Wednesday, March 29, 2017

QURAN INASEMA WAISLAM WAMEBEBA MIZIGO YA DHAMBI








1. MIZIGO YA DHAMBI ZAO NI MIBAYA MNO "QURAN 16:25"
2. SHETANI AKIRI KUWA YEYE NDIE ALIYE IKETIA NJIA YA UISLAM
Ndugu msomaji,
Waislam wamekuwa wakisema kuwa, mtu mwengine hawezi kukubebea mizigo yako, lakini, hayo madai yanapingwa na aya kadhaa za Quran.
Nasi tulipousikia uwongofu tuliuamini; basi anayemwamini Mola wake hataogopa kupunjwa wala kutwikwa (kubebeshwa) dhambi (za mtu mwengine).” (Qurani 72:13)
Quran inasema kuwa, anaye mwamini Mwenyei Mungu, hawezi kuogopa kubebeshwa dhambi za mtu mwengine.
Je, kuna watu wanaweza kubeba dhambi za Mtu mwengine?
Soma Quran Surat An Nahl(16) aya ya 25. Kuna watu wanawapoteza wengine Ili wabebe mizigo ya madhambi Siku ya Kiyama, na sehemu ya mizigo ya wale wanao wapoteza bila ya kujua. Angalia, ni mibaya mno hiyo mizigo wanayo ibeba!
Allah kupitia Quran anawaambia Waislam wote kuwa, hiyo mizigo ya dhambi wanayo beba, NI MIBAYA MNO, na wamepotezwa ili waibebe wenyewe mpaka siku ya kiyama.
SASA, kama kubeba Mizigo siku ya kiyama mbaya mno, je, tuipeleke wapi hiyo mizigo, SASA SOMA Zaburi 55: 22 Umtwike Bwana mzigo wako naye atakutegemeza, Hatamwacha mwenye haki aondoshwe milele.
BIBLIA INAWAJIBU WAISLAM KUWA, MTWIKE BWANA MZIGO WAKO. Ndio maana Wakristo wote tumegundua hili, ENDELEA KUSOMA Yohana 13:13 INASEA: Ninyi mwaniita, Mwalimu, na, Bwana; nanyi mwanena vema, maana ndivyo nilivyo.
Yesu anasema kuwa, NINYI MNANIITA MWALIMU NA BWANA, NANYI MWANENA VEMA. Endelea KUSOMA Yeremia 10:10 Bali Bwana ndiye Mungu wa kweli; Ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele; Mbele za ghadhabu yake nchi yatetemeka, Wala mataifa hawawezi kustahimili hasira yake.
YEREMIA 10:10 INAWAJIBU WAISLAM KUWA, HUYO BWANA NDIE MUNGU WA KWELI. SASA, Waislam wanashanga kivipi Yesu awe Mungu na Yesu huyo huyo afe Msalabani, ENDELEA KUSOMA
Quran 55:29 INAENDELA KUKUJIBU 29. Vinamwomba Yeye vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeye yumo katika mambo.
QURAN inakujibu kwa ufasaha kuwa KILA KITU KILICHOPO MBINGUNI NA ARDHINI VINAMWOMBA YESU. Haya Mwislamu unaendelea kushangaa, Sasa angalia nini kilitendeka na au tokea Msalabani
SOMA: 1 Petro 3: 18 - 19 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake akauawa, bali roho yake akahuishwa, 19 ambayo kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni, akawahubiri;
Neno la Mungu linasema kuwa MWILI WAKE NDIO ULIUWAWA BALI ROHO YAKE AKAHUISHWA. Sasa hakuna kushangaa tena maana tufahamu ulio uwawa ni Mwili wake to bali Roho yake haikuuwawa.
Maandiko yanasema kuwa MUNGU NI ROHO, sasa aliye UWAWA NI MWILI TU BALI ROHO YAKE AKAHUISHWA
1 Timotheo 6:15-16 15 ambako yeye kwa majira yake atakudhihirisha, yeye aliyehimidiwa, Mwenye uweza peke yake, Mfalme wa wafalme, Bwana wa mabwana; 16 ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa; wala hakuna mwanadamu aliyemwona, wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina
Kumbe basi Yesu aliungama maungamo mazuri mazuri SOMA aya ya 13 katika 1 Timotheo 6: Nakuagiza mbele za Mungu anayevihifadhi hai vitu vyote, na mbele za Kristo Yesu, aliyeyaungama maungamo mazuri yale mbele ya Pontio Pilato, Ushaihid zaidi soma Luka 18: 31.
LAKINI ndugu zetu Waislam wanasema kuwa MSALABA NI ALAMA YA SHETANI, HEBU TUANZE NA QURAN 7:16 16. Akasema: Kwa kuwa umenihukumia upotofu, basi nitawavizia katika Njia yako Iliyo Nyooka.
SHETANI ANAMWAMBIA ALLAH KUWA, Kwa kuwa umenihukumia upotofu, BASI NITAWAVIZIA KATIKA NJIA YAKO ILIYO NYOOKA.
SHETANI AMEAPA KUWA ATAKETI KATIKA NJIA YA ALLAH ILIYO NYOOKA.
SASA HII NJIA YA ALLAH ILIYO NYOOKA AMBAYO SHETANI ameapa atakaa kwenye hiyo njia, ni ipi?
QURAN 6: 126. Na hii Dini ya Uislam, ndiyo Njia ya Mola wako Mlezi ILIYO NYOOKA. Tumezipambanua Aya kwa watu wanao kumbuka.
KUMBE SHETANI AMEKETI KWENYE NJIA ILIYO NYOOKA AMBAYO NI DINI YA UISLAMU, QURAN 7:16.
Kwasababu Shetani kaketi huko kwenye njia iliyo nyooka, ndio maana Shetani ana dini, au unabisha?
MUHAMMAD AMSILIMISHA SHETANI
Kitabu Asili ya Majini Ukurasa wa 20 INASEMA: Ni bahati mbaya kwamba Adam na Hawa hawakufanya jitihada za kumwezesha Shetani na wanawe kuomba Msamaha kwa Mwenyezi Mungu, NI MTUME MUHAMMAD TU NDIE ALIYE MSILIMISHA SHETANI AKAWA MUISLAMU.
Haya sio maajabu, maana tumesoma hapo kwenye Quran Surat Al Anaam kuwa Shetani anakaa kwenye NJIA ILIYO NYOOKA YA ALLAH. Na Njia iliyo nyooka ni UISLAMU Quran 6 aya ya 126 Na hii Dini ya Uislam, ndiyo Njia ya Mola wako Mlezi Iliyo nyooka. Tumezipambanua Aya kwa watu wanao kumbuka.
Ndugu zanguni, kwa mara nyingie tumejifuza kuwa Shetani ndie kiongozi wa dini ya Uislam. Shetani ndie yupo kwenye NJIA ILIYO NYOOKA NA AMEKETI HAPO. ZAIDI YA HAPO, SHETANI AMESILIMISHWA NA MUHAMMAD kama tulivyo soma katika Kitabu cha Asili ya Mini Ukurasa wa 20.
Huu ni Msiba Mwengine katika dini ya Allah ambayo sasa tumejifunza kuwa Shetani anakaa kwenye Njia Iliyo nyooka na alisilimu na kuwa Muislam.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 13, 2016

YESU ALIKUWEPO KABLA YA KUUMBWA KWA VITU VYOTE DUNIANI NA MBINGUNI


Wakolosai 1:17 “Naye amekuwako kabla ya vitu vyote; na vitu vyote hushikamana katika yeye”.

Yesu Kristo alikuwako kabla ya Ibrahimu kuwako (Yohana 8:52-58).

Watu walioambiwa maneno hayo na Yesu mwenyewe waliokota mawe ili kumpiga Yesu wakisema kuwa anakufuru. Hawa ni watu wa tabia ya mwilini wanaotumia akili kupambanua mambo ya Mungu (mambo ya kiroho huwezi kuyatambua kwa akili maana Mungu ni Roho. (Yohana 4:24).Yohana 17:5,24.Waebrania 7:3.
Yesu ni Alfa na Omega, wakwanza nawa mwisho kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu yeye alikuwako (Ufunuo 22:13).

Shalom
Dr. Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu.

KUMBE JINA LA ALLAH HALINA MAMLAKA KAMA JINA LA YESU


1. KWANINI JINA LA ALLAH HALINA UWEZO WA KUPONYA MAGONJWA?
2. ALLAH ASHINDWA KUMPONYA MUHAMMAD
3. MAOMBI YA JIBRIL YAGONGA MWAMBA
4. LAKINI JINA LA YESU LINAPONYA MAGONJWA YOTE
5. JE, UMESHA WAI ONA KUNA MKUTANO WA UPONYAJI KATIKA USILAM?
Ndugu msomaji,
Uponyaji ni nini?
Ni tendo la kiimani la kupokea uzima katika roho au mwili kwa njia ya kuombewa,kuwekewa mikono au kulisikia neno sahihi la Kristo Yesu. Tendo hili la kiimani humletea mwamini uzima wa kiroho na afya ya kimwili pale ilipopunguka,kumbuka~wengi walipoponywa udhaifu wa miili yao,waliponywa pia na roho zao.
Hivyobasi, kwanini Allah alipo mtuma Jibril kwenda kumuombea uponyaji Mtume wake Muhammad kwa ugonjwa uliosababishwa na kula sumu, maombi yao hayakufanya kazi?
Hivyo basi, uponyaji haufanywi na mtu awaye yoyote yule isipokuwa Mungu. Hata madaktari bingwa wao hawaponyi bali hutoa tiba tu, mwenye kuponya ni Mungu. Watumishi wa Mungu pekee ndio hufanyika kama daraja au chombo cha kuleta uponyaji ulioachiliwa na Bwana kwa muhusika mwenye kuhitaji.
HEBU SASA TUMSOME ALLAH NA JIBRIL KATIKA JARIBIO LAO LA KUMPONYA MUHAMMAD:
Ibn Sa'd Ukurasa wa 265
Aisha, Mke wa Mtume Muhammad alikuwa akisema, "Wakati Nabii wa Allah alipo kuwa anaumwa, Jibril alikuwa anamwombea Muhammad kwa Allah kwa kusema haya "Katika Jina la Allah ambalo litakuponya kutoka kila magonjwa na maumivu na kutoka kila wenye ubaya nawe na kila wanakuombea ubaya, utapona..
Je, jina la Allah liliweza kumponya Muhammad? Hebu tusome Sahih hadith kama ilivyo letwa na Al Bukhari:
MAJIBU YA MUHAMMAD BAADA YA KUOMBEWA UPONYAJI NA ALLAH/JIBRIL:
Bukhari's Hadith 5.713:
Imesemwa na 'Aisha:
Mtume Muhammad wakati alipo kuwa anaumwa na kuchukuliwa na kifo alikuwa akisema, O Aisha, bado nasikia maumivu makali sana kutokana na chakula nilicho kula kilicho kuwa na Sumu kule Khaibar, na wakati huu nasikia kama nyongo yangu inakatwa kutokana na ile Sumu niliyo kula.
Hivi Mungu anaweza kuomba na ashindwe? Mbona Allah na Jibril maombi yao ya uponyaji kwa Muhammad hayakufanya kazi?
SASA TUMSOME YESU WA KWENYE BIBLIA, JE ALIWEZA KUPONYA WATU?
“ Hata Yesu alipofika nyumbani kwa Petro, akamwona mkwe wa Petro, mamaye mkewe, amelala kitandani hawezi homa. Akamgusa mkono, homa ikamwacha; naye akaondoka, akawatumikia.” Mathayo 8:14-15
Biblia haituambii kwamba Bwana Yesu alimwombea huyu mama,bali tunachoweza kuona ni kwamba Bwana Yesu alimgusa mkono,homa ikamwacha. Mguso tu wa mtu wa Mungu ni dawa tosha,hata kama hakuomba sababu upako ungalimo ndani yake. Maana hata wakina Petro waliweza kuponya wagonjwa kwa kivuli chake tu,sababu ya upako. (Matendo 5:15)
UMUHIMU WA KUWEKA IMANI YAKO KATIKA JINA LA YESU KRISTO
“Basi Petro na Yohana walikuwa wakikwea pamoja kwenda hekaluni, saa ya kusali , saa tisa. Na mtu mmoja aliyekuwa kiwete toka tumboni mwa mamaye alichukuliwa na watu, ambaye walimweka kila siku katika mlango wa hekalu uitwao Mzuri, ili aombe sadaka kwa watu waingiao ndani ya hekalu. Mtu huyu akiwaona Petro na Yohana wakiingia hekaluni aliomba apewe sadaka. Na Petro, akimkazia macho, pamoja na Yohana, akasema, Tutazame sisi. Akawaangalia, akitaraji kupata kitu kwao. Lakini Petro akasema, Mimi sina fedha, wala dhahabu, lakini nilicho nacho ndicho nikupacho. KWA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETI, simama uende. Akamshika mkono wa kuume, akamwinua, mara nyayo zake na vifundo vya miguu yake vikatiwa nguvu. Akaondoka upesi akasimama, akaanza kwenda …” (Matendo ya Mitume 3:1 – 8)
Ukifuatilia historia ya kilema huyu aliyeponywa utaona ya kuwa alikuwa hivyo tangu kuzaliwa, na alipopona alikuwa na umri uliopita miaka arobaini (Matendo ya Mitume 4:22).
Siri ya muujiza huu ilikuwa ni nini? Je! kilema huyu alipona kwa uweza wa Petro na Yohana au kwa uweza wa jina la Yesu Kristo?
Nauliza maswali haya kwa kuwa watu wengi wakimwona mtu anatumiwa na Mungu katika uponyaji wanaweka imani katika mtu huyo badala ya kuweka imani katika jina la Yesu Kristo.
Na ndivyo ilivyokuwa wakati kilema huyu alipopona, watu waliokuwa hekaluni waliwashangaa wakina Petro na Yohana kama vile kilema huyo alipona kwa uwezo wao. Petro alipoona hali hiyo, aliamua kuwaeleza watu hao ukweli ulivyo; alisema hivi;
“Basi (Yule aliyekuwa kilema) alipokuwa akiwashika Petro na Yohana, watu wote wakawakusanyikia mbio katika tao lile lililoitwa tao la Sulemani, wakishangaa sana. Hata Petro alipoyaona haya akawajibu wale watu, Enyi Waisraeli, mbona mnastaajabia haya, au mbona mnatukazia macho sisi, kama kwamba tumemfanya huyu aende kwa nguvu zetu sisi au kwa utauwa (utakatifu) wetu sisi?” (Matendo ya Mitume 3:11 – 12).
Petro alikuwa anafanya jambo muhimu hapa kwa kusaidia kubadilisha mawazo ya watu ya kufikiria kuwa uwezo uliomponya kilema ulikuwa ni wa Petro na Yohana ambayo haikuwa si kweli. Kama uwezo huu haukuwa wao, muujiza huu siri yake ni nini? Petro aliendelea kusema hivi;
“Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka na wa Yakobo, Mungu wa Baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu ….. Na kwa IMANI KATIKA JINA LAKE, JINA LAKE LIMEMTIA NGUVU mtu huyu
mnayemwona na kumjua; na imani ile iliyo kwake yeye imempatia huyu uzima huu mkamilifu mbele zenu ninyi nyote” (Matendo ya Mitume 3:13 – 16).
Hebu tafakari maneno haya ya Petro; “Na kwa IMANI KATIKA JINA LAKE JINA LAKE LIMEMTIA NGUVU MTU HUYU….” Wakina Petro na Yohana waliweka imani yao katika jina la Yesu Kristo. Walikuwa na uhakika mioyoni mwao kuwa siri ya miujiza imo katika jina la Yesu Kristo – ndiyo maana walipomkuta huyo kilema walimwamuru asimame kwa jina hilo!
Weka imani yako katika jina la Yesu Kristo ukitaka kuona ishara na miujiza ya Yesu Kristo maishani mwako na kwa wale unaowahudumia pia. Wakijua hili wanafunzi wa kwanza wa Yesu Kristo walipokatazwa “wasiseme kabisa wala kufundisha kwa jina la Yesu” na Anasi kuhani mkuu, waliomba wakasema; “…Basi sasa, Bwana, yaangalie matisho yao; ukawajalie watumwa wako kunena neno lako kwa ujasiri wote, ukinyosha mkono wako kuponya; ISHARA NA MAAJABU vifanyike kwa JINA LA MTUMISHI WAKO MTAKATIFU YESU” (Matendo ya Mitume 4:18,29 – 31)
Ni muhimu kuwaeleza na kuwakumbusha watu umuhimu wa kuweka imani zao katika jina la Yesu Kristo wakitaka kuona mkono wa Bwana ukiponya, ukifanya ishara na miujiza.
Ndugu msomaji, kwanini upoteze muda wako kwa waganga wa kienyeji au wapiga ndumba? Hebu liite Jina la Yesu aliye hai, maana anataka kukuponya magonjwa yako yote.
Kama unasumbuliwa na ugonjwa wowote ule, tafadhali wasiliana nasi kwa kupitia maxshimbaminsitries@gmail.com au tupigie simu (347) 770-4886. Haijalishi ni ugonjwa gani, wewe wasiliana nasi, na hakika Jina la Yesu litakuponya.
Max Shimba Ministries 2015

YESU NI MUNGU MUUMBAJI

Image may contain: text
Sifa ya kuumba niya Mungu peke-yake (Yohana 1:3,14) “vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika. Naye Neno alifanyika mwili; nasi tukauona utukufu wake kama utukufu wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na kweli”.
Yesu anaitwa Neno la Mungu (Ufunuo 19:13) “Kwahiyo Neno ni Mungu “(Yohana 1:1).. na huyo ndiye aliyevifanya kuwako vitu vyote. Aliyeshuka kutoka juu na kufanyika mwili ni Yesu pekee aliyezaliwa na bikira Mariamu bila mbegu ya kiume kama inavyotokea kwa wanadamu wengine.
Katika yeye (Yesu) vitu vyote viliumbwa (Wakolosai 1:13-16) vinavyoonekana na visivyoonekana; vya Mbinguni na vya duniani.
Maandiko yako wazi kabisa, na kwa mtu mwenye Roho wa Mungu anaelewa kwa urahisi kuwa Yesu ni Mungu.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

UNAWAFAHAMU MALAIKA WAKUU SABA WA MUNGU "ARCHANGELS OF GOD? (SEHEMU YA NNE)



SELAPHIEL:

Maana ya Selaphiel ni "Maombi ya Mungu" au "mtu anaye omba kwa Mungu".


Hili jina linaweza pia kuandikwa kama Zerachiel, Selapheal, Salathiel, Selathiel, Sealteal, Seraphiel, Sarakiel, Sariel, Suriel, Suriyel, na Saraqael.


Malaika Mkuu "Archangel Selaphiel" anajulikana kama Malaika wa Maombi. Ni Malaika anaye wasaidia na au wahamasisha watu waombe kwa Mungu. Yaani yeye anakusaidia wewe kupunguza mawazo yako wakati unaomba ili uweze kuomba huku ukiwa unamwazia Muumba wako. [He helps people connect to God through prayer, giving them the focus they need to block out distractions and concentrate on praying].

Malaika Mkuu Selaphiel ametajwa katika Kitabu cha Ufunuo 8 aya ya 3 na 4: Na malaika mwingine akaja akasimama mbele ya madhabahu, mwenye chetezo cha dhahabu, akapewa uvumba mwingi, ili autie pamoja na maombi ya watakatifu wote juu ya madhabahu ya dhahabu, iliyo mbele ya kiti cha enzi. 4 Na moshi wa ule uvumba ukapanda mbele za Mungu pamoja na maombi ya watakatifu, kutoka mkononi mwa malaika. Vile vile ametajwa kimajina katika kitabu cha Orthodox (3 Ezdras 5:16) na kwenye kitabu aya ya [31:6 cha the apocryphal Jewish and Christian text The Conflict of Adam and Eve].

Wakati wowote unapo jisikia kuomba kuhusu kitu Fulani, basi elewa kuwa Mungu anaweza kuwa ametuma ujumbe kwako kwa kupitia Malaika Mkuu Selaphiel, ambaye anapenda kuhamasisha watu ili waombe.

Zaburi 11 Kwa kuwa atakuagizia malaika zake Wakulinde katika njia zako zote. 12 Mikononi mwao watakuchukua, Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe. 13 Utawakanyaga simba na nyoka, Mwana-simba na joka utawaseta kwa miguu.

Somo hili la Malaika ingawa halifundishwi sana Kanisani, ni la muhimu sana maana hawa Malaika wanahusika sana na maisha yetu ya kila siku. Hebu angalia nini hutokea wakati mmoja wetu anapo okoka. Luka 15: 10 Nawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.


Najua wengi wenu mtasema wapi Yesu alitumia Malaika.

Mathayo 26: 52 Ndipo Yesu akamwambia, Rudisha upanga wako mahali pake, maana wote waushikao upanga, wataangamia kwa upanga. 53 Ama wadhani ya kuwa mimi siwezi kumsihi Baba yangu, naye ataniletea sasa hivi zaidi ya majeshi kumi na mawili ya malaika?

Umeona hapo. Hata Yesu anasema kuwa angeweza kumwambia Baba yake amtumie zaidi ya Majeshi kumi na wawili ya Malaika. Sasa, kama Yesu anaweza tumia Malaika katika vita hii, je wewe ulisha mwambia Baba aliye Mbinguni akutumie majeshi ya mailaka katika vita vyako? Kumbe ndio maana unakuta Mkristo anaomba kila siku lakini hapati jibu. Ni vyema kama Mkristo sasa uanze kujua jinsi Ufalme wa Mbinguni unavyo fanya kazi na tuachane na “church doctrines” mafundisho ya kikanisa ambayo yameshindwa kukusaidia tokea ulipo okoka.

Hata Shetani alimkumbusha Yesu kuwa angeweza kuomba Malaika waje kumwokoa, ingawa ilkuwa ni mtego.

Soma Mathayo 4: 5 Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mji mtakatifu, akamweka juu ya kinara cha hekalu, 6 akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu jitupe chini; kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake; Na mikononi mwao watakuchukua; Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.

Wana wa Kiroho wa Mungu pia wanatofautiana katika ngazi na katika uwezo wa utendaji, (Ezekiel 1:9,11; Daniel 10:13; 12:1; Efeso 1:21; Kolosai 1:16; 1 Thesalonike 4:16; Yuda 1:9). Malaika wamepewa uwezo na nguvu ya utendaji (2 Thesalonike1:7); “wanaitwa wenye nguvu na uwezo mwingi” (Zaburi 103:20). Ni “Watakatifu” (Luka 9:26), ni “Wateule” (1 Timotheo 5:21). Hawasitahili kuabudiwa au kusujudiwa (Kol 2:18; Ufunuo 19:10).
Malaika wengine wana mabawa na wengine wanafanana kama sanamu wakiwa na sura za nyuso mbili, ambapo uso mwingine unaweza kuwa ni uso unaofanana na nyuso za wanyama na uso mwingine unaofanana na wanadamu. (Ezekiel 1:4-14; Isaya 6:1-3) wanaweza kubadilika katika maumbile yao na kufanana na maumbile ya kibinadamu wanapoonekana kwa wanadamu (Ebrania 13:2). Wakati wote wana miili ya kung’aa na wanavaa mavazi meupe (Matendo 1:9-11; 22:6-9; 2 Samuel 22:13).
Wanadamu hawaruhusiwi kumwona Mungu, kwa hiyo Malaika wanawasaidia wanadamu katika kumjua Mungu Mmoja wa kweli, (Eloah).

Je, unawafahamu Maseraphi na Makerubi na kazi zao? Usikose sehemu ya Tano kuhusu Malaika Mkuu Michaeli na kazi zake.

Shalom,



Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Sunday, March 26, 2017

Indian Christians beaten by mob for evangelising, distributing flyers

Three Indians Christians were attacked by a mob for supposedly trying to convert the local Hindus. The incident occurred in Khargar and Taloja in Navi Mumbai, where 45-year-old pastor, Prashant Bhatnagar, and two other members of his church, were distributing Christian literature.
The mob attacked the three Christians both verbally and physically. According to a report on The Times of India, one of the three victims was admitted to a hospital after he sustained severe injuries on account of being kicked and punched.
The pastor, meanwhile, was forcefully dragged over to a prison site where he was threatened with a revolver, as the mob warned him that if he was found distributing Christian pamphlets again, they would set him on fire. Christian Daily reveals that one of the men proceeded so far as to urinate on Pastor Bhatnagar, who was already badly beaten by the aggressors.
Unconscious, he was left on the street where a passersby noticed the beaten man and took him to a hospital. Reacting to the incident, Maharashtra's former Minorities Commission vice-chairman Abraham Mathai strongly opined that the authorities needed to trace and arrest those involved in this violent act.
"This is a grave criminal act to assault a peaceful group so badly and to threaten them with a gun. The police must book and arrest all the culprits in this case," he stated.
Pastor Bhatnagar spoke up in an interview with Urdu Daily, and revealed that the mob was led by someone named Gurunath, who heads Shri Ram Pratishthan.
According to the pastor, Gurunath accused him of converting the local vegetable vendors to Christianity, and when two members of the pastor's church came forward in his support, Gurunath and his following mob turned violent.

Thousands of Muslims turn to Christ after witnessing ISIS atrocities


Christian aid workers have revealed that an increasing number of Kurdish Muslims are converting to Christianity after witnessing the violent, disturbing behaviour of extremist groups like ISIS, and the horrific acts they carry out in the name of Allah.
Speaking to Christian Aid Mission, a ministry leader in the Kurdish Region of Iraq revealed that the organisation he works with can barely keep up with the number of refugees eager to learn about Christ and the Bible. This number has skyrocketed steadily ever since ISIS overtook many parts of the region.
"They're just sick of Islam," he revealed. "People are very hungry to know about Christ, especially when they hear about miracles, healing, mercy and love. As terrifying and horrifying as ISIS is, they did us a great favour because they came and have shown them all the killing, saying that it's all in the Koran verses. So now we don't have to say much, we just say the truth."
According to numbers released by the UN, the Kurdish Region of Iraq is presently hosting 900,000 refugees, out of which around 233,000 from Syria and the rest from elsewhere in Iraq. The region has also welcomed thousands of Arabs who fled the cities of Anbar province, which the terrorist group took over back in 2014.
The ministry director explained that the organisation he works for extends assistance to those displaced by setting them up in tents and whatever unfinished buildings they find. Still, as the leader revealed, the needs for blankets, heaters, food and diapers remain high.
After showing refugees the love of Christ by meeting their needs, the workers later bring Bibles for the refugees, he revealed.
He continued, "We just help because we love them, and maybe the next time we visit we tell them about Jesus and give them Bibles. We believe in the power of the Word of God. We don't have many preachers. We don't have many missionaries, but we have the Word of God that we're able to print, purchase and deliver to the people and their children."
He went on to recall a memorable account, where a Muslim refugee from his ministry was given a Bible. "He said, 'OK, but I'm Muslim, I can't become Christian - I have a big family, and my father is a very extremist radical.'" To this, the director responded, "I didn't ask you to be Christian. I'm not trying to change your religion here. I just want you to read the Bible and know who Jesus Christ is. I want you to have a relationship with God." The Muslim man agreed and took to reading the Bible with his wife and their several children.
http://christiantoday.com.au/news/thousands-of-muslims-turn-to-christ-after-witnessing-isis-atrocities.html

5 common things Muslims lose by accepting Jesus

All over the Middle East and North Africa, Muslims who have converted to Christianity struggle with their new identity in Christ. Islam is not just a part of their lives, it is their entire life. From praying in a set direction 5 times a day, to setting aside an entire month to fast, the actions required to be a Muslim are all consuming. And society is not always kind to those who disagree.
Following Christ as a former Muslim might cost you these five things:
1. Your Family
Often, direct relatives are the first and heaviest persecutors of believers from a Muslim background. For many Muslim families, leaving Islam and converting to another religion brings "shame" to the family. In moderate families, a new Christian may be ignored or excluded. In stricter families; forced separation, divorce or the removal of children are all common.
In cultures with a strong sense of shame and honour, new believers face the most pressure. Family members in this situation can feel that killing the converted family member is the only way to remove the shame from their name.
2. Your Friends
Old friends quickly become the most vocal opposition. Entire communities pressure new believers to renounce their faith in Jesus. In Iran for example, Christians from a Muslim background are considered to be unclean. Particularly in rural areas, Muslims will not shake hands with Christians, touch them in any way, or eat food they prepare.
In many Muslim countries, it's legally impossible for Christian men to marry women from Muslim families. In Yemen, if a Muslim finds out a woman has started following Christ, she will most likely be forced into marriage with a Muslim man or placed under house arrest. This causes most converts to keep their faith in Christ completely hidden.
3. Your Church
Almost nowhere in the Middle East and North Africa is it possible for former Muslims to meet at a church. In Saudi Arabia, there are no church buildings at all. Meetings of former Muslims who have accepted Christ can only take place in secret and in very small groups. Algeria is probably the most 'relaxed' country in this regard but believers still face a high degree of persecution.
In Iran, fear among believers is rising, as the government has recently increased surveillance of the house church movement. In 2015, several house churches were raided by the police. More than a hundred Christians were arrested, with many being sentenced to prison terms of varying lengths and the additional punishment of torture.
4. Your Country
All over the Muslim world, Christians who convert from Islam feel there is no option but to leave their home countries. This is especially true for Christians in Iran and the Arabian Peninsula. Death threats, constant discrimination and assassination attempts all lead Christians to feel there can be no future for them in the country of their birth. It is believed that there are currently more Saudi believers living outside of the country than there are left within it due to this.
Migrant churches in Europe and North America have seen their attendance rise as refugees from the Middle East (former Muslims among them) worship with them in freedom.
5. Your Life
Finally, people who convert to Christianity from a Muslim background come to be known as 'Apostates' and may pay the highest price of all. Some Muslims are convinced that everyone who leaves Islam should be killed. In Saudi Arabia and Iran, this is enshrined in law. In other countries like Egypt, Pakistan and Malaysia the majority of supporters for Sharia law also support death sentences for apostates.<sub><sup>[1]
Any apostate from Islam is, in theory, punishable by death if they do not recant. This is based upon the prophet Muhammad's saying, as quoted in the Hadith (Islamic tradition), "Whoever changes his religion, kill him."
Is Christ Worth It?
According to our brothers and sisters who risk everything for His sake, the answer is a resounding, "yes."
The apostle Paul, who himself gave his very life, agrees:
"Indeed, I count everything as loss because of the surpassing worth of knowing Christ Jesus my Lord. For his sake I have suffered the loss of all things and count them as rubbish, in order that I may gain Christ" - Philippians 3:8
<sup><sub>[1] Pew Research 2013, The World's Muslims: Religion, Politics and Society.
This article first appeared on www.opendoorsblog.orgFor prayer ideas during Ramadan a copy of Open Doors free resource A Dedicated Faith can be accessed from: https://www.opendoors.org.au/getinvolved/a-dedicated-faith

BELGIUM: ISLAMIC TERRORIST ATTACK AVERTED as Tunisian MUSLIM driving car loaded with assault weapons, knives, and liquid gas, arrested trying to run down shoppers


MOHAMMED R, 39, a MUSLIM French national of Tunisian origin, wearing military-style clothing, was driving at high speed, trying to run down people in a busy shopping area of Antwerp, one year after the last major terrorist attack in Belgium.

The Sun  Police in the Belgian capital reportedly foiled the plot and detained the man who was carrying weapons, after he ran a through a red traffic light, Antwerp police chief Serge Muyters said. The man was arrested on Thursday after he tried to drive into a crowd at high-speed in a shopping area in the port city, a police spokesman said.

“The suspect is Mohamed R., born on May 8, 1977 and a resident of France,” the statement said. Police have confirmed the suspect was carrying knives, a rifle and a gas can with an unknown liquid at the time of the arrest.

Eyewitnesses said they saw many terrified people being forced to jump out of the way as the speed of the car increased.

The failed attack comes less than 24 hours after the depraved assault in central where an ISIS-linked Muslim knifeman mowed people down with a car. The Belgian incident also comes after the first anniversary of the Brussels’ bomb attacks also by Muslims which claimed the lives of thirty-two innocent people.

The Antwerp plot was foiled when the car was stopped as it jumped a red light, and a safety perimeter established around it immediately, said a local police source.

The driver sped off after Belgian soldiers, who have been deployed around the country to assist the counter-terrorism fight, tried to stop the car. “A short while later, a rapid intervention force from Antwerp police was able to stop the car,” the statement said.

After Israeli doctors successfully treat her gravely ill child, this is how a Gaza Muslim mother shows her appreciation


Gaza mother freely acknowledges the compassion and generosity shown to her by Jews after her young son was treated, FREE OF CHARGE, for a serious heart condition in an Israeli hospital. Despite that, she still hopes he will grow up to become a ‘shahid’ (suicide bomber) and kill a lot of Jews because Muslims “love death more than Jews love life.”

Jesus is good because He is God

 

TRENDING NOW