Saturday, July 2, 2016

MWENYEZI MUNGU HAKUANZISHA DINI YEYOTE ILE


Mungu Mtakatifu hakuwai sema watu wawe na dini katika Taurat au Zaburi au Injili. Wala Mungu hakuwia mwambia Adam na Hawa wawe na dini. Kumbe basi dini haitoki kwa Mungu bali ni jaribio la mwanadamu kuwa na uhusiano na Mungu. Swali la kujiuliza hapa, je, Mwanadamu mwenye dhambi anawezaje kumtafuta Mungu aliye mtakatifu? Jibu ni fupi sana. Dini haiwezi kukufikisha kwa Mungu wala kukusaidia uwe na Mungu.
Tukisoma katika Taurat, au Zaburi au Injir hatusomi sehemu yeyote ile ambayo Mungu anasema kuwa watu waanzishe dini, bali tunasoma kuwa Mungu anawaambia watu wamfuate yeye.
Ndio maana nasema Mungu hana dini. Adam na Hawa hawakuwa na dini na hakuna ushahid katika Taurat iliyo kuwepo miaka maelfu kuwa Adam alikuwa na dini. http://www.chabad.org/…/How-and-When-Was-the-Torah-Written.…
Musa Hakuwa na dini na hakuna ushahidi katika Taurat kuwa Musa au Abraham walikuwa na dini.
Daudi hakuwa na dini na hakuna ushahid katika Zaburi kuwa Daudi alifuata dini na au alikuwa na dini.
Hiyo hapo juu ni mifano michache tu ya kukufungua macho kuwa Mungu hana dini na wala hakuwaambia watu waanze na au waanzishe dini.
Kuna njia moja tu ya kushirikiana na Mungu. Imani ya kikristo ni uhusiano na Mungu kwa sababu yale ametufanyia kupitia kwa kusulubiwa kwa Yesu Kristo. Alikufa kwa ajili yetu ili tujue upendo na mpango wa Mungu Baba kwa maisha yetu. Yohana 14:6. Yesu ndie Njia.
Kumbe Mungu anaita dini kuwa ni mapokeo ya mababa (Wagalatia 1:14). Na kumbe, alipomwita Paulo katika huduma, hakutaka Paulo abakie tena humo ndani ya dini. Na kwa kuwa sasa Paulo alitoka nje ya dini, alijikuta akizalisha maadui wengi sana.
Watu waliokuwa wakimpinga Bwana Yesu na wale waliompinga Paulo hawakuwa wakitetea maslahi ya kisiasa, bali walikuwa wakitetea dini yao.
Yesu anaita kwa nguvu akisema: Njoni kwangu ninyi nyote wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha. (Mt. 11.28). kwa nini anasema hivyo? Anasema: Mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele. (Yoh. 10:10).
Tunatakiwa kukimbilia kwa Bwana Yesu mwenyewe; si kwenye dini. Je, hakuna watu wa dini wanaoingia motoni? Jibu ni kwamba wapo. Kwa nini waende motoni na huku wana dini? Ni kwa sababu unaweza kuwa na dini lakini ukawa huna Yesu. Na hiki ndicho kinachotokea kwa watu wengi. Wengi wameridhika na kuwa na dini wasijue kwamba hilo si hasa kusudi la kuishi kwetu hapa duniani.
Lakini hakuna mtu aliye na Yesu ambaye anakwenda motoni! Bwana mwenyewe anaahidi wazi kabisa: Kondoo wangu waisikia sauti yangu; nami nawajua, nao wanifuata. Nami nawapa uzima wa milele; wala hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu. (Yoh. 10:27). Haleluya!
Dini ni mzigo juu ya mabega ya watu. Ni taratibu zilizoanzishwa na wanadamu na kuendelea kurithishwa kutoka kizazi hadi kizazi. Mojawapo ya washika dini wazuri sana walikuwa ni mafarisayo. Kwa mfano, walikuwa wakishika kwa uaminifu sana utaratibu wa kutokula bila kunawa mikono. Kwa hiyo, siku moja walimkabili Bwana Yesu na kumwambia: Mbona wanafunzi wako huyahalifu mapokeo ya wazee, kwa maana hawanawi mikono walapo chakula. (Mt. 15:1).
Kumbe tunaweza tukawa tunaenda kwenye nyumba za ibada, lakini tukawa tunafundishwa maagizo ya wanadamu!! Na kwa kuyafuata hayo tunaweza kuwa tunamwabudu Mungu bure! Inatisha kama nini! Ukisikia kazi ya hasara, basi ni pamoja na hii!
Rafiki, kwenye dini kumejaa maagizo ya wanadamu. Tena msisitizo mwingi umo kwenye hayo maagizo badala ya kuwa kwenye maagizo ya Mungu.
Amka leo. Njoo kwa Yesu upokee wokovu. Hatujaitwa kutumikia dini; tumeitwa kumtumikia Bwana Yesu!
Max Shimba Ministries Org

UISLAM SIO DINI YA KWELI



Ndugu zanguni, sijawai soma wala sikia Allah akisema yeye ni njia ya kweli na uzima, bali Waislam wao wanadai kuwa Uislam ni dini ya haki na sio dini ya kweli.
Haki hupatikana hata Mahakamani kwa kuhongwa lakini huwezi honga Kweli. Kama unayo aya yeyote inayosema Uislam ni dini ya kweli, ilete hapa tuione.
Lete aya inayosema "Hakika dini ya kweli mbele za Mwenyenzi Mungu ni uislamu uitoe hapa tusilimu". Ila huwezi simamia haki kama ndio kweli hebu ona mfano huu.
Watoto wawili wa Isaka Esau na Yakobo walifikia hatua wakauziana haki ya uzaliwa wa kwanza kwa chakula.
Dini ni lugha ya kiarabu maana yake ni njia au siku ya malipo soma Qur'an suratul fatihah 1:2-6. Utuongoze katika njia iliyo nyoka. Malik yaum din.
Na Qur'an 3:99 .....enyi mlio amini kwanini mnawazuilia watu na njia ya mwenyezi Mungu?.
Je kama dini ni njia ya kuelekea kwa Mwenyezi Mungu. Njia hiyo ya kweli ni ipi?
Yohana 24:1-6 Yesu anasema; Mimi ndimi njia kweli na uzima mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya Mimi.
Inamaanisha kwamba ukifuata njia ya Yesu kwanza ni ya Kweli. Pia ina uzima ndani yake na zaidi hakuna mwanadamu awaye yote anaeweza fika Mbinguni bila kufuata njia ya Kristo.
Swali hili hapa. Wapi Uislam ni njia ya Kweli na Uzima ya Mungu?

MUHAMMAD AKIRI KUWA DHAMBI ZAKE HAZIKUSAMEHEWA NA MWENYEZI MUNGU


By Max Shimba
Katika kitabu chake " mwisho mstari wa mbele "anaandika Reza Safa F inasema katika hadith ambapo mke wa Muhammad Khadija kumtaka kusamehe dhambi yake, Muhammad alimjibu kuwa hakuwa na uhakika wa kusamehewa dhambi zake mwenyewe! Angewezaje kusamehe dhambi yake?
Muhammad anakiri kuwa Allah hana uwezo wa kusamehe dhambi za Waislam.
Sasa kama Allah alishindwa kumsamehe dhambi Muhammad kipenzi chake atawezaje kukusamehe wewe Muislam uliye jaa dhambi?
YESU HAKUWA NA DHAMBI NA WALA HAKUWAI FANYA DHAMBI
Lakini kwa upande mwingine, Biblia na Quran vinasema kwamba Yesu Kristo, Mwana wa Mungu, hakuwa na dhambi na wala hakutenda dhambi:
Waebrania 4:15 Kwa maana huyu kuhani wetu mkuu si kuhani ambaye hawezi kutuhurumia katika udhaifu wetu, bali ni kuhani ambaye kwa kila hali amejaribiwa kama sisi, lakini pasipo kutenda dhambi.
Yesu anaweza kuokoa na kusamehe dhambi kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa bila dhambi, na zaidi ya hapo, Yesu ni Mungu! Alikufa kwa ajili ya watu wote ili kuwaokoa. Kwa kifo chake msalabani alichukua dhambi zetu!
Muhammad hawezi kujiokoa na kusamehe kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa mwenye dhambi kubwa kiasi cha kuomba msamaha mara mia kwa siku.
Sasa ndugu msomaji, hivi ni sahihi kumfuata Mtume ambaye alikuwa mtenda dhambi na hisia mbaya kwenye nyoyo yake?
Karibu kwa Yesu aliye hai. Yeye anamamlaka ya kusamehe dhambi na kukuokoa.
Hakika Yesu ni Mungu.
Kwa maana huyu kuhani wetu mkuu si kuhani ambaye hawezi kutuhurumia katika udhaifu wetu, bali ni kuhani ambaye kwa kila hali amejaribiwa kama sisi, lakini pasipo kutenda dhambi.
MUHAMMAD ALIKUWA NA DHAMBI KUBWA KIASI CHA KUOMBA MSAMAHA MARA MIA KWA SIKU
Leo ni leo asemaye kesho ni mungo. Ndugu zanguni, kila ninapo usoma Uislam, nazidi kupata shaka kubwa kubwa, maana hakuna jema kabisa katika hii dini ya Muhammad na Jibri. Hivi mtu anye omba msamaha mara mia kwa siku, unafikiri ametenda dhambi gani kiasi cha kuogopa namna hii?
MUHAMMAD AOMBA MSAMAHA MARA MIA KWA SIKU:
Katika "Sahih Muslim, Kitabu 35, 6522 Idadi" inasema kwamba Mtume Muhammad alikuwa mwenye dhambi kubwa sana kiasi cha kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu mara mia kila siku. "Nukuu"
"Al-Agharr al-Muzani, ambaye alikuwa mmoja wa (Mtume) wenzake taarifa kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (amani ilikuwa juu yake) alisema: Kuna (wakati mwingine) aina ya kivuli juu ya moyo wangu, na mimi kutafuta msamaha kutoka kwa Mwenyezi Mungu mara mia kwa siku. "
Kumbuka kwamba utamaduni si tu anasema kwamba Muhammad alikuwa mwenye dhambi kubwa, lakini kwamba alijisikia kivuli, hisia mbaya, juu ya moyo wake. Katika kesi hii kwa Muhammad, itakuwa vigumu kwa sababu Qur'an inasema kuwa yeye ni kipaji katika maisha yake na vitendo:
Sasa, kivipi Muhammad alikuwa na kivuli ndani ya nyoyo yake?
Hii chuki aliipataje wakati yeye alikuwa anapokea wahyi kutoka kwa Allah?
Je, inawezekana kuwa hiyo wahyi ndio ilikuwa chuki iliyo jaa ndani ya nyoyo yake?
68: 4
Maisha yako na matendo yako ni `aa [mfano]. (Mohammed Knut Bernstöm, Qur'an)
Watu wote wamefanya dhambi
Biblia inasema kwamba watu wote wamefanya dhambi. Hii ni pamoja na Mtume Muhammad alikuwa mwenye dhambi kama watu wengine wote, lakini Muhammad yeye alikiri kuwa dhambi zake hazikusamehewa ingawa aliomba msamaha mara mia kwa siku.
Ndugu msomaji, kwanini tumfuate na sikiliza Muhammad aliye kiri kuwa dhambi zake hazikusamehewa?
Kwanini Allah alishindwa kumsamehe Muhammad dhambi zake?
Je, Allah anauwezo wa kusamehe dhambi?
Muhammad ndio mtume pekee aliye kufa na dhambi na Mshahara wa dhambi ni mauti ya Jehannam. Warumi 6:23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.
Kwa sababu mwenye dhambi, amehukumiwa kufa.“Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti”(Warumi 6:23). Hii ina maana kutengwa na Mungu katika Jehanum milele.“Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu” (Waebrania 9:27).
Hivyo basi, kwanini ufe na dhambi kama Muhammad na utengwe na Mungu katika Jehannam?
Rafiki yangu:Ninakuuliza swali muhimu maishani mwako. Furaha yako ya milele au huzuni yako ya milele inategemea jibu Ia swali hili.
Swali ni hili:Je, umeokolewa? Si swali la jinsi ulivyo mwema, wala si swali la kama u mshiriki wa kanisa, bali: Je, umeokolewa? Una uhakika kwamba utaenda mbinguni utakapokufa?
Hakikisha kwamba umeokoka. Ukipoteza nafsi yako utapoteza mbingu na utapoteza vyote. Tafadhali, mruhusu Mungu akuokoe sasa hivi.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

SINAGOGI SIO MSIKITI (SEHEMU YA KWANZA)




Tunazidi kuchambua HOJA ZA MIHADHARA ya Kiislamu
LEO TUANGALIE SINAGOGI!!
Kwa miaka mingi Afrika Mashariki na Kati kunakosemwa Kiswahili kumetokea mafundisho ambayo ni mapotofu sana ya kukejeli, na lengo lao hasa ni kuangusha mwili wa Yesu Kristo (Kanisa) na mafundisho yake. Na kupitia mafundisho hayo wengi wameacha imani iliyo ya kweli nakufuata imani zingine ambazo mwisho wao ni mauti. Na hawa siyo wengine bali ni wahadhiri wakiislamu. Wao hudai kuwa wanafuata mafundisho ya Bwana Yesu. Unukuu aya hii Mathayo 11:29-30 pale Yesu alisema jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo nanyi mtapa raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi.
Pia wanasema Yesu aliingia kwenye sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake siku ya Sabato Luka 4:16 kupitia kwa tendo hili la Yesu kwingia kwenye Sinagogi , wahadhiri hawa wanadhai jambo ili linamfanya Yesu kuitwa muislamu.
Tafadhali ndugu yangu ukitaka kujua ukweli fuatilia somo hili hadi tamati.. hii ni Sehemu ya Kwanza. Biblia ya Kiswahili katika maneno magumu imetaja kuwa Sinagogi ni msikiti wa Kiyahudu, hapa majamaa wanakesha!!
Historia ya Sinagogi:
Ukitaka kujua mtu Fulani ni lazima uangazie mambo kadha wakadha ikiwemo historia yake, pasina historia ni vigumu watu kufahamu mambo yaliyofichika. Hivyo nimeonelea kuwa ni bora sana kuangazia historia ya Sinagogi na chanzo chake.
Jambo la msingi kwanza ni kujua maana ya Sinagogi. Neno hili Sinagogi maana yake ni mahali pa watu kukutania. Sinagogi lilianzia pale wana wa Israeli walipokuwa utumwani kule Babeli kwa miaka Sabini kulinga na unabii wa Nabii Jeremia.
Jeremia 25:11-13
baadaye nitaeleza tofauti ya Sinagogi na Hekalu.
Sababu ya Wayahudi kuanzisha Sinagogi ni hizi.
• kule utumwani hawengeweza kurudi kule Yerusalemu ambapo palikuwa na Hekalu kwa minajili ya mambo ya ibaada. Kwa hivyo Wayahudi walitafuta jinzi ya kuendelesha ibaada na miandamo ya sikukuu zao.
• Kuendelesha utamaduni wao kama vile kutahiri mtoto wa kiume akiwa na siku nane kulingana na amri ya Mungu Mwanzo 17:9-12
• Ili kuzingatia sheria za Mungu kufundishana habari za torati na manabii.
Uongozi
Sinagogi lilikuwa likianzishwa na wazee wapatao saba au kumu wa kiyahudi, kila Sinagogi lilikuwa na viongozi wapatao wawili au zaidi. Na vyongozi hao huchaguliwa na wazee wa Sinagogi.
Katika karne ya Agano Jipya kulikuwepo Masinagogi mengi sana yapatao 480 ambazo zilikuwa zikiingiwa na watu wa wamataifa mbalimbali ambao walikubali kufuata taratibu zote za dini ya Kiyahudi.
Kazi ya Sinagogi:
Malengo makubwa ya sinagogi yalikuwa kujikumbusha sheria na pia kuangalia utamaduni wao. Tusomapo Biblia na kuichunguza tunaona mambo yafuatayo;
Malaki 4:4
Ikumbukeni torati ya Musa, mtumishi wangu, niliomwamuru huko Horebu kwa ajili ya watu wangu Israeli wote naam, amri ya hukumu.
Mathayo 5:17
Yesu alifundisha hivi:- Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii la sikuja kutangua, bali kutimiliza
Hivyo basi kwa habari za Torati na manabii Wayahudi walikuwa wakifundisha watoto wao kwenye Sinagogi.
Matendo 15:21.
kwa maana tangu zamani za kale Musa anao watu wahubirio mambo yake; katika kila mji husomwa kila Sabato katika Masinagogi.
Hapa tunaona Mtume Paulo naye anamkumbusha Timotheo habari ya mafundisho dhabiti alioyapata kutoka utotoni.
2 Timotheo 3:14-15
Baki wewe ukae katika mambo yale uliyofundishwa, kwa maana unajua ni akina nani ambao ulijifunza kwao; naya kuwa tangu utoto umeajua mandiko matakatifu, ambayo yaweza kukuhekimisha hata upate wokovu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu.
Kulikuwa na masinagogi mengine yalikuwa na vyongozi zaidi ya wawili na mmoja wao alikuwa na cheo cha (Heb gr archi synagogue) au kasisi mkuu.
Kasisi huyu ilikuwa na kazi mbalimbali kwa mfano:-
• Kujenga na kutunza mali yao
• Kuangalia namna ya ibaada vile inavyofanywa ikiwemo kutunza sheria, Luka 13:10-14 nanukuu aya (14) Basi mkuu wa Sinagogi alikasirika kwa sababu Yesu alimponya mtu siku ya Sabato, akamjibu, akawambia makutano, kuna siku sita zifaazo kufanya kazi, basi njoni mponywe katika siku hizo, wala si siku ya Sabato.
• Kuchagua mtu mwenye kusoma na kuomba.
• Kualika wageni kutoka Masinagogi mengine ili aje awahutubie watu na kutilia nguvu mambo yanayohusu jamii na dini yao.
Matendo 13:13-15 na nukuu aya (15) kasha baada ya kusomwa Torati na Chuo cha Manabii, wakuu wa Sinagogi wakatuma mtu kwao, na kuwambia, Ndugu kama mkiwa na neno la kuwafaa watu hawa, lisemeni.
Kwenye Sinagogi kuna mtu mmoja ambaye kazi yake ni kutunza kile Chuo cha Torati Manabii na pia huangalia usafi wa Sinagogi kwa ujumla, nayeye hulipwa kwa kazi hiyo anayoifanya. Na kwa Kiebrania mtu huyu huitwa (Hazzan).
Luka 4:20
akakifunga chuo, akamrudishia mtumishi, akaketi na watu wote waliokuwamo katika Sinagogi wakamkazia macho.
Mtumishi huyo kazi yake nyingine ilkuwa ni kutangaza mwanzo wa Sabato na mwisho wake. Husimamia ujenzi wa Sinagogi au kurekebishwa kwake, kwa hivyo inambidi aishi kwenye Sinagogi.
Fuatilia hapo kesho majaliwa tuangazie hoja za wahendesha mihadhara kuhusu Sinagogi
Edited by Max Shimba
Amended by Max Shimba
By permission
Na Mwalimu Chaka

WAISLAMU WENGI KUBADILI DINI KUWA WAKRISTO, INAMAANA UISLAMU UTAKUFA?


Vichwa vya habari vinasema dini ya kiislamu itakuwa dini kubwa kuliko zote duniani. Lakini uislamu unakutana na matatizo kwa sasa. Vitendo vya kinyama vinavyofanywa na kundi linalojiita la Kiislamu la ISIS kwa kutumia jina la Allah (Mungu wa Kiislamu) na kufuata mfano wa vitendo vya vurugu vya Muhammad, vimewafanya kuwaogopesha Waislamu walio wengi na kuanza kujiuliza kuhusiana na imani yao.
Wamisionari wanaofanya kazi katika nchi za kiislamu wanasema waislamu wengi zaidi wamebadili dini na kuwa Wakristo katika kipindi cha miaka 14 iliyopita toka tukio la ugaidi la Marekani la september 11 kuliko karne 14 zilizopita katika historia ya Kiislamu.
Wengi wamekuwa wakificha siri kuhusu imani wakiogopa maisha yao kuwa hatarini. Jijini London Uingereza, kituo cha CBN kilizungumza na Imran (ambaye hakutoa jina la ukoo, kujilinda ili asijulikane), ni mwanafunzi wa chuo ambaye ametokea Pakistani na familia yake kama wahamiaji nchini Uingereza. Imran aliachana na Uislamu baada ya kujifunza kwa muda mrefu na kujihakikishia kwamba Quran inawezekana si ya ukweli. Kuacha uislamu inaweza kuwa kazi nzito. "Ikiwa mtu ameacha uislamu anakuwa muasi, anafukuzwa kwenye familia, familia yake itakuwa ya kwanza kumtenga", Imran amesem na kuongeza kwamba rafiki zake wataachana naye na atauwawa au atafungwa. Marafiki zangu wengi wameniambia "hii ni mara ya mwisho nazungumza na wewe kwasababu umemdhalilisha Mtume Muhammad, umeudhalilisha Uislamu.
Imran bado hajawa Mkristo, lakini amesema amesoma Biblia na kugundua Ukristo unafaa kuliko Uislamu. Baadhi ya Waislamu baada ya kuachana na dini yao wanakuwa watu wasionadini na wengine wanapata wasaa wa kupatana na Mungu. Kutoka Sweden, Mchungaji Fouad Rasho wa kanisa la 'Angered Alliance ambaye ni mkimbizi kutoka Syria, amesema amewabatiza zaidi ya waislamu 100 akidai waislamu wengi wanaikana dini yao kwasababu ya vitendo vya ISIS.
"Kila wiki nakutana na mtu mmoja au zaidi wanaokuja kwangu wakitaka kujua zaidi kuhusu Ukristo na Biblia kwasababu wanakasirishwa sana na Uislamu. Hawataki kuendelea na dini yao ya kiislamu" alisema Imran, linapokuja suala la dini, bara la Ulaya limekuwa giza, baadhi ya waislamu wa Ulaya wanahisi kuachwa njia panda kati ya wasioamini kabisa mambo ya dini au wameathirika na Uislamu, lakini baadhi yao wamepata tumaini ndani ya Ukristo.
Wakati Nassim Ben Iman alipokwenda Ujerumani akiwa kama mkimbizi pamoja na familia yake wakitokea moja ya taifa la kiislamu, alikumbuka kwamba alikuwa akiwaza kwamba Ujerumani ni taifa la Kikristo, kumbe Ukristo ulikufa, dini ya wenye dhambi "Kuonekana nusu utupu kwenye runinga ni kwasababu ya dini ya Kikristo, kuishi pamoja kwa mwanaume na mwanaume bila ndoa ni kwasababu ya dini ya kikristo" alisema Nassim akikumbuka alichokuwa akikiwaza.
Lakini pia Nassim amegundua Ukristo wa kweli na leo uinjilisti unawafikia waislamu na wasio Waislamu kumjua Kristo. "Watu wanapogundua Yesu ni nani, watampenda na kumfuata yeye kila siku, na Waislamu wanapomuelewa zaidi na zaidi Muhammed ni nani, Quran ni nini, historia yake, watakwenda tofauti mbali zaidi na Uislamu" alisema Nassim.
Muandaaji wa kipindi cha Kikristo cha kuwafikia waislamu amekiambia kituo cha CBN News kwamba Uislamu utakufa. Kaka Rashid ni mtoto wa imam nchini Morocco ambaye ameishi kama Mkristo kwa kificho kwa miaka 15 sasa. Kwa sasa ni muandaaji wa kipindi cha Kikristo kwa lugha ya kiarabu kinachoitwa "Daring Questions" ambacho kinawapa changamoto waislamu kujiuliza kuhusu imani yao.
"Waislamu wengi wanasema, kama ISIS ni uislamu, ninatoka. Baadhi wanakuwa wapagani, alisema Kaka Rashid. Kuna wimbi kubwa la wapagani kwenye dunia ya Waarabu siku hizi. Wengi wanakuwa wakristo. Uislamu haujawahi kupatwa tatizo hili mwanzoni. Nassim amesema uislamu unaonekana upo imara, ila ni kwa nchi ambazo ukristo ni dhaifu. "Uimara wa Uislamu ni udhaifu wa Wakristo, na ndio kinachotokea Ujerumani na Marekani pamoja na nchi nyingine za magharibi. hata ikionekana Uislamu kama unataka kutawala nchi za magharibi, Rashid amesema Wakristo wasiwaogope Waislamu, kwa kuwa anawiwa kusema kwamba dini hiyo inakufa taratibu.
"Uislamu sio chombo cha Mungu kuhukumu nchi za Magharibi, nadhani watu wanaogopa kwasababu ya wanachoona kwenye habari, lakini hata mapigano inaonyesha ni dalili ya kufa kwa dini hiyo.
Makala hii imetafsiriwa na GK kutoka Charisma News

ALLAH ATEUA MTUME WA MAJINI MACHAFU NA MPINGA KRISTO 666


1. Allah ateua Mtume kwa Majini Quran 6: 130
2. Allah ateua Mtume wa Wanyama Surat An Naml 82
Ndugu zanguni,
Allah anasema katika Quran kuwa, ameteua Mtume kwa kila kiumbe mpaka Majini machafu. Hebu soma aya hapa chini
ALLAH ANASEMA KUWA MAJINI YANA MTUME WAO
Quran 6: 130. Enyi makundi ya majini na watu! Je, hawakukujieni Mitume kutokana na nyinyi wenyewe wakikubainishieni Aya zangu, na wakikuonyeni mkutano wa Siku yenu hii. Nao watasema: Tumeshuhudia juu ya nafsi zetu. Na yaliwadanganya maisha ya dunia. Nao watajishuhudia wenyewe ya kwamba walikuwa makafiri.
Swali lamsingi kwa Allah :
Jina la Mtume wa Majini ambaye ni Jini ni nani?
Kwasababu kila Umma ulipewa kitabu na mtume wake, Je, Umma wa Majini walipewa kitabu gani?
Lakini nilipo soma Hadith nikagundua kuwa, Muhammad alikuwa anaongea na Majini na kuyafundisha Quran.
MTUME MUHAMMAD AKUTANA NA MAJINI USIKU
Allah S.W.T. ametuhakikishia wazi kuwa ujumbe aliopewa Mtume S.A.W. ulikuwa kwa Wanadamu na Majini na Mashetani pia. Na katika Qurani na Hadithi za Mtume S.A.W. kuna dalili zilizo wazi zinazoyakinisha kuwa Mtume S.A.W. alikuwa akikutana nao na kuwafundisha dini. Na hata wakati mwingine Majini walikuwa wakitoa majibu mazuri zaidi kuliko Binadamu kwenye masuala ya dini. Na mfano ni wakati waliposomewa Suratir Rahmaan. Hadithi iliyopokelewa na Jaabir bin Abdallah R.A.A. na iliyotolewa na Ttirmidhi kasema, “Wakati ambapo Mtume S.A.W. alipowasomea Majini Suratir Rahmaan, “
لَقَدْ قَرَأْتُهَا ‘‘يعني سُورَةَ الرَّحْمَنِ’’ عَلَى الْجِنِّ …، فَكَانُوا أَحْسَنَ مَرْدُودًا مِنْكُمْ ، كُنْتُ كُلَّمَا أَتَيْتُ عَلَى قَوْلِهِ ]فَبِأَيِّ آلاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ[ قَالُوا: لا بِشَيْءٍ مِنْ نِعَمِكَ رَبَّنَا نُكَذِّبُ ، فَلَكَ الحمد
Maana yake, “Hakika nimewasomea Majini (yaani Suratir Rahmaan)…wamejibu vizuri zaidi kuliko nyinyi. Kila nilipofikia kauli Yake (Mwenyezi Mungu S.W.T.) “Fabiayyi A-alaai Rabikumaa Tukadhibaan.) Maana yake, “Basi ipi katika neema za Mola wenu ambayo mnayoikanusha kuwa si kweli?” (Basi Majini) walijibu “Laa bishaay Min Niamika Rabbana Nukadhibu, Falakal Hamdu.” Maana yake, “Hakuna neema yoyote katika neema Zako Mola wetu tunayoikadhibisha, bali tunashukuru.” Na Mtume S.A.W. alipowasomea Wanadamu hawakujibu chochote, akawaambia, “Ndugu zenu wa Ki-Jini wamejibu jawabu nzuri waliposikia haya.” Na dalili nyingine kuwa Mtume S.AW. pia alikuwa ametumwa kwao ni kisa cha baadhi ya Majini ambao baada ya kuisikiliza Qurani waliiamini na wakarejea kwao na kuanza kuwaita wenzao kwenye dini ya Kiislamu.
ALLAH ANASEMA KUWA MAJINI YALITUMWA KWA MUHAMMAD ILI KUSIKILIZA QURAN.
ALLAH HUYO HUYO ALISEMA KUWA KILA WATU/VIUMBE/WANYAMA WALIPEWA MTUME WAO. HAPO TEYARI KUNA SHAKA KWENYE QURAN YA MUHAMMAD AMBAYO SASA INAKABIDHIWA MAJINI MACHAFU.
Allah kasema katika Suratil Ahqaaf aya ya 29 mpaka 32, “
]وَإِذْ صَرَفْنَا إِلَيْكَ نَفَرًا مِنْ الْجِنِّ يَسْتَمِعُونَ الْقُرْآنَ فَلَمَّا حَضَرُوهُ قَالُوا أَنْصِتُوا فَلَمَّا قُضِيَ وَلَّوْا إِلَى قَوْمِهِمْ مُنْذِرِينَ * قَالُوا يَا قَوْمَنَا إِنَّا سَمِعْنَا كِتَابًا أُنْزِلَ مِنْ بَعْدِ مُوسَى مُصَدِّقًا لِمَا بَيْنَ يَدَيْهِ يَهْدِي إِلَى الْحَقِّ وَإِلَى طَرِيقٍ مُسْتَقِيمٍ * يَا قَوْمَنَا أَجِيبُوا دَاعِي اللَّهِ وَآمِنُوا بِهِ يَغْفِرْ لَكُمْ مِنْ ذُنُوبِكُمْ وَيُجِرْكُمْ مِنْ عَذَابٍ أَلِيمٍ * وَمَنْ لا يُجِبْ دَاعِي اللَّهِ فَلَيْسَ بِمُعْجِزٍ فِي الأرْضِ وَلَيْسَ لَهُ مِنْ دُونِهِ أَولِيَاءُ أُوْلَئِكَ فِي ضَلالٍ مُبِينٍ[
Maana yake, “Na (wakumbushe) wakati tulipowaleta kundi la Majini kuja kwako kusikiliza Qurani. Basi walipoihudhuria walisema (kuambiana): “Nyamazeni! (Msikilize maneno ya Mwenyezi Mungu)” Na ilipokwisha somwa walirudi kwa jamaa zao kwenda kuwaonya. Wakasema “Enyi watu wetu! Sisi tumesikia Kitabu kilichoteremshwa baada ya (Nabii) Musa, kinachosadikisha yaliyokuwa kabla yake na kinachoongoza kwenye haki na kwenye njia iliyonyooka. Enyi kaumu yetu! Muitikieni Mlingani, (Muitaji) wa Mwenyezi Mungu na muaminini, atakusameheni (Mwenyezi Mungu) dhambi zenu na atakukingeni na adhabu iumizayo. Na wasiomuitikia Muitaji wa Mwenyezi Mungu, basi hao hawatamshinda (asiwapate) hapa katika ardhi, wala hawatakuwa na walinzi mbele Yake. Hao wamo katika upotofu ulio dhahiri.”
Na kisa kingine ni cha Majini waliosikia Qurani kutoka kwa Mtume S.A.W wakati alipokuwa akiwasalisha Masahaba wake Sala ya Alfajiri. Na hii ilikuwa bila ya yeye kuwa na habari mpaka Mwenyezi Mungu S.W.T. alipomjulisha. Mwenyezi Mungu S.W.T. kasema katika Suratil Jin aya ya 1 na ya 2, “
]قُلْ أُوحِيَ إِلَيَّ أَنَّهُ اسْتَمَعَ نَفَرٌ مِنْ الْجِنِّ فَقَالُوا إِنَّا سَمِعْنَا قُرْآنًا عَجَبًا * يَهْدِي إِلَى الرُّشْدِ فَآمَنَّا بِهِ وَلَنْ نُشْرِكَ بِرَبِّنَا أَحَدًا[
Maana yake, “Sema: “Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la Majini lilisikiliza (Qurani) likasema: “Hakika sisi tumesikia Qurani ya ajabu. Inaongoza katika uwongofu; kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yeyote tena na Mola wetu.”
Makala haya yametolewa katika kitabu kiitwacho, "Hakika ya Majini."
ALLAH SASA ATEUA MTUME KWA WANYAMA = 666. KUMBE BASI ALLAH NA MUHAMMAD NA DINI YAKE NDIO 666
Surat An Naml 82. Na itapo waangukia kauli juu yao, tutawatolea Mnyama katika ardhi atakaye wasemeza, ya kuwa watu walikuwa hawana na yakini na Ishara zetu
Kifungu kuu katika Biblia ambacho kinataja "alama ya Mnyama" ni Ufunuo 13:15-18. Marejeo mengine yanaweza kupatikana katika Ufunuo 14: 9, 11, 15:2, 16:2, 19:20, na 20:4. Alama hii hutumika kama muhuri kwa wafuasi wa Mpinga Kristo na nabii wa uongo (Msemaji wa Mpinga Kristo). Nabii wa uongo (Mnyama wa pili) ndiye ambaye husababisha watu kuchukua alama hii. Alama hasa huwekwa katika mkono au paji la uso na sio kadi mtu atabeba.
Je, jina la Mtume wa Wanyama ambaye ni Mnyama ni nani?
Je, wanyama walipewa kitabu gani?
SIRI IMESHA FUNGUKA, SASA TUNAFAHAMU KUWA, ALLAH NDIE ATAKAYE LETA MPINGA KRISTO 666, NA ALLAH AMEKIRI KATIKA SURAT AN NAML KUWA YEYE AMESHA TEUA MTUME AMBAYE NI MNYAMA NA HUYO MTUME ANASOMA QURAN YA MUHAMMAD.
KAMA kweli Quran ni maneno ya Allah, na aliiteremsha, basi, leo tunafahamu kuwa Allah sio tu ataleta Mpinga Kristo, bali Allah na Muhammad ndio Mpinga Kristo.
Ndugu msomaji utakaesoma mpambano huu sitanukuu moja kwa moja maandiko lakini nitakachokiandika, mashahidi mtakuwa wenyewe kuona kama ni kweli au uongo ya kuwa vitabu hivi vinapambana kiasi hicho..nami sitaandika uongo kamwe.
Hebu tuanze:
BIBLIA: ‘Yesu Kristo alisulubiwa. QURAN: hapana hapana walimsulubisha Mwendawazimu mwingine wakizani ndiye!!.
BIBLIA: Yesu ni Mwana wa Mungu. QURAN: ni uongo kwa kuwa Mungu hana mwana wala hazai!!.
BIBLIA: ’tunapata msamaha wa dhambi kupitia damu ya Yesu. QURAN: sivyo kabisa…Mnyaai Mungu ndiye akusameheni madhambi yenu pale mtakapoenda Makka japo mara moja kuhiji. (Kiswali chandu cha uzushi..wale masikini je?..Ndiyo kusema pepo ni ya matajiri tu?!!).
BIBLIA: Majini wana asili ya mashetani, ni kundi au jeshi la yule muovu, msishirikiane nayo katika ibada wala kuwatolea sadaka. QURAN: ALLAH asema: nimekuumbeni na majini ili mpate kuniabudu!! (Swali la uzushi: Shetani na majini yake yanaabudu na waisilamu ili yaende wapi wakati wao walisha laaniwa na wanachosubiri ni Jehanam tu!!).
Huu ni Msiba Mwengine katika dini ya Allah ambayo sasa tumejifunza kuwa ni ya Mpinga Kristo.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
March 6, 2016

SINAGOGI SIO MSIKITI (SEHEMU YA PILI)


Kama tulivyosema Neno SInagogi linatokana na Kigiriki συναγωγή Sinagoge likimaanisha "mkutano"; ni tafsiri ya Kiebrania בית כנסת beit knesset yaani "nyumba ya mkutano".
Wayahudi hutumia pia neno la Kiyiddish "shul" (=shule) kutajia Sinagogi.
Katika lugha ya Kiebrania neno “ beit ” linamaana “ nyumba” ndio maana hata ukisoma Bethsaida “ Nyumba ya mvuvi” au bethsania-Nyumba ya masikini. Bethlehemu, nyumba ya mkate. (Soma injili imetajwa sana majina haya )
Katika Israeli ya Kale (kabla ya maangamizi ya Yerusalemu mwaka 587 KK) inaonekana hakukuwa na Sinagogi: walau halitajwi kabisa katika Agano la Kale.
Inaonekana ya kwamba masinagogi yalianzishwa baada ya hekalu ya Yerusalemu kubomolewa pamoja na kuanza uhamisho wa Wayahudi kwenda nchi mbalimbali.
Tangu kuharibiwa kwa Hekalu la Pili mwaka 70 Wayahudi wana masinagogi tu kufanyia ibada.
Neno hilo limetumiwa katika maana hiyo ya mukutano kwenye Septuajinti, yaani, tafsiri ya Kigiriki ya Maandiko ya Kiebrania. Lakini, baada ya muda neno hilo lilitumiwa kurejelea jengo ambapo watu walikutana kuabudu. Kufikia karne ya kwanza W.K., karibu kila mji ambao Yesu alitembelea ulikuwa na Sinagogi; Majiji yalikuwa na Masinagogi kadhaa; Jiji la Yerusalemu lilikuwa na Masinagogi mengi.
Ukumbi wa sala huwa na sehemu zifuatazo:
• Sanduku la Torati ni kabati au sanduku ambako hati za kuviringisha zenye mwandiko wa Biblia ya Kiebrania hutunzwa;
• Taa inayoendelea kuwaka muda wote;
• Meza ya msomaji ambako hati za torati hufunguliwa na kusomwa;
• Mimbari ya mafundisho;
• Kinara cha menorah chenye mishumaa 7 au 9.
Karibu na sanduku hilo, kulikuwa na viti vya mbele vilivyopangwa kuelekea kutaniko, navyo vilikaliwa na maofisa-wasimamizi wa sinagogi pamoja na wageni wowote waheshimiwa. (Mathayo 23:5, 6)
Hii ni tofauti ni Misikiti ya kiislamu isiyokuwa na Viti
Karibu na eneo la katikati la Sinagogi palikuwa na jukwaa lililokuwa na kinara na kiti cha msemaji . Kwenye upande wa mbele, wa kushoto, na wa kulia wa jukwaa hilo, kulikuwa na viti vya washiriki wa kutaniko .
• Kwa kawaida, gharama za kuendesha shughuli za Sinagogi zililipiwa na kutaniko. Michango ya hiari iliyotolewa na wote, matajiri kwa maskini, ilitumiwa kurekebisha na kudumisha jengo hilo
Bwana Yesu alipenda sana kufundisha kwenye hekalu na katika masinagogi walimokusanyika wayahudi.
“Sikuzote nilifundisha katika sinagogi na katika hekalu, ambapo Wayahudi wote hukusanyika.”—Yohana 18:20.
Hekalu katika Jerusalemu ( hekalu katika Uyahudi )
Kulikuwa na Mahekalu mawili yaliyojengwa katika nyakati tofauti tofauti na watu tofauti tofauti ndani ya Yerusalemu.
Hekalu la kwanza lilijengwa na mtoto wa mfalme Daudi, Mfalme Suleimani. Lilijengwa mnamo mwaka 957 KK.
Hekalu hili likabomolewa na mfalme Nebukadreza II mnamo 586 KK.
Hekalu la pili,
Lilijengwa 536 KK -515KK baada ya uhamisho wa Babeli.
Uhamisho wa Babeli ni kipindi ambacho Wayahudi walilazimishwa kuishi Babuloni. ( kwa lugha nyingine ni kwamba Wayahudi walilazimishwa kuishi Babeli,ambayo kwa sasa tunaweza kusema walipelekwa Iraq, sababu magofu ya Babeli yapo katika mji wa kisasa wa Al-Hillah, kando ya mto flati kama 90km kusini mwa Baghdadi)
Hekalu hili la pili linajulikana pia kwa jina la hekalu la Herode mkuu kwa sababu herode alihusika pia katika upanuzi na kuliwekea nakshi katika Hekalu hili. Wataalamu wa mambo ya kale wanasema kwamba liliwekewa wakfu na Yuda Mmakabayo.
Hekalu hili la pili likabomolewa na Warumi mwaka wa 70. Tangu hapo halikujengwa hekalu la tatu, bali Wayahudi waliendelea kukusanyika katika mikutano yaani Sinagogi na sio katika Hekalu tena mpaka leo hii.
Tangu hapo halijajengwa tena, hivi kwamba sadaka zinazodaiwa na Torati hadi sasa haziwezi kutolewa kwa muda wa miaka 2000 hivi.
TOFAUTI KATI YA HEKALU NA SINAGOGI NI KAMA IFUATAVYO.
~ Hekalu huwa ni jengo kubwa lenye sehemu mbali mbali za ibada,wakati Sinagogi huwa ni mkutano tu wa watu katika jengo lisilokuwa na mgawanyo mkubwa.
~ Hekalu lina sehemu ya patakatifu pa patakatifu, Sinagogi halina sehemu hiyo.
~Hekalu lilikuwa kuanzia agano la kale mpaka agano jipya mfano kuanzia kitabu cha 1 Samweli 1:9, mpaka Ufunuo 21:22- Wakati Sinagogi lenyewe halitajwi katika agano la kale bali agano jipya tu.
Swali:
MBONA BIBLIA INASEMA KUWA SINAGOGI NI MSIKITI WA WAYAHUDI?
UFAHAMU
Katika tafsiri ya Biblia Union Version yapo maneno kadha wa kadha yenye asili ya lugha ya Kiarabu na Kiswahili cha kimvita hii ina tokana na mfasili (Mmisionary) wa kwanza aliye tafsiri Biblia kumshirikisha mzee (Shekhe) ili aweze kusaidiana naye katika kazi hiyo iliyo onekana kuwa ngumu kwake kutokana na kutojua vizuri Kiswahili hivyo ndiyo maana utakuta maneno mengi yenye asili ya Kiarabu ndani ya Biblia (Tazama Mifano). Mashekhe kwa maana ya wazee, Kadhi kwa maana ya hakimu, Iddi kwa maana ya Sikukuu, kutawadha kwa maana ya kunawa miguu na kadhalika
Pamoja na hayo alipo tafsiri neno hili Sinagogi kuwa ni msikiti haku tafsiri kwa kuzingatia utalaamu wa lugha bali alifananisha mambo Fulani Fulani yanayo tendeka katika majengo hayo mawili yaani Sinagogi na Msikiti na ndipo akafasiri kuwa Sinagogi ni Msikiti wa Wayahudi kwa kulinganisha baadhi ya matendo yanayo fanana baina ya majengo hayo mawili.
Ni sawasawa na leo mtu kumwambia babu yake kuwa Computer ni Runinga ya kisasa wala kamwe hana maana ya Computer ni TV ila amechukua anachokifahamu mhusika ili kumweleza kitu au jambo Fulani. Hivi na sawa na mjaluo wa ugenya kusilimu kisha akirudi huku nyarigunga kavaa Kanzu yake akiulizwa vipi kulikoni? Anasema “Siku hizi mimi naenda ile Kanisa ya Waislamu” .
Hieleweke pia lugha yeyote ile iliyohai uzidi kuimalika . Ndivyo ilivyo na Kiswahili pia. mathalani leo tunayo maneno mengi yamezalishwa ambayo kimsingi miaka michache hayakuwepo kwenye kiswahili
Aina ya tafsiri iliyotumika kitaaluma
Kwa kadri ya taaluma ya Kiutafsiri mtafsiri huyo wa Biblia ametumia moja kati ya aina kuu mbili za kiutafsiri ambapo aina ya kwanza ni ile ya tafsiri “Shabihifu” na ya pili ni tafsiri “Maanifu”.
Hivyo kimsingi katika kutoa maana hiyo ya Sinagogi- Msikiti wa Wayahudi, msaidizi huyu katika utafsiri wa Biblia alionekana kukosa namna ya kulieleza neno hilo sinagogi na ndipo akaadhimu kutoa tafsiri hiyo ambayo kitaaluma siyo tafsiri “Maanifu” (haiendani na asili ya neno katika lugha husika) bali alitumia tafsiri “Shabihifu” inayozingatia mambo machache yanayofanana baina ya vitu viwili ndiyo maana alisema ni Msikiti wa Wayahudi hivyo kamwe hakusema kuwa ni Msikiti wa Waislam maana alitambua kuwa katika wakati huo bado uislam haukuwa umeanzishwa.
Lakini pia nimeelezea kuwa mtu anaweza akamwelezea mzazi wake kuhusu kumputa kuwa ni Runinga ya siku hizi, hii aina maana kuwa computer ni TV ila unafananisha anachokijua mhusika ili japo kumweleza.
Hivyo basi kwa kuwa wenyeji wa pwani walikuwa wana ufahamu wa misikiti, basi mfasiri akaamua kutumia kauli hii.
Ebu fikiria kwa Kiswahili mara nyingi huwa twafasiri neno Pharmacy kwa maana ya Duka la dawa!!! Lakini je ni sawa?
HEBU SASA TUANGALIE MAANA NA MAJINA YA MAJENGO YA IBADA ILI TUONE UKWELI WA NENO HILI SINAGOGI KATIKA UTAALAMU WA WA LUGHA
Je Sinagogi laweza kuwa ni Msikiti katika uasili wa lugha?
Qur-an Surat 22:40
Andiko hili linataja majina ya majengo mbalimbali ya ibada ikiwemo na Sinagogi ingawa halikuwekwa kwenye tafsiri ya Qur-an ya Kiswahili ila tutalichunguza kwa watafsiri wengine wa Qur-an hususani tafsiri ya kingereza iliyotolewa na Mwanazuoni wa Kislam ndugu Yusufu Ally.
Qur-an ya sura ya 22 :40 katika tafsiri ya kiingereza inaeleza yafuatayo
Those who have been expelled from their homes unjustly but only because they say our Lord is Allah for had it not been that Allah checks one by means of another have been pulled down Monasteries Churches Sinagogues and Mosques …….
Tafsiri ya aya hiyo katika Kiswahili
Wale ambao wametolewa majumbani mwao pasipo haki, ila kwa kuwa wanasema: Mola wetu Mlezi ni Mwenyezi Mungu! Na lau kuwa Mwenyezi Mungu hawakingi watu kwa watu, basi hapana shaka zingeli vunjwa nymba za wat'awa, na Makanisa, na Masinagogi, na misikiti, ambamo ndani yake jina la Mwenyezi Mungu linatajwa kwa wingi. Na bila ya shaka Mwenyezi Mungu humsaidia yule anaye msaidia Yeye. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu Mtukufu. Al barwani Ambao wametolewa majumbani mwao pasipo haki ila kwasababu wanasema mola wetu ni Mwenyezi Mungu, na kama Mwenyezi Mungu asingeliwakinga watu baadhi yao kwa wengine bila shaka yangelivunjwa Mahekalu, Makanisa, Masinagogi na Misikiti…………. Al farsy
Katika sehemu hii tafsiri hiyo ya Qur-an iliyotolewa kwa lugha ya kingereza inataja wazi kuwepo kwa majengo mawili kati ya manne ambayo kwahakika ndiyo yanayosumbua watu wengi hata hivyo Qur-an inaonekana tena kwa uwazi ikiyatofautisha majengo hayo ambayo ni Masinagogi na Misikiti. Hilo linaonekana siyo tu katika tafsiri bali hata katika maandishi ya lugha ya Kiarabu.
Fuatilia majina ya majengo hayo katika matamshi ya kiarabu na maana zake hapo chini.
BILASHAKA YANGELIVUNJWA
KISWAHILI KIARABU
1) Mahekalu Swawamiyu
1. Hekalu Swawaamiu
2. Kanisa Biyaun
3. Msikiti Masjid
4. Sinagogi Swalawaatun
Katika ushahidi huu yametajwa majengo manne lakini mwishoni tunakuta majengo mawili na jengo la kwanza linaitwa “Swalawatuni” yaani Sinagogi na la pili “Masjid” yaani “Msikiti” hivyo haya ni majengo yaliyotofauti kabisa maana Sinagogi ingekuwa ni msikiti lisinge itwa Swalawatuni kwa kiarabu bali lingeitwa Masjid hivyo hii inadhihilisha kuwa katika maana halisi ya lugha sinagogi kamwe haliwezi kuwa ni msikiti hivyo ni kama nilivyoeleza mwanzo kuwa neno Sinagogi lilimaanisha kikutanisho au kukutanika.
ENDELEA SEHEMU YA TATU
Edited by Max Shimba
Narrated by Mwalimu Chaka wa Musa

KWANINI MUHAMMAD ALIRUHUSU KUNYWA MIKOJO YA NGAMIA?


Ndugu msomaji,
Huu ni MSIBA mkubwa sana kwa Waislam na Mtume wa Muhammad. Leo, Muhamamd kawa Daktari na kudai kuwa eti, MKOJO WA NGAMIA NI DAWA.
Soma:
Kwa mujibu wa Muhammad, watu waliteswa kwenye makaburi yao kwa sababu ya kujichafua na mkojo [wao wenyewe]. Bukhari juzuu ya1 kitabu cha 4 sura ya57 na.215 uk.141; Bukhari juzuu ya 1 kitabu cha 4 sura ya 57 na.217 uk.142.
Hata hivyo Muhammad aliwaamuru baadhi ya watu kumfuata mchungaji wake na kunywa maziwa na mikojo ya ngamia. Bukhari juzuu ya 7 kitabu cha 71 sura ya 6 na.589, 590 uk.398, 399 na juzuu ya 7 kitabu cha 71 sura ya 29 na.623 uk.418.
Muhammad pia alisema kuwa mkojo wa ngamia ni dawa nzuri. Ibn-i-Majah juzuu ya 5 kitabu cha 31 na.3503 uk.38.
Baadhi ya Waislam waliambiwa kunywa mkojo wa ngamia, waliishia kuwa waasi na kumuua mchungaji. Muhammad aliamuru wakatwe miguu na mikono yao na macho yao yachomwe. Sunan Nasa’i juzuu ya 1 na.308-309 uk.255-256. Tazama pia Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 52 sura ya 152 na.261 uk.162.
Hivi huyu kweli alikuwa Mtume wa Mungu? Mbona hatusomi hata sehemu moja kuwa Muhamamd alitumia neno la Allah kutibu watu?
Mbona Allah anatumia Mikojo kutibu watu, kwani Allah hana uwezo wa kuponya kwa jina lake?
Mbona Muhammad na Allah hawakuponya watu kwa jina la ALLAH?
Kwanini Muhammad alipo kula nyama yenye sumu hakunywa MIKOJO ya Mgamia ili kujitibu?
Kumbe kunywa mikojo ya ngamia ilikuwa ni sehemu ya NDUMBA ya Muhammad.
Kumbe Mikojo ya Ngamia inawafanya watu wawe vichaa.
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA.
Soma kituko kingine cha Muhammad.
Muhammad na Maji Safi
Udhibiti wa afya kwa kuondoa maji machafu na takataka (Sanitation): Watu walipomuliza kuhusu kunywa maji ya kwenye kisima chenye nguo za hedhi, mbwa waliokufa, na vitu vyenye kunuka, Muhammad alisema kuwa maji ni safi kabisa na huwa hayachafuliwi na kitu chochote. Abu Dawud juzuu ya 1 sura ya 35 na.66-67 uk.16-17.
Muhammad alikuwa Nabii wa uongo na sio Mungu.
Waislam nawakaribisha kwa Yesu Mungu Mkuu.
Max Shimba
For Max Shimba Ministries

KUMBE QURAN IMEJAA SHAKA NA HAIPO WAZIWAZI

Je, madai ya kuwa Quran imekalika na ipo waziwazi ni ya kweli?
Allah ateremsha aya na kudai kuwa, Quran haijakamilika na haipo waziwazi.
Allah asema kuwa aya zingine ndani ya Quran hakuna ajua maana yake isipokuwa Allah.
Ndugu wasomaji;
Leo tutaangalia utata ulio jaa ndani ya Quran ambayo wanadhuoni wengi hudai kuwa imenyooka, huku Allah akiwapinga na kuteremsha aya ambayo inasema kuwa Quran haijanyooka na haipo waziwazi.
Kwanza tuanze kwa kuangalia aya ambayo inasema kuwa Quran ipo wazi na aya zake zimepambanuliwa ni uongofu kwa walio ongoka.
Surat HUD (11:1). Alif Lam Ra. Hiki ni Kitabu ambacho Aya zake zimewekwa wazi, kisha zikapambanuliwa, kilicho toka kwa Mwenye Hikima na Mwenye Khabari
Surat Al Anaam (6:114). Je, nimtafute hakimu ghairi ya Mwenyezi Mungu, naye ndiye aliye kuteremshieni Kitabu kilicho elezwa waziwazi? Na hao tulio wapa Kitabu wanajua ya kwamba kimeteremshwa na Mola wako Mlezi kwa Haki. Basi usiwe katika wanao tia shaka.
Surat An nah’k (16:89). Na (waonye) siku tutakapo wainua mashahidi katika kila umma wakiwashuhudia kwa yanayo tokana na wao, na tutakuleta wewe uwe shahidi juu ya hao. Na tumekuteremshia Kitabu hiki kinacho bainisha kila kitu, na ni uwongofu, na rehema, na bishara kwa Waislamu
Surah tulizo ziweka hapo juu, zinasema na kudai kuwa Quran imepambanuliwa na ni kitabu kilizo elezwa waziwazi. Ikimaanisha kuwa, unapoisoma Quran, hautapata maswali au kusoma utata katika aya zilizo teremshwa na Allah.
LAKINI HAYO MADAI, YANAPINGANA NA UTATA KATIKA AYA IFUATAYO INAYO DAI KUWA, NDANI YA KURAN KUNA AYA AMBAZO ALLAH PEKE YAKE NDIE ANAZO ZIFAHAMU
Hebu tuisome hiyo aya:
Surat Al Imra (3:7) Yeye ndiye aliye kuteremshia Kitabu hichi. Ndani yake zimo Aya muhkam, zenye maana wazi. Hizo ndizo msingi wa Kitabu hichi. Na ziko nyengine za mifano. Ama wale ambao nyoyoni mwao umo upotovu wanafuata zile za mifano kwa kutafuta fitna, na kutafuta maana yake; na wala hapana ajuaye maana yake ila Mwenyezi Mungu. Na wale wenye msingi madhubuti katika ilimu husema: Sisi tumeziamini, zote zimetoka kwa Mola wetu Mlezi. Lakini hawakumbuki hayo isipo kuwa wenye akili.
Ndugu zanguni, huu ni msiba mwingine katika Uislam, Allah katika Surat Al Imra iliyoteremka Madina anasema kuwa:
i. Ndani ya Quran kuna Aya mukham, zenye maana wazi,
ii. Zipo aya zenye mifano ambazo wanao zifuata hutafuta fitna na kutafuta maana yake,
iii. Zipo aya ambao hapana ajuaye maana yake ila Allah.
Ndugu zanguni, hii Surat 3 aya 7 inapingana na Surat HUD 11:1, Surat Al Anaam (6:114), na Surat An nah’k (16:89) zinazo dai kuwa aya za kuran zipo waziwazi na zimepambanuliwa.
Sasa, Waislam wafuate kipi?
Je, Waislam wanaamini kipi katika hii Quran inayo jipinga yenyewe na ambayo haipo waziwazi?
Mbona Allah anajipinga mwenyewe katika hizo aya hapo juu?
Au tatizo lilikuwa ni Muhammad ambaye alikuwa hajui kusoma wala kuandika na alishindwa kukariri maelekezo ya Jibril?
ZAIDI YA HAPO, kwanini Allah aliteremsha aya ambazo hakuna azijuaye ila yeye Allah?
Hizo aya zinamsaidia vipi Mwislamu?
Waislam wanapata faida gain wanapo zisoma hizo aya huku ikifahamika kuwa ajuaye maana zake ni Allah peke yake?
MWSIHO, ningependa kufahamu, hawa Waislam wanaelewaje kuwa aya walizo zisoma ndivyo walitakiwa walelewa huku ikifahamika Allah ameweka mtego kwa kusema kuwa, kuna aya ndani ya Quran ambazo ni Allah pekee anaye zifahamu.
Kumbe ndio maana Waislam wana pigana wenyewe kwa wenyewe kama ISIS, Sunni vs Shia, nakadhalika.
Kumbe ndio maana Quran inausaidizi wa Sahih Hadith na Suna za Muhammad.
Huu ni msiba mwingine katika dini ya Allah.
Kwanini Allah aliteremsha aya ambazo anazifahamu yeye mwenye?
Karibuni kwa Yesu aliye hai ambaye ametuletea Roho Mtakatifu kama Kiongozi wetu.
Yohana 16: 3 Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake. 14 Yeye atanitukuza mimi, kwa kuwa atatwaa katika yaliyo yangu na kuwapasha habari. 15 Na yote aliyo nayo Baba ni yangu; kwa hiyo nalisema ya kwamba atatwaa katika yaliyo yangu, na kuwapasheni habari.
YOHANA 16: 26 Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.
1 YOHANA 2: 27 Nanyi, mafuta yale mliyoyapata kwake yanakaa ndani yenu, wala hamna haja ya mtu kuwafundisha; lakini kama mafuta yake yanavyowafundisha habari za mambo yote, tena ni kweli wala si uongo, na kama yalivyowafundisha, kaeni ndani yake.
Ndugu wasomaji, Yesu amesha weka kwa uwazi kuwa, ukimfuate yeye, basi utapokwa kipawa cha Roho Mtakatifu na yeye huyo Roho Mtakatifu ataishi ndani yetu na atatufundisha yote.
Karibuni kwa Yesu.
Mungu awabariki sana
Max Shimba Ministries Org

ALLAH ATEREMSHA AYA NA KUSEMA MAJINI NI MAISLAM NA YANAMWABUDU YEYE


MAJINI KATIKA DINI YA KIISLAM ( Q 72:1-14 )
1. QURAN INASEMA KUWA MAJINI YANAZALIANA NA KUFA KAMA BINADAMU
2. ALLAH AYARUHUSU MAJINI KUZAA NA WAISLAMU
3. QURAN INAKIRI KUWA MAJINI NI MAISLAM NA YALISILIMU PALE QURAN ILIPO TEREMSHWA KWA MUHAMMAD.
4. MAJINI YANAMWABUDU ALLAH
5. KILA MUISLAM AMEPAGAWA NA MAJINI KATIKA MWILI WAKE
Leo ningependa tujifunze kidogo kuhusu Majini au Mashetani katika Uislam.
JINI NI NINI?
Katika lugha ya kiarabu, neno Jini linamaanisha kitu kilichofichwa au kisichoonekana QURAN 1:71 Neno hili hutumiwa na Waarabu kwa ajili ya kutaja jina fulani. Kwa Waarabu, Jini anayevaa sura ya kike humwita Jinivya, hivyo majini Ghul/Ghilan, nao hujifunua kwa sura ya kike.
Katika imani ya Kiislamu, wao huamni kwamba Majini hutofautiana na Mashetani. Majini waliosilimu wao huitwa majini mazuri na hawa wakiwa katika hali kujionyesha kwa wanadamu, hao huitwa AJINU na wale walioacha kusilimu mwaka 610 AD (Baada ya Kristo) katika safari ya mtume Muhamad alipotoka Taif , wao wanaitwa Mashetani . Hivyo, wao wanapokuwa katika hali ya kutoonekana huitwa ALBAHATWA lakini pia Majini wote wanapokuwa katika hali ya kutoonekana waweza kuitwa ALBAHATWA, yaani PEPO.
QURAN INASEMA KUWA MAJINI YANAZALIANA NA KUFA KAMA BINADAMU
Muislamu huamini kwamba kuna majini ya kike na kiume. Lakini pia , huamini kuwa Majini huoana na kuzaliana QURAN 55:56 na kuwa Majini huzaa sana kuliko binadamu na kwamba, Jini mmoja anaweza kuzaa watoto 300, na kuwa Jini huzaa watoto 3 hadi 4 kwa mkupuo. Somo QURAN 55:26-28 na kuwa Majini wanaweza kuishi miaka 400-1,000 kisha wanaweza kufa. Tofauti yao na binadamu ni kwamba wao wanaishi miaka mingi kuliko binadamu. Lakini pia, huamini kuwa wapo Majini wanaokula, wanaomeza, wanaokunywa, ila tofauti yao na wanadamu ni kwamba wao hula kwa kutumia mkono wa kushoto.
ALLAH AYARUHUSU MAJINI KUZAA NA WAISLAMU
Pia hiamini kuwa Majini wana uwezo wa kuzaa na Wanadamu. Soma QURAN 17:64. Waislamu huamini kwamba mtu anauwezo wa kuoa au kuolewa na Jini bila kujua, na mwanadamu anauwezo wa kumuua Jini. Soma QURAN 57:14-15
SURATULJINN
Ndani ya QURAN pia imo sura inayoitwa Suratuljinn (QURAN 72). Sura hiyo huitwa hivyo kwa sababu ni sura ya Majini (Mapepo).
Kwa nini wanatajwa Majini katika imani ya Kiislamu?
QURAN INAKIRI KUWA MAJINI NI MAISLAM NA YALISILIMU PALE QURAN ILIPO TEREMSHWA KWA MUHAMMAD.
KUMBE MAJINI YANAIGOPA TAURAT, INJIL NA ZABURI.
Majini wanatajwa sana katika dini ya Kiislamu kwa kuwa ni Waislam kwa kusilimu, kwa kuiamini Quran tukufu aliyopewa Muhammad.
Majini walisilimu na kuwa Waislamu mwaka 610 AD(Baada ya Yesu) SOMA 72:1-14 QURAN. Hivyo basi, unapotumia neon jinni maana yake unatumia lugha ya Kiarabu ukimaanisha Pepo mchafu. Ni kama Spoon/kijiko, vyote ni kitu kimoja. Ndani ya Quran, neon “PEPO” limetumika kama Paradiso, mbinguni. Lakini pia, tunapata neon jingine liitwalo AKHERA ila neno hilo halimaanishi PARADISO, bali kwa lugha ya Kiarabu neno hili “AKHERA” lina maana ya KUZIMU.
Lakini pia ukiangalia ndani ya SURALJINN ( QURAN 72:1-2, 8-9, 12 ) Mapepo hawa wanajieleza waziwazi kabisa kuwa mwanzo waliishi Mbinguni, walipogeuka kwa kuasi, walitegwa na Mungu. Linganisha na maandiko haya katika Biblia ( UFUNUO WA YOHANA 12:7-9; YUDA 1:6-8; UFUNUO 20:10; UFUNUO 21:8 ). Kwa mujibu wa dini ya Kiislamu, hawa majini ( Mapepo ) waliotegwa na Mungu Mbinguni wakiwa Malaika huko na kutupwa Duniani baada ya kuasi huko, sasa, wakati wa mtume Muhamad katika safari yake ya kurudi Taif mwaka 620 AD (baada ya Yesu) wapo walioamini na kuona kuwa Quran ni ya ajabu ya kuwatangazia neema ya kuabudu. Katika vol 8-9, husema , wanapojaribu kwenda Mbinguni ( walikotoka zamani ), hukuta ile Mbingu imezungushiwa vimondo vya moto. Hivyo, hudai kuwa mbingu yao iko Akhera, yaani Kuzimu, maana Mbingu ya juu ina moto na hawana uwezo wa kwenda huko. SOMA (QURAN 72:9), Mbingu ina utisho wa moto ila Akhera ( kuzimu ) hakuna shida kwao.
MAJINI YANAMWABUDU ALLAH
Hivyo basi, kulingana na jinsi Allah asemavyo ndani ya Quran kuwa nimeumba binadamu na majini ili muniabudu ( QURAN 57:58 ; 51:56) na kuwa , mbinguni mwao Majini wanaabudu (Majini waliosilimu mwaka 620 AD) ,SOMA QURAN 72:14, ambao ni wema wanaosafiri na kurithi uzima wa milele upatikanao Akhera ( Kuzimu ). Lengo kubwa la Shetani na Majini ni kufanya urafiki na wanadamu wengi ili kwa wingi huo apate watu wengi wa kwenda nao JEHANAMU ( QURAN 6:128 ). Jambo la muhimu kujua hapa ni kwamba moto wa milele hakuwekewa Mwanadamu bali ni Shetani na malaika zake wote ( Majini au mapepo ). Hawa, hawana nafasi tena ya kuungama au kutubu.
Yesu Kristo anayetambuliwa na Waislam kama Mtume tu WANAE MWITA ISSA, hakuwa na urafiki wowote na Shetani wala Mapepo ( Majini ). Aliyaamuru Majini kutoka ndani ya watu waliokuwa wakiteswa nayo ( MATHAYO 8:29: MARKO 5 N,K )
Wakati Yesu anaondoka hapa duniani, alichukuliwa na wingu na kupaa kuelekea juu. Mbinguni ni juu kama Quran inavyothibitisha. Yesu aliweza kupaa na kuingia Mbinguni lakini Majini ( Mapepo ) walioslimu wakijaribu tu, wanakutana na moto mkali. Tumeona kuwa Majini ambao ni Waislamu kwa kusilimu, wanaishi AKHERA yaani Kuzimu. Je, Waislamu wengine unadhani wataishia wapi milele? Katika imani ya Kiislam huamini kuwa, Muislam akifa anakuwa na Majini wawili wa Kumlinda humo Kaburini.
KILA MUISLAM ANA JINI KATIKA MWILI WAKE
Majini wamepewa ruhusa ya kukaa katika mwili wa Muislam yeyote, hivyo kila Muislam ana Jini kuanzia moja na kuendelea. Vile vile Majini wameruhusiwa kukaa katika nyumba za Waislam. Katika nyumba yoyote ya Muumini wa dini hiyo, kuna Jini au Majini wanaokaa humo. Ni ukweli usiopingika kuwa bila Majini hakuna Uislamu kama vile pasipo Roho Mtakatifu hakuna Ukristo. Majini ndiyo yaliyomchukua mtume Muhamad kwa muda wa siku 40 akiwa Mabondeni walikompeleka na kuanza kumuagiza kuhusiana na kuanzisha imani hiyo ya Kiislamu.
USHAURI WANGU KWA WA WAKRISTO:
Ushauri wangu wa bure kwa Mkristo ni huu, USIMUACHE KAMWE KRISTO NA KUINGIA KATIKA IMANI ZA MASHETANI (1TIMOTHEO 4:1-2 ).
Majini au Mashetani ni kitui kimoja na wala hakuna tofauti yao. Wote hao Mashetani/Majini yalimpinga Mungu na kutupwa duniani. Biblia inasema kuwa Hakuna Msamaha kwa Majini maana wao walisha hukumiwa na wanacho subiri ni kutupwa Jehannam.
Shetani bado ni “mfalme wa nguvu za anga” (Waefeso 2:2). Hii inamaanisha kwamba Shetani na Malaika wengine walioasi wanaweza kushawishi mia zetu na mawazo yetu kupitia miziki, runinga, mijadala, nk. Tumeambiwa kujihadhari katika mawazo na nia zetu (2Wakorintho 10:3-5). 2Wakorintho 4:4 inatuambia kuwa mungu wa dunia hii amepofusha mawazo ya watu ili wasiamini.
Shetani ndiye yuko nyuma ya dini zote za uongo na dini za dunia. Shetani atafanya na kila kitu katika uwezo wake ili ampinge Mungu na wale wote wanaomfuata. Ingawa hatima ya Shetani imewekwa muhuri kuwa tanuru la moto milele (Ufunuo Wa Yohana 20:10).
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

TRENDING NOW