Friday, April 14, 2017

JE, YESU ALISULUBIWA SIKU YA IJUMAA?

Image may contain: one or more people and text
Kama ni hivyo, ni namna gani alimaliza siku tatu kaburini kama alifufuka Jumapili?"
Yesu alisema katika Mathayo Mtakatifu 12:40, “Kwani kama vile Yona alivyokuwa siku tatu mchana na usiku katika tumbo la nyangumi, hivyo ndivyo Mwana wa Adamu atakavyokuwa siku tatu mchana na usiku katika moyo wa nchi” wale wanaoshikilia kuwa Ijumaa ndio ilikuwa siku ya kusulubiwa, wanasema kuna hali halisi amboyo Yesu anakisiwa kuwa kaburini siku tatu.
Katika fikira ya Kiyahudi katika karne ya kwanza, sehemu ya siku ilichukuliwa kuwa siku nzima. Jinsi Yesu alikuwa kaburini sehemu ya siku ya Ijumaa, Jumamosi nzima na sehemu ya siku ya Jumapili anachukuliwa kuwa kaburini siku tatu.
Mojawapo ya dhana kuu ya Ijumaa inapatikana katika Mariko Mtakatifu 15:42, ambayo inasema kuwa Yesu alisulubiwa “siku iliyo kabla ya sabato” Kama hiyo ilikuwa sabato ya kila juma, kwa mfano Jumamosi, kwa hivyo hiyo hoja huasiria Ijumaa kuwa siku halisi ya kusulubiwa.
Fundisho lingine kuhusu siku ya Ijumaa lasema kifungo kama Mathayo Mtakatifu 16:21 na Luka Mtakatifu 9:22, zatufundisha kwamba Yesu angefufuka siku ya tatu; kwa hivyo, hangehitaji kuwa kaburini siku tatu mchana na usiku. Tafsiri zingine zinapotafusiri “katika siku ya tatu” kwa hizi aya, si zote, na si kila mmoja anakubaliana kwamba “siku ya tatu” ndio njia nzuri ya kutafusiri aya hizi. Zaidi ya hayo, Mariko Mtakatifu 8:31 yasema kwamba Yesu atafufuliwa “baada” ya siku tatu.
Kwanini inatupasa kukumbuka kifo cha Yesu?
Yesu aliwaambia wafuasi wake wakumbuke kifo chake kwa kula mlo wa mfano, wakitumia mkate na divai. Mkate unawakilisha mwili wa Yesu nayo divai inawakilisha damu yake.—Soma Luka 22:19, 20.
Mkate ambao Yesu alitumia haukuwa na chachu. Katika Biblia, mara nyingi chachu hutumiwa kufananisha dhambi. Kwa hiyo, mkate ulikuwa mfano unaofaa wa mwili mkamilifu wa Yesu. Alitoa mwili wake uwe dhabihu, ambayo iliondolea mbali dhabihu za wanyama zilizotolewa kulingana na Sheria ya Musa. (Waebrania 10:5, 9, 10) Divai ilikuwa mfano wa damu ya Yesu yenye thamani iliyomwagwa ili kuwa dhabihu kwa ajili ya dhambi zetu.—Soma 1 Petro 1:19; 2:24; 3:18.
Kukumbuka kifo cha Yesu kunafaida gani?
Kukumbuka kifo cha Yesu kila mwaka huimarisha uthamini wetu kwa upendo wa Mungu usio na kifani. Alimtuma Mwana wake ili afe kwa ajili ya dhambi zetu. Kwa hiyo, tunapohudhuria Ukumbusho, tunapaswa kutafakari kifo cha Yesu kinamaanisha nini kwetu. Tunapaswa kufikiria jinsi tunavyoweza kuonyesha uthamini kwa yale ambayo Yehova na Yesu wametufanyia.—Soma Yohana 3:16; 2 Wakorintho 5:14, 15.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Vitabu vya Korani vyapatikana katika vyoo Dallas Marekani



Polisi wameanza uchunguzi baada ya nakala za korani kupatikana ndani ya vyoo katika jumba moja la chuo kikuu cha Texas huko Dallas.
Picha kwenye mitandao ya kijamii inaonyesha vitabu hivyo vikiwa ndani ya vyoo.
Polisi wa chuo wanasema kesi hiyo ni ya "kushangaza sana" na "isiyo ya kawaida" kwani chuo hicho kina wanafunzi kutoka makabila na dini mbali mbali.
Polisi wanajaribu kumtambua mmoja kati ya watu sita walioonekana wakiingia chooni wakati wa tukio hilo la tarehe 28 mwezi wa Machi. Wachunguzi wamekuwa wakikagua video za CCTV wakiwatafuta waliohusika.
Hakuna kitu kilichoguswa katika chumba kimoja ambacho huwa na vitabu vya dini tofauti, kulingana na wachunguzi.
Mkuu wa polisi Larry Zacharias aliiambia Dallas Morning News: "Hakuna anayemjua mmiliki wa vitabu hivyo."
Mohammad Syed ambaye ni rais wa chama cha wanafunzi wa Kiislamu chuoni aliambia vyombo vya habari tukio hilo ni la "kuhuzunisha kweli na pia linatatiza."
"Licha ya kuwa kuna sauti kidogo ya chuki, kuna sauti kubwa ya upendo na unaotuunga mkono na kweli tunashukuru," alisema.
Aliongeza kuwa "mazingira chuoni ni mazuri ."
Korani hizo ziligunduliwa na viongozi wa wanafunzi baada ya mkutano wao jioni hiyo.
"Nilishangaa sana," alisema Jonathan Schuler, aliyepata vitabu hivyo takatifu katika vyoo.
"Tukio hilo liliifanya maneno mengi ya chuki i niliyokuwa nikisikia na kuona kwenye taarifa za habari kuwa halisi, na karibu sana."
Maseneta wa wanafunzi wametoa taarifa wakisema hilo ni ni tukio la kipekee na haliwakilishi jamii ya chuo kikuu.
http://www.bbc.com/swahili/39601347?ocid=socialflow_facebook

AHADI ZAKE NI KWELI NA AMINA

Image may contain: sky and text
POKEA BARAKA TELE KUTOKA KWA YESU KRISTO MUNGU WETU MKUU.
Ngoja nikupe siri hii nzuri, zipo baraka nyingi sana za kiulinzi kutoka kwa Bwana zinazoambatana na wewe kumtumikia Mungu kwa njia ya kuwaambia wengine habari za huyu Yesu.
Mungu hutimiza ahadi zake. Imeandikwa katika 2Wakorintho 1:19-20 "Maana Mwana wa Mungu, Kristo Yesu aliyehubiriwa katikati yenu na sisi yaani mimi na Silwano na Timotheo hakuwa Ndiyo na siyo; bali katika yeye ni Ndiyo. Maana ahadi zote za Mungu zilizopo katika yeye ni Ndiyo; tena katika yeye ni Amin, Mungu apate kutukuzwa kwa sisi."
Kuwa na imani kwamba Mungu atatenda yale aliyoahidi katika neno lake (Waefeso 6:16)
Waefeso 6:16 inasema ‘zaidi ya yote mkiitwaa ngao ya imani, ambayo kwa hiyo mtaweza kuizima mishale yote yenye moto ya yule mwovu’.
Waebrania 11: 1 inatueleza kwamba ‘Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo ni bayana ya mambo yasiyoonekana’.
Ndani ya Biblia zipo ahadi nyingi za Mungu kwako ambazo zinagusa kila eneo la maisha yako kiulinzi, baraka, uponyaji, afya njema, uzima, uzao, mafanikio nk. Ni jukumu lako kuzisoma na kuifunga imani yako hapo. Maana mara nyingi Shetani huwawekea watu mashaka juu ya Mungu wao na ahadi zake kwamba hatazitimiza. Kwa hiyo kama huzijui hizo ahadi ni rahisi sana kutekwa na fikra za Shetani. Hivyo ni jukumu lako kuhakikisha unaweka imani thabiti kwenye ahadi za Mungu katika maisha yako.
Shalom
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

PASAKA YA KALE ILIKUWA KUVULI CHA YESU

Image result for pasaka
Sehemu ya 3 na ya Mwisho:

PASAKA YA KALE ILIKUWA KUVULI CHA YESU

Mungu Mwenyezi alileta mapigo kumi juu ya Wamisri ili awaokoe Waisraeli kutoka utumwani. Pigo la mwisho lilikuwa mauti ya - ya wazaliwa wa kwanza wa Wamisri lilo wapa ushidi waisraeli kutoka nchini Misri (Kutoka 12:29-36); Wakristo nasi tunapata ushindi kwa kufufuka kwa Yesu na kuishinda mauti (Wakolosai 2:11-13)

Kusudi Waisraeli nao wasiuawe, Mungu aliwaamru wamchinje mwanakondoo na kutia damu yake penye miimo na miisho ya milango yao.(Kutoka 12:13); vivi hivyo Wakristo pia tunapo shiriki kula mkate na kukinywea kikombe cha mzao wa mzabibu kwa ukumbusho wa Yesu, tunakuwa na uzima ndani yetu. (Yohana 6:51-53)

• Baada ya kuwaokoa Waisraeli, Mungu aliwapa siku kuu ya kukumbuka walivyookolewa. Siku hii iliitwa "Pasaka" kwa sababu neno "pasaka" maana yake ni "kupita juu" (Kutoka 12:1-28, 43-48); Vivyo hivyo baada ya Yesu kutuokoa alitupa agizo la kumega mkate na kukinywea kikombe. (Mathayo 26:26-28; 1 Wakorintho 11:23-16; Matendo 20:7)

• Waisraeli walitumia mwana-kondoo kwa pasaka (Kutoka12:3-5); Bali Wakristo mwana-kondoo wetu ni Yesu (Yohana 1:29, 36), Yeye ndiye "Pasaka" wetu (1 Wakorintho 5:7).

• Waisreli waliamriwa kutwaa mwana-kondoo asiye na hila (Kutoka 12:5); kwetu sisi Wakristo Yesu ni mwana-kondoo asiye na hila (1 Petro 1:19)

• Waisraeli waliamriwa kutokuvunja mfupa wa Mwanakondoo wa Pasaka waliposhiriki kumla (Kutoka 12:46; Hesabu 9:12); Vivyo hivyo Yesu naye aliye Pasaka wetu hakuvunjwa mfupa.(Yohana 19:33, 36)
• Wayahudi walishiriki Pasaka pamoja na mikate isiyotiwa chachu wakikumbuka walivyokula jangwani (Kutoka 12:8, 15; Kumbukumbu 16:3); Wakristo pia tunashiri mikate isiyotiwa chachu tukikumbukwa mwili wa Kristo uliyoteswa kwa ajili yetu (Mathayo 26:26; 1 Wakorintho 11:23-24)

• Wayahudi waliokolewa kwa damu ya mnyama waliyoipaka milangoni, (Kutoka 12:7); Lakini Wakristo tunaokolewa na damu ya Yesu iliyomwagika kwa ajili yetu (Mathayo 26:28)

• Wayahudi walishiriki pasaka kila mwaka mara moja (Kutoka 12:2, 14); Bali Wakristo tunashiriki pasaka kila mara. (Matendo 20:7).

MUDA WA KUFA KWA MWANAKOONDOO WA PASAKA.

Katika Agano la Kale Mwanakondoo alitakiwa kuchinjwa jioni
Kut 12:6 “Tunzeni wanyama hao mpaka siku ya kumi na nne ya mwezi, ambapo lazima watu wa jumuiya yote ya Israeli wachinje wanyama hao wakati wa jioni..”

Katika Agano Jipya mwanakondoo aliuwawa jioni ili kutimiza taratibu za Pasaka
Mat 27: 45-50. 45 “Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa, nchi nzima ilikuwa giza. 46Mnamo saa tisa Yesu akalia kwa sauti kuu, ``Eli, Eli lama sabakthani?'' Yaani, ``Mungu wangu, Mungu wangu, mbona ume niacha?'' 47Baadhi ya watu waliokuwa wamesimama hapo waliposikia haya walisema, ``Anamwita Eliya!'' 48Mmoja wao akaenda mbio akaleta sponji akaichovya kwenye siki akaiinua kwa mwanzi akamwekea mdo moni. 49Lakini wengine wakasema, ``Hebu tuone kama Eliya ata kuja kumwokoa.'' [Na mwingine akachukua mkuki akamchoma ubavuni, pakatoka maji na damu]. 50Yesu akalia tena kwa sauti kuu, kisha akakata roho.”

Marko 15:33-37 33 “Ilipofika saa sita, giza lilikumba nchi nzima kwa muda wa saa tatu. 34Ilipofika saa tisa, Yesu akalia kwa sauti kuu ``Eloi, Eloi lama Sabaktani?'' Yaani, ``Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?'' 35Baadhi ya watu waliokuwa wanasimama karibu waliposikia maneno hayo, walisema, ``Mnamsikia? Anamwita 

36Mtu mmoja akaenda mbio, akachovya sponji kwenye divai na siki, akaiweka kwenye ufito akamwinulia Yesu ili anywe huku akisema, ``Hebu tuone kama Eliya atakuja kumshusha kutoka msala bani!'' 

37Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho. 38Pazia la hekalu likapasuka vipande viwili kuanzia juu hadi chini.”

Luk 23:44-47. 44 “Ilikuwa kama saa sita mchana. Kukawa na giza nchi nzima mpaka saa tisa, 45kwa maana jua liliacha kutoa nuru. Pazia la Hekalu likapasuka katikati kukawa na vipande viwili. 46Yesu akapaza sauti akasema, ``Baba, mikononi mwako ninaikabidhi roho yangu.'' Baada ya kusema haya, akakata roho. 

47Mkuu wa maaskari alipoona yaliyotokea, akamsifu Mungu akasema, ``Hakika, mtu huyu alikuwa mwenye haki.'' 

Mat 1:21 Naye atamzaa mtoto wa kiume, nawe utamwita jina lake Yesu; kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.''

Ebr 9:11-14 “11Kristo alipokuja kama kuhani mkuu wa mambo mema ambayo tayari yamekwisha wasili, alipitia kwenye hema ya kuabudia ambayo ni kuu zaidi na bora zaidi na ambayo haikujengwa na binadamu, yaani ambayo si sehemu ya ulimwengu huu ulioumbwa. 12Yeye aliingia patakatifu pa patakatifu mara moja tu kwa wakati wote, akichukua, si damu ya mbuzi na ndama, bali damu yake mwenyewe, na hivyo kutupatia ukombozi wa milele. 13Kwa maana ikiwa damu ya mbuzi na mafahali na majivu ya ndama hunyunyizwa juu ya watu wachafu kidini ikawatakasa kwa kuwaondolea uchafu wao wa nje, 14 damu ya Kristo ambaye kwa njia ya Roho wa milele alijitoa mwenyewe kwa Mungu kama sadaka isiyokuwa na doa, itazisafisha dhamiri zetu zaidi sana kutokana na matendo yaletayo kifo, na kutuwezesha kumtumikia Mungu aliye hai.”

Ebr 9:24-26 24 “Kwa maana Kristo hakuingia kwenye hema ya kuabudia iliyotengenezwa na bina damu kama mfano wa hema halisi. Yeye aliingia mbinguni penyewe, ambapo sasa anatuwakilisha mbele za Mungu. 25Wala hakuingia mbinguni kujitoa mwenyewe mara kwa mara, kama kuhani mkuu ain giavyo Patakatifu pa Patakatifu kila mwaka na damu ambayo si yake. 26Ingekuwa hivyo, ingalimpasa Kristo kuteswa mara nyingi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Lakini ilivyo ni kwamba ametokea mara moja tu kwa wakati wote, katika siku hizi za mwisho, ili atokomeze dhambi kwa kujitoa mwenyewe kuwa dhabihu.

Ebr 10:8-10 8Kwanza alisema, ``Dhabihu na sadaka, sadaka za kuteketezwa wala sadaka zitolewazo kwa ajili ya dhambi hukutaka, wala huku pendezwa nazo,'' ingawa hizi zilitolewa kwa mujibu wa sheria. 9Kisha akasema, ``Niko hapa, nimekuja kutimiza mapenzi yako.'' Anaweka kando ule utaratibu wa kwanza na kuanzisha utaratibu wa pili. 10Na kwa mapenzi hayo, sisi tumetakaswa kwa njia ya sadaka ya mwili wa Yesu Kristo alioutoa mara moja tu, kwa wakati wote”

Basi kama tulivyoona yakuwa Pasaka ya kale iliondolewa pamoja na taratibu zake na sasa Pasaka wa Wakristo ni Yesu .

Pasaka katika Agano Jipya, Yesu ndiye Mwanakondoo mwenyewe wa Pasaka asiye na ila wala waa.
Bwana wa Mbinguni akubariki. Nimatuimaini yangu kuwa utafikisha ujumbe huu kwa watu wa mataifa ili wamwamini Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo,ili waokolewe. Bwana akubariki sana.

Mwalimu Chaka wa Musa 

SIFA ZA WATU WAENDAO JEHANNAM



Warumi 1: 26 Kwa hiyo, Mungu amewaacha wafuate tamaa mbaya. Hata wanawake wanabadili matumizi yanayopatana na maumbile. 27 Nao wanaume hali kadhalika, wanaacha kufuata matumizi ya maumbile ya mume na mke wakawakiana tamaa wao kwa wao. Wanaume wanafanyiana mambo ya aibu, na hivyo wanajiletea wenyewe adhabu wanayostahili kwa vitendo vyao viovu.
28 Kwa vile watu walikataa kumtambua Mungu, Mungu amewaacha katika fikira zao potovu, wakafanya yale ambayo hawangestahili kufanya. 29 Wamejaa kila aina ya uovu, dhuluma, ulafi na ufisadi. Wamejaa wivu, uuaji, ugomvi, udanganyifu na nia mbaya; husengenya, 30 na kusingiziana; ni watu wa kuchukiza kwa Mungu, wafidhuli, wenye kiburi na majivuno; hodari sana katika kutenda mabaya, na hawawatii wazazi wao; 31 hawana dhamiri, hawatimizi ahadi zao, hawana wema wala huruma kwa wengine. 32 Wanajua kwamba Sheria ya Mungu yasema kwamba watu wanaoishi mithili hiyo, wanastahili kifo. Zaidi ya hayo, siyo tu kwamba wanafanya mambo hayo wao wenyewe, bali hata huwapongeza wale wanaofanya mambo hayohayo.
Angalia sana ndugu usiwe na hizo sifa hapo juu. Hizo ni sifa za watu waendao Jehannam. Endelea kumtafuta Yesu ambaye ni Mungu na akulinde kwa damu yake. Endelea kufunga na kuomba bila ya kuchoka. Maana Shetani anatafuta mtu wa kummeza.
HABARI NJEMA KWA WATU WABAYA
“Kristo alikufa kwa ajili ya waovu.” (Warumi 5:6)
Pengini utastaajabu vile vile kujua kwamba kuna-yo maandiko mengine yanayothibitisha ya kuwa kuna habari njema kwa watu wabaya. Hapa ni baadhi ya maandiko hayo:
Kristo Yesu alikuja ulimwenguni awaokoe wenye dhambi (1 Timotheo 1:15).
Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi (Warumi 5:8).
Kwa manna jinsi hii Mungu aliupenda ulim- wengu, hata akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele (Yohana 3:16).
Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea (Luke 19:10).
Mwamini Bwana Yesu, nawe utaokoka pamoja na nyumba yako (Matendo 16:31).
Kila atakayeliita jina la Bwana ataokoka (Warumi 10:13).
Basi tukiisha kuhesabiwa haki itokayo katika imani, na tuwe na amani kwa Mungu (Warumi 5:1).

KUMBUKA KATIKA YESU KUNA ULINZI WA DAMU YAKE.

Yesu akasema, “Ye yote ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe!” (Yohana 6:37).

Shalom,

Dr. Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

KULIA NA KUSAGA MENO MILELE YOTE

Image may contain: text
Je, jina lako lipo ndani ya kitabu cha uzima?
Siku za mwisho zimekaribia, wenye dhambi tubuni, na watakatifu jiandaeni kunyakuliwa na Bwana, maana atakuja muda wowote sasa, tutanyakuliwa na tutaenda mbinguni, wenye dhambi wote, watatupwa kwenye ziwa la moto.
Luka 13:28 Ndipo kutakuwa na kulia na kusaga meno, wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka na Yakobo na manabii wote wapo katika ufalme wa Mungu, lakini nyinyi wenyewe mmetupwa nje!
(Luka 8:31, Ufunuo wa Yohana 9:1), na ziwa la moto, liwakalo na kiberiti ambapo watakao kuwemo watateswa usiku na mchana milele na milele (Ufunuo 20:10).
Huko kutakuwa na kulia na kusaga meno, ikiashiria machungu makali na hasira (Mathayo 13:42). Hapa ni mahali ambapo mdudu hatakufa wala makaa kuzimika (Marko 9:48). Mungu hafurahishwi na kufa kwa mtu muovu, lakini hutaka wazighairi njia zao mbaya ili waishi (Ezekiel 33:11). Lakini hatatulazimisha kumkubali; tukiamua kumkataa yeye. Hana budi kutupatia tulilolichagua – kuishi mbali naye.
Mpendwa, ni hatari kama nini ukikosekana kwenye Ufalme wa Mungu, hakuta kuwa na nafasi nyingine ya kutubu. Ndio maana tupo hapa kila siku kukumbushana kuwa, tuwe tayari na tuendelee kumfuata Yesu aliye kufa kwa ajili ya dhambi zetu.
HAKIKISHA JINA LAKO LIMEANDIKWA KWENYE KITABU CHA UZIMA.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

WAPENDWA: FURAHINI KATIKA BWANA SIKU ZOTE

Image may contain: 6 people, people standing and crowd
"Furahini katika Bwana sikuzote; tena nasema, Furahini. Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana yu karibu. Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu. Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.'' ( Wafilipi 4:4-7 )

NIFANYE NINI ILI NIWEZE KUSHINDA TAMAA NA FIKRA ZA NGONO KILA SAA?

Image may contain: one or more people and text
Je, Unatatizo la kupiga Punyeto?
Nifanye nini ili niweze kudhibiti fikira chafu za ngono?
Mpendwa:
Mungu alimuumba mwanamume na mwanamke wakiwa na uvutano wenye nguvu kati yao, na hakuna ubaya wa kutosheleza tamaa za ngono katika mpango wa ndoa. Kabla ya kufunga ndoa, huenda ukawa na tamaa kali za ngono. Hilo likitokea, usidhani kwamba wewe ni mtu mwovu au kwamba huwezi kuishi maisha safi. Unaweza kudumisha usafi wa kiadili ukiamua kufanya hivyo! Lakini ili ufanikiwe, utahitaji kudhibiti mawazo yako kuhusu watu wa jinsi tofauti. Unaweza kufanya hivyo jinsi gani?
Epuka kujifurahisha kwa mambo machafu. Bila shaka, haimaanishi kwamba sinema zote, au miziki yote ni mibaya. Hata hivyo, katika ulimwengu wa leo burudani nyingi zimekusudiwa kuamsha tamaa zisizofaa za ngono. Biblia inatoa shauri gani? “Acheni tujisafishe wenyewe kila unajisi wa mwili na roho, tukiukamilisha utakatifu katika kumwogopa Mungu.” (2 Wakorintho 7:1) Epuka kabisa burudani zote zinazoweza kuchochea tamaa zisizofaa za ngono.
Je, unatatizo la kupiga Punyeto?
Vijana fulani hujaribu kupunguza tamaa ya ngono kwa kupiga punyeto. Lakini kufanya hivyo kunaweza kutokeza matatizo makubwa. Biblia inawahimiza Wakristo hivi: “Viueni viungo vya mwili wenu vilivyo duniani kwa habari ya uasherati, uchafu, hamu ya ngono, tamaa yenye madhara, na kutamani.” (Wakolosai 3:5) Kupiga punyeto ni kinyume kabisa cha ‘kuua hamu ya ngono.’ Kwa kweli, kupiga punyeto huchochea na kukuza hamu hiyo!
Kupiga punyeto kwaweza kukufanya kuwa mtumwa wa tamaa zako. (Tito 3:3) Hatua moja unayoweza kuchukua ili kushinda zoea hilo ni kuzungumza na mtu unayemtumaini. Mkristo aliyekuwa na tatizo la kupiga punyeto kwa miaka mingi anasema hivi: “Laiti ningeweza kupata ujasiri wa kuzungumza na mtu fulani kuhusu tatizo hilo nilipokuwa kijana! Kwa miaka mingi nilisumbuliwa na hisia za hatia, nazo ziliathiri sana uhusiano wangu na wengine, na zaidi ya yote, uhusiano wangu na Yehova.”
Ni nani unayeweza kuongea naye? Mara nyingi ingefaa kuzungumza na mzazi. Au huenda Mkristo mkomavu kutanikoni anaweza kukusaidia. Unaweza kuanza kwa kusema, “Ningependa kuzungumza nawe kuhusu tatizo linalonisumbua sana.”
Nifanye nini ili niweke kudhibiti fikira chafu za ngono?
Mtume Paulo alisema: “Naupigapiga mwili wangu na kuuongoza kama mtumwa.” (1 Wakorintho 9:27) Vivyo hivyo, huenda wewe pia ukahitaji kujitia nidhamu wakati mawazo yasiyofaa kuhusu watu wa jinsia tofauti yanapoingia katika akili yako. Mawazo hayo yakiendelea, jaribu kufanya mazoezi ya kimwili. Biblia inasema: “Mazoezi ya kimwili ni yenye faida kidogo.” (1 Timotheo 4:8) Kutembea kasi kwa muda au kufanya mazoezi ya kimwili kwa dakika chache kwaweza kukusaidia kuondolea mbali mawazo hayo yasiyofaa.
Zaidi ya yote, usipuuze msaada kutoka kwa Baba yako wa mbinguni. Mkristo mmoja anasema hivi: “Tamaa za ngono zinapoanza kuamka najilazimisha kusali.” Si kwamba Mungu atakufanya uache kupendezwa na watu wa jinsia tofauti. Lakini anaweza kukusaidia kuona kwamba kuna mambo mengine mengi unayoweza kukazia fikira zako.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Wednesday, April 12, 2017

Remember the dog killed in the Islamic terrorist truck attack in Stockholm?


Now we know who he is. The dog killed in the Stockholm attack has since been identified as ‘Iggy’. Iggy was a rescue dog from Dublin, re-homed in Stockholm by an animal sanctuary called Dogs Aid.

Iggy in right hand corner

BBC  (h/t GSpellchecker) An image showing a memorial for a dog killed in central Stockholm when a lorry rammed into people has drawn attention online after it was posted on Facebook. Four people – a British national, two Swedes and one Belgian – were killed in the attack on Friday.

Markus Krantz, 37, and his girlfriend who live just north of the capital went to the scene of the attack after it was re-opened to the public, and noticed that nothing was there to recognise the death of the dog called Iggy.

When it came to light that Iggy was a rescue dog, Markus returned to the scene and left the dog flowers and a message on their behalf. The original image posted by Markus on Saturday from the scene of Iggy’s death – which has over 48,000 reactions – shows dog crackers, candles and a collar that belonged to his dog Ebba who died in 2016.

Markus told the BBC that he and his girlfriend heard that a dog had been killed but were unable to find anything where Iggy last walked that specifically recognised the dog. 

“We decided to put down flowers and dog crackers, and light a candle,” he said. As word of this spread online, a lot of other people came to lay flowers and other tributes to Iggy.

Following this, Markus discovered that Iggy was a rescue dog from Dogs Aid Animal Sanctuary in Dublin. Markus currently has five dogs, all rescued from Romania. Dogs Aid asked Markus to return to the site and leave a message on their behalf: “Iggy Run Free, from all ur friends in Dogs Aid in Dublin.”

On Facebook, the sanctuary said: “We are deeply saddened to learn that one of our dogs was killed in the terrorist attack in Stockholm. DOGS AID IGGY found his beautiful home in Sweden in 2012.”

Rest in peace, Iggy (below).

ASSOCIATED PRESS is demanding that China increase online censorship to stop “Islamophobia”


Let’s see how fast the Associated Press loses its media credentials for covering China. AP should understand that anti-Muslim hatred in China has nothing to do with internet chatter, but rather with Islamic terrorism from the Uighur Muslim-dominant region of Xinjiang in China, not to mention Islam’s barbaric methods of animal slaughter and other forms of religious extremism.

Uighur Muslim separatists

Breitbart  The Associated Press’s Gerry Shih writes that China “has allowed Islamophobia to fester online for years” in a piece headlined “UNFETTERED ONLINE HATE SPEECH FUELS ISLAMOPHOBIA IN CHINA.”

Actually it isn’t. China’s ultimate goal is to make life in China intolerable for it’s Uighur Muslim population. And in doing so, they are creating an environment in which Islam, one day, will cease to exist in China at all. Countries in the West should take a lesson.

The flood of angry anti-Muslim rhetoric on social media was the first sign of how fiercely the suburban middle-class homeowners in this central China city opposed a planned mosque in their neighborhood. It quickly escalated into something more sinister.

Soon a pig’s head was buried in the ground at the future Nangang mosque, the culmination of a rally in which dozens of residents hoisted banners and circled the planned building site. Then the mosque’s imam received a text message carrying a death threat: “In case someone in your family dies, I have a coffin for you – and more than one, if necessary.”

“How did things get stirred up to this point?” the imam, Tao Yingsheng, said in a recent interview. “Who had even heard of the Nangang mosque before?”

On the dusty plains of the Chinese heartland, a bitter fight over a mosque exemplifies how a surge in anti-Muslim sentiment online is spreading into communities across China, exacerbating simmering ethnic and religious tensions that have in the past erupted in bloodshed. It’s also posing a dilemma for the ruling Communist Party, which has allowed Islamophobia to fester online for years as part of its campaign to justify security crackdowns in its restive Muslim-majority region of Xinjiang.

“It’s let the genie out of the bottle,” said James Leibold, a professor at La Trobe University in Australia who has tracked the growth of anti-Muslim hate speech on China’s internet.

Interviews with residents and an examination of social media show how a few disparate online complaints by local homeowners evolved into a concerted campaign to spread hate. Key to it was an unexpected yet influential backer: a Chinese propaganda official, 2,500 kilometers (1,500 miles) away in Xinjiang, whose inflammatory social media posts helped draw people into the streets on New Year’s Day, resulting in a police crackdown.

Chinese women attacked in the streets by Uighur Muslims a few years ago, when Uighurs were committing needle attacks on innocent civilians

City planners in November finally selected a site adjacent to the newly built Hangkong New City condominiums, with its $200,000 two-bedroom units, faux-Mediterranean stylings and a Volvo dealership across the street. The project’s homeowners overwhelmingly members of China’s ethnic Han majority began complaining on China’s popular microblog, Weibo.

Some complained the mosque would occupy space promised for a park. Others warned that safety in the area would be compromised by the presence of so many Muslims. “And the less said about what happens on Eid al-Adha (mass slaughter of sheep in the streets), the better,” Cheng wrote, referring to the Islamic holiday in which animals are slaughtered for a sacrificial feast. “It’s absolutely shocking.”

The story soon caught the attention of Cui Zijian, a boyish-looking propaganda official in Xinjiang who writes about the threat of religious extremism on his Weibo account with nearly 30,000 followers. On Dec. 16, Cui suggested homeowners lobby local officials to block the construction, adding: “If that doesn’t work, then how about pig head, pig blood.”

Cui followed that a few hours later with another post repeating the four Chinese characters for pig blood and pig head over and over, attracting hundreds of reposts. While Cui was criticized by some on Weibo, a larger number – including at least one other government propaganda official – took his post as their cue to hurl abuse at the Hui.

The mosque dispute was just the latest flashpoint for an increasingly active anti-Muslim social media movement in China.

A video of a Hui girl reciting the Quran in Arabic sparked outrage last May over so-called terrorist infiltration of Chinese schools, prompting officials to announce a “strict ban” on religion on campuses. Online activists derailed a Hui official’s effort to regulate the halal food industry, arguing that religion was creeping into the officially atheistic Chinese state.

The rise in anti-Muslim sentiment comes as Chinese have been buffeted by news of Islamic militant attacks in Europe, while at home, violence in Xinjiang and elsewhere has been caused by Muslim separatists.

Beijing has responded to the bloody, years-long insurgency from Muslim Uighur minorities in Xinjiang with further restrictions on Islamic expression, a move rights groups warn could potentially radicalize moderate Muslims. Such policies have also drawn vows of retaliation from the Islamic State and al-Qaeda.

Ethnic hostility can only deepen, scholars say, when the government stops discussion of the plight of Muslims or ethnic policies while allowing anti-Muslim rhetoric and hate speech to go unchecked.

Political observers say the recent rise of a faction within the Communist Party advocating for a hard-line approach on religious affairs has coincided with the rise of government-linked commentators who openly warn about the danger of Islam.

“Interest groups have actively promoted Islamophobia in interior regions in order to create a nationwide environment that justifies Xinjiang’s anti-terrorism campaign,” said Ma Haiyun, a history professor specializing in China’s Muslims at Frostburg State University in Maryland.

After briefly moderating his remarks about the Nangang mosque, the propaganda official, Cui, renewed his criticism in February with an essay arguing that his professional and patriotic duty was to resist extremism. His online speech about Muslims was part of the job, he said.

Dead bodies of Chinese civilians after mass knife attacks by Uighur Muslims
DEAD Chinese victims of recent Uighur Muslim terror attack on train station
May 22, 2014: At least 31 have been killed and more than 90 injured in a Uighur Muslim terrorist attack in Urumqi, the provincial capital of Xinjiang province in China. The attack is the latest in a string of attacks perpetrated by Uighur separatists

“For that, we’re labeled Muslim-smearers,” wrote Cui, who did not respond to repeated requests for comment. “But it is those who instigate a fear of Islam, precisely the Muslim terrorists and the extremists, who are the ones creating anti-Muslim sentiment.”

Reached in March, an official at the propaganda department where he worked refused to comment on Cui’s involvement in the controversy. But Cui now appears to be even better positioned to influence discourse: The official said Cui was transferred in February to work in the cyberspace administration, the agency in charge of censoring online speech.



The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...

TRENDING NOW