Monday, May 22, 2017

SHOCKING (if true): Turkey allegedly is harvesting organs of Syrian refugee children while they are still alive


h/t Kate G

The useless United Nations has been “monitoring” this situation in Turkey for the past three years.

AUSTRALIA: FED-UP neighbors bombard Sydney Muslim family of seven with vile anti-Muslim messages and leave severed pig’s head on their car as a warning NOT to build a house in their neighborhood


Adnan Ali, who left Iraq for Australia more than 20 years ago, knocked down his house in Toongabbie to rebuild a bigger home for his wife and five children. But the dream quickly turned into a nightmare as locals began leaving severed pig heads and threatening messages on his empty block of land.

UK Daily Mail  (h/t Sara S) Mr Ali claims he is the target of a “racist” (What ‘race’ is Islam?) hate campaign by neighbours who don’t want him living in their street.  ‘Why they are hating us, I don’t know,’ he told Channel Nine’s A Current Affair program. (I’ll give you 3 guesses)

Mr Ali says his neighbours have used timber off-cuts to write messages on the building site, including ‘f*** off wo*’. ‘I don’t know what they mean by wo*. In some areas they wrote ”this is your last warning”,’ Mr Ali said.  Another message, scrawled on a chair on his front porch, read: ‘Leave now, don’t waste your time and money you fat pig.’ 

Mr Ali claimed he and his wife have also been verbally abused by angry neighbours. ‘Lately they started calling me fat man. I think the pig heads are something against our religion,’ he said.

‘He came out there laughing and saying ”oink, oink, oink” and ”fat man”.’ His wife said: ‘(A neighbour) starts, ‘f****** Muslim – you refugee, you have two houses and I don’t have one house’.’ 

Now the builders of his dream home have reportedly told Mr Ali it is too dangerous for them to carry out the work. He says neighbours threatened tradesmen on the site with violence if the continued to build his home. 

A Masterton Homes spokesman told A Current Affair they were working with Mr Ali to find a solution.

‘We advise that the builder in this story has been working with the family to progress building works and is in no way involved with the racist activities discussed in the story.’  

SWEDEN: Muslim invaders posing as unaccompanied refugee children threaten to kill Swedes if not allowed to stay


A group of unaccompanied Muslim adult men (posing as children) threaten to kill themselves and make sure that they take Swedes with them in death, if their asylum applications are rejected.

Friatider  The sector is active in a Swedish municipality “with approximately 40,000” Muslim inhabitants where about fifty young Muslim men from the Africa who falsely claimed to be children are currently being housed.

The government’s decision to introduce age tests on unaccompanied people has caused many of them to feel bad  (Awwww) so they become abusive, smoke heroin and other drugs, according to the director.

Some have even begun to commit suicide if they can not stay in Sweden after the age tests have been completed. (Now, that IS good news) And the municipality is now fearing an increasing number of violent and sexual offenses.

“It’s for us, the school staff, a terrible and scary threat. To deal with grief, desperate young men is not something we have knowledge or capacity for. We fear that violence, sexual harassment, robbery etc may increase and, of course, Also the insecurity of the residents, “writes the director.

Those who talk about taking their lives also open to killing Swedes as revenge for rejection after lying to be children.

“What’s particularly scary is that among these asylum-seeking young Muslims, there are those who say that when they kill themselves, then will make sure that some Swedes are following them to death,” writes the director.

The letter from the director, describing the situation as “a bomb that will explode” has been published on Merit Wager’s blog. Wager previously held the assignment as the Citizens’ Refugee Ombudsman and has also been a lead writer on Svenska Dagbladet.

After the attention of the Ikeam Order in Västerås, it became apparent that the perpetrator, Eritrean Abraham Ukbagabir, committed the murder after finding out that he would be deported to Italy. Ukbagabir explained that he chose his victims, a woman and her adult son, because they “looked Swedish”.

HAMAS TERROR GROUP slams President Trump’s branding of Hamas as a “terror organization, like ISIS and Al Qaeda”


Hamas spokesman Fawzi Barhoum said from Gaza City that Trump’s remarks are a “misrepresentation of facts.” He dubbed the speech a “confirmation” that Trump is following the policy of previous administrations.

Hamas is designated as a terrorist organization by Israel, the US, European Union (EU), and UK, as well as other countries.  Hamas has repeatedly declared that its ultimate goal is to destroy the Jewish State and that it aspires to establish an Islamic state in its stead, while attempting to style itself as a Palestinian national movement.

UK: TWO MUSLIMS, a male and a female, charged with murdering a young mother and dumping her body in the woods

Two MUSLIMS have been charged with murdering a 26-year-old woman, Sinead Wooding, whose body was found in woodland. Akshar Ali, 26, of Hyde Park, and Yasmin Ahmed, 27, of Potternewton, are both due before magistrates in Leeds accused of murdering Sinead Wooding, who is believed to be a mother.

UK Daily Mail (h/t Billy H)  Her body was found by joggers on Sunday in woods near Alwoodley Crags car park in the north of the city.  Another MUSLIM, Asim Ali, 20, also of Hyde Park, has been charged with assisting an offender and is also due before court, officers added.

Detective Chief Inspector Stuart Spencer from West Yorkshire Police said that Miss Wooding’s family were ‘completely devastated about her death’. He added that specially-trained family liaison officers are supporting the family ‘at what is obviously an incredibly difficult time’.

FRENCH MUSLIM stabs priest in neck and abdomen at the Altar of Mexico City’s Metropolitan Cathedral


The priest wasn’t criticizing Islam or the prophet Muhammad. He was simply a Christian cleric carrying out his duties.

Actuall via Lionheart News (h/t Susan K) The attacker, reportedly a convert to Islam, was offended by something the priest did or said. Or perhaps he was heeding the Islamic call to duty – to slay the unbelievers wherever they are.

According to the archdiocese, the attacker, named John Rene Rockschiil (below), of Muslim faith according to the Mexican media, was arrested after carrying out the attack with a knife. After calling the police, a Condor unit from the capital’s public security secretariat arrived in the vicinity of the cathedral, located in the historic city center, to transfer the clergyman to San Miguel Chapultepec hospital.

Some of the testimonies of the parishioners who were in the cathedral emphasize that some of those present detained the 35-year-old man, in addition to providing medical care to the parish priest Miguel Angel Machorro, until the aid services arrived.

Father José Miguel Machorro Alcalá, 55, was stabbed in the neck and torso May 15 at the conclusion of saying Mass at the cathedral. Witnesses reported that it appeared the attacker’s intention was to slit the priest’s throat. 

In a radio interview Tuesday morning, archdiocesan spokesman Hugo Valdelomar said the attack occurred as Machorro was blessing the congregation with holy water.

He said the priest suffered severe injuries to his neck and near his lung. Machorro was transferred by helicopter to a private hospital. He was operated on, and is now stable but in intensive care, according to the Mexico City archdiocese.


BREAKING! Suspected terrorist attack at Ariana Grande concert in Manchester, England


Nineteen people are killed and 50 injured in Manchester Arena (Islamic) ‘terrorist suicide bomb attack’ as explosions cause carnage at the end of Ariana Grande gig sending bloodied teens fleeing.

Video footage showed thousands of people fleeing in tears from the venue, many covered in blood, after the Ariana Grande concert finished. Two US officials have said it was a suspected suicide bomber.

Horrifying footage showed petrified children leaping over chairs and barriers as they desperately tried to escape the 21,000-seat venue, which led to a stampede.

Armed officers surrounded the venue and bloodied casualties were seen being stretchered out of the concert that resembled a ‘war zone’.

There were fears a ‘nail bomb’ had been used as witnesses described there being ‘nuts and bolts flying everywhere.’

LIVE COVERAGE FROM RT:




KWANINI HAKUNA NGUVU YA UPONYAJI KATIKA UISLAM?

Image may contain: one or more people, people sitting and text
MBONA KATIKA UKRISTO WATU WANAPONA KWA JINA LA YESU?

JE, UMESHA WAI ONA AU SIKIA MKUTANO WA UPONYAJI KATIKA UISLAM?

Ndugu msomaji,

Uponyaji ni nini?

Ni tendo la kiimani la kupokea uzima katika roho au mwili kwa njia ya kuombewa,kuwekewa mikono au kulisikia neno sahihi la Kristo Yesu. Tendo hili la kiimani humletea mwamini uzima wa kiroho na afya ya kimwili pale ilipopunguka,kumbuka~wengiwalipoponywa udhaifu wa miili yao,waliponywa pia na roho zao.

Hivyobasi, kwanini Allah alipo mtuma Jibril kwenda kumuombea uponyaji Mtume wake Muhammad kwa ugonjwa uliosababishwa na kula sumu, maombi yao hayakufanya kazi?

Kumbe, uponyaji haufanywi na mtu awaye yoyote yule isipokuwa Mungu. Hata madaktari bingwa wao hawaponyi bali hutoa tiba tu, mwenye kuponya ni Mungu. Watumishi wa Mungu pekee ndio hufanyika kama daraja au chombo cha kuleta uponyaji ulioachiliwa na Bwana kwa muhusika mwenye kuhitaji.

HEBU SASA TUMSOME ALLAH NA JIBRIL KATIKA JARIBIO LAO LA KUMPONYA MUHAMMAD:

Ibn Sa'd Ukurasa wa 265

Aisha, Mke wa Mtume Muhammad alikuwa akisema, "Wakati Nabii wa Allah alipo kuwa anaumwa, Jibril alikuwa anamwombea Muhammad kwa Allah kwa kusema haya "Katika Jina la Allah ambalo litakuponya kutoka kila magonjwa na maumivu na kutoka kila wenye ubaya nawe na kila wanakuombea ubaya, utapona..

Je, jina la Allah liliweza kumponya Muhammad? Hebu tusome Sahih hadith kama ilivyo letwa na Al Bukhari:

MAJIBU YA MUHAMMAD BAADA YA KUOMBEWA UPONYAJI NA ALLAH/JIBRIL:

Bukhari's Hadith 5.713:

Imesemwa na 'Aisha:

Mtume Muhammad wakati alipo kuwa anaumwa na kuchukuliwa na kifo alikuwa akisema, O Aisha, bado nasikia maumivu makali sana kutokana na chakula nilicho kula kilicho kuwa na Sumu kule Khaibar, na wakati huu nasikia kama nyongo yangu inakatwa kutokana na ile Sumu niliyo kula.

Hivi Mungu anaweza kuomba na ashindwe? Mbona Allah na Jibril maombi yao ya uponyaji kwa Muhammad hayakufanya kazi?

SASA TUMSOME YESU WA KWENYE BIBLIA, JE ALIWEZA KUPONYA WATU?

“ Hata Yesu alipofika nyumbani kwa Petro, akamwona mkwe wa Petro, mamaye mkewe, amelala kitandani hawezi homa. Akamgusa mkono, homa ikamwacha; naye akaondoka, akawatumikia.” Mathayo 8:14-15

Biblia haituambii kwamba Bwana Yesu alimwombea huyu mama,bali tunachoweza kuona ni kwamba Bwana Yesu alimgusa mkono,homa ikamwacha. Mguso tu wa mtu wa Mungu ni dawa tosha,hata kama hakuomba sababu upako ungalimo ndani yake. Maana hata wakina Petro waliweza kuponya wagonjwa kwa kivuli chake tu,sababu ya upako. (Matendo 5:15)

UMUHIMU WA KUWEKA IMANI YAKO KATIKA JINA LA YESU KRISTO

“Basi Petro na Yohana walikuwa wakikwea pamoja kwenda hekaluni, saa ya kusali , saa tisa. Na mtu mmoja aliyekuwa kiwete toka tumboni mwa mamaye alichukuliwa na watu, ambaye walimweka kila siku katika mlango wa hekalu uitwao Mzuri, ili aombe sadaka kwa watu waingiao ndani ya hekalu. Mtu huyu akiwaona Petro na Yohana wakiingia hekaluni aliomba apewe sadaka. Na Petro, akimkazia macho, pamoja na Yohana, akasema, Tutazame sisi. Akawaangalia, akitaraji kupata kitu kwao. Lakini Petro akasema, Mimi sina fedha, wala dhahabu, lakini nilicho nacho ndicho nikupacho. KWA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETI, simama uende. Akamshika mkono wa kuume, akamwinua, mara nyayo zake na vifundo vya miguu yake vikatiwa nguvu. Akaondoka upesi akasimama, akaanza kwenda …” (Matendo ya Mitume 3:1 – 8)

Ukifuatilia historia ya kilema huyu aliyeponywa utaona ya kuwa alikuwa hivyo tangu kuzaliwa, na alipopona alikuwa na umri uliopita miaka arobaini (Matendo ya Mitume 4:22).

Siri ya muujiza huu ilikuwa ni nini? Je! kilema huyu alipona kwa uweza wa Petro na Yohana au kwa uweza wa jina la Yesu Kristo?

Nauliza maswali haya kwa kuwa watu wengi wakimwona mtu anatumiwa na Mungu katika uponyaji wanaweka imani katika mtu huyo badala ya kuweka imani katika jina la Yesu Kristo.

Na ndivyo ilivyokuwa wakati kilema huyu alipopona, watu waliokuwa hekaluni waliwashangaa wakina Petro na Yohana kama vile kilema huyo alipona kwa uwezo wao. Petro alipoona hali hiyo, aliamua kuwaeleza watu hao ukweli ulivyo; alisema hivi;

“Basi (Yule aliyekuwa kilema) alipokuwa akiwashika Petro na Yohana, watu wote wakawakusanyikia mbio katika tao lile lililoitwa tao la Sulemani, wakishangaa sana. Hata Petro alipoyaona haya akawajibu wale watu, Enyi Waisraeli, mbona mnastaajabia haya, au mbona mnatukazia macho sisi, kama kwamba tumemfanya huyu aende kwa nguvu zetu sisi au kwa utauwa (utakatifu) wetu sisi?” (Matendo ya Mitume 3:11 – 12).

Petro alikuwa anafanya jambo muhimu hapa kwa kusaidia kubadilisha mawazo ya watu ya kufikiria kuwa uwezo uliomponya kilema ulikuwa ni wa Petro na Yohana ambayo haikuwa si kweli. Kama uwezo huu haukuwa wao, muujiza huu siri yake ni nini? Petro aliendelea kusema hivi;

“Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka na wa Yakobo, Mungu wa Baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu ….. Na kwa IMANI KATIKA JINA LAKE, JINA LAKE LIMEMTIA NGUVU mtu huyu mnayemwona na kumjua; na imani ile iliyo kwake yeye imempatia huyu uzima huu mkamilifu mbele zenu ninyi nyote” (Matendo ya Mitume 3:13 – 16).

Hebu tafakari maneno haya ya Petro; “Na kwa IMANI KATIKA JINA LAKE JINA LAKE LIMEMTIA NGUVU MTU HUYU….” Wakina Petro na Yohana waliweka imani yao katika jina la Yesu Kristo. Walikuwa na uhakika mioyoni mwao kuwa siri ya miujiza imo katika jina la Yesu Kristo – ndiyo maana walipomkuta huyo kilema walimwamuru asimame kwa jina hilo!

Weka imani yako katika jina la Yesu Kristo ukitaka kuona ishara na miujiza ya Yesu Kristo maishani mwako na kwa wale unaowahudumia pia. Wakijua hili wanafunzi wa kwanza wa Yesu Kristo walipokatazwa “wasiseme kabisa wala kufundisha kwa jina la Yesu” na Anasi kuhani mkuu, waliomba wakasema; “…Basi sasa, Bwana, yaangalie matisho yao; ukawajalie watumwa wako kunena neno lako kwa ujasiri wote, ukinyosha mkono wako kuponya; ISHARA NA MAAJABU vifanyike kwa JINA LA MTUMISHI WAKO MTAKATIFU YESU” (Matendo ya Mitume 4:18,29 – 31)

Ni muhimu kuwaeleza na kuwakumbusha watu umuhimu wa kuweka imani zao katika jina la Yesu Kristo wakitaka kuona mkono wa Bwana ukiponya, ukifanya ishara na miujiza.

Ndugu msomaji, kwanini upoteze muda wako kwa waganga wa kienyeji au wapiga ndumba? Hebu liite Jina la Yesu aliye hai, maana anataka kukuponya magonjwa yako yote.

Kama unasumbuliwa na ugonjwa wowote ule, tafadhali wasiliana nasi kwa kupitia maxshimbaminsitries@gmail.com au tupigie simu (347) 770-4886. Haijalishi ni ugonjwa gani, wewe wasiliana nasi, na hakika Jina la Yesu litakuponya.

Shalom,

Max Shimba Ministries 2015

ROHO MTAKATIFU NA KAZI ZAKE KWETU SOMO LA 8

Image may contain: text

SIFA ZA KIMUNGU ZA ROHO MTAKATIFU

Ndugu msomaji;

Je, unamfahamu Roho Mtakatifu?Je, Roho Mtakatifu ni nani kwako? Katika kijarida hiki kifupi, ningependa tumzungumzie Roho Mtakatifu kama alivyo semwa na kutajwa katika Biblia Takatifu. Kuna utatanishi mkubwa sana na maelezo mengi sana kuhusu Roho Mtakatifu. Kuna imani zingine kama Mashahidi wa Yehova, wao husema kuwa Roho Mtakatifu ni Nguvu Fulani na au ni uwezo wa Mungu katika kufanya mambo. Wengine kama Waislamu, wao husema kuwa Roho Mtakatifu ni Malaika Gabriel. Wengine husema kuwa Roho Mtakatifu ni sehemu ya Nafsi ya Mungu. Lakini, Biblia inasema nini kuhusu Roho Mtakatifu. Ni vyema tujifunze kuhusu Roho Mtakatifu kwa kutumia aya za Biblia na sio theologia na akili zetu.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

Tuanze kwa ushaidi wa aya: Matendo ya Mitume 5:3-4. Petro akamwambia, “Anania, mbona shetani ametawala moyo wako kiasi cha kukubali kumdanganya Roho Mtakatifu, ukaficha sehemu ya fedha ulizopata? 4 Kabla hujauza hilo shamba lilikuwa mali yako. Na hata baada ya kuliuza, fedha ulizopata zilikuwa zako. Kwa nini basi umeamua moyoni mwako kufanya jambo kama hili?
Ujue hukumdanganya mtu ila umemdanganya Mungu.” Katika aya hizo hapo juu, Petro anapambana na anania aliyemdanganya Roho mtakatifu na anasisitiza yakuwa “hukumdanya mtu bali Mungu. Kwa maana nyingine, Petro alikuwa anamwambia Anania kuwa, kumdanganya Roho Mtakayifu ni sawa na kumdanganya Mungu.

Huu ni uthibitisho wa kwanza kuwa, kumbe Roho Mtakatifu ni Mungu.

ROHO MTAKATIFU YUPO KILA MAHALI

Hebu tuangalie kama Roho Mtakatifu ana adhama za Mungu aliye hai. Sifa, moja ya Mungu ni kuwa, yeye yupo kila Mahali. Je, Roho Mtakatifu anayo hii sifa ya kuwa kila mahali? Fungua Zaburi 139:7-8, “nitaenda wapi nijifiche na Roho? ama nitakimbilia wapi mbali na uwepo wako? Nikipanda juu mbinguni, huko uko; nikifanya malazi yangu kuzimu, tazama uko huko,” Daudi anatuambia kwa kupitia Zaburi kuwa, huwezi kumkimbia Mungu.

Daudi anamtaja Mungu na au anamwita Mungu kuwa ni Roho. Hii sifa ya kuwa kila mahali ni ya Mungu pekee, na katika Zaburi 139: 7-8, tumesoma kuwa, Roho Mtakatifu yupo kila mahali. Tuendele na ushahidi zaidi wa kuwa kila mahali; katika Wakorintho wa Kwanza, hapa Mtume Paulo anasema yafuatayo 1 Wakorintho 2 aya ya 10 Lakini Mungu ameyajulisha kwetu kupitia Roho wake mtakatifu.
Kwa kuwa Roho huyachunguza mambo yote, naam, mambo ya siri ya Mungu. Kwa maana ni nani ayajuaye ya mwanadamu isipokuwa roho ya mwanadamu inayokaa ndani yake?
Vivyo hivyo, hakuna ajuaye mambo ya Mungu isipokuwa Roho wa Mungu.” Kama Roho Mtakatifu anafahamu kila kitu kilicho ndani ya Binadamu, ambao wametapakaa Duniani kote, basi kitendo cha kuwa kila mahali kwa wakati mmoja ni Mungu pekee ndie aliye na huo uwezo. Tuendelee kwa Ushihidi mwingine katika aya hiyo hiyo ya 10 ya Wakorintho wa kwanza Sura ya 2. Roho Mtakatifu ni Mungu kwasababu ana akili, hisia, na mapenzi yake. Katika Wakorintho wa kwanza 2:10 tumesoma kuwa Roho Mtakatifu hufikiria na hujua siri iliyo ndani yako. Hii sifa ya kufikiria na kujua, inavunja hoja ya Mashahidi wa Yehova kuwa Roho Mtakatifu ni “Nguvu”. Nguvu haina uwezo wa kufikiria wala kufanya maamuzi.

ROHO MTAKATIFU UHUZUNIKA

Katika Waefeso 4:30 inasema “Na msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu ambaye ni mhuri wenu wa uthibitisho kwa siku ya ukombozi” Unaweza jiuliza, ni kivipi unaweza kumhuzunisha Roho Mtakatifu? Kama Roho Mtakatifu angekuwa ni “Nguvu –Energy” kama anaitwa na Mashahidi wa Yehova, je, ni kivipi Nguvu ipate huzuni?

Unapo tenda dhambi huku Roho Mtakatifu akiwa ndani yako kama alivyo fanya “Anania – Matendo ya Mitume 5:3-4” Unamhuzunisha Roho Mtakatifu maana yeye hujua yote na akuna siri ambayo haifahamu. Hii sifa ya kumhuzunisha Roho Mtakatifu ina pinga madai ya Mashahidi wa Yehova na inapinga madai ya Waislam yanayo kama Uungu wa Roho Mtakatifu.

ROHO MTAKATIFU HUTUOMBEA

Warumi 8:26-27 Bibilia Takatifu (SNT)=12pt26 Hali kadhalika Roho hutusaidia katika udhaifu wetu. Kwa sababu hatujui kuomba ipasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa uchungu usioelezeka kwa maneno. 27 Na Mungu ambaye ana chunguza mioyo yetu anafahamu mawazo ya Roho kwa maana Roho huwaombea watakatifu kufuatana na mapenzi ya Mungu.

Katika aya hapo juu, tumesoma kuwa, Roho Mtakatifu anatuombea na kutusaidia katika udhaifu wetu. Hii sifa ya upendo usio na kipimo ni ya Mungu peke yake. Zaidi ya hapo, tunasoma kuwa, Mungu anachunguza mioyo yetu kwa kupitia Roho Mtakatifu. Kumbe basi, Roho Mtakatifu anafahamu mapenzi ya Mungu kwako.

Hii sifa ya Roho Mtakatifu kuwa na uwezo wa kufahamu nini Mungu anawaza inamfanya Roho Mtakatifu na yeye awe Mungu. Hakuna mwenye uwezo wa kufahamu mawazo ya Mungu, isipokuwa Mungu.

ROHO MTAKATIFU HUFANYA MAAMUZI YAKE

Roho mtakatifu hufanya maamuzi kutokana na mapenzi yake mwenyewe (Wakorintho wa kwanza 12:7-11). =12pt1 Wakorintho 12:7-11=12ptNeno: Bibilia Takatifu (SNT)=12pt7 Roho Mtakatifu hudhi hirishwa kwa kila mtu kwa faida ya wote. 8 Maana mtu mmoja hupewa neno la hekima na huyo Roho, na mwingine hupewa neno la ufahamu kutoka kwa Roho huyo huyo. 9 Mtu mwingine hupewa imani na huyo Roho na mwingine karama za kuponya. 10 Huyo huyo Roho humpa mwingine uwezo wa kufanya miujiza, mwin gine unabii, mwingine uwezo wa kutofautisha kati ya roho mbalim bali, mwingine aina za lugha na mwingine uwezo wa kutafsiri lugha. 11 Lakini ni Roho huyo huyo mmoja anayefanya haya yote, naye hugawa karama kwa kila mtu, kama yeye mwenyewe apendavyo.

Katika Wakorintho wa kwanza hapo juu, tumesoma kuwa, Roho Mtakatifu ndie anaye toa zawadi/karama ya hekima, ufahamu, imani, kuponya, miujiza, unabii, nk. Hii sifa ya kutoa hizi Karama ni ya Mungu, lakini hapa kwenye Wakorintho tumesoma na kugundua kuwa, Kumbe Roho Mtakatifu ndie anaye toa hizi karama za Mungu. Hivyo basi, kwa kuwa Roho Mtakatifu ndie anaye toa hizi karama za Mungu, hufanya hivyo kwa kuwa yeye ni Mungu na hizo karama ni zake.

ROHO MTAKATIFU ANAFAHAMU MAMBO YOTEKama ambavyo Mungu anafahamu mambo yote na anaweza yote, vivyohivyo Roho mtakatifu ni Mungu na anauwezo wa huohuo wa kufahamu yote. Kama Mungu, Roho mtakatifu anaweza kufanya kazi ya msaidizi na mshauri kama vile Yesu kristo aliyevyoahidi kuwa atakuja kufanya (Yohana 14:16,26; 15:26). Yohana 14:26 Neno: Bibilia Takatifu (SNT) 26 Lakini yule Msaidizi, yaani Roho Mtakatifu, ambaye Baba yangu atamtuma kwenu kwa jina langu, atawafundisha mambo yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.
Katika Yohana hapo juu, tunajifunza kuwa, Roho Mtakatifu yupo nasi kila siku na anaishi ndani yetu. Huu uwezo wa kuishi ndani yetu na kuwa kila mahali, na kufahamu yote ambayo Yesu aliyo tuambia na kutukumbusha, huu uwezo ni wa Mungu na unamfanya Roho Mtakatifu kuwa Mungu.

HITIMISHO
Roho Mtakatifuni Mungu, mwenye nguvu zote, maarifa yote, anayepatikana kila mahali. Yeye pia anayo nafsi na kwa hiari yake ameamua kuishi ndani ya mwili wa mwanadamu kwa kuzingatia mgawanyo wa majukumu waliyokubaliana yaani nafsi ya Mungu Baba, Mungu Mwana(Yesu) na Mungu Roho Mtakatifu.
Kazi/lengo kubwa la ujio wake ni kuwa Msaidizi wa mwanadamu kwenye ulimwengu huu wa mwili, ili kumsaidia kuishi katika mapenzi ya Mungu.
Katika huduma yake Max Shimba Ministries
@February 10, 2015
New York, NY 10019

Saturday, May 20, 2017

KUFUNGA MAANA YAKE NINI?

Image may contain: 1 person, food
JE, KUFUNGA NI LAZIMA KWA MKRISTO?
Neno “KUFUNGA“ linatokana na neno la Kiyunani “NESTEVO“, ambalo nalo linatokana na maneno mawili ya Kiyunani “NE“ na “ESTHIO“. Neno “NE“ maana yake “BILA“ au “HAPANA“, Kiingereza “NO“ au “WITHOUT“. Neno “ESTHIO“ maana yake “KULA CHAKULA AU KINYWAJI“, Kiingereza “TO EAT SOLID OR LIQUID FOOD“. Neno “NESTEVO” sasa linaunga maneno hayo mawili ya Kiyunani ”NE” na “ESTHIO”, na lina maana “BILA KULA CHAKULA AU KINYWAJI CHOCHOTE”. Hivyo maana ya kufunga, ni “BILA KULA CHAKULA AU KINYWAJI CHOCHOTE”.
Nyakati za Biblia, watu walifunga kwa sababu mbalimbali zilizokubaliwa na Mungu. Baadhi yao walifunga kwa sababu ya huzuni au toba (1 Samweli 7:4-6), wengine walifunga ili kuomba mwongozo wa Mungu au ili wapate kukubaliwa naye (Waamuzi 20:26-28; Luka 2:36, 37), au ili kukaza fikira walipotafakari.—Mathayo 4:1, 2.
Kufunga kunastahili kufanyika kwa moyo wa unyenyekevu na nia ya furaha. Mathayo 6:16-18 yasema, “Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamna; maana hujiimbua nyuso zao, ili waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambia, wamekwisha kupata thawabu yao. Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso; ili usionekane na watu kuwa unafunga, ila na Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.
Sheria ya Musa iliwaamuru Wayahudi ‘wazitese nafsi zao,’ yaani, wafunge mara moja kwa mwaka katika Siku ya Upatanisho. (Mambo ya Walawi 16:29-31; Zaburi 35:13) Mungu hakuwaamuru watu wake wafunge katika siku yoyote nyingine ila Siku ya Upatanisho.* Kwa hiyo, Wayahudi walioshika Sheria ya Musa walipaswa kufunga katika siku hiyo. Lakini kushika Sheria ya Musa si takwa kwa Wakristo.—Waroma 10:4; Wakolosai 2:14.
Kitabu cha Matendo Ya Mitume kimerekodi kuwa Wakristo walifunga kabla ya kufanya uamuzi wa maana (Matendo Ya Mitume 13:2, 14:23). Kufunga na maombi kila mara zimeambatanishwa pamoja (Luka 2:37; 5:33). Kila mara, angazo la kufunga ni kutokuwa na chakula. Badala ya lengo kuwa, kufunga ni kuyapeleka mawazo yako nche ya vitu vya dunia na kiukamilifu kumtazamia Mungu. Kufunga ni njia mojawapo ya kudhihirishia Mungu na sisi wenyewe kwamba hatutaki mchezo katika uhusiano wetu na yeye. Kufunga kunatuzaidia kupata mtazamo na kufanya upya tegemeo letu kwa Mungu.
Ijapokuwa Yesu alifunga kupatana na takwa la Sheria, hakuwa na zoea la kufunga. Aliwaambia wanafunzi wake jinsi ya kufunga kwa njia inayofaa, lakini hakuwaamuru kamwe wafunge. (Mathayo 6:16-18; 9:14) Kwa nini, basi, Yesu alisema kwamba wanafunzi wake wangefunga baada ya kifo chake? (Mathayo 9:15) Maneno haya si amri, bali yanamaanisha kwamba Yesu alipokufa wanafunzi wake wangekuwa na huzuni nyingi sana hivi kwamba wangepoteza hamu ya chakula.
MAMBO YA KUEPUKA WAKATI WA KUFUNGA:
Jambo moja ambalo mtu anayefunga anapaswa kuepuka ni kujiona kuwa mwadilifu. Biblia inatuonya tusiwe wenye “unyenyekevu wa kujifanya.” (Wakolosai 2:20-23) Mfano wa Yesu kumhusu yule Farisayo mwenye kiburi aliyejiona kuwa bora kuliko wengine kwa sababu alifunga kwa ukawaida, unaonyesha wazi kwamba Mungu anakataa mtazamo kama huo.—Luka 18:9-14.
Pia, haifai kuwaambia wengine kwamba umefunga, au kufunga kwa sababu mtu mwingine anakuambia ufunge. Katika andiko la Mathayo 6:16-18, Yesu alieleza kwamba kufunga ni jambo la kibinafsi, kati yako na Mungu, na hupaswi kuwaambia wengine kwamba umefunga.
Ni makosa kufikiri kwamba kufunga kunaweza kulipia dhambi. Ili tendo la kufunga likubaliwe na Mungu, ni lazima yule anayefunga atii sheria zake. (Isaya 58:3-7) Msamaha haupatikani kwa kufunga bali kwa toba ya kweli kwa Yesu Kristo. (Yoeli 2:12, 13) Biblia inakazia kwamba tunapata msamaha kwa sababu Mungu alionyesha fadhili zisizostahiliwa kwa kumtoa Kristo kuwa dhabihu. Haiwezekani kustahili kupata msamaha kwa sababu ya matendo kama vile kufunga.—Waroma 3:24, 27, 28; Wagalatia 2:16; Waefeso 2:8, 9.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Jesus is God and gives eternal life

 

TRENDING NOW