Friday, April 21, 2017
Thursday, April 20, 2017
KAMA YESU NI MUNGU, MBONA ALILALA, JE MUNGU ANALALA?
Swali hili la msingi ndilo litakalotufikisha mwisho wa uchambuzi wa mada hii juu ya Maarifa kuhusu Utatu na Uungu wa Bwana Yesu. Na hapa hoja ya msingi inatokana na tukio la Yesu kusafiri na wanafunzi wake naye akiwa amelala katika Shetri hivyo wanafunzi wake baada ya kupata taharuki ya kubwa ya dhoruba wakaanza kumwamsha ili awape msaada katika kadhia hiyo kama tunavyosoma:-
Marko 4:37-38
Ikatokea dhoruba kuu ya upepo, mawimbi yakakipiga chombo hata kikaanza kujaa maji.
38 Naye mwenyewe alikuwapo katika shetri, amelala juu ya mto; wakamwamsha, wakamwambia, Mwalimu, si kitu kwako kuwa tunaangamia?
Ikatokea dhoruba kuu ya upepo, mawimbi yakakipiga chombo hata kikaanza kujaa maji.
38 Naye mwenyewe alikuwapo katika shetri, amelala juu ya mto; wakamwamsha, wakamwambia, Mwalimu, si kitu kwako kuwa tunaangamia?
Tendo hilo la kulala kwa Bwana Yesu linalosimuliwa hapo ndilo linalozalisha hoja hiyo ambapo waulizaji wa swali hilo hukaza hoja yao kwa kusoma pia andiko la kitabu cha Zaburi hii ifuatayo:-
Zaburi 121:4-5 Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi, Yeye aliye mlinzi wa Israeli.
Andiko hilo la Zaburi linaeleza kuwa Mungu aliye mlinzi wa Israel hatosinzia wala kulala, hivyo wajengaji wa hoja hii hudai kuwa tendo la Yesu kulala kama yeye ni Mungu basi ni hatua ya kukana Uungu wake.
Jibu la msingi la swali hili’
kimsingi hili ni moja kati ya maswali rahisi sana katika hoja hii juu ya Utatu na Uungu wa Bwana Yesu, lakini kile kinachoonekana kuwa ni mapungufu kidogo kwa waulizaji wa swali hili ni kutochukua hatua ya usomaji linganishi wa maandiko na kupitia aya nyingi zaidi ili kutafuta mantiki ya kisa hiki cha Yesu kulala na maelezo ya Zaburi yanayotamka kuwa Mungu halali.
kimsingi hili ni moja kati ya maswali rahisi sana katika hoja hii juu ya Utatu na Uungu wa Bwana Yesu, lakini kile kinachoonekana kuwa ni mapungufu kidogo kwa waulizaji wa swali hili ni kutochukua hatua ya usomaji linganishi wa maandiko na kupitia aya nyingi zaidi ili kutafuta mantiki ya kisa hiki cha Yesu kulala na maelezo ya Zaburi yanayotamka kuwa Mungu halali.
Lakini kwa kujibu swali hili niseme tu kuwa andiko la Zaburi ya Daudi liko sahihi tu kuwa Mungu yeye kimsingi halali usingizi, lakini bado Zaburi hiyo hiyo inaeleza kile anchoweza kufanya Mungu katika dhana hiyo hiyo ya kulala hebu tusome tena andiko jingine la Zaburi ili kuanza hatua hii muhimu ya kupata ufumbuzi juu ya swali hili lenye utata:-
Tusome pamoja katika andiko hilo la Zaburi:-
Zaburi 78:65
Ndipo Bwana alipoamka kama aliyelala usingizi, Kama shujaa apigaye kelele sababu ya mvinyo;
Ndipo Bwana alipoamka kama aliyelala usingizi, Kama shujaa apigaye kelele sababu ya mvinyo;
Katika andiko hilo tena nabii Daudi aneleza kuwa kumbe Mungu anaweza kuwa ‘kama aliyelala’ kumbuka andiko la kwanza linasema Mungu halali usingizi ambapo kulala huku kunaonekana kuwa ni halisi, lakini hapa nabii Daudi anatumia neno ‘kama aliyelala usingizi’ neno linaloonyesha kuwa mlalaji hakuwa katika hali halisi ya ulalaji wa kutojitambua na kujiweza.
Hivyo baada ya kupata ufafanuzi huo tunaweza kufanya jumuisho la hoja hii kwa kusema kuwa’ aina ile ya ulalaji wa Yesu inaonekana kulingana na hii ya pili ya kama aliyelala’ maana kwa hali halisi utaona kuwa hapo Yesu alikuwa tu akipima imani ya wanafunzi wake kwa tukio hilo kama ambavyo maandiko ya Isaya yanavyosema juu ya mfumo wa utendaji wa Mungu ambapo wakati Fulani kwa makusudi tu Mungu huweza kuwaacha watu wake kwa muda ili kuwapima:-
Hivyo baada ya kupata ufafanuzi huo tunaweza kufanya jumuisho la hoja hii kwa kusema kuwa’ aina ile ya ulalaji wa Yesu inaonekana kulingana na hii ya pili ya kama aliyelala’ maana kwa hali halisi utaona kuwa hapo Yesu alikuwa tu akipima imani ya wanafunzi wake kwa tukio hilo kama ambavyo maandiko ya Isaya yanavyosema juu ya mfumo wa utendaji wa Mungu ambapo wakati Fulani kwa makusudi tu Mungu huweza kuwaacha watu wake kwa muda ili kuwapima:-
Isaya 54:7 Kwa kitambo kidogo nimekuacha; lakini kwa rehema nyingi nitakukusanya.
Kwahiyo Mungu anaweza kwa muda fulani kuwageuzia kisogo watu wake ili kuona imani yao itaelekea wapi, na kwa hali halisi utaona kuwa hilo ndilo ambalo Bwana Yesu alilifanya katika tukio hilo akiwa na wanafunzi wake kwakuwa mara baada ya kuona kuwa imani ya wanafunzi wake imejielekeza kwake ndipo maandiko yanasema:-
Marko 4:39-41
Akaamka, akaukemea upepo, akaiambia bahari, Nyamaza, utulie. Upepo ukakoma, kukawa shwari kuu.40 Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga? Hamna imani bado?
41 Wakaingiwa na hofu kuu, wakaambiana, Ni nani huyu, basi, hata upepo na bahari humtii?
Akaamka, akaukemea upepo, akaiambia bahari, Nyamaza, utulie. Upepo ukakoma, kukawa shwari kuu.40 Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga? Hamna imani bado?
41 Wakaingiwa na hofu kuu, wakaambiana, Ni nani huyu, basi, hata upepo na bahari humtii?
Hivyo ndivyo Yesu alivyohitimisha tukio hilo kwa kitendo hicho cha kukemea upepo na bahari mara baada ya kuridhika kuwa wanafunzi hao walikuwa na imani iliyoelekezwa kwake katika tukio hilo la dhoruba. Lakini jambo la msingi linalojitokeza hapo ni kuwa tendo hilo lenyewe la kutuliza hali ya Bahari bado pia ni kiashiria tosha cha mamlaka yake ya Uungu na pengine waulizaji wa swali hili wangekichunguza kisa hicho chote wangeona tu jinsi kisa chenyewe kinavyothibitisha zaidi Uungu wa Yesu na si badala yake kukanusha.
Rejea tamko la wanafunzi wake baada ya tukio hilo:-
Marko 4:41
Wakaingiwa na hofu kuu, wakaambiana, Ni nani huyu, basi, hata upepo na bahari humtii?
Wakaingiwa na hofu kuu, wakaambiana, Ni nani huyu, basi, hata upepo na bahari humtii?
Hivyo hata wanafunzi wa Yesu wenyewe walionyesha kushtushwa na tukio hilo na hata kujiuliza swali juu ya nguvu na uwezo huo wa Yesu wakihoji ni nani huyu hata pepo na bahari vinamtii!, hoja ambayo inajibiwa wazi na Zaburi ya Daudi;-
Zaburi 89:8-9
Bwana, Mungu wa majeshi, Ni nani aliye hodari kama Wewe, Ee YAHU? Na uaminifu wako unakuzunguka. 9 Wewe ndiwe ukitawalaye kiburi cha bahari. Mawimbi yake yainukapo wayatuliza Wewe.
Bwana, Mungu wa majeshi, Ni nani aliye hodari kama Wewe, Ee YAHU? Na uaminifu wako unakuzunguka. 9 Wewe ndiwe ukitawalaye kiburi cha bahari. Mawimbi yake yainukapo wayatuliza Wewe.
Nabii Daudi anaweka bayana kuwa ni Mungu pekee awezaye kutawala kiburi cha bahari na yakuwa mawimbi ya bahari yainukapo mwenye uwezo huo wa kuyatuliza ni Mungu pekee na kwahivyo tukio hilo la Yesu kutuliza bahari linaweka bayana kuwa Yesu ni Mungu.
Hitimisho
Matamko ya wazi juu ya Uungu wa Yesu
Matamko ya wazi juu ya Uungu wa Yesu
Nipende kwanza kukushukuru ndugu msomaji wangu kwa kufuatilia kwa makini uchambuzi wa mada hii , na pia nitoe wito kwako kuwa kadri ambavyo umepata bahati ya kujifunza ukweli huu umkubali na kumpokea Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako kwakuwa uweza nguvu na mamlaka juu ya mbingu na dunia viko juu yake pekee.
Baada ya wito huo nipende sasa kumalizia mada hii kwa kukuwekea nukuu chache za Biiblia zinazohitimisha uchambuzi huu kwa kuonyesha wazi juu ya mamlaka hii tukufu ya Bwana Yesu:-
Tito 2:13
Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
Mtume Paulo katika andiko hilo la Tito anaweka wazi kabisa juu ya Uungu wa Yesu kama Tomaso na Bwana Yesu mwenyewe katika fungu hili jingine;-
Yohana 20:28-29
Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! 29 Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki.
Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! 29 Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki.
Mungu akubariki unapotafakari ukweli huu na kuchukua hatua.
Shalom,
AONAVYO MTU NAFSINI MWAKE NDIVYO ALIVYO
KUMBUKA KUWA MAWAZO NI MBEGU NA JARIBU KUZINGATIA UNACHOKIPANGA KWENYE NAFSI YAKO.
Mithali 23:7 "AONAVYO MTU NAFSINI MWAKE NDIVYO ALIVYO" Je wewe unaona nini? unaona kushinda au kushindwa? unaona umasikini au utajiri?
Fikiri kabla hujanena na kuonyesha kutokujua kwako. Imeandikwa, Mithali 15:28 "Moyo wa mwenye haki hufikiri atakavyojibu bali kinywa cha wasio haki humwaga mabaya."
Lazima tuwe na nidhamu katika mafikara yetu na kufikiri mambo mema kwani hapo ndipo chanzo cha mambo yote. Imeandikwa, Marko 7:21-22 "Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya na uasherati. wivu, uuaji, uzinzi, tama mbaya ukorofi, hila, ufisadi, kijicho matukano, kiburi, upumbavu." Mithali 23:7 sayema "Maana aonavyo nafsini mwake ndivyo alivyo. akauambia, haya, kula, kunywa, lakini moyo wake hauwi pamoja nawe."
Lazima tufikiri mambo mema ndipo maneno yetu na matendo yetu yawe ya busara na yenye kusaidia. Imeandikwa, Wafilipi 4:8 "Hatimaye ndugu zangu mambo yo yote yaliyo ya kweli yo yote yaliyo staha, yo yote yaliyo ya haki, yo yote yaliyo safi, yo yote yenye kupendeza, yo yote yenye sifa njema, ukiwapowema wo wote ikiwapo sifa nzuri yo yote, ya tafakarini hayo."
Tuwe na mafikara kama ya Kristo. Imeandikwa Wafilipi 2:5 "Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu."
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
Tuesday, April 18, 2017
ANOTHER BNI Mental Health Break
Exceedingly rare in the horse world – TWIN FOALS – a boy and a girl
Birth of Daisy’s twin foals: Don Quixote and Duet
Mom and the foals at six weeks old:
Sponsored by Revcontent
Muslims are never happy unless they are trying to force you to break the rules for their religious demands
In late 2016, 16-year-old Amaiya Zafar was banned from competing in the Sugar Bert Boxing National Championships in Florida — but she wasn’t banned for misconduct or breaking the rules. Instead, she was banned for a uniform code violation: wearing her Islamic headbag aka hijab and full bodybag attire.
Allure The 16-year-old is a young Muslim woman who regularly trains while wearing in leggings and a hijab. But according to the officials in the USA Boxing and the International Boxing Association, that was enough to disqualify her from the competition for a uniform violation.
She was completely surprised that her hijab caused a uniform violation. “I was ready, like, in the zone…we didn’t get anybody saying that I wouldn’t be able to fight, we thought it would just happen…then they disqualified me, that was it,” she said.
Meanwhile, Zafar is still fighting for her right to wear her hijab in competitions. “We’ll get it changed eventually,” Zafar said, “even if I’m too old to fight.”
And whenver Muslims are demanding you break the rules for them you can be sure designated terrorist group CAIR is behind them providing support, free legal advice that often includes lawsuits against the institution or association involved. It’s also the reason these non-stories get so much undeserved attention from the left wing media.
CZECH REPUBLIC joins Hungary and Poland in confirming they’d risk EU sanctions rather than be forced to take more Muslims
The Czech Republic is not prepared to accept any more than the 12 Muslim invaders out of the 1,600 quota ordered for them by the EU, even if that means facing sanctions, said the nation’s interior minister.
Breitbart “Ongoing security checks show that the country can no longer accept anyone else”, said Milan Chovanec, noting that the Czech Republic has so far received 12 of the 1,600 migrants it has been ordered to take in under the terms of the EU quota deal.
Vetting so-called refugees is “complicated”, the minister explained, adding that migrants “have not even been willing to remain in place [in Greek and Italian camps, while security checks take place”. “We check thoroughly and in detail during the process, which takes between several weeks and more than two months.
“But these people [that the Czech Republic have been told to take in as refugees] were not prepared to remain in place while being vetted. Because of that, we haven’t given them security clearance.”
Confirming that the country “has no further plans to adopt more migrants”, Mr Chovanec raised the issue of repeated threats from Brussels to punish states which are refusing to go along with the EU’s agenda to push migrants from the third world on unwilling countries.
“The Czech Republic does not plan to adopt more migrants”, he said, acknowledging that this stance is likely to result in Brussels imposing sanctions against the country, “perhaps in the range of several million Euros”. “It is then up to the government to assess if it’s worth paying the penalty or not. In my opinion – yes. You cannot let people here without running all the checks.”
The Czech minister’s position is likely to come as a blow to Brussels, as last week the EU told Hungary and Poland they face legal action if their populist governments continue to resist orders to take in migrants from the third world.
Warsaw and Budapest have strongly opposed the scheme, which seeks to move 160,000 people from Italy and Greece into other EU nations. Fewer than 20,000 people have been resettled so far even though the programme is due to end in September this year.
“If Member States do not increase their relocations soon, the Commission will not hesitate to make use of its powers … for those which have not complied,” the bloc’s executive arm said in a statement.
Italy, along with Germany, Sweden, Austria, and France have been vocal in demanding the EU cut subsidies to Hungary and Poland for their refusal to welcome migrants.
But Reuters reported that, worried about rising Euroskepticism, officials in Brussels are split on whether to open legal proceedings against Hungary and Poland.
GREAT NEWS! Turkish Muslim immigrant who went on a shooting rampage at Cascade Mall in Washington hangs himself
Arcan Cetin, 20, the Muslim immigrant accused of killing five people at Cascade Mall in Burlington last fall was found dead in the Snohomish County Jail on Sunday night, apparently after hanging himself.
It’s good that he did himself in because the family and defense attorney were trying to have the charges dropped because of “mental issues,” the new favorite defense tactic for Muslim terrorists in the West.
King5 Arcan Cetin, the man charged with killing five people in a shooting at Cascade Mall in Burlington, Wash., last September was found dead Sunday night at the Snohomish County Jail.
The Skagit County Prosecutor’s Office said Arcan Cetin (pronounced AR’-jahn CHEHT-in) was discovered hanging in his cell just before 9 p.m. The office could not immediately say why Cetin had been transferred from Skagit County.
Cetin, 20, was charged with five counts of aggravated first-degree murder for the Sept. 23, 2016, killings. The charges alleged Cetin acted with “premeditated intent” when he used a rifle to kill a teenage girl, three women and a man at the Macy’s Women’s store inside the mall, 65 miles north of Seattle.
Killed in the shootings were Sarai Lara, 16, of Mount Vernon; Shayla Martin, 52, of Mount Vernon; Belinda Galde, 64, and her mother, 95-year-old Beatrice Dotson, both of Arlington; and Wilton “Chuck” Eagan, 61, of Lake Stevens (above).
Cetin had visited his mother and Marshall before the Sept. 23 shooting, and stole his stepfather’s .22-caliber Ruger rifle, which had been hidden under a bed, according to records acquired by The Associated Press.
Cetin’s stepfather, David Marshall, previously told the media that Cetin “has had mental health issues that we have been working on him with.”
Cetin entered through the Chuck E. Cheese restaurant just before 7 p.m. and headed for the Macy’s Women’s store, Mount Vernon Police Officer Dave Shackleton said in an arrest warrant affidavit.
Surveillance video shows Cetin shooting a teenage girl near some clothing racks and then shooting a man. He then headed for the cosmetics section where he shot two women who were hugging and trembling in front of the counter and one who was trying to hide behind it.
CCTV footage of the Muslim gunman shooting people in the mall
During interviews with police, Cetin admitted that he shot the five people at the mall, but did not provide a reason. (It’s always the same reason: ISLAM)
King5 Federal sources confirm to KING 5 that Cetin was not a U.S. citizen, meaning legally he cannot vote. However, state records show Cetin registered to vote in 2014 and participated in three election cycles, including the May presidential Democrat primary.
VENEZUELAN ‘Muslim’ Vice President has illegally issued passports to 10,000 Middle East Muslims, many of them terrorists
Vice President Tareck El Aissami, a child of Syrian Muslim immigrants to Venezuela, reportedly spearheaded the passport scheme, with the illegal delivery of at least 10,000Venezuelan passports to citizens of Syria, Iran, and other Middle East nations.
Members of Iran’s terror proxy Hezbollah “are moving freely” within the United States and Latin America, courtesy of Venezuelan passports issued by a Cuban company hired by Caracas, reports the UK-based Asharq Al-Awsat.
PanAm Post El Aissami is a known entity in the world of US intelligence. He is allegedly a part of Venezuela’s state drug-trafficking network and has ties to Iran, Syria, and Lebanese terrorist group Hezbollah. According to Bloomberg, the Trump administration imposed sanctions against Venezuelan Vice President Tareck El Aissami, after years of investigation by U.S. authorities into his alleged participation in drug trafficking and money laundering.

Nicolas Maduro, Venezuela’s president, right, waves to attendees while accompanied by Tareck El Aissami, Venezuela’s vice president
Venezuelan Colonel Vladimir Medrano Rengifo, former Director General of the Office of Identification, Migration, and Foreigners, explained that when current vice president of Venezuela, Tareck El Aissami, was minister of Interior Relations, he ordered him not to deport the citizens who entered the country with irregular documents.
According to the colonel, El Aissami ordered him to admit about 10,500 people. “The passports were legitimate and officially issued, but the people who carried the documents were not really Venezuelans,” he explained.
They were coming in a large Airbus plane that normally arrived twice a week in Caracas, on Tuesdays and Thursdays, with 380 to 390 passengers on board. “90% of the people who came on that flight had an irregular situation,” Medrano said.
In 2015, an official of the Cuban Criminal Investigations and Criminal Investigations Corps (CICPC), identified as Misael López Soto, who allegedly served as advisor to the Venezuelan embassy in Iraq, confessed that he witnessed the Venezuelan government handing diplomatic documents to terrorists in the Middle East.
López explained in a video that embassy employees sold Venezuelan visas, passports, identity cards and birth certificates to people in Syria, Palestine, Iraq and Pakistan who paid between USD $5,000 and USD $15,000 to obtain the documents “under the watch of the Venezuelan diplomatic authorities.”
In 2008, the US Treasury Department issued a statement saying that “it is extremely disturbing to see that the government of Venezuela employs and provides refuge for Hezbollah facilitators and fundraisers.”
The Washington-based Center for a Secure Free Society published a paper entitled “Canada on Watch: Assessing the Threat of Iran, Venezuela and Cuba to Immigration Security” in 2014. The authors conclude that Venezuela issued at least 173 Venezuelan passports to radical Islamists seeking to enter North America.
Tareck El Aissami represents a double danger for the United States and the world, given his connection with two serious crimes: terrorism and drug trafficking. According to the investigations carried out the criminal organization headed by El Aissami is one of the main suppliers of the drug network that Hezbollah operates in Europe.
JE, MELKIZEDEKI NA YESU NI MTU MMOJA? (SEHEMU YA PILI)
Kitabu cha Mwanzo mara kwa mara kinatutambulisha kwa kirefu maisha ya mwanzo wa jamii na sifa zetu ambazo kitabu kinatuonyesha. Bali Melkizedeki anatokea bila kutamkwa, bila taarifa za wazazi wake, na kupotea kwenye maelezo bila ya kutazamiwa.
Sasa ngoja nianze kuwafananisha na au linganisha Melkizedeki na Yesu:
JERUSALEM:
1. Melkizedeki alikuwa mfalme wa Salem (Yerusalemu). Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana. (Mwanzo 14:14 - 18).
1. Melkizedeki alikuwa mfalme wa Salem (Yerusalemu). Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana. (Mwanzo 14:14 - 18).
2. Yesu yeye ni mfalme wa Yerusalem mpya. Ufunuo 21: 1 Kisha nikaona mbingu mpya na dunia mpya; maana mbingu ya kwanza na dunia ya kwanza zilikwisha kutoweka na bahari haikuwapo tena. 2 Ndipo nikaona mji mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu, ukiwa umeandaliwa kama bibi harusi aliyepambwa kwa bwana wake.
KUHANI MKUU:
1. Melkizedeki, ambaye jina lake linamaanisha "mfalme wa haki," alikuwa mfalme wa Salemu (Yerusalemu) na KUHANI MKUU zaidi wa Mungu (Mwanzo 14: 18-20; Zaburi 110: 4, Waebrania 5: 6-11, 6: 20-7: 28).
1. Melkizedeki, ambaye jina lake linamaanisha "mfalme wa haki," alikuwa mfalme wa Salemu (Yerusalemu) na KUHANI MKUU zaidi wa Mungu (Mwanzo 14: 18-20; Zaburi 110: 4, Waebrania 5: 6-11, 6: 20-7: 28).
2. Yesu ni kuhani mkuu milele. Waebrania 6:20 inasema, "alimoingia Yesu kwa ajili yetu, mtangulizi wetu, amekuwa KUHANI MKUU hata milele kwa mfano wa Melkizedeki."
MFALME WA AMANI:
1. Melkizedeki ni mfalme wa Salem (Amani). Waebrania 6:20....alikuwa mfalme wa Salemu (Yerusalemu)
1. Melkizedeki ni mfalme wa Salem (Amani). Waebrania 6:20....alikuwa mfalme wa Salemu (Yerusalemu)
2. Yesu nayeye ni mfalme wa Amani. Mfalme wa Amani (Isaya 9: 6)
HANA MWANZO WALA MWISHO:
1: Melkizedeki hana mwanzo wa siku zake, wala mwisho wa uhai wake; bali amefananishwa na mwana wa Mungu" (Ebrania 7: 1,3)
1: Melkizedeki hana mwanzo wa siku zake, wala mwisho wa uhai wake; bali amefananishwa na mwana wa Mungu" (Ebrania 7: 1,3)
2. Yesu Kristo alikuwepo milele yote“...Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, Mimi niko.” (Yohana 8:58). “Na sasa, Baba, unitukuze Mimi pamoja Nawe, kwa utukufu ule Mimi niliokuwa nao pamoja Nawe kabla ya ulimwengu kuwako.” (Yohana 17:5)
SIFA YA UKUHUNI YA MELKIZEDEKI NA YESU ZINAFANANA. WOTE HAWAKUTOKA KATIKA KABILA LA LAWI.
Wayahudi wanahoji:'Ninyi Wakristo tuambieni kama huyu Yesu sasa anaweza kuwa kuhani wetu mkuu, mwenye kutoa maombi yetu na matendo yetu kwa Mungu. Lakini kuhani inampasa ukoo wake ujulikane, akithibitishwa katoka kabila ya Lawi. Na kwa vyovyote, ninyi wenyewe mnakiri Yesu alitoka kabila ya Yuda (Ebrania 7: 14). Tunasikitika, kwetu sisi Ibrahimu ndiye Kiongozi wetu mkuu na mfano (wa kuufuata) (Yohana 8: 33, 39), hatutamheshimu huyu Yesu'.
Kwa hiyo Paulo anajibu:
‘Lakini mkumbukeni Melkizedeki. Taarifa ya kitabu cha Mwanzo imetengenezwa ili kuonyesha kwamba kuhani huyu mkuu hakuwa na ukoo wa babu yeyote; naye Masihi kwa pande zote mbili anakuwa mfalme na kuhani, ambaye ukuhani wake ni wa kufuata mfano mzuri wa Melkizedeki (Ebrania 5: 6; Zaburi 110: 4).
MWANA WA MUNGU.
Yesu alikuwa na Baba (Mungu)-MWANA WA MUNGU (tazama Mathayo 1, Luka 3 na Yohana7: 27).
Melkizedeki katika Waebrania 7 aya ya 3 "alifananishwa na Mwana wa Mungu"; Waebrania 7:3 ....., bali kama alivyo Mwana wa Mungu, yeye adumu kuwa kuhani milele.
"Ametokea kuhani mwingine mithili ya Melkizedeki", Yesu (Ebrania 7: 15) naye amefanywa kuhani mkuu' kwa mfano wa Melkizedeki"(Ebrania 5: 5,6).
Lugha ya Waebrania kumhusu Melkizedeki haiwezi kuchukuliwa tu kwa maneno jinsi yalivyo. Ikiwa Melkizedeki kwa maneno halisi hakuwa na Baba wala mama, basi mtu pekee anaweza kuwa ni Mungu mwenyewe; ni mtu wa pekee asiye na mwanzo (1 Timotheo 6: 16; Zaburi 90: 2). Lakini taarifa hii haikubaliani na Ebrania 7: 4:"Angalieni jinsi mtu huyo alivyokuwa mkuu" na vile vile kwa ukweli wa kwamba watu walimuona Melkizedeki (ambapo Mungu hawezi kuonwa) na alimtolea dhabihu Mungu. Ikiwa ameitwa mtu huyo, basi huyo ilimpasa kuwa na wazazi halisi. Yeye kuwa,"hana Baba, wala Mama, na wazazi" kwa hiyo inabidi kutaja ukweli kwamba ukoo wa babu na wazazi wake taarifa zao hazikuandikwa. Taarifa za wazazi wa Malikia Esta hazikuandikwa, kwa hiyo maisha yake ya nyuma yameelezewa kwa namna hii. Mordekai"alimlea …..Esta, binti wa mjomba wake: kwa kuwa hana Baba wala Mama …… nao walipokufa Baba na Mama yake, yule Mordeklai alimtwaa kuwa binti yake yeye"(Esta 2: 7).
Bwana ameapa, Wala hataghairi, Ndiwe kuhani hata milele, Kwa mfano wa Melkizedeki (Zaburi 110:4)
Je, Melkizedeki na Yesu ni mtu mmoja? Hoja inaweza kufanywa kwa njia yoyote. Kwa uchache sana, Melkizedeki ni aina ya Kristo, anayeonyesha huduma ya Bwana kabla yake.
Ametokea kuhani mwingine mithili ya Melkizedeki", Yesu (Ebrania 7: 15) naye amefanywa kuhani mkuu'kwa mfano wa Melkizedeki"(Ebrania 5: 5,6).
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
UNAWAFAHAMU MALAIKA WAKUU SABA WA MUNGU "ARCHANGELS OF GOD? (SEHEMU YA NANE)
MALAIKA MKUU URIEL
Malaika wanatajwa karibu mara 400 katika Biblia. Katika Kiebrania na Kigiriki, neno “malaika” linaweza kutafsiriwa kuwa “mjumbe.”
1 Wakorintho 14:33 inasema kwamba “Mungu si Mungu wa machafuko, bali ni wa amani.” Kwa hiyo, Mungu amewapanga wanawe wa roho katika makundi matatu makuu:
(1) Maserafi, ambao ni watumishi kwenye kiti cha Ufalme cha Mungu, wanatangaza utakatifu wake, na kuhakikisha kwamba watu wake wako safi kiroho;
(2) Makerubi, ambao wanategemeza enzi kuu ya Mungu; na
(3) Malaika wengine ambao wanatenda mapenzi yake. (Zaburi 103:20; Isaya 6:1-3; Ezekieli 10:3-5; Danieli 7:10)
Malaika Mkuu Urieli, ambaye jina lake linamaanisha "Nuru ya Mungu, Light of God." au Moto wa Mungu "Fire of God".
Jina la Urieli linalotajwa katika Biblia inayo tumiwa na Waluteri, Anglikana na Wakristo wa Ki-Orthodox wa Urusi.
Hili jina la URIEL linaweza gawanyika kama ifuatavyo.
U= Nafasi; RI = Nuru/Jua; EL = Mungu IKIMAANISHA NURU YA MUNGU na wakati mwingine anaitwa MOTO WA MUNGU.
U= Nafasi; RI = Nuru/Jua; EL = Mungu IKIMAANISHA NURU YA MUNGU na wakati mwingine anaitwa MOTO WA MUNGU.
Biblia inasema, Yesu atakuja “pamoja na malaika zake wenye nguvu katika MWALI WA MOTO.” Kusudi lao litakuwa ‘kuleta kisasi juu ya wale wasiomjua Mungu na wale wasiotii habari njema juu ya Bwana wetu Yesu.’ (2 Wathesalonike 1:7, 8) Hatua hiyo itakuwa na matokeo makubwa kama nini kwa wanadamu! Wale wanaokataa kukubali habari njema ya Ufalme wa Mungu inayotangazwa leo duniani pote wataharibiwa. Ni wale tu ambao wanamtafuta Mungu (Walio okoka), wanatafuta uadilifu na upole ndio ‘watakaofichwa katika siku ya hasira ya Mungu.’—Sefania 2:3.
Mtumishi wa Elisha alikuwa ameamka mapema, akaona jeshi la Shamu lilikuwa limeuzingira mji ambao yeye na Elisha walikuwamo. Kwa hofu, akamwambia Elisha, “Ole wetu, Bwana wangu! Tufanyeje? [kwa maneno mengine, tutawezaje kutoka katika hali hii tukiwa hai? Kisha Elisha akamwambia mtumishi wake], Usiogope: kwa maana walio pamoja nasi ni wengi kuliko wale walio pamoja nao. Elisha Akaomba [kwa MUNGU] akasema, BWANA, NAKUSIHI, mfumbue macho yake, apate kuona. Na BWANA akayafumbua macho ya mtumishi yule; naye akaona: Na, tazama, kile kilima kilikuwa kimejaa farasi na MAGARI YA OTO yaliyomzunguka Elisha pande zote” (2 Wafalme 6:15-17).
Jeshi lile lile au majeshi ya MUNGU ambayo Elisha alimwomba Mungu amuonyeshe mtumishi wake (mtumishi wa Elisha) ndilo jeshi lile lile ambalo MUNGU alitumia kuziangusha kuta za Yeriko (Yoshua 6:20). Yoshua alikutana na MKUU wa majeshi ya BWANA kule Yeriko katika njia hii : “Ikawa hapo, Yoshua alipokuwa karibu na mji wa Yeriko, akainua macho yake na kuangalia, na, tazama, mtu mwanamume akasimama kumkabili mbele yake, naye alikuwa na upanga wa wazi mkononi MWAKE; Yoshua AKAMWENDEA na KUMWAMBIA, Je! WEWE u upande wetu, au upande wa adui zetu? Naye akasema, LA; LAKINI NIMEKUJA SASA KAMA AMIRI WA MAJESHI YA BWANA [YESU kabla hajachukua mwili wa binadamu]. Naye Yoshua akaanguka kifudifudi mbele zake hadi chini, na kuabudu, na AKAMWAMBIA, BWANA wangu anamwambia nini mtumishi WAKE? Na AMIRI wa majeshi ya BWANA akamwambia Yoshua, Vua viatu vyako kutoka miguuni mwako; kwa kuwa mahali usimamapo ni Patakatifu. Na Yoshua akafanya vivyo.
“Basi mji wa Yeriko ulikuwa umefungwa kwa sababu ya wana wa Israeli: hapana mtu aliyetoka, wala hapana mtu aliyeingia. [Hii ilikuwa kwa sababu walijua kuwa MUNGU alikuwa pamoja na Israeli, na pia walijua kuwa MUNGU alikuwa anakwenda kuwaangamiza.] BWANA akamwambia Yoshua, Tazama, nimeutia Yeriko katika mkono wako, na mfalme wake, na mashujaa wake.
Katika kitabu cha Enoki, Nabii mkuu Enoki anatabiri kuhusu walinzi. Hawa walinzi ni malaika wa MUNGU, na ni jeshi la mbinguni la BWANA. Wakati mwingine wanasemekana kuwa malaika walinzi wa watakatifu wa MUNGU hapa duniani.
Kunao malaika wabaya (Malaika walio asi), na kuna malaika wazuri. Ufunuo 12:4 inasema kwamba theluthi moja ya malaika hawa – wale wabaya – walitupwa kutoka Mbinguni pamoja na kiongozi wao, Shetani mwenyewe (Luka 10:18). Lakini kumbuka, theluthi mbili ya malaika – wale wazuri – walibakia kwenye utumishi wa MUNGU. Wale wabaya, theluthi moja, si wabaya tu, bali ni hatari sana.
Ufunuo 16:1 inasema, “Kisha nikasikia sauti kuu kutoka Hekaluni, ikiwaambia wale malaika saba, enendeni mkavimimine vile vitasa saba vya ghadhabu ya MUNGU juu ya nchi.” Katika Danieli 4:13, “Mlinzi [malaika] na mtakatifu walishuka kutoka mbinguni” Wakileta hukumu ya MUNGU kwa mfalme aliyekuwa na kiburi Nebukadreza, aliyesema kwenye kitabu cha Danieli 4:30, “Mji huu sio Babeli kubwa nilioujenga mimi, uwe kao langu la kifalme, kwa uwezo wa nguvu zangu [badala ya nguvu za MUNGU], ili uwe utukufu wa enzi yangu [badala ya utukufu wa MUNGU]?”
Hii hapa ni hukumu ambayo MUNGU alimpa mlinzi ili kuifanya dhidi ya Mfalme Nebukadreza: “Hata neno lile lilipokuwa [bado] katika kinywa cha mfalme [aliyejawa na kiburi] sauti ilikuja kutoka mbinguni, ikisema, Ee Mfalme Nebukadreza, maneno haya unaambiwa wewe; Ufalme umeondoka kwako. Nawe utafukuzwa [na walinzi] mbali na wanadamu, na makao yako yatakuwa pamoja na wanyama wa kondeni ; utalishwa majani kama ng’ombe, na nyakati saba zitapita juu yako, hata utakapojua ya kuwa yeye ALIYE JUU SANA ndiye anayemiliki katika ufalme wa wanadamu, naye humpa AMTAKAYE ye yote. Saa iyo hiyo jambo hilo likatimizwa, likampata Nebukadreza: Alifukuzwa mbali na wanadamu, akala majani kama ng’ombe, na mwili wake ulilowa maji kwa umande wa mbinguni, hata nywele zake zikawa kama manyoya ya tai, na kucha zake kama kucha za ndege” (Danieli 4: 31- 33).
USIKOSE SEHEMU YA TISA .....MALAIKA MKUU RAPHAEL
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
Subscribe to:
Comments (Atom)
TRENDING NOW
-
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kil...
-
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaid...
-
Adui anakuja kuiba, kuua na kuharibu kila kitu chetu, ni lazima kuwa tayari kupambana na maadui, tujue silaha zetu, na kutumia neno la Mun...
-
Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu. Twazidi pia kukushukuru kwa ajili ...






.jpg)
















