Wednesday, July 19, 2017

WAISLAM: KUTOKANA NA QURAN YENU, UBATIZO WA YOHANA ULITOKA KWA NANI?

Image may contain: one or more people and text


Ninaposema kila siku kuwa Uislam ni dini ya kutengeneza na ilitengenzwa na Muhammad huwa sitanii.
Yohana Mbatiza wa kwenye Biblia sio yule Yahaya bandia wa kwenye Quran wa Surat Maryam aya ya 7. http://www.quranitukufu.net/019.html La hasha.
Yohana kwa Kiingereza ni John
Yohana kwa Kiarabu ni يوحنا ywhna
Yohana kwa Kijapani ni ジョン Jon
Yohana kwa Kichina ni 約翰 Yuēhàn
Sasa hili jina la Yahaya walilitowa wapi hawa Waislam na je, huyu Yahaya alibatiza watu kama Yohana wa kwenye Biblia aliye kuwepo miaka 600 kabla ya Uislam?
Kwenye Biblia ya Kiarabu kuna jina la يوحنا ywhna na sio Yahaya jina bandia la Waislam. https://www.arabicbible.com/arabic-bible.html
Ili kupima ukweli huu, basi leo nawauliza Waislam swali rahisi:
Mathayo : Mlango 21 aya ya 25 Ubatizo wa Yohana ulitoka wapi? Ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Wakahojiana wao kwa wao, wakisema, Tukisema, Ulitoka mbinguni, atatuambia, Mbona basi hamkumwamini?
SWALI: Ubatizo wa Yohana ulitoka wapi?
Ningependa Waislam wanijibu kwa aya na sio maneno yao matupu.
Kama Ubatizo wa "Yahaya" ulitoka kwa Mungu Mkuu, kwanini nyie Waislam hambatizwi?
Kama ulitoka kwa Mwandamu, kwanini hakuna aya ndani ya Quran inayo pinga Ubatizo wa "Yohana"?
Kama ulitoka kwa Mwanadamu, kwanini Yesu alibatizwa?
Kama hakuna aya yeyote ndani ya Quran inayo zungumzia Ubatizo, basi "Yahaya" sio Yohana "يوحنا ywhna" wa kwenye Biblia, na Yahaya wa Quran ni bandia na alitengenzwa na Muhammad.
Biblia inasema, ‘ ama hamjui kuwa sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika kifo chake? Hivyo tulizikwa pamoja naye kupitia ubatizo katika wafu na kama Kristo alivyofufuka kwa utukufu wa Mungu nasi tuishi maisha mapya” (Warumi 6:3-4).
Katika ubatizo wa kikristo tendo la kuzamishwa ndani ya maji linaashiria kuzikwa na Kristo. Tendo la kuzuka kutoka ndani ya maji lina maana ya kufufuka kwa Kristo.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

JE, UNAIJUA TOFAUTI KUBWA KATI YA UKRISTO NA UISLAM?

Image may contain: 5 people, text


Kuna tofauti kubwa sana ya msingi katika ya Imani ya Ukristo na dini ya Kiislam. Kwenye hiki kijarida kifupi nitawawaekea hiyo tofauti.
Ukristo ni imani yenye msingi katika upendo, kwamaana Mungu ni upendo. Upendo ndiyo sifa kuu zaidi ya Mungu. Pia ndiyo sifa inayovutia zaidi. Tunapochunguza baadhi ya mambo yenye kupendeza ya sifa hii bora, tutaelewa kwa nini Biblia inasema kwamba “Mungu ni upendo.”—1 Yohana 4:8.
Uislam ni dini ya haki kama wanavyo kiri Waislam, huku ikifaamika kuwa haki inayo zungumzwa haijulikani na haki inaweza kupatikana hata Mahakamani kwa kuhonga. Kumbuka palipo na haki kuna haramu.
Sasa ni haki ipi ambayo ndio dini ya Uislam?
Surat An Nisaai 74. Basi nawapigane katika Njia ya Mwenyezi Mungu wale ambao wanao uza uhai wa dunia kwa Akhera. Na anaye pigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu kisha akauliwa au akashinda basi tutakuja mpa ujira mkubwa.
1. Je, Mungu gani huyu anaye tumia Mapanga kulazimisha watu kujiunga nae?
2. Je, Mungu gani huyo anaye uwa watu na kudai kuwa hiyo ndio njia ya kwenda Akhera?
HEBU TUANGALIE UKRISTO KIDOGO:
Kwa mfano, fikiria jinsi Mungu alivyoshughulika na Israeli ya kale. Hata baada ya kumiliki Nchi ya Ahadi, Waisraeli waliasi tena na tena. Mungu hakuwatupilia mbali mara moja licha ya kwamba matendo yao maovu ‘yalimhuzunisha.’ (Zaburi 78:38-41) Badala yake, kwa rehema na UPENDO aliwapa nafasi ya kubadili mwenendo wao. Aliwasihi hivi: “Sikufurahii kufa kwake mtu mwovu; bali aghairi mtu mwovu, na kuiacha njia yake mbaya, akaishi. Ghairini, ghairini, mkaache njia zenu mbaya; mbona mnataka kufa, Enyi nyumba ya Israeli?
Unaona tofauti ya Mungu wetu wa kwenye Biblia mwenye upendo na anaye kupa nafasi ya pili ya kutubu na yule Allah mwenye haki na kuuwa watu unapo vunja sheria yake?
Upendo (Mungu) hajilazimishi/haujilazimishi kwa mtu yeyote. Wale wanaokuja kwake wanafanya hivyo kwa kuitikia upendo wake. Upendo (Mungu) huonyesha upole kwa watu wote. Upendo (Yesu) alizunguka kote akifanya mazuri kwa watu wote bila upendeleo. Upendo (Yesu) hakutamani kitu cha wengine walikuwa nacho, aliishi maisha ya unyenyekevu bila kunung’unika. Upendo (Yesu) hakujivunia vile alivyo kuwa kimimwili, ingawa aliweza kumshinda nguvu kila mtu aliyekutana naye. Upendo (Mungu) haulazimishi unyenyekevu. Mungu hakulazimisha Mwnawe kunyenyekea, lakini kwa mubadala Yesu kwa pendo lake alimtii Babaye wa mbunguni. “Lakini ulimwengu ujue ya kuwa nampenda Baba; na kama vile Baba alivyoniamuru; ndivyo nifanyavyo. Ondokeni, twendeni zetu” (Yohana Mtakatifu 14:31). Upendo (Yesu) alitwaza/na huwaza yaliyo mazuri kwa matakwa ya wengine.
Waislam, tuambieni, ni haki ipi hii mnayo izungumzia kila siku?
AYA HAPA CHINI ZINATUPA PICHA KAMILI KUWA HAKI KATIKA UISLAM NI VITA NA KUMWAGA DAMU:
Surat Tawba 29. Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii
Surat Al Anfaal 38. Waambie wale walio kufuru: Wakikoma watasamehewa yaliyo kwisha pita. Na wakiyarudia basi imekwisha pita mifano ya wa zamani.
39. Na piganeni nao mpaka isiwepo fitna na mateso, na Dini yote iwe kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Lakini wakiacha, basi hakika Mwenyezi Mungu anayaona wanayo yatenda.
Surat Tawba 5. Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia. Lakini wakitubu, wakashika Sala, na wakatoa Zaka, basi waachilieni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.
Surat Al Baqaara 193. Na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina, na Dini iwe ya Mwenyezi Mungu tu. Na kama wakiacha basi usiweko uadui ila kwa wenye kudhulumu
Surat Al Imran 84. Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.
LAKINI KATIKA UKRISTO TUNASOMA:
Tibitisho kuu la upendo wa Mungu limeelezwa kwetu sisi katika Yohana 3:16 “Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
Upendo ni sehemu kuu ya Mungu. Upendo ni sehemu kuu ya tabia ya Mungu, na utu wake.
Mungu ni mfano mtakatifu wa upendo wa kweli. Cha kushangaza, Mungu amewapa uwezo wa kupenda vile anavyo penda, kupitia nguvu za Roho Mtakatifu wale wote watakaomkubali Mwanawe kama mwokozi wa maisha yao. (Yohana 1:12; 1Yohana 3:1, 23-24).
NAAM, MUNGU NI UPENDO NA ANATUPENDA NA HIYO NDIO TOFAUTI YA UKRISTO WENYE UPENDO NA UISLAM WENYE HAKI.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

WANAFIKIRIA HUYU NI ALLAH

Image may contain: 8 people, crowd, text and outdoor



Marko 12: 29 Yesu akamjibu, Ya kwanza ndiyo hii, Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja;
Unapo wabana Waislam, hurukia hii aya ya Biblia na kusema Yesu anakiri kuwa Mungu ni mmoja, ukizidi kuwabana wanarudi kule kule na kusema Biblia imechakachuliwa na ina mkono wamtu.
Lakini kwa wajuzi wa Biblia, huwa tunawarudisha kwenye Biblia hiyo hiyo na kusoma mistari inayofuata kutoka Marko hiyo hiyo ya 12 kama ifuatavyo.
Marko 12: 36 Daudi mwenyewe alisema, kwa uweza wa Roho Mtakatifu, BWANA ALIMWAMBIA BWANA WANGU, Uketi mkono wangu wa kuume, Hata niwawekapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako. 
37 Daudi mwenyewe asema ni Bwana; basi amekuwaje mwanawe? Na mkutano mkubwa walikuwa wakimsikiliza kwa furaha.
Kama Waislam mnadai kuwa Yesu alikuwa anaongea kuhusu Allah ambaye ni mmoja kutokana na madai ya Quran:
MASWALI:
1. Ni nani huyo "BWANA" anaye kaa mkono wakuume wa Allah?
2. Daudi alisema: BWANA ALIMWAMBIA BWANA WANGU. Je, Allah alimwambia Bwana mwingine akae kwa mkono wake wa Kuume?
3. Huyu BWANA aliye ambiwa akae upande wa kuume wa ALLAH ni nani?
4. Kwanini na yeye anaitwa BWANA?
5. Waislam wapi aya ya Quran Allah na yeye anaitwa BWANA?
Waislam, kama kawaida yao watasema, BIBLIA IMECHAKACHULIWA, au sio?
Nashangaa kwanini Wakristo hatulioni hili kuwa ALLAH-BWANA ANA BWANA MWINGINE UPANDE WAKE WA KUUME kama alivyo sema Nabii wa ALLAH aitwaye Doudi.
Waislam, mpaka lini mtaendelea kuishi kwenye uongo wa Muhammad?
NAMALIZA KWA KUSEMA:
Marko 12: 38 Akawaambia katika mafundisho yake, Jihadharini na waandishi, wapendao kutembea wamevaa mavazi marefu, na kusalimiwa masokoni,
Yesu anatuonya na tuambia jujihadhari na watu wanaovaa mavazi marefu (KANZU) na wanasalimiwa asallam aleuikum huko kwenye MASOKO. Hao ni akina nani wanao vaa mavazi marefu (kanzu) na kupenda kusalimiwa masokoni?
Shalom,
Imetafsiriwa kutoka kwa Jimmy John
Na kuratibiwa na Max Shimba
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

KENYA: WAKRISTO 13 WAKATWA VICHWA NA MAGAIDI WA KIISLAM BAADA YA KUKATAA KUSEMA SHAHADA

Image may contain: one or more people and outdoor
Gazeti la "Morning Star News" limesema kuwa Wakristo 13 wamekatwa vichwa na Waislam wa siasa kali baada ya kugoma kusema Shahada ya Kiislam.
Magaidi hawa wenye asili ya Somalia walivamia vijiji viwili vya Jima na Kipini Ijumaa iliyo pita na kufanya haya mauwaji mabaya huku wakisema Allahu Wakbar.
Wafuasi hawa wa Muhammad waliwauwa Wakristo hao kwasababu waligoma kata kata kujiunga na dini ya Kiislam.

Former Imam of the Grand Mosque in Mecca confirms that ISIS has the same beliefs as all Muslims do


In a TV appearance, Sheikh Adel al-Kilbani, former Imam of the Grand Mosque in Mecca, explains how it is a result of Islamic revivalism, that ISIS (aka Daesh) follows the same Salafist approach used in Saudi Arabia, and there are only slight differences regarding how to punish those who go against the Shari’a.

AUSTRIA: In broad daylight, a Viennese woman was assaulted by a Somali Muslim savage for walking her dogs


A shocking attack occurred in broad daylight in Vienna: Ingrid T, 54, (below) lies in the hospital after a brutal attack. The Motive? Her two dogs! The animals are considered ‘filth’ as asserted by the attacker, a Somali Muslim migrant. According to the prophet Muhammad, dogs should be killed unless they are working/service dogs.

GOV  She was talking with the neighbors at the garden gate — the deaf, almost blind, three-legged Collie mix “Panda” sat peacefully; the ten-month-old “Poco” walked along the alley towards Ingrid T.’s parents’ house.

“I saw a pretty veiled woman approaching slowly. I knew some people from these countries do not like dogs, so I went to Poco and wanted to pull him back,” says Ingrid T. from her hospital bed.

“She grabbed me, spun me around and scratched me”

Then, as the victim said, the Somali Muslim woman, 18, and a legal resident of Austria) attacked her. “She grabbed me, spun me around, scratched me” — until both fell to the ground. It took three men to pull the woman off the 54-year-old. “I couldn’t feel my legs,” recalls Ingrid T.

Below photo is from Pakistan:

Below video shows Iranian officials injecting dogs with acid that will corrode the animals’ guts while the dog is still alive, causing him to shriek in agony, such is the horrendous pain he experiences.  It takes him several minutes to die.  VIEWER DISCRETION ADVISED

“We do not want dogs: they are dirty”

She was then operated on twice in the Wilhelminen Hospital — her knee was smashed; an artificial knee was surgically implanted. Why did all that happen? Because this is about culture; the Somali husband supposedly told Ingrid T in the hospital: “We don’t want dogs, they are filthy!”

Ingrid T. is expecting a long recovery. Who will pay for all this? Her lawyer, Manfred Ainedter, doesn’t know. The Somali woman does not have liability insurance: “This will probably be a precedent.”

Saturday, July 15, 2017

JE, MKRISTO WA LEO ANA HAKI YA KUTUNZA SHERIA NA AMRI ZA AGANO LA KALE?

Image may contain: one or more people, mountain, outdoor and text

Ili kujibi swali hili kwa ufasaha, ni vyema kujua sababu ya kutolewa hizo sheria zilizo kuwepo kwenye Agano la kale.
Jambo muhimu la kufahamu ni kwamba agano la kale lilipatiwa taifa la Israeli wala sio Wakristo, najua umesha anza kunihoji kwa maswali mengi, tulia na ujifunze Neno tamu la Mungu.
Baadhi ya sheria hizo zilikuwa za kuwafanya Waisraeli wajue jinsi ya kumtii na kumfurahisha Mungu (amri kumi za Mungu kwa mfano), baadhi yazo zilikuwa zikiwafunza jinsi ya kumuabudu Mungu (kwa ile njia ya sadaka ya kuchinja mnyama na kumtoa sadaka, JE, WEWE LEO HII UNAFANYA HIVYO KWA KUTUMIA KABILA LA WALAWI?), nyengine zilikuwa za kuwafanya Waisraeli wawe watu maalum (kama sheria za aina za mavazi na chakula). Hakuna sheria yoyote ya agano la kale inayotumika kwetu sasa. Yesu alipokufa msalabani, alimaliza matumizi ya sheria ya agano la kale (Warumi 10:4; Wagalatia 3:23-25; Waefeso 2:15).
MAKUHANI:
Neno heireus (Gk) ambalo hutafsiriwa Kuhani humaanisha mtu ambaye hutoa dhabihu na mwenye mamlaka juu ya shughuli zote zihusianazo na mwenendo mzima wa shughuli husika. Tukiachana na kuongelea makuhani wa miungu mingine, tuangalie makuhani wa Mungu aliye hai. Ili mtu awe kuhani wa Mungu ilikuwa ni lazima atoke katika familia ya Haruni (Kutoka 29:9) nje na familia hiyo hapakuwepo kuhani katika wana wa Israeli waliowahi kuwa makuhani nje na familia ya Haruni na kabla la Lawi ni wawili tu, mfalme na kuhani Melkzedeki (Mwa 14:18, Ebrania 7:1-4, 6) ambaye hajulikani ukoo wake (hana baba, hana mama, hana wazazi, hana Mwanzo wa siku zake, wala mwisho wa uhai wake, bali amefananishwa na mwana wa Mungu), mwingine ni Yesu Kristo (Ebr. 7:25-28) ambaye hutoka katika kabila la Yuda (Mw. 49:10 Luka 3:23 – 33)
Makuhani wa Mungu aliye hai walitakiwa kufanya yafutayo kati ya wana wa Israeli, kutoa dhabihu (Lawi 1:1 -7) kutunza mahali patakatifu (hema) (Hesabu 3:38), kuhakikisha taa haizimiki daima katika hema (Kutoka 27:20-21) kutunza moto katikamadhabahu usizimike daiam (Lawi 6:12-13). Kulifunika sanduku na vitu vyote vya hema safari ilipoanza (Hesa 4:5-15), kufukiza uvumba (Kut 30:7,8), kuwabariki watu (Hesabu 6:23-27), kuwatakaza (kuwapatanisha ) wenye unajisi mbele za BWANA (Lawi 15;15-31), kubaini ukomo(Law 13:1-17), na kufundisha sheria (Law 10:11)
Makuhani walipokea ZAKA kutoka kwa Walawi. Sadaka hii iliyotolewa na Walawi kwa makuhani iliitwa sadaka ya kuinuliwa kwa BWANA (heave sacrifice) fungu la kumi la mafungu ya kumi waliyopokea walawi kutoka kwa wana wa Israeli. (Hesabu 18:28)
Makuhani (wa nyakati zote) wanaotambuliwa katika maandiko ni kama hawa wafutao, Wamegawanyika katika makundi matatu:-
1. Makuhani kabla ya sheria:
Hapa tunamuona mmoja tu Mfalme na Kuhani mkuu Melkisedeki (Mwanzo 14:18, Ebrania 7:1)
2. Makuhani wa Mungu aliye hai wakati wa sharia:
Hawa wote wa kipindi hiki walitoka katika familia ya Haruni, nje na hiyo kama tulivyojifunza hapakuwepo kuhani, Nao ni kama wafutao, (1) Haruni (Kut 31:10), Abiathari (Samuel 23:9) , Abimeleki (1Samuel 22:11), amaria (2Nyakati 19:11), Anania (Matendo 23:2), Kayafa (Matayo. 26:3), Eliazari (Hesaabu 16:39), Eli (1Samuel 1:9), Eliashibu (Nehemia 3:`1), Ezekieli (Ezekiel 1:3), Ezra (Ezra 7:11, 12), Hilkia (2Falme 22:4), Yehoiada (2Falme 11:9), Yehozadaki (Hag 1:1), Yoshua (Zeka 3:1), Maaseya (Yeremia 37:3), Pashuri (Yeremia 20:1), Fineasi (Yos 22:30), Skewa (Mdo 19:14), Seraya (2Falme 25:18), Shelemiya (Neh 13:13), Uriya (2Falme 16:10), Zabudi 1Falme 4:5), Zakaria (Luka 1:5), Zadoki (2Samuel 15:27), Zefania (2Fal 25:18)
3. Makuhani katika kanisa la Agano Jipya
Katika wakati wa Agano jopya Kristo ndiye anayetajwa kuwa ni kuhani Mkuu tena wa milele (Ebrania 3:1) Kundi jingine linalotajwa kuwa makuhani ni wakristo wote wa kweli (Ufunuo 1:5-6, 1Petro 2:9) Hatuoni majina maalumu ya kikundi cha watu maalumu waliofanywa makuhani, hata Paulo mwenyewe hakuwahi kujiita kuhani wala mtume yeyote. Hivyo katika agano jipya Kristo pekee ndiye kuhani Mkuu na haitaji msaidizi hapa duniani. Kwa hiy kitendo cha mtu yeyote kujipa ukuhani maalum tofauti na ule wa waumini wote ni kuidharau kazi ya Kristo na kuihubiri injili nyingine, itakayomletea laana (Galatia 1;6-9)
TUPO CHINI YA SHERIA YA KRISTO:
Mahali pa sheria ya Agano la Kale, tuko chini ya sheria ya Kristo (Wagalatia 6:2) ambayo ni, “Mpende bwana Mungu wako na moyo wako wote akili zako zote na nguvu zako zote. Hii ndiyo ya kwanza na amri iliyo kuu. na ya pili ni kama ya kwanza, mpende jirani yako kama nafsi yako.
Torati yote na manabii inakamilishwa katika amri hizi mbili” (Mathayo 22:37 – 40). Tukifanya mambo haya mawili tutakuwa tunatimiza yale Kristo angetaka tuyafanye, “na huu ndio upendo wa Mungu: kutii amri zake. Na amri zake si nzito” (Waraka wa kwanza wa Yohana 5:3). Kwa mtazamo, amri kumi za Mungu hazina uhusiano na wakristo. Hata hivyo, tisa katika amri kumi za Mungu zimerudiwa katika agano jipya (zote isipokuwa ile ya kuweka sabato). Kwa kwaida kama tunampenda Mungu hatutakuwa na miungu miginemila yeye. Tukiwapenda majirani zetu hatutawaua, hatutawadanganya,hatutazini nao, wala kutamani kile walichonacho. Kwa hivyo hatuko chini ya sheria ya agano la kale. Sisi ni wakumpenda Mungu na pia majirani zetu. Tukifanya mambo haya mawili kwa uaminifu wa moyo, kila kitu kitakuwa sawa.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

MITUME 12 WA ISA BIN MARYAM NI AKINA NANI?


Image may contain: 8 people, people smiling, text

KAMA ISA BIN MARYAM ALIKUWA YESU, TUAMBIENI MAJINA YA MITUME WAKE KUMI NA WAWILI

NDIO MAANA ISA BIN MARYAM HAWEZI KUWA YESU KRISTO

Biblia na Ukristo ulio kuwepo miaka 600 kabla ya Uislam, Muhammad, na Quran inasema hivi:
Mitume halisi kumi na wawili wameoredheshwa katika Mathayo 10:2-4, “Na majina ya hao mitume kumi na wawili ni haya;

Neno “mtume” lamaanisha mwanafunzi au mfuasi. Neno “mtume” la maanisha “mtu aliyetumwa nche.” Huku Yesu akiwa ulimwenguni, wafuasi wake kumi na wawili waliitwa mitume. Mitume kumi na wawili walimfuata Yesu Kristo, wakajifunza kutoka kwake, na wakaelimishwa naye.
Wa kwanza Simoni aliyeitwa Petro, na Andrea nduguye; Yakobo wa Zebedayo, na Yohana nduguye; Filipo, na Bartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru; Yakobo wa Alfayo, na Thadayo; Simoni mkananayo, na Yuda Iskariote, naye ndiye mwenye kumsaliti.”

Bibilia pia yaorodhesha hao mitume kumi na wawili katika Mariko 3:16-19 na Luka 6:13-16. Linganisho la fahamu hizi tatu laonyesha tofauti chache katika majina. Inaonekana Thadayo pia aliitwa “Yuda, mwana wa Yakobo” (Luka 6:16) na Lebayo (Mathayo 10:3). Simoni mfarisayo pia aliitwa Simoni Mkananayo (Mariko 3:18). Yuda Iskariote ambaye alimsaliti Yesu, nafasi yake ilichukuliwa na Mathiya (angalia Matendo Ya Mitume 1:20-26). Walimu wengine wa Bibilia wanamwona Mathiya kama mtume ambaye “hastahili” na wanaamini kuwa Paulo alikuwa chaguo la Mungu kumpadilisha na Yuda Iskariote kama mtume wa kumi na mibili.

Sasa basi, tunawaomba Waislam watuletee majina 12 ya Mitume wa Isa Bin Maryam ili tukubalia kuwa Isa Bin Maryam ni Yesu Kristo..

Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Friday, July 14, 2017

YESU KRISTO ALIUMBA HISABATI


Image may contain: 1 person, smiling



Najua unashangaa kivipi Yesu awe Mwana Mahesabu. Naam, katika somo hili tutajifunza Hisabati ambazo wana Hesabu wameshindwa kuziweka katika "practical" vitendo.

Sasa tuanze na aya tamu za Biblia: Yohana 6:1-14 au Soma Matayo 14:13-21. Nitaweka aya moja ya 17 katika Matayo: "tunayo Mikate Mitano na Samaki wawili" 

Kwa akili za haraka haraka haiwezekani kwa Mikate Mitano na Samaki wawili kulisha watu zaidi ya Elfu tano.

Lakini kwa kutumia Hisabati za kawaida hesabu hiyo inawezekana, ila tunapo igeuza kuwa "VITENDO" haya mambo ni magumu sana. Je, Yesu aliwezaje kuwalisha watu elfu tano na zaidi kwa kutumia mikate mitano na samaki wawili?

Katika Hisabati kuna somo la "FACTORIAL NOTATION" hili somo ni la kuzidisha namba kinyume nyume mpaka namba ya chini kabisa ambayo ni moja.

Mfano:
1! = 1
2! = 2 × 1 = 2
3! = 3 × 2 × 1 = 6
4! = 4 × 3 × 2 × 1 = 24
5! = 5 × 4 × 3 × 2 × 1 = 120

Unaweza kujifunza hili soma hapa: http://math.tutorvista.com/statistics/factorial-notation.html?source=SEM&cpid=2162007&k=g%3DGenerals%3Dgm%3Dbp%3Da%3D42127945158c%3DDSA_Statistics&gclid=CNrJqdn1x9QCFdeLswodhecPRA

Kimahesabu inawezekana lakini kivitendo kamwe hawa wana mahesabu hawata weza igeuza Mikate mitano na Samaki wawili kuwa "Factorial ya 7" na kuwalisha watu elfu tano.

Mikate Mitano (5) na Samaki wawili (2) ni sawa na vyakula Saba. Yaani kulikuwa na vipande saba vya vyakula ambavyo vinaweza kuliwa.

Bwana wetu Yesu ambaye ni Mungu Mkuu (Tito 2:13) anaweza kufanya atakalo na likawa.

Yesu katika aya ya 18 kwenye Matayo 14 alichukua hiyo Mikate Mitano na Samaki wawili akaangalia juu na kuvibariki. Akawagaia wanafuzi wake na kuwaambia, wapeni watu wale.

Kumbuka huyu ni Yesu aliye gauza maji ambayo yenye Chemical formula ya H2O na kuwa Divai yenye chemical formula ya C6H12O6 = 2CO2 + 2CH3CH2OH.

Je, kuna jambo lolote gumu ambalo Yesu hawezi kulifanya? Kwenye Yeremia 32:27 inakujibu kuwa, hakuna jambo gumu kwa Mungu wetu.

Sasa turudi kwenye somo la Mikate Mitano na Samaki 2. Kimahesabu ni sawa na kusema:

7! = 7 x 6 x 5 x 4 x 3 x 2 x 1 = 5040

Ngona nitumia formula ya Recursive:

Solved Example
Question: Simplify 10!6!
.
Solution:

10!6! inaweza kuandikwa kama 10×9×8×7×6!6!

=> 6! inaeza kukatwa with that in the denominator and the expression reduces to 10 × 9 × 8 × 7 = 5040.

=> 6! = 5040.

Recursive Definition of Factorial Notation
Back to Top

Recursive definition of factorial notation

(k + 1)! = (k + 1) . K!

Factorial notation has a place in both Permutation and combination formulas. Factorial notation comes into liberal play while evaluating Permutation and combination formula.

P(n,r) = n!(n−r)! na C(n,r) = n!(n−r)!r!

Naam, ndio maana mimi nampenda sana Yesu anayejua HESABU KUBWA KAMA HIZI, maana yeye aliziumba.

Wewe unaye mpinga Yesu, unaweza kunionyesha wapi mungu wako au mtume wako ameweza fanya Hisabati ngumu kama hizi?

Au wapi dini yako inaweza kutoa miujiza namna hii? Haya yote yanawezekana kwa Yesu Mungu Mkuu.

Shalom,

Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo.

MUNGU ROHO MTAKATIFU ANAISHI NDANI YETU


Image may contain: one or more people and text

Ezekieli 36:27 “nami nitatia roho yangu ndani yenu na kuwaendesha katika sheria zangu nanyi mtazishika hukumu zangu na kuzitenda” maneno haya anayasema MUNGU kupitia kinywa cha nabii Ezekieli.
Ni Mungu aangaliae yote Zaburi 139:7 inasema “niende wapi njiepushe na Roho yako, Niende wapi niukimbie uso wako”
Ni maombi yangu Zaburi 51:11-12 inayosema “usinitenge na uso wako wala Roho Mtakatifu usiniondolee unirudishie furaha ya wokovu wako ,unitegemeze kwa Roho ya wepesi wako” yatimie kwako.
Katika Kumbukumbu la Torati anasema hivi Kumbukumbu la Torati 4:6 anasema “sikiza ee izraeli; Bwana, Mungu wetu, Bwana ndiye mmoja” MUNGU ni mmoja anaposema nitatia roho yangu ndani yenu (yetu) maana yake Mungu kuja kukaa ndani yetu kupitia ROHO MTAKATIFU,
Biblia katika ule Waraka kwanza wa Yohana 4:8-9 anasema “kwa maana wako watatu washuhudiao[mbinguni Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu na hawa watatu ni umoja 9 kisha wako watatu washuhudiao duniani] Roho, na maji, na damu; na hawa hupatana kwa habari moja.tukipokea ushuhuda wa wanadamu, ushuhuda wa Mungu ni mkuu zaidi; kwa maana ushuhuda wa Mungu ndio huu, amemshuhudia Mwanawe. Mungu mmoja aliye ziumba mbingu na nchi yeye Mungu na Roho Mtakatifu na Neno (Yesu) mbinguni ni umoja na duniani wako watatu wanaopatana kwa habari mmoja.
Watatu duniani Biblia inasema ni Roho Mtakatifu (Mungu pamoja nasi), Maji, na Damu. Kwa habari ya maji Biblia inasema hivi “Ezekieli 36:25 nami nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi; nitawatakaseni na uchafu wenu wote, na vinyago vyenu vyote” anaeleza habari ya utakaso. Damu ya YESU ndio ukombozi na upatanisho wetu ili tumwone Mungu.
ROHO MTAKATIFU ndiye aliyekuwa ndani ya Yesu akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake; Luka Mtakatifu anasema Luka 1:35 “Malaika kajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako na nguvu zake aliye juu zitakufunika kama kivuli kwa sababu hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu MWANA WA MUNGU”
Maneno haya aliyasema Malaika Gabrieli alipokuwa akimweleza Mariamu juu ya kuzaliwa Yesu na matokeo yake ilikuwa hivi “Mathayo 1:18 “kabla hawajakaribiana alionekana ana mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu”.
Yesu ni Mungu na katika kitabu cha Waebrania anasema Waebrania 1:8 “lakini kwa habari ya mwana asema kiti chako cha enzi Mungu ni cha milele na fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya adili”
Si wanadamu tu waliokili kuwa yesu ni mungu bali hata malaika waliotumwa na mungu walikiri kuwa yesu ni mungu “Luka 1:32-33 huyo atakuwa mkuu ataitwa mwana wa aliye juu, Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake, ataimiliki nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho” na tunajua ufalme wa mungu pekee ndio hauna mwisho na kupitia Yesu atamiliki nyumba ya Yakobo milele na milele. twaweza sema kwamba ufalme wake hauna mwisho kwa sababu yeye ni Mungu wa milele.
Matendo ya Mitume 1:8 Bwana Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwa “mtapokea nguvu akiisha kuwajilia Roho Mtakatifu nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu na katika uyahudi wote na Samaria na hata mwisho wan chi”
Tangu siku za yohana ufalme wa Mungu unatekwa na wenye nguvu tena nguvu za rohoni (nguvu za ROHO Mtakatifu) unapomwamini Yesu Roho Mtakatifu
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Ancient Jewish Wedding Ceremony: “No man knows the day or hour, only the Father”

  The Ancient Jewish Marriage Rite: A Detailed Exposition of Betrothal, Preparation, and Consummation Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological ...

TRENDING NOW