slammed as “an attempt to erase the religion.” (One can only hope!)

UK Express (h/t Terry D) Prime Minister Benjamin Netanyahu claims the bill is not intended to suppress Islam, but aims to protect citizens from the loud and offensive noise disturbance of the call to prayer which awakens people as early as 5AM and continues five times a day. It’s a form of cruelty to animals, too as you can see by this Israeli German Shepherd’s reaction in Jerusalem (below) to the prayer noise.

Coalition parties are expected to back the legislation, which would ban the prayer call from being broadcast at night and early morning. Moni Aloleimi, 44, a Muslim originally from Jordan now living in Jaffa, Israel, described the bill as “an attempt to erase the religion”.

He added: “People can’t accept this. If there is no call to prayer, there is no prayer. And if there is no prayer, there is no religion.” (That’s the idea!)

muslims-734258

Mr Aloleimi, who runs a manpower company, said the prayer call, which is broadcast five times a day and dates back to the time of the prophet Muhammed, is required to “rouse and remind people that there is a god and to not do evil deeds.”  He warned that if the law goes through, “there will be an explosion and it will end very badly.”

He added: “You don’t infringe on the religion of an Arab. It starts with this and then they will take other steps like telling us we don’t need 20 mosques, that five is enough.”(How about none?)

Amjab Rasas, 40, from Jerusalem, claimed he would flout the ban if it goes ahead, by attaching loudspeakers to his house. He added: “I’ve been hearing the call to prayer from al-Aksa mosque all my life. How can they stop it? I hear the Shabbat siren on Fridays, and there’s no problem with it. (That’s once a week at sundown, NOT everyday at dawn through dusk)

“Why should people be disturbed by the call to prayer? Whoever doesn’t want to hear it, can leave. The call to prayer was here before the Jews came.”(CRAP. Jews were in Israel before there ever was an Islam)

Forget the ‘Muslim Registry,’ put this Hamas-linked CAIR spokesbaghead with the clown makeup on the terror watch list


After President Trump bans CAIR’s parent group, the Muslim Brotherhood, from operating in America, he should deport all the leaders of CAIR, already a designated terrorist group in the UAE.



AVOID MUSLIM CAB DRIVERS, TOO! Muslim Uber driver in Brooklyn charged with plotting a Nice-style jihadi mass murder terrorist attack in Times Square


The MUSLIM man, who has been identified as Mohammed Rafik Naji, 37, a legal US resident originally from Yemen, made several online posts in support of the Islamic State (ISIS). Naji was arrested this morning and charged in a federal court in Brooklyn.

gettyimages-609004380

NY Daily News  An Uber cab driver from Brooklyn, who is a citizen of Yemen, was arrested Monday on federal charges that he allegedly traveled to Turkey and Yemen last year to join ISIS and expressed support for a Nice-style attack with a garbage truck in Times Square, authorities said.

“I was saying if there is a truck, I mean a garbage truck and one drives it there to Times Square and crushes them…” the complaint quotes Naji as saying to a FBI informant during a recorded phone conversation in July, NBC reported.

mohamed-raji

Mohamed Rafik Naji, 37, revealed his support of the terrorist organization on his Facebook page, including a photo of an ISIS flag, videos of jihadists engaged in fighting, and a YouTube link of an ISIS spokesman exhorting attacks on Western targets, according to court papers.

Last summer, Naji allegedly expressed support to an informant for carrying out a deadly attack in Times Square with a garbage truck crushing pedestrian just like the ISIS truck attack in Nice, France in July.

NICE.........NEW YORK CITY
NICE……………….NEW YORK CITY

“They (ISIS) want an operation in Times Square,” Naji told the informant on July 19. “The Islamic State already put up scenes of Times Square … I said that was an indication for whoever is smart to know.”

Previously, Naji had been persistent in his efforts to join ISIS, Brooklyn U.S. Attorney Robert Capers pointed out. Naji apparently made it to the ISIS battlefield in his Yemeni homeland. “As we alleged in our complaint today, Naji has shown continued support to ISIS, beginning in 2014 with social media posts and ultimately traveling to Yemen in March 2015 where he claimed his allegiance to ISIS stating, ‘I belong to Islamic state only.’

isis-ww3

He allegedly emailed his wife from Yemen in March 2015 that “it’s very hard to get in I’m on my 5th try … keep trying if not m have to go from somewhere else.”

Monday, November 21, 2016

YESU HAKUWA MUISLAM (SEHEMU YA TATU)


YESU HAKUWAI KUOMBA HUKU AKIANGALIA MAKKAH
Yesu hakuwai kusujudu huku akiangalia Makkah, jambo ambalo ni moja ya masharti katika kumwomba na au abudu “ALLAH”. Quran 2:149. Na popote wendako elekeza uso wako kwenye Msikiti Mtakatifu. Na hiyo ndiyo Haki itokayo kwa Mola wako Mlezi. Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na mnayo yatenda. 150. Na popote wendako elekeza uso wako kwenye Msikiti Mtakatifu. Na popote mlipo elekezeni nyuso zenu upande huo ili watu wasiwe na hoja juu yenu, isipokuwa wale walio dhulumu miongoni mwao. Basi msiwaogope wao, lakini niogopeni Mimi - na ili nikutimizieni neema yangu, na ili mpate kuongoka.
Sasa tumsome Yesu katika Biblia, wapi aliangalia wakati akiomba.
Yesu aliomba huku akiangalia Mbinguni soma: Marko 6: 41 Akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama mbinguni, akashukuru, akaimega ile mikate, akawapa wanafunzi wake wawaandikie; na wale samaki wawili akawagawia wote.
Katika aya tuliyo isoma hapo juu, imetupa ushaidi kuwa Yesu aliangalia Juu Mbinguni ambapo Baba yake alipo na si Makkah.

Jesus is good because He is God

 

TRENDING NOW