Saturday, April 8, 2017

BREAKING! Deadly terrorist truck attack into department store in Stockholm (See latest updates)


Subway closed. Shots reportedly fired in other areas. Sweden confirms it’s an act of terrorism. Waiting to confirm that it is ISLAMIC terrorism. Latest reports say 4 DEAD, 15 injured.

UPDATE 1: One Muslim man thought to be the driver in the terror attack has been arrested. Another man is being questioned.

The Sun  Local paper Aftonbladet reported that the injured man was a 39-year-old Muslim father-of-four from Uzbekistan and a supporter of the Islamic State (IS) terror group.

Some reports suggested he had posted jihadist propaganda on his Facebook page and had images of people injured in the Boston Marathon explosion in April 2013.

Police, who had released CCTV images of a suspect, have since revealed they believe the man arrested is the perpetrator of the crime with Stockholm police spokesman Lars Bystrom telling AFP: “We suspect that the man who was arrested is the perpetrator.”

CCTV Footage as people flee from speeding truck

UPDATE 2: Homemade BOMB found in hijacked beer truck that was ‘deliberately driven at young children.’

UK Daily Mail  Police suspect he was behind the wheel of the truck, although other security sources reported in Swedish media said the driver is still at large. He had posted Isis propaganda on Facebook and liked pictures of casualties after the terrorist attack on the Boston Marathon in 2013, Aftonblat reported.

Pictures show the second man, who looked younger, being handcuffed and taken away in a police car. According to Swedish television, the two arrested men are linked.

One witness said a pram was hurled into the air and desperate pedestrians ran for their lives as the lorry crushed everything in its path. Three men jumped out from inside the lorry and opened fire before trying to stab pedestrians, witnesses said. 

MUSLIM Terrorist ringleader who rammed a truck into shoppers in Stockholm killing four people and injuring 15 is ON THE LOOSE after fleeing chaotic scene during dramatic shootout.

UK Daily Mail  The hijacked vehicle crashed into a packed shopping centre and burst into flames. Three men jumped out from the lorry and opened fire before trying to stab pedestrians, witnesses said.

Two men were tackled to the ground and arrested – but a third suspect is on the loose, immediately making him Europe’s most wanted man. Police have released CCTV of the man wearing a green jacket, white shoes and a grey hoodie. 

Stockholm’s Central Station was shut down. The tube network was also closed amid fears the suspect was hiding underground but has now been cleared to open, according to Stockholm’s public transport authority. 

Officers said the vehicle crashed into a group of people on the street outside a shopping centre in Klarabergsgatan after racing down six streets at about 3pm local time.

The terrorist bastard must have thought he got a bonus when he killed a dog , as well

Hundreds of shoppers were seen fleeing for their lives after the articulated lorry rammed into the corner of the building. Horrifying images of the aftermath show blood smeared on the roads and bodies covered by blankets. Dozens more have been injured, some critically.

Armed terrorists were then seen running into Stockholm’s Central railway station and opening fire. Two people were also said to have been stabbed. Police have shut the station down, which is the main hub for communal transport in the city. 

Eyewitness Report

MPENDWA UWE MACHO—SHETANI ANATAKA KUKUMEZA




“Iweni wenye kulinda. Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama Simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.”—1 Petro 5:8.

Muwe macho masaa yote, maana Shetani anatafuta wa kummeza.

Hata hivyo, kiumbe huyu wa roho alianza kutamani wanadamu wamwabudu. Badala ya kuing’oa tamaa hiyo mbaya, aliisitawisha hivi kwamba ikakua na kuzaa dhambi. (Yakobo 1:14, 15) Kiumbe huyo ni Shetani, ambaye “hakusimama imara katika kweli.” Alimwasi Mungu na kuwa “baba ya uwongo.”—Yohana 8:44.

Mtume Petro alimfananisha Shetani na “simba anayenguruma.” Kitabu kimoja kinasema kwamba neno la Kigiriki linalotafsiriwa “anayenguruma” linamaanisha “sauti kubwa ya mnyama mwenye njaa kali sana.” Maana hiyo inafafanua vizuri sana ukatili wa Shetani! Ingawa tayari ulimwengu mzima unakaa katika nguvu zake, bado Shetani ana njaa ya kupata mawindo zaidi. (1 Yohana 5:19) Kulingana na Shetani, ulimwengu ni kama tu “kitu cha kuamsha hamu ya kula.” Kwa sababu hiyo, Shetani ameelekeza fikira zake kwenye “chakula chenyewe,” yaani, watiwa-mafuta walio duniani na waandamani wao, “kondoo wengine.” (Yohana 10:16; Ufunuo 12:17) Shetani ana lengo la kuwameza watu wa Mungu. Mateso mengi aliyowasababishia wafuasi wa Kristo kuanzia karne ya kwanza hadi leo yanafunua wazi ukatili wake.

Mpendwa, usilale wala usichoke kuomba, maaana Shetani anakuwinda ili akumeze.

Shalom,
Dr. Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

MALAIKA WANAMWABUDU YESU: KUMBE YESU NI MUNGU.

Image may contain: text
Katika kitabu cha Ufunuo wa Yohana, Malaika alimwamuru Mtume Yohana kumuabudu Mungu tu (Ufunuo wa Yohana 19: 10).
Mara nyingi Yesu katika maandiko aabudiwa (Mathayo 2;11; 14:33; 28:9,17; Luka 24:52; Yohana 9:38). Hakemei watu kwa kumuabudu. Kama Yesu hakuwa Mungu, angewaambia watu wasimuabudu, kama vile Malaika alivyofanya. Kuna aya nyingi za maandiko zinazoshuhudia ya kwamba Yesu ni Mungu.
Shalom
YESU NI MUNGU.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

JE! KUANGALIA PICHA ZA NGONO NI DHAMBI? (SEHEMU YA KWANZA)

Image may contain: night
Neno la Msingi:
Zaburi 101:3
“Sitaweka mbele ya macho yangu Neno la uovu. Kazi yao waliopotoka naichukia, Haitaambatana nami.”
Watu wengi wameanguka katika mtego huu wa Ibilisi na kujikuta wakifanya mambo ya "AIBU" wanapokuwa sehemu zao za Siri iwe ni chumbani au bafuni. Wanaume wamejikuta wakipiga punyeto (Mastubation) na Wanawake wakijisaga ( wanatumia mikono yao na viungo vyao vingine kama njia ya kujikidhi hali zao za tamaa mbaya waliloziamsha wao wenyewe). Haipaswi kamwe kuwa hivyo. Biblia inasema tusiyachochee wala kuyaamsha "mapenzi" mpaka yatakavyoona yenyewe (Wimbo ulio bora 2:7, 3:5).
Naomba tufuatane pamoja kwenye somo hili muhimu sana ambalo litakuweka huru mbali na "utumwa wa fikra za kingono"
1. MAANA YA PICHA ZA NGONO
Neno PICHA ni kivuli cha mtu, watu, kitu n.k. PICHA si kitu halisi bali ni kivuli chake. Unaweza ukapewa PICHA ya mtu lakini usifahamu urefu wake au ni mfupi kiasi gani lakini sura yake ukawa umeiweka katika kumbukumbu yako. NGONO ni kitendo cha mtu, watu kufanya kitendo cha kujamiana (Tendo la Ndoa) na pia ni ile hali ya kuwa uchi wa mnyama. Kuangalia picha za ngono ni kitendo cha kuangalia watu wakifanya Matendo ya kujamiana iwe kwa njia ya asili, kinyume na maumbile au kufanya na wanayama. Kitendo hicho huleta kuchochea tamaa ya miili kiasi ambacho watu wengine hufanya mambo ya "AIBU" katika nyumba zao (Warumi 1:24-28). PICHA za NGONO zimeenea kila mahali kwa sasa, kwenye simu yako unaweza ukakutana na "uchafu" wa namna hiyo. Wahindi wao picha za ngono huziita "kachumbali" na unaweza ukamkuta Mhindi amekaa na familia yake anaangalia "kachumbali" wanadai inanogesha utamu wanapofika kitandani. Huko ni kujidanganya Mungu hakumletea Adamu PICHA ya NGONO bali alimletea mke ambaye watashirikiana naye kwenye Tendo Takatifu (Mwanzo 2:18, 21-25). Wakati mmoja Mfalme Daudi wakati watu wake wa vita wamekwenda vitani yeye akawa yuko ghorofani anaangalia "PICHA LIVE" ya NGONO mwanamke alikuwa akioga matokeo yake yakawa ni kufanya kitendo chenyewe na kuamua kumuua mume wa Bathsheba (2Samweli 11:2-27).
“Ikawa wakati wa jioni, Daudi akaondoka kitandani, akatembea juu ya dari ya jumba la mfalme; na alipokuwa juu ya dari aliona mwanamke anaoga; naye huyo mwanamke alikuwa mzuri sana, wa kupendeza macho. Naye Daudi akapeleka, akauliza habari za yule mwanamke. Mtu mmoja akasema, Je! Huyu siye Bath-sheba, binti Eliamu, mkewe Uria, Mhiti?”………..
Kile kitendo cha Daudi "kuona" lilikuwa kosa kubwa la kiufundi katika akili yake likamchanganya. Ndivyo ilivyo kwa PICHA ZA NGONO lazima ukiangalia upate "UKICHAA" wa muda ukajikuta umeng'ang'ania sabuni au ndizi ukiwa unapiga punyeto. Ni aibu sana sana mtu mwenye heshima zako kama wewe labda wewe ni meneja, mkurugenzi, mtu mwenye Elimu yako ya maana unakutwa unaangaika sabuni, godoro au toy la jinsia ya kiume.
USIKOSE SEHEMU YA PILI
Shalom

MAMAJUSI WALIMWABUDU NA KUMSUJUDIA YESU. KUMBE YESU NI MUNGU

Image may contain: 1 person
Mathayo 2:
1 Yesu alizaliwa mjini Bethlehemu, mkoani Yudea, wakati Herode alipokuwa mfalme. Punde tu baada ya kuzaliwa kwake, wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu, 2 wakauliza, "Yuko wapi mtoto, Mfalme wa Wayahudi, aliyezaliwa? Tumeiona nyota yake ilipotokea mashariki, tukaja kumwabudu."
11 Basi, wakaingia nyumbani, wakamwona yule mtoto pamoja na Maria mama yake; wakapiga magoti, wakamsujudia. Kisha wakafungua hazina zao, wakampa zawadi: dhahabu, ubani na manemane.
Mwenye haki ya kuabudiwa na kusujudiwa ni Mungu peke yake. Sasa iweje hawa wataalamu wa Nyota na wajuzi kutoka Mashariki ya Mbali wamwabudu na kumsujudia Yesu?
Kwanini mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, na Yerusalemu pia pamoja naye?
Ndio utafahamu kuwa YESU NI MUNGU.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

KITABU CHA MWANZO (SEHEMU YA PILI)

No automatic alt text available.
S: Hoja kuwa "kushindwa kuelezeka kirahisi kwa ulimwengu kunaonyesha kuwa ni lazima kuwe na muumba" inaonekana nzuri, hadi inapochukuliwa kwenye hitimisho lake la kimantiki. Vipi kuhusu ugumu wa Mungu kueleweka? Kama kitu chenye utatanishi kinahitaji muumba basi Mungu lazima ahitaji muumba mkubwa zaidi, na kwa jinsi hiyohiyo na kuendelea. Je hoja hii inaishia wapi? Hoja hii inaishia na "kurudi nyuma kusikokuwa na ukomo," na hakuna jibu kwa hili? Ama je lipo?
J: Kabla ya kuijibu hoja hii, hebu nilikuze "tatizo hili" kwanza. Licha ya ugumu wa kuelezeka, suala hil pia ni aina iliyopotoka ya hoja ya muundo na umbo la ulimwengu. Kama kila kitu kina chanzo, basi Mungu naye pia ana chanzo.
Kwa kuwa kila kitu ni lazima kiwe na mwisho, vinginevyo hakitakuwa na mwisho, kuna majibu mawili tu yanayoweza kutolewa:
hakuna mwisho wa kurudi nyuma kusikokuwa na ukomo
hakuna mwisho wa kurudi nyuma kusikokuwa na mwisho, chanzo ambacho hakijasababishwa na kitu kingine chochote.
Kama a), kusingekuwa na mwisho wa kurudi nyuma kusikokuwa na ukomo, basi si kila kitu kingekuwa na chanzo kwa sababu kurudi nyuma kusikokuwa na mwisho kwenyewe hakuna chanzo. Kwa hiyo, kwa vyovyote vile kuna mtu/kitu ambacho hakina chanzo.
Kama b), kuna mwisho wa kurudi nyuma kusikokuwa na mwisho, basi ni lazima kuwe na chanzo cha kwanza, cha ugumu fulani wa kufahamika. Kwa ajili hiyo, jambo hili linamaanisha kuwa Mungu si nafsi iliyotokana na kitu kingine, si matunda ya uumbaji.
Hata hivyo nashangaa, kama Mungu angeiona hoja hii yote kuwa nyepesi namna hii, kw asababu tunafikiri kuhusu vyanzo ndani ya muda. Kama mungu anaishi nje ya muda na pia ndani yake, na kama muda ni kitu kimojawapo kilichoumbwa na Mungu, basi kusema kuwa hali ilikuwaje kabla ya kuwepo kwa Mungu ni kujipinga.
S: Kwenye Mwanzo 1, Mungu anaweza kuwa aliumba viumbe wengine na ulimwengu mwingine?
J: Aliumba viumbe wengine: malaika na mapepo. Kuhusu kuumba ulimwengu mwingine wenye viumbe ndani yake, Biblia haituambii haya yote tunayotaka kujua — na tunapaswa kuhakikisha kuwa walau tunasoma jambo hilo. Mungu angeweza kuwa ameumba ulimwengu mwingine, na huenda hizo ndizo mbungu na kzimu.
S: Kwenye Mwanzo 1, kwa nini Mungu aliwaumba Adam na Hawa, kwa kuwa Munug alijua kabla kwamba hawatamtii?
J: Pamoja na Mungu kujua kuwa watafanya dhambi, anatuambia vitu kadhaa kutuonyesha kuwa kwa nini aliumba watu.
Kwa utukufu wake: Mungu aliumba watoto wake kwa utukfu wake. Isaya 43:7; 61:34.
Watu wa kuwapenda: Mungu anatupenda sana. Zaburi 145:9,17; 1 Yohana 3:1.
Kuwa watoto wake: 1 Yohana 3:1-2; Wagalatia 3:28, Warumi 8:15-17.
Kuishi ndani mwetu: 1 Yohana 4:12-16; Warumi 8:9-11.
Mungu hataki mtu yoyote apotee. Ezekiel 18:23, 32; 33:11; 2 Petro 3:9. Hata hivyo, Mungu hajuti kwa kuwaumba watu ambao walipopewa nafasi walichagua kwa hiari zao wenyewe kumkataa. Mungu aliishajua kabla kuwa watafanya dhambi, na bado hakupenda kuingilia uchaguzi wao au "kutokuwaumba."
Huenda moja ya sababu ya Mungu kuwaumba viumbe ambao watakuwa na sura yake inafanana na sababu ya wazazi kuwa na watoto. Ni kweli, watoto wana gharamua: nepi, chakula, na kweli wanasababisha maumivu ya kichwa tokana na kuugua, kuumia, na kutokutii lakini pamoja na hayo yote upendo unawafanya wastahili kuwepo.
S: Kwenye Mwa 1:1, Mungu aliumba kwa sababu alihitaji kuumba?
J: Biblia haiungi mkono hisia hizi. Mungu hana uhitaji wowote ule, kwa maana ya kwamba atadhulika au kukoma kuwepo kama hangeumba vitu vingine. Kwa upande mwingine, lengo la Mungu lilikuwa kuumba, na Mungu alitimiza lengo hilo kwa kiasi kikubwa kikubwa sana.
S: Kwenye Mwa 1:1, je kulikuwa na uumbaji zaidi ya Mwanzo?
J: Maandiko hayasemi chochote kuhusu jambo hili, na Mungu Mungu anao uhuru wa kufanya kama apendavyo. Kama Mungu angeumba viumbe wengine, wangekuwa kama malaika, mapepo, kama Adam na Hawa kabla ya anguko, kama sisi, kama mapepo, kama wanyama, au kitu tofauti kabisa.
S: Kwenye Mwa 1:2, kama Roho ya Mungu ilikuwa inatulia juu ya uso wa maji, jambo hili linamaanisha Roho wa Mungu si nafsi hai yenye akili bali nguvu itendayo kazi kama Mashahidi wa Yehova wanavyodai?
J: Hapana. Kwamba Roho Mtakatifu hana mwili na anaweza kutembea juu ya maji haipingani na ukweli kwamba Maandiko yanamwonyesha Roha Mtakatifu kuwa kiumbe kinachoishi na chenye nafsi.
Yafuatayo ni marudio ya maelezo ya 1 Yohana 5:6-8.
Shahidi anaweza kuwa ni nafsi hai au kitu kisichokuwa na uhai. Kosa la Mashahidi wa Yehova (Jehovah’s Witnesses) ni kwamba kwa kuwa Roho Mtakatifu ana sifa nyingi ambazo mwanadamu hana, basi (kwa kupanua hoja) Roho Mtakatifu hawezi kuwa na nafsi. Kwenye 1 Yohana 5:6-8 tunaona kuwa kuna mashahidi watatu wa ukweli kuwa Yesu alikuwa na mwili. Damu inayomaanisha kusulubiwa kwake, na Roho ni ushuhuda wa ndani kwa Wakristo. Maji yanamaanisha kubatizwa kwa Yesu na Yohana, au yawezekana maji yanayomzunguka mtoto wakati wa kuzaliwa.
Yafuatayo ni mambo mbalimbai ambayo Biblia inatufundisha kuhusu nafsi ya Roho Mtakatifu.
Parakletos (mfariji, yeye anayekuwa pamoja nasi - Yohana 14:16, 26; 15:26)
Hufahamu mawazo ya ndani ya Mungu (1 Korintho 2:10-11)
Huongea nasi (Mdo 13:2; Ebr 3:7)
Hutufundisha (Yohana 14:26)
Kama mzazi, ili kwamba tusiwe yatima (orphanos kwenye Kigiriki - Yohana 14:18)
Hutuongoza (Yohana 16:13)
Hutufundisha (Yohana 14:26; 1 Kor 2:13)
Huishi ndani yetu (1 Kor 3:16; 2 Tim 1:14; Rum 8:9, 11; Efe 2:22)
Mioyoni mwetu (2 Kor 1:22; Gal 4:6)
Hutuombea (vitu visivyo na uhai haviombi au kuombea - Rum 8:26-27)
Anaweza kufanyiwa jeuri (Ebr 10:29)
Humshuhudia Kristo (Yohana 15:26)
Anao ufahamu (Rum 8:27)
Anaweweza kuhuzunishwa (Isa 63:10; Efe 4:30)
Hufanya maamuzi (1 Kor 12:11)
Hupenda (Rum 15:30)
Anaweza kupendezwa na mambo (Mdo 15:28)
Huchunguza mambo ya ndani ya Mungu (1 Kor 2:9-10)
Huugua (na kwa ajili hiyo hutujali - Rum 8:26)
USIKOSE SEHEMU YA TATU
Kwenye Mwa 1:10, ilikuwaje Mung aumbe dunia wakati dunia ilikuwa tayari imeishaumbwa kwenye Mwa 1:1?
Shalom,
Max Shimba Ministries

Friday, April 7, 2017

The New Apostolic Church draws a positive conclusion


Munich/Zurich. The first ever International Church Convention of the New Apostolic Church came to an end on Sunday evening. Blessed with beaming sunshine and, for the most part, high summer temperatures, Christians from many parts of the world celebrated their faith with great enthusiasm over the space of three days. Some 50,000 participants assembled in Munich’s Olympia Park for the International Church Convention, which took place over the Pentecost weekend from 6-8 June 2014. Organisers have concluded that the event was a great success.

Muslims Apologize for Attack on Pakistani Church


Kashmir militant instigated call for jihad from mosque minaret.

Pakistan_NewApostolicChurch 
 New Apostolic Church      (source: SLMP)
ISTANBUL, October 25 (Compass Direct News) – Muslims who attacked a Pakistani church and declared religious war against Christians from mosque minarets have apologized for their actions, human rights workers said.
Police no longer stand guard around Gowindh village’s sole church following its attackers’ apology October 12, a Human Rights Commission of Pakistan (HRCP) member told Compass.
No charges have been brought against the 300 Punjabi Muslim villagers who vandalized the New Apostolic Church at 6 a.m. October 10. The mob broke church windows, threw dung on its walls and cut wires to the church’s loudspeaker.
But subsequent threats against Gowindh’s Christians were even more serious than the initial attack, Mehboob Khan of the HRCP told Compass.
Following these acts of vandalism, Muslim clerics called for jihad, Islamic holy war, against the Christian “infidels.” The clerics issued the call from the town’s eight mosques, Khan said.
Another HRCP worker who visited the village, located east of Lahore on the Indian border, said that the threats had included demands for Christians to convert to Islam.
“Become Muslims or be prepared to fight or die,” the clerics announced from the mosque loudspeakers, HRCP member Nadeem Anthony said. “This was the first time it happened, which is why the villagers were so scared.”
According to Anthony, the New Apostolic Church is more than 60 years old, built before the partition of India and Pakistan in 1947.
Police arrived 12 hours after the early-morning vandalism, delayed in part by bad road conditions and the fact that no Christians in the village had a telephone with which to call them, Anthony said.
Their arrival halted plans for further violence but did not stop Muslims in the village of 10,000 from declaring a boycott on its Christian minority, some 300-strong.
“Christians couldn’t get anything from Muslims’ shops,” Gowindh Christian leader Sattar Masih told Sharing Life Ministries Pakistan, a Christian rights group that visited the area. “They couldn’t go to the doctor as the doctors were Muslims.”
Khan, who also traveled to Gowindh with a fact-finding team following the attack, said that Muslims were angered over the church’s use of its loudspeaker. Members were using the amplifier to call the congregation to a prayer meeting each morning at 6 a.m.
Muslim villagers claimed that the call was interrupting fajr, the first of five daily Islamic calls to prayer made from the mosque minaret. They said that for months they had been asking the Christians not to use the loudspeaker, according to an October 17 article in English-language newspaper Daily Times.
Pakistan_ChurchInterior
Church interior       (source:SLMP)
According to Khan of the HRCP, fajr occurs at approximately 5 a.m., a full hour before Christians were using their loudspeaker.
Muhammad Sadiq, described as an influential Muslim in the village, initially claimed that there had been no attack on the church, according to the Daily Times.
“We have no grudges with the Christians,” an October 12 article quoted Sadiq as saying. The leader only admitted that certain villagers had cut wires to the church loudspeaker.
But a source who requested anonymity said that a Muslim who had recently returned from training with militant extremist groups in Kashmir had instigated the violence.
“He came back from military training and he had some propaganda against the Christians,” said the source who visited the village following the attack. The militant had convinced other villagers that local Christians were agents of the United States working to convert Muslims to Christianity.
Pakistan and India have disputed the ownership of majority-Muslim Kashmir since the area’s Hindu ruler chose to join India in 1947.
Under the supervision of supervisory police officer Athar Ismail, representatives of the Muslim community eventually promised to drop the boycott.
“We apologize to the Christians for desecrating the church and hurting their religious sentiments,” stated an apology signed by Muslim leaders on October 12, the Union for Catholic Asia News (UCAN) reported.
Muslim community leaders Daler Khan, Haji Yaseen Gardor and Tariq Mehar signed the statement in the presence of 100 Muslims, Christian leaders and local police, UCAN reported.
In a euphemistic reference to the calls for jihad issued from mosque minarets, the signatories also promised not to misuse loudspeakers in the future.
No charges have been brought against villagers who attacked the church, instituted the boycott and called for holy war against the Christians, leaving the Christian community anxious about the future.
According to UCAN, the churchgoers decided not to use the loudspeaker for the first few days after the agreement was reached with the Muslims.
“We are even willing to pray at home to avoid further troubles,” Sattar Masih told UCAN.
But Anthony of the HRCP told Compass yesterday that Gowindh Christians have now resumed use of the loudspeaker.
The incident is consistent with the ongoing pattern of isolated church attacks in Pakistan where perpetrators later apologize and avoid facing charges.
Several Christians were injured and Christian literature was destroyed when Muslim villagers attacked a church north of Faisalabad in June. The congregation had obtained permission from the village government to use a loudspeaker to broadcast evangelistic meetings they were planning to hold the night of the attack.
In a similar out-of-court settlement, the attackers apologized but were not charged for the violence.
In May in Pakistan’s North West Frontier Province town of Charsadda, two madrassah (Muslim seminary) students confessed to having authored anonymous threats against Christians. At least 50 Christians had fled Charsadda after they received a letter telling them to convert to Islam or face suicide bombing. But the Christian community chose not to press charges and on June 4 officially forgave the two students, who said the threats had been a prank.
Christians make up approximately 1.5 percent of Pakistan’s population, according to the U.S. State Department’s 2007 Report on International Religious Freedom.

Return to Your News Source page

MASWALI NA MAJIBU KITABU CHA MWANZO (SEHEMU YA KWANZA)

Image may contain: cloud, sky and text
Nitaanza kuielezea Biblia kutoka kitabu cha Mwanzo mpaka Ufunuo aya kwa aya. Naomba tushirikiane na Mungu atubariki sana.
Swali (S): Kwenye Mwanzo, tunajuaje kuwa Kitabu cha Mwanzo kinatakiwa kuwa kwenye Biblia?
Jibu (J): Pamoja na sababu nyingine, kwa sababu Yesu na watu wengine wengi kwenye Biblia walithibitisha ukweli wa Agano la Kale na walikielezea Kitabu cha Mwanzo kuwa ni Maandiko (Matakatifu).
S: Kwenye Mwanzi, ni nani aliyejibu maswali ya Kitabu cha Mwanzo?
J: Kwa kadri nijuavyo, mtu wa kwanza kuandika majibu ya maswali yahusuyo kitabu cha Mwanzo ni Philo, Myahudi wa Kiyunani (Kigiriki) wa Alexandria aliyeishi kutoka karibu mwaka 20 KK hadi 50BK. Leo hii tunayo tafsiri ya Kiarmenia ya kazi yake. Aliandika kazi yake yenye sehemu tatu, Questions and Answers on Genesis (Maswali na Majibu kuhusu Mwanzo). Tumetunza majibu yake kwa maswali 244 toka Mwanzo 1 hadi 17, kwa mujibu wa mtazamo wa Myahudi mcha Mungu ambaye aliathiriwa sana na falsafa za Kigiriki za Plato.
S: Kwenye Mwanzo 1, kwa kuwa vitu vingine vinapaswa kuwa kweli, kama 1 = 1, na 1 + 1 = 2, je Mungu aliumba hesabu na namba? Angeweza kuviumba kwa njia nyingine tofauti?
J: Mungu aliumba kilakitu; hata hivo, marudiorudio (tautology), kitu ambacho ni kweli sawa na maana yake ilivyo kama vitu vyekundu vina rangi nyekundu, si kitu. Tunaweza kukisia kuwa Mungu aliumba "kila kitu" kwenye hesabu na hii si marudiorudio.
S: Kwenye Mwanzo 1, kwa kuwa Mungu aliumba kila kitu, je aliumba giza, uovu, na mashimo ardhini? Kama aliumba uovu, haonyeshi kuwa mzuri mkamilifu. Kama sivyo, yeyote aliyeumba anaonyesha kuwa muumbaji pia.
J: Mungu aliiumba vitu vyote. Giza si kitu, bali ni kutokuwepo au upungufu wa mwanga. Uovu si kitu, bali kutokuwepo au kupotoa mambo mema. Mashimo, giza, na maovu hayakuumbwa moja kwa moja na Mungu, lakini yametokea kama marudiorudio, au "matokeo ya maisha" ya mada, mwanga na mambo mema. Hivyohivyo, kivuli si kitu kinachojitegemea, kikiwa na mada, nishati, au roho. Hata hivyo, mimea inaweza kufa kwenye kivuli.
S: Kwenye Mwanzo 1, kwa kuwa Mungu aliumba kila kitu kikiwa kizuri, kwa nini radi, milipuko ya magonjwa na majanga mengine hutokea?
J: Kila kitu kilikuwa kizuri mwanzoni. Lakini Warumi 8:20-22 inaonyesha kuwa tokea wakati wa anguko, dunia "ilitiishwa chini ya ubatili" pia. Ulimwengu wote upo chini ya utawala wa mwovu(1 Yohana 5:19), na mkuu wa dunia hii ni Shetani kwa mujibu wa Yohana 12:31; 14:30.
S: Kuna hoja gani ya umbo na muundo wa ulimwengu kwenye Mwanzo 1?
J: Kwanza, ifuatayo ni njia rahisi na yenye mantiki rahisi yenye kuelezea.
Huwezi kupata kitu bila kuwa na kitu (kingine). Kila kitu kilichoumbwa kilihitajika kuumbwa. Hata vitu vya kwanza kuumbwa vilihitajikwa kuumbwa na kitu/mtu mwingine ambaye aliisha kuwepo. Kwa hiyo, panatakiwa kuwa na kitu au mtu ambaye hajaumbwa na anaishi milele.
Yafuatayo ni maelezo makali; maana ni zangu mwenyewe.
Tunadhani kuwa kila mtu anaufahamu wa kutosha kuweza kuwa na maana inayofaa ya mantiki, kupingana na kutopingana, tukio, mchakato, "ndani ya", kitu, mkusanyiko, muda, mada, nishati, roho, chanzo, kilichosababishwa na, na matokeo.
Uwepo halisi kunafafanuliwa, katika makala hii, kuwa ni kuwepo kwenye ulimwengu huu, kuwa na uwezo wa kuathiriwa na kitu mojawapo hapa ulimwenguni, au kuwa na uwezo wa kuathiri kitu kimojawapo hapa ulimwenguni. Huu ni ufafanuzi mfinyu sana wa kuwepo/kuishi, kwani unashindwa kuhusisha mawazo, mienendo, na mambo mengine. Kwa hiyo, hebu na tuuite uwepo "halisi" na tufanye majadiliano yetu hapa yakomee kwenye uwepo halisi.
Kitu halisi kinafafanuliwa hapa kuwa ni kitu au mkusanyiko au mada, nishati, roho, au mchanganyiko wenye kuwa na uwepo halisi. Ukweli wa kimantiki, ukinzani wa kimantiki, na ushahidi wa kihesabu havichukuliwa kuwa vitu hapa.
Uwepo wa kimelea, kama kitu cha ndani, unafafanuliwa kuwa ni uwepo halisi wa vitu ambavyo si vitu halisi. Mashimo, giza, upungufu, kutokuwa sahihi, na maovu si mada, nishati, au roho, lakini kama ambavyo kivuli kinaweza kuua mimea ambayo inahitaji jua, au upungufu au chakula unavyoweza kuua mtu, vivuli na upungufu wa chakula vina uwepo halisi licha ya kutokuwa vitu halisi.
Ulimwengu unafafanuliwa hapa kuwa ni mkusanyiko wa vitu halisi ambavyo vipo kiuhalisi. Tazama kuwa katika ufafanuzi huu, ulimwengu unajitosheleza, na Mungu (tuchulie kuwa Mungu yupo, ni Roho na anaweza akaathiri vitu) yupo ulimwenguni.
Kutokwepo (nothing) kunafafanuliwa kuwa ni kitu ambacho hakijawahi kabisa kuwepo, au ambacho hakijawahi kuwa na uwepo wa kweli/kihalisi wakati wowote ule. Kwa maneno mengine, kabla hakijaumbwa [au baaday ya kuharibiwa], kitu halisi hakipo ulimwenguni, hakiuathiri ulimwengu, na hakiathiriki na ulimwengu.
Uumbaji unafafanuliwa hapa kuwa ni tukio au mchakato wa kufanya kitu halisi kipya. Kuumba kunatofautishwa na "kubadilisha", ambako hakuhitaji chanzo chochote mbali ya kitu chenyewe. Kuumba kitu halisi kipya kunaweza kuhusisha kubadilisha au kuharibu kitu halisi kilichowahi kuwepo, lakini hakulazimiki kufanya hivyo. Hata hivyo, angalia sehemu inayofuata.
Hakuna kitu kinachoweza kuwepo kutokana na kitu kisichokwepo. Kitu chochote halisi kilichoumbwa kinahitaji chanzo cha kuumbwa kwake. Kwa maneno mengine, hakuna kitu kinachoweza kuumbwa isipokuwa kitu/vitu vinginie vimekiumba.
Hakuna kitu kinachoweza kujiumba chenyewe. Hakuna kitu kinachoweza kujiumba chenyewe. Ingawa vitu halisi vinaweza kujibadilisha wakati mwingine, au kujiharibu vyenyewe, hakuna kitu kinachoweza kuwa chanzo cha kuumbwa kwake.
Chanzo cha kwanza. Ingawa vitu halisi vilivyoumbwa vinaweza kuumba vitu vingine halisi vilivyombwa, mwisho wa siku patahitajika kuwa na chanzo cha kwanza. Kwa maneno mengine, kwenye mlolongo wa vyanzo, chanzo walau kimoja kinatakiwa kuvitangulia vyanzo vingine vyote.
Kisichoumbwa. Kwa vile chanzo walau kimoja hakitakiwa kuwa na chanzo kilichokitangulia, na kila kiumbe kinahitaji chanzo, kuna kitu halisi walau kimoja ambacho hakijaumbwa na kimekuwepo toka milele iliyopita, kwa sababu kuna kitu halisi walau kimoja ambacho hakijaumbwa.
Mhutasari: Kila kitu halisi ambacho kinaishi ama kina wakati au kipindi fulana=i ambacho kiliwahikuishi, vinginevyo hakijawahi kuishi. Kama kimewahi kuishi, basi kuna kitu halisi ambacho ni chanzo cha kuwepo kwake.
Mipaka: Hoja hii haithibitishi kwamba chanzo cha kwanza ni kitu chenye uhai, au kwamba kuna chanzo kimoja tu ambacho hakijaumbwa, au kwamba vyanzo vyovyote ambavyo havijaumbwa bado vinaishi. Kitu ambacho hoja hii inasema ni kwamba kuna walau kitu kimoja halisi (nafsi iliyo hai au kitu kisichokuwa nafsi) ambacho kimekuwepo milele bila kuumbwa.
Moja ya waandishi wa kwanza aliyeiona hoja ya muundo na umbo la ulimwengu na kusema kuwa Mungu ni chanzo cha kwanza alikuwa Philo, Myahudi aliyeishi Alexandria, Misri, toka mwaka 15/20 KK hadi mwaka 50BK. R. C. Sproul na Norm Geisler wameandika kazi nyingi na nzuri kuhusiana na hoja ya muundo na umbo la ulimwengu.
USIKOSE SEHEMU YA PILI:
SWALI: Hoja kuwa "kushindwa kuelezeka kirahisi kwa ulimwengu kunaonyesha kuwa ni lazima kuwe na muumba" inaonekana nzuri, hadi inapochukuliwa kwenye hitimisho lake la kimantiki. Vipi kuhusu ugumu wa Mungu kueleweka? Kama kitu chenye utatanishi kinahitaji muumba basi Mungu lazima ahitaji muumba mkubwa zaidi, na kwa jinsi hiyohiyo na kuendelea. Je hoja hii inaishia wapi? Hoja hii inaishia na "kurudi nyuma kusikokuwa na ukomo," na hakuna jibu kwa hili? Ama je lipo?
Shalom
Max Shimba Ministries

UNAWAFAHAMU MALAIKA WAKUU SABA WA MUNGU "ARCHANGELS OF GOD? (SEHEMU YA SITA)

Image may contain: 1 person, indoor


Malaika katika Agano Jipya:
Tunaona ya kwamba Malaika walimhudumia Yesu wakati alipokuwa katika nchi (duniani) (Mt. 4:11, Lk. 22:43). Malaika alimtokea Yusufu na kumwarifu habari za kuzaliwa kwake Yesu (Mt. 1:20, Lk 1:26-38). Malaika walikuwepo katika ufufuo wa Yesu (Mt 28:2-8; Yn. 20:12). Na walizungumzia wakati wa kupaa kwakeYesu Kristo (Mdo 1:9-11). Malaika wanatoa huduma za Kiroho kwa watu wa Mungu (Ebr. 1:14; Mt. 18:10; Mdo 5:19; 8:26; 10:3; 12:7; 27:23). Malaika hufurahi mwenye dhambi anapotubu (Lk. 15:10).
Katika Agano Jipya, Kristo kama mwanadamu bado alitenda kama mtu aliye mdhihirisha na kumfunua Mungu. Na alitenda kwa ukamilifu akifuata asili ya Mungu na tabia ya Mungu. Kama Mpatanishi kati ya Mungu na Wanadamu, kumwona Yesu ni sawa na kumwona Mungu, na kusikia na kumtii Yesu ni kumsikia na kutii Mungu. Maneno aliyozungumza hayakuwa maneno yake mwenyewe bali maneno ya Mungu yaliyotoka kwa Mungu. (Yn. 14:8-10)
Vyeo mbalimbali vya Jeshi la Mbinguni
Malaika wana vyeo, uwezo na nguvu zinazotofautiana katika utendaji wa kazi mbalimbali. (Zek. 1:7-11; Dan.10:13; 12:1; 1The. 4:16; Yuda 1:9; Efe. 1:22; Kol 1:16).
Enzi Utawala, Nguvu, Mamlaka,
MASERAFI NI NANI?
Kuna Maserafi na wana mabawa sita (angalia Isa. 6:2,6). Wana nguvu uwezo wa kuondoa makosa yaletayo dhambi na kuwandaa manabii kwa kuwatakasa (Isa. 6:7). Kuwa na mabawa sita inadhihirisha ukuu na uwezo wao katika katika utendaji wao wa kazi mbalimbali.
NENO MASERAFI MAANA YAKE NINI?
Neno Maserafi ni neno la wingi wa neno saraph (SHD 8314) likiwa na maana ya mwenye kuchoma kwa moto. Kwa sababu ya nyoka katika Hesabu 21:6,8 walikuwa na sumu inayochoma kama moto wakati wanapouma, kwa hiyo wakaitwa maserafi. Kwa hiyo hawa maserafi ni “moto wa mbinguni” (linganisha pia Kum. 8:15; Isa. 14:29; 30:6). Mungu aliwatuma ili waweze kuwadhibu watu waliotenda dhambi. Maumbile yao walionekana kuwa kama wandamu kwa vile walikuwa na nyuso, mikono na miguu juu ya umbile lao la kuwa na mabawa. Wanawakilishwa kama wenye “kusimama wakati wote” juu ya wote. Mfalme anaposimamisha enzi yake, tayari kwa kumhudumia.
Hawa ndiyo Malaika Wakuu na wana nafasi muhimu sana katika Jeshi la mbinguni. Ni Malaika wakuu ndiyo mara nyingi hutumwa katika nchi kuleta ujumbe wa Mungu na maonyo kwa wanadamu na kwa manabii.
Katika kitabu cha Henoko kinataja majina ya Malaika wakuu:
Mikaeli, Gabriel, Urieli Malaika Mkuu wa dunia na watu wakali) na Raphaeli, Ragueli (ambaye analipiza kisasi juu ya dunia na mwangaza) na Saragaeli.
Kitabu cha Henoko, sura ya 20, R.H Charles, 2002).
Malaika hawa pia wanaitwa Malaika Walinzi.
Malaika Mkuu Gabriel:
• Alitafsiri maono ya Danieli (Dan. 8:16, 26; 9:20-27)
• Alitangaza juu ya kuzaliwa kwa Yohana Mbatizaji (Lk. 1:11-20)
• Alitangaza kuzaliwa kwa Yesu (Lk. 1:26-38).
Malaika Mkuu Mikaeli:
Mikaeli Mwana mkuu wa Mfalme, ametajwa mara nyingi katika Agano la Kale.
• Katika Daniel 10:13 ametajwa “Jemedari mkuu aliyekuja kunisaidia.” Angalia pia Daniel 12:1
• Yuda 1:9 Mikaeli Malaika Mkuu, anagombana na Shetani kuhusiana na Mwili wa Musa.
• Ufunuo 12:7-8 Mikaeli pamoja na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake.
Hawa maserafi wanatambulikana kama makerubi wanaokizunguka Kiti cha Enzi cha Mungu kama tunavyoona sasa.

MAKERUBI NI NANI?:
Kiti cha Enzi cha Mungu kinazungukwa na wanyama wanne wenye vichwa tofauti. Hawa ni Simba, Ndama, Tai na Mwanadamu, wanatambulikana kama Makerubi (umoja Kerubi) wako wanne katika jumla ya hesabu yao na wana mabawa sita wanakizunguka Kiti cha Enzi cha Mungu (Ufunuo 4:6-9). Maelezo ya makerubi yanaelezewa katika Ezekiel 1:5-14; 10:20; na Ufunuo 4:6-9. Ambapo wameumbika katika viungo mchanganyiko katika Ezekieli wakiwa walinzi wa Yehova wa Israeli na wanaonekana wenye mabawa manne katika viwiliwii vyao vya juu. Hapa hawajatajwa kuwa na mabawa mawili katika miguu yao kama wale Makerubi wanaokizunguka Kiti cha Enzi cha Mungu, au wale wa moto katika Agano la Kale. Idadi ya hao Makerubi kuwa wanne inatokana na Uumbaji. Wakati makerubi hawa wanapotumwa katika nchi, kwa ajili ya Yehova wa Israeli, na kutenda kwa pamoja huwa na mabawa manne na wanatembea pamoja katika gari daima wakiangalia sehemu moja. Makerubi wanaokizunguka Kiti cha Enzi cha Mungu wana mabawa sita kama maserufi.
Mfano wa vichwa vya viumbe wanaokizunguka Kiti cha Enzi cha Mungu wanatabulikana kama makerubi katika Ezekieli 1:1-28.
Vichwa vya wanyama vinaashiria vita vya Wana wa Israeli na mgawanyiko wa makabila katika idadi ya 10 na 11.
Tangu mwanzo kulikuwa na Makerubi wanne, makerubi wawili wanakizunguka na makerubi wawili wakisimama nyuma ya Kiti cha Enzi cha Mungu. Ezekieli 1:4-14 anaelezea juu ya makerubi wane; na hii ndiyo idadi ya “viumbe wane wenye uhai” wanaotajwa katika Ufunuo 4:6
Makerubi wanatajwa katika kitabu cha Mwanzo 3:24 ambapo tunasoma ya kwamba Mungu alimfukuza mwanadamu kutoka katika Bustani ya Edeni na kuweka Makerubi, na upanga uwakao moto katika sehemu ya Mashariki ya Bustani ya Edeni, kumzuia mwanadamu asirudi na kula tunda la mti wa uzima.
Katika 2 Samweli 22:11; Zaburi 18:10 na Ezekiel sura 1,9 na 10 inaonekana ya kwamba uzima wa milele umesimama juu ya Makerubi wanne.
Tunaona mifano ya Makerubi inavyotumika, katika Hema ya kukutania pamoja na kwenye Hekalu. Wale waliyo katika Sanduku la Agano wanaitwa “Makerubi wa Utukufu” (Ebrania 9:5), kutoka kwa hao Makerubi Utukufu wa Mungu unaoonekana hukaa kwao.
Makerubi wawili walitengenezwa kwa dhahabu, na wakiangaliana na mabawa yao yakiwa yameinuliwa, huwekwa juu ya sanduku la Agano (Kutoka 25:17-20). Mungu (kwa kupitia katika malaika wake aliahidi kuzungumza na Musa “kutoka kati ya Makerubi” (Kutoka 25:22). Mifano ya Makerubi iliwekwa katika mapazia ya Hema ya kukutania (Kutoka 26:1,31).
Mfalme Sulemani alikukuwa na Makerubi wawili waliotengenezwa kutokana na mbao za Mzeituni, na kuwekwa Hekaluni. Makerubi pia waliwekwa milangoni na kwenye sehemu za ukutani katika Hekalu, na mifano ya makerubi iliweza kushonewa katika nguo zilizotumika Hekaluni (1 Falme 6:23-35; 2 Nyakati Sura ya 3).
Ingawaje Biblia inatwambia ya kwamba tusijifanyie sanamu ya kitu chochote cha mbinguni au cha duniani (Kutoka 20:4; Kumbukumbu 4:16), Wana wa Israeli waliamriwa kufanya picha za Makerubi katika kuta za hema ya kukutania. Hizi zilikuwa ni mifano tu na hazikuwa za kuwabudiwa. Hema ya kukutania ambayo Musa alijenga na Hekalu alilojenga Sulemani ilikuwa mifano halisi inayowakilisha mambo ya mbinguni.
USIKOSE SEHEMU YA SABA. MALAIKA MIKAELI NA KAZI ZAKE.......
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...

TRENDING NOW