Friday, July 8, 2016

TANGA: USTAADH AFUMANIWA NA MKE WA MTU, APINGWA KIPIGO CHA KUFA MTU, ACHANWA MDOMO.


HII NDIO EID AL FITR KWA NDUGU ZETU WAISLAM
PICHA INATISHA. SAMAHANI KWA GRAPHIC IMAGES

MUHAMMAD AKUFURU NA KUSEMA KUWA ALLAH ATAMWOZA MARYAM MAMA YAKE YESU NA MKE WA FIRAUNI AKIWA AKHERA


Ndugu zanguni,
Kila siku huwa nasema Muhammad ni nabii wa uongo na mpenda ngono.
Kufuatana na vitabu vya dini ya Uislam Muhammad anasema ifuatavyo:
Nabii wa Allah akasema: Mwenyezi Mungu atanioza kwa Maryan Mwana wa Imran pamoja na Mke wa Firauni na dada ya Nabii Musa. (Tabarani)" (Ibn Kathir, Qisas al-Anbiya [Cairo: Dar al-Kutub, 1968/1388], p. 381- as cited in Aliah Schleifer's Mary The Blessed Virgin of Islam [Fons Vitae; ISBN: 1887752021; July 1, 1998], p. 64;)
Kufuatana na Quran, Maryam ni mtoto wa Imran
Surat Al Imran
35. Alipo sema mke wa Imran: Mola wangu Mlezi! Nimekuwekea nadhiri kilichomo tumboni mwangu kuwa wakfu; basi nikubalie. Hakika Wewe ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kujua.

36. Basi alipo mzaa alisema: Mola wangu Mlezi! Nimemzaa mwanamke - na Mwenyezi Mungu anajua sana aliye mzaa - Na mwanamume si sawa na mwanamke. Na mimi nimemwita Maryamu. Nami namkinga kwako, yeye na uzao wake, uwalinde na Shet'ani aliye laaniwa.
Kama Quran inavyo sema hapo juu, Maryam ni mtoto wa Imran.
MASWALI KWA WAISLAM:
Kwanini Muhammad anapenda sana Wanawake?
Kwanini Muhammad anapenda sana kuchukua wake za watu wengine?
Vipi kuhusu wale wake 72 ambao ni bikira? Au Muhammad yeye atapewa wake kede kede kama ilivyo utamaduni wake?
MUHAMMAD NI NABII WA UONGO NA YUPO JEHANNAM ANACHOMEKA KWA MADHAMBI MAKUBWA MAKUBWA ALIYO FANYA.
Soma hii habari kwa Kiingereza hapa: http://www.answering-islam.org/Shamoun/mary.htm
"The Messenger of God ... said, ‘God MARRIED ME IN PARADISE TO MARY THE DAUGHTER OF 'IMRAN and to the wife of Pharaoh and the sister of Moses.’ (Tabarani)" (Ibn Kathir, Qisas al-Anbiya [Cairo: Dar al-Kutub, 1968/1388], p. 381- as cited in Aliah Schleifer's Mary The Blessed Virgin of Islam [Fons Vitae; ISBN: 1887752021; July 1, 1998], p. 64)
According to the Quran, Mary's father is called Imran:
"Behold! a wife of Ìmrán said: ‘O my Lord! I do dedicate into Thee what is in my womb for Thy special service: So accept this of me: For Thou hearest and knowest all things.’ When she was delivered, she said: ‘O my Lord! Behold! I am delivered of a female child!’ - and Allah knew best what she brought forth - ‘And no wise is the male like the female. I have named her Mary, and I commend her and her offspring to Thy protection from Satan, the Rejected.’" S. 3:35-36

MUHAMMAD AWAAGIZA WAISLAM WOTE KUVAA VIATU WAKATI WANASWALI MSIKITINI


KUMBE KUVUA VIATU NI UTAMADUNI WA WAYAHUDI.
“Nabii wa Allah akatuambia: Msiwe kama Wayahudi wanao Swali bila ya Viatu au viatu vyao vya ngozi (khufoof).” (Abu Dawood, 652; classed as saheeh by al-Albaani in Saheeh Abi Dawood, 607).
Kumbe utamaduni wa kuvua viatu ni wa Wayahudi na sio WAISLAM WANAO KOPIA KILA KITU. Huu ni MSIBA MKUBWA SANA.
SASA TUMSOMEA NABII WA ALLAH:
SOMA UTHIBITISHO HAPA:
Anas ibn Maalik (may Allaah be pleased with him) aliuiza, Je, Mtume Muhammad (PBUH) aliomba huku akiwa amevaa Viatu? Alinijibu NDIO” (al-Bukhaari, 386; Muslim, 555).
Endelea uone kwanini Muhammad alivua viatu mara moja:
Ngoja niwaletee hadith ya Abu Saeed al Khudri alisema: Wakati nabii wa Allah alipo kuwa anaongoza swala kwa Maswahiba wake, alivua viatu vyake na akaviweka upande wa kushoto. Maswahiba wake walipo muona, nao wakavua viatu vyao. Nabii wa Allah alipo maliza kuongoza swala, akawauliza Maswahiba wake, kwanini walivua viatu vyao? Wakamjibu, sisi tumekuona wewe ukivua viatu vyako, na sisi tukafanya hivyo. Nabii wa Allah (amani iwe juu yake) akasema: Jibril (PBUH) alikuja na akaniambia kuwa kulikuwa na uchafu kwenye viatu vyangu. Lakini nyie mnapo kuja Msikitini, vichunguzeni Viatu vyenu na kama mkiona uchafu kwenye Viatu vyenu, basi, safisheni au toeni huo uchafu na muombe huku mkiwa mmevaa Viatu. (Abu Dawood, 650; classed as saheeh by al-Albaani in Saheeh Abi Dawood, 605).
Kumbe basi Muhammad alikuwa anavaa viatu alipo kuwa Msikitini isipokuwa mara moja tu alipo ambiwa na Jibril kuwa viatu vyake vina uchafu.
WAISLAM, KWANINI HAMFUATI MAAMRISHO YA MUHAMMAD YA KUVAA VIATU MSIKITINI NA MNAENDELEA KUFUATA UTAMADUNI WA WAYAHUDI WA KUTO VAA VIATU?
Natanguliza pole kwa Waislam.

ALLAH NA MUHAMMAD WARUHUSU NDOA YA MUT’AH. HII NI NDOA YA MASAA, UNAOA MKE KWA MASAA KWA AJILI YA NGONO HALAFU UNAMPA TALAKA


Je, umalaya umeruhusiwa katika Uislam?
Somo la leo ni la Umalaya kama lilivyo pewa kipaumbele na mungu wa Uislam ajulikanaye kwa jina la Allah. Uislam unaruhusu Umalaya kwa kutumia sheria ya Mut'ah.
Mut'ah ni ndoa AMBAYO inaweza kudumu kwa muda mfupi sana. Ndoa Hii haihitaji mashahidi, na haina kipindi cha 'iddah. Fidia ya kima cha chini ambayo inaweza kulipwa kwa mwanamke kwa ajili ya mahusiano ya kingono ni dirham moja (yaani, chini ya dola senti 25) ". 29 (Dr Ahmad 'Abdullah Salamah, Mashia Dhana ya Ndoa Muda (Mut'ah)
Katika Mut'ah, HAKUNA TALAKA ; Pale utakapo mlipa huyo hawara kiasi cha fedha na utakapo maliza shida zako za kingono, unakuwa huru na hakuna wajibu, hakuna sheria ya urithi, au mchakato wa talaka. Sheria inayo bakia ni moja tu ambayo inambana mwanamke kwa siku 45 kabla ya kuingia kwenye ndoa nyingine ya Mut’ah, wakati huohuo Mwanaume yeye anaweza kuingia Ndoa nyingine ya Mutah mara moja, hata ikiwa bado ameoa katika Mut'a nyingine. Cha kushangaza, Waislam wanashabikia hii Ndoa ya kimalaya huku Allah akiwaambia kuwa, kabla ya kuingia Ndoa nyingine ya Mut’ah lazima watoe talaka, wao wamejipa haki ya kuendelea kutekeleza matakwa yao ya kingono. Katika Surah 2 aya 228 Allah anasema, Wanawake wangoje peke yao kwa vipindi vitatu kila mwezi na si halali kwao kuficha kile ambacho Allah aliviumba katika matumbo yao . Katika Mut'a, mwanamke anaweza kuwa mjamzito na mtoto wa mume wake wa kwanza wa Mut'a na kuolewa na mume wake wa pili wa Mut'a au kuingia ndoa ya kudumu.
Ndugu wasomaji, leo tumejifunza kuhusu umalaya ndani ya dini ya Kiislam. Uislam umeruhusu Ndoa hii ili kukidhi matakwa ya Wanaume wa Kiislam na kuendelea kuwashusha hadhi Wanawake wa kiislam ambao katika Uislam wao ni nusu ya Mtu.
Quran 4:11. Mwenyezi Mungu anakuusieni juu ya watoto wenu: Fungu la mwanamume ni kama fungu la wanawake wawili. Na ikiwa wanawake zaidi ya wawili, basi watapata thuluthi mbili za alicho kiacha maiti. Lakini akiwa mtoto mwanamke ni mmoja, basi fungu lake ni nusu. Na wazazi wake wawili, kila mmoja wao apate sudusi ya alicho kiacha, ikiwa anaye mtoto. Akiwa hana mtoto, na wazazi wake wawili wamekuwa ndio warithi wake, basi mama yake atapata thuluthi moja. Na akiwa anao ndugu, basi mama yake atapata sudusi. Haya ni baada ya kutolewa alicho usia au kulipa deni. Baba zenu na watoto wenu, nyinyi hamjui ni nani baina yao aliye karibia zaidi kwenu kwa manufaa. Hiyo ni Sharia iliyo toka kwa Mwenyezi Mungu. Bila ya shaka Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye hikima.
Katika Uislam, Mwanamke hana thamani yeyote ile, ndio maana Allah alitoa ahadi ya Wake 72 kwa Wanaume wa Kiislam na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam.
Quran 2:228. Na wanaume wana daraja zaidi kuliko wao. Na Allah ni Mwenye nguvu na Mwenye hikima
Allah anaendelea kusema kuwa Mwanaume wa Kiislam ni wathamani zaidi ya Mwanamke wa Kiislam. Hapo ndipo tunaelewa kuwa, hata hii Sheria ya ndoa ya MUT’AH iliwekwa ili kuwakidhi Wanaume ambao wapo juu ya Wanawake.
Ndugu wasomaji.
Mungu wa Biblia anakataza umalaya wa aina yeyote ile.
Katika Injili kutokana na Mathayo Sura ya 5 aya ya 28 inasema kuwa: lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.
Neno la Mungu linatuonya kwamba, hata kumwangalia Mwanamke kwa matamanio ni kutenda dhambi, lakini katika Uislam, unayo ruhusa ya kumtamani Mwanamke na kuingia kwenye ndoa ya Mut’ah ili kukidhi shida zako za kimwili. Hii ni tofauti ya Yehovah wa Biblia na Allah wa Koran ambaye anaruhusu umalaya kupitia Mut’ah wakati Yehovah anasema kufanya hivyo ni kutenda dhambi.
Mungu atusaidia ili tuifahamu kweli iliyo katika Kristo Yesu.
Katika Huduma yake
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013

Saturday, July 2, 2016

IMAMU ALIYE SOMEA UISLAM SAUDI ARABIA AMPOKEA YESU NA KUKIRI KUWA YESU NDIO NJIA PEKEE YA KWENDA MBINGUNI.


ASEMA ALLAH SIO MUNGU
ASEMA MUHAMMAD NI NABII WA UONGO

KWANINI ALLAH ANAAPA KWA YEHOVA "YAHUH" ALIYE UMBA KILA KITU?


1. Kumbe Allah sio Yahuh-Yehova.
2. Kumbe Allah hakuumba.
3. Kumbe Yesu ni Mungu.
Ndugu msomaji,
Kwanza tujifunze maana ya kuapa ili tuweze elewa kwanini Allah aliapa kwa Yehova.
Nini maana ya kuapa?
Kuapa, au Kula kiapo, au Kula Yamini, kunamaanisha kumthibitishia, kwa kutumia Jina la Mwenyezi Mungu, kwamba jambo fulani linaloapiwa – na ambalo halina ushahidi wazi wazi- ni kweli na sahihi kama linavyodaiwa na mwenye kula kiapo hicho na hivyo basi ni budi kusadikiwa madai hayo kwani Mdhamini Mkuu ni Mwenyezi Mungu, Mjuzi Pekee wa ukweli au uwongo wa mambo yaliyofichika nyoyoni!
katika Hadithi iliyopokelewe na Abdallah bin `Umar R.A.A. na iliyotolewa na L-Bukhari, “
"إِنَّ اللَّهَ يَنْهَاكُمْ أَنْ تَحْلِفُوا بِآبَائِكُمْ ، فَمَنْ كَانَ حَالِفًا فَلْيَحْلِفْ بِاللَّهِ أو فَلْيَصْمُتْ"
Maana yake, “Hakika Mwenyezi Mungu anakukatazeni kuapa kwa baba zenu, atakaeapa aape kwa Mwenyezi Mungu au anyamaze
Sasa tumsome Allah ambaye sio Yehova "Yahuh", je yeye anaapa kwa nani?
SURAT ASH-SHAMS 1-3
1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..
Hivi mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu? Je, nani kaumba hapo. Maana Allah anaapa katika aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah ambaye sie Yehova hakuumba.
Zaidi ya hapo, Allah anaapa kwa usiku. Kumbe usiku una mamlaka zaidi ya Allah. Allah anaapa kwa mchana, kumbe mchana una mamlaka zaidi ya Allah.
Mbona katika SURAT ASH-SHAMS Allah anaapa kwa (1) Usiku (2) Mchana (3) kwa aliye umba kiume na kike?
Je, ni nani huyu aliye umba Kiume na Kike ambaye Allah wa Islam anaapa kwake? Endelea kusoma...kutoka Biblia Takatifu….
Yeremia 27: 5 Mimi nimeiumba dunia hii, wanadamu na wanyama walio juu ya uso wa nchi, kwa uweza wangu mkuu, na kwa mkono wangu ulionyoshwa; nami nawapa watu kama inipendezavyo.
Sasa tunamsoma Yehovah ambaye ni Mungu wa Biblia kuwa yeye ndie aliye umba kila kitu, pamoja na Kiume na Kike ambacho Allah wa Islam anaapa kwake. Kwahiyo, Jehovah aliumba kiume na kike, na Allah wa Islam anaapa kwake, sasa jaza mwenyewe nani ni Mungu?
Je, Mungu anaweza kuapa kwa Mwengine? Endelea kupata elimu …
Waebrania 6:13 Mungu alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa jina lake mwenyewe, maana hakuna aliye mkuu kuliko Mungu ambaye kwa huyo angeweza kuapa.
Jehova anasema hakuna Mkubwa wangu wa kuapa kwake, lakini Allah katika Kuran anasema kuwa yeye anaapa kwa aliye umba kiume na kike.
Hivyo basi leo tunafahamu kuwa aliye umba ni Jehona na Allah anaapa kwa Jehovah Mungu wa Biblia na Wakristo.
Mungu awabairiki sana
Ni mimi Max Shimba mtumwa wa yesu Kristo
Copyright © Max Shimba Ministries 2016

WAISLAM WA NCHINI SUDAN WAKIWA WAMELALA MSIKITINI BAADA YA KUZIDIWA NA NJAA WAKATI WA MFUNGO WA RAMADHAM.


Allah ambaye sio Yehova kupitia Quran anasema hivi:
“Hapana kulazimisha katika Dini.” (02:256)
WAKATI HUO HUO ANASEMA TENA HIVI:
WAISLAM WAMELAZIMISHWA KUFUNGA SWAUMU
Quran 2:183 Enyi mlioamini mmelazimishwa kufunga saumu kama walivyolazimishwa waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha mungu.
SASA TUFUATE LIPI?

KUMBE ALLAH ANAYE MSAIDIZI


1. Je, Allah anaye Msaidizi, mbona anatumia wingi katika kujieleza?
2. Kama Allah hana msaidizi, je Waislam mna Ma-Allah wangapi?
Hebu rejea kwenye Kuran kwanza:
Suratul Anbiyaa 91. Na mwanamke aliye linda uke wake, na TUKAmpulizia katika roho YETU, na TUKAmfanya yeye na mwanawe kuwa ni Ishara kwa walimwengu.
Ndugu zanguni, Allah ameanza vituko vyake hapa. Katika Koran Allah anadai kuwa hana msaidizi Suratul Baqarah: aya 106 ― 107 Lakini katika aya tuliyo isoma hapo mwanzoni - Suratul Anbiyaa 91 tumeona kuwa Allah anatumia wingi alipo kuwa akielezea jinsi alivyo mpa ujauzito Maryam na au labda wenzetu wana MA-ALLAH WENGI.
Waislam, nyie mna Ma-Allah wangapi?
ALLAH ANAMUUMBA ISA BIN MARYAM KWA KUTUMIA WINGI
Kuran imejaa utata, hebu soma hapa Suratul Attahriim 12. Na Mariamu binti wa Imrani, aliye linda ubikira wake, na TUKAmpulizia humo kutoka ROHO YETU, na akayasadiki maneno ya Mola wake Mlezi na Vitabu vyake, na alikuwa miongoni mwa wat'iifu.
HAPA: Allah anasema kwa undani zaidi TUKAmpulizia ROHO YETU. Hivi huyu Allah ni kweli alikuwa Mungu au ni madai ya Muhammad na rafiki yake Jibril? Mbona alisema kuwa yeye hana msaidizi wala Mwana? Kivipi Allah anatumia wingi katika kumuumba Isa Bin Maryam? Kumbe Waislam mna Ma-Allah wengi.
Aya zaidi kuhusu Maryam na kupata ujauzito za Isa: Suratul Anbiyaa 91.
Endelea hapa tena:
ALLAH ANAMUUMBA BINADAMU KWA KUTUMIA WINGI:
Suratul Hijr 26. Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura.
HAPA tumesoma kuwa Allah anamuumba Binadamu kwa kutumia wingi" Nukuu: Na TULIMUUMBA MTU"
Endele hapa tena
ALLAH ANAUMBA MAJINI KWA KUTUMIA WINGI:
Suratul Hijr 27. Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.
Allah anaendelea kutumia wingi katika uumbaji. Sasa anasema kuwa "TULIWAUMBA MAJINI" Allah anaendelea kutumia wingi katika uumbaji.
Je, unafikiri kuwa labda Allah alijisahau au fanya makosa pale alipo sema kuwa yeye hama msaidizi. Kumbe Waislam wana Ma-Allah wengi.
Wadhalimu wa dini ya Kiislam wamekuwa mstari wa mbele kusema kuwa, eti Wakristu wana miungu mingi na wao wana Mungu Mmoja tu naye ni Allah. Leo tumejifunza kuwa, Allah hayupo peke yake maana sasa anatumia wingi katika kazi zake ikiwa pamoja na ya uumbaji wa Binadamu na Majini.
Nukuu zingine ambazo ALLAH anatumia wingi: S. 3:44, S. 3:145, S. 17:1, S. 6:114, S. 19:40-42, 50-53, 56-74 Arberry, S. 2:252-253 , S. 3:108 Y. Ali; cf. S. 45:6, S. 37:161-166 Pickthall, S. 37:170-182 Y. Ali, S. 23:12-14 Arberry, S. 19:16-2, S. 66:12 Pickthall, S. 15:26-29 Pickthall.
Ndugu zanguni nimeweka ushaidi wa kutosha kutoka Quran yao kuhusu wingi ambao Allah amekuwa anautumia kila mara kwenye Quran yake.
1. Waislam, nyie mna MA-ALLAH WANGAPI?
2. Je, Allah anaye Msaidizi?
3. Je, Allah anaye Mwana ambaye na yeye ana wadhifa wa Ki Allah?
4. Kwanini Allah anatumia wingi huku tukifahamu kuwa Allah hafananishwi wala hana msaidizi?
Hakika kuna shaka kubwa kubwa kwenye Quran ya Allah ambayo sasa inasema kwa kutumia wingi.
Biblia inasema kuwa Mungu anaye Mwana na anaitwa Yesu, zaidi ya hapo Biblia inatuambia kuwa kuna Mungu Roho Mtakatifu na hao wote ni WAMOJA katika Roho.
Karibuni kwa Mungu wa Biblia ambaye amesema kiuwazi kuwa yeye ni Baba na ana Mwana ambaye na yeye ni Mungu. Kumbuka hawa ni wamoja kwa kupitia Mungu Roho Mtakatifu.
Katika Huduma yake.
Max Shimba Ministries Org.
1633 Broadway, 30th Floor, New York, NY 10019

MTUME MUHAMMAD ALITUMIA NDUMBA



1. Mtume Muhammad alitumia Ndumba
2. Mtume Muhammad adai eti Nywele zake zinatibu jicho ovu.
3. Wapi katika Biblia tunasoma kuwa Manabii na Mitume wa Biblia walitumia Ndumba?
Ndugu Msomaji,
Leo ningependa tusome kuhusu Muhammad na Utumiaji wa NDUMBA katika Uislam,
MTUME MUHAMMAD ANATUMIA NDUMBA
Muhammad alitumia ndumba [nguvu za kimazingaombwe] dhidi ya jicho ovu na wanyama jamii ya mjusi wenye sumu Ibn-i-Majah juzuu ya 5 na.3525 uk.48.
Hivi wapi tunasoma katika Taurat au Zaburi au Injir kuwa Mitume na Manabii wa kwenye Biblia walitumia NDUMBA?
Hivi Allah hana uwezo wa kutibu jicho ovu au Sumu mpaka atumie NDUMBA?
MUHAMMAD SASA AMPA MKE WAKE AISHA NDUMBA
Muhammad alimpa ‘Aisha ndumba ili kutibu jicho ovu. Sahih Muslim juzuu ya 3 kitabu cha 24 na. 5445,5447-5450 uk.1196.
Hivi Ndumba ina tofauti gani na UCHAWI? Sasa hapo juu tumesoma kuwa Muhammad ametoa NDUMBA kwa mke wake kipenzi.
Wapi tunasoma kuwa Manabii wa Biblia walitumia NDUMBA?
Muhammad aliamini katika jicho ovu, na kulikuwa na hirizi dhidi yake al-Tabari juzuu ya 39 uk.134.
Sura mbili za mwisho (113 and 114) ziliandika juu ya ubaya wa jicho ovu kufuatana na Ibn-i-Majah juzuu ya 5 na.3517 uk.41.
Hata hivyo, sura za 113 na 114 hazimo katika toleo la Ibin Mas’ud katika Korani (The Fihrist uk.57). Kuondolewa huko hakukuwa kwa bahati mbaya. Ilitaarifiwa kuwa Ibn Mas’ud alisema, "Hirizi mbili-Sura za [113, 114] si Kitabu cha Mungu."
Ibn Mas’ud alikuwa katibu muhtasi wa Muhammad. Muhammad aliwaambia watu wengine wajifunze kutoka kwa Ibn Mas’ud na wengine watatu. (Bukhari juzuu ys 6 kitabu cha 60 sehemu ya 8 na.521 uk.486-487).
MUHAMMAD ASEMA NDUMBA NANGAE HUTIBU JICHO OVU
Ndumba hutibu jicho ovu. Ibn-i-Majah juzuu ya 5 na.3510, 3511 uk.41; juzuu ya 5 na.3512 uk.42.
ALBADIRI NI NDUMBA
Albadiri inaruhusiwa dhidi ya jicho ovu na inge Ibn-i-Majah juzuu ya 5 na.3513-3518 uk. 42-44.
Jicho ovu ni hali halisi. Bukhari juzuu ya 7 kitabu cha 71 sehemu ya 36 na.636 uk.427, juzuu ya 7 kitabu cha 71 sehemu ya 86 na.827 uk.538. Soma pia Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 55 sehemu ya 9 na.590 uk.386.
Jicho ovu ni kweli. Ibn-i-Majah juzuu ya 5 na.3506, 3507 uk.39.
"…Ushawishi wa jicho ovu ni hali halisi." Sahih Muslim juzuu ya 3 kitabu cha 24 na.5426 uk.1192. Soma pia Sahih Muslim juzuu ya 3 kitabu cha 24 na.5424-5427 uk.1192.
Amir bin Rabia alisemekana kuwa alitoa jicho ovu kwa mtu fulani. Ibn-i-Majah juzuu ya 5 na.3508 uk.40.
Hata hivyo nywele za Muhammadi zilikuwa tiba ya jicho ovu. Bukhari juzuu ya 7 kitabu cha 72 sehemu ya 65 na.784 uk.518.
Wakati Muhammadi aliponyolewa nywele zake, wafuasi wake walitaka kudaka kila kipande cha unywele wake kwa ajili ya kukitunza. Muhammadi kwa ukarimu alisambaza nywele zake kwa watu. Sahih Muslim juzuu ya 2 kitabu cha 7 na.2991-2994 uk.656-657.
ETI MKIJUMUIKA TAREHE 17, 19, 21 YA KILA MWEZI NI TIBA. HII NAYO NI NDUMBA YA AINA YAKE
Muhammad alisema pia kuwa ikiwa watu watajiumika tarehe ya 17, 19 au 21 ya mwezi itakuwa ni tiba kwa kila ugonjwa. Abu Dawud juzuu ya 3 na.3852 uk.1084.
Kama Muhammad alikuwa Mtume wa Mungu, kwanini alifanya NDUMBA?
Kama Allah ni Mungu, kwanini anaruhusu kufanya NDUMBA?
Kama Uislam unatoka kwa Mungu, kwanini unaruhusu NDUMBA nangae?
Karibu kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu,
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

WACHAWI WOTE WATAKWENDA MOTONI

ALLAH ATEREMSHA UCHAWI NA KUWALAZIMISHA WAISLAM KUUFANYA
Huu ni Msiba Mkubwa sana katika taifa la Mtume Muhammad. Mara nyingi Wakristo wamekuwa wanajiuliza, hivi, uchawi ulitokea wapi na mwanzo wake ni nani?
Wote wanaologa, wanaopiga bao, wanaosoma nyota, wanaotumia utambuzi, wote wanaochanja chale, wanaotumia hirizi, wanaopiga bao, wanaosoma alama za mikono, na wote wanaowaendea wenye pepo na waganga, watu hao wote hawatakwenda mbinguni. Kama wewe ni mtu anayekwenda kwa waganga kwa ajili ya kutaka mafanikio kielimu na utajiri nawe pia ni mchawi. Yule aliyekupa uchawi na wewe uliyepokea wote ni kitu kimoja.
SURAT TAHA: 73. Hakika sisi tumemuamini Mola wetu Mlezi ili atusamehe makosa yetu na uchawi ulio tulazimisha kuufanya. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mbora na Mwenye kudumu zaidi.
Kwenye Surat Taha ayat 73 kama ilivyo teremshwa makka kwa Muhammad na kutafsiriwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani inasema kuwa ALLAH ANAWALAZIMISHA WAISLAM KUUFANYA UCHAWI. Huu ni msiba ndugu zangu. Swali la kujiuliza, hivi, tokea lini Mungu akawa mchawi? Hivi huu uchawi ulio teremshwa na Allah unafaida gani kwa Wislamu?
Hebu tuangalie tafsir ya pili ya Surat Taha aya 73 kama ilivyo tafsiriwa na Sheikh Ali Muhsin inasema: 73. Kwani hakika sisi ni wenye kusimama juu ya Imani kumuamini Mola wetu Mlezi wa Haki, ili atufutie madhambi yetu yaliyo pita, na atusamehe huku kushughulikia uchawi ulio tulazimisha tujifunze na tuufanye! Na Mola wetu Mlezi ni Mbora wa malipo kuliko wewe, akit'iiwa; na ufalme wake na uwezo wake kulipa unadumu zaidi kuliko wako.
1. Inasema kuwa Waislam wanalazimishwa kujifunza Uchawi
2. Inasema kuwa Waislam wanalazimishwa kuufanya Uchawi.
Ndugu msomaji, leo sina mengi ya kusema maana umesoma wenyewe kutoka Quran kuwa Allah aliteremsha uchawi na kawalazimisha Waislam wajifunze na kuufanya uchawi.
Nawashauri Wakristo wenye marafiki wa Kiislam wawe makini, maana huyo rafiki yako anaweza kuwa ndiye anaye-kuroga kwasababu kalazimishwa na Allah kufanya hivyo.
MTUME MUHAMMAD ANATUMIA NDUMBA
Muhammad alitumia ndumba [nguvu za kimazingaombwe] dhidi ya jicho ovu na wanyama jamii ya mjusi wenye sumu Ibn-i-Majah juzuu ya 5 na.3525 uk.48.
Hivi wapi tunasoma katika Taurat au Zaburi au Injir kuwa Mitume na Manabii wa kwenye Biblia walitumia NDUMBA?
Hivi Allah hana uwezo wa kutibu jicho ovu au Sumu mpaka atumie NDUMBA?
Mungu awarehemu na kuwasamehe ndugu zetu wote wanao fanya Uchawi. Maana Biblia inasema kuwa WACHAWI WOTE WATAINGIA JEHANNAM. 1 Samweli 15 : 23 .......... dhambi ya uchawi, Na ukaidi ni kama ukafiri na vinyago; Kwa kuwa umelikataa neno la Bwana, Yeye naye amekukataa wewe usiwe mfalme.
Ndugu msomaji, mpokee Yesu aliye hai na upate uzima wa milele. Dini haita kusaidia kitu, maana sasa unaelewa kuwa, ni dini ambayo inakufanya uwe mchawi na kuachana na upendo wa Mungu.
Katika huduma yake,
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2015

Jesus is good because He is God

 

TRENDING NOW