Saturday, July 2, 2016

WAISLAM WA NCHINI SUDAN WAKIWA WAMELALA MSIKITINI BAADA YA KUZIDIWA NA NJAA WAKATI WA MFUNGO WA RAMADHAM.


Allah ambaye sio Yehova kupitia Quran anasema hivi:
“Hapana kulazimisha katika Dini.” (02:256)
WAKATI HUO HUO ANASEMA TENA HIVI:
WAISLAM WAMELAZIMISHWA KUFUNGA SWAUMU
Quran 2:183 Enyi mlioamini mmelazimishwa kufunga saumu kama walivyolazimishwa waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha mungu.
SASA TUFUATE LIPI?

No comments:

Who Were the Writers of the Holy Qur'an During the Time of Prophet Muhammad (PBUH)?

  Who Were the Writers of the Holy Qur'an During the Time of Prophet Muhammad (PBUH)? THE KORAN WAS NOT REVEALED FROM ALLAH Would you li...

TRENDING NOW