Monday, August 3, 2015

ALLAH ANA-VAA NGUO KAMA VIUMBE

1. Kumbe Allah ana mwili kama viumbe!
2. Kumbe Allah anavaa nguo kama viumbe!
3. Kumbe Allah anao mfano, maana anavaa nguo kama viumbe!
Ndugu znguni,
Huu ni Msiba mwingine kwa Allah. Huyu Allah aliyesema kuwa hana mfano wala hawezi kufananishwa, leo hii kaja na mpya na kujisahau na kukiri kuwa, anavaa nguo kama viumbe.
Haya, twende moja kwa moja na tusome ushahid kutoka vitabu vya Waislam.
الكبرياء ردائي والعظمة إزاري
Allah ansema katika Hadithi hii Qudsi "Ukuu ndi vazi langu la juu na utukufu ndio vazi langu la chini".
Sasa kama Allah anavaa nguo inamana kuwa Allah ana mwili kama viumbe?
Msiba huu ni mkubwa sana ndugu wasomaji.
Katika Hadithi nyengine Qudsi, Allah anasema: "….Na mja wangu hajikurubishi kwangu kwa kitu nikipendacho zaidi kuliko yale niliomfaradhishia juu yake. Na mja huwa anaendelea kujikurubisha kwangu kwa nawafil (ibada zisizo za lazima) mpaka nampenda: "فإذا أحببته كنت سمعه الذي يسمع به، وبصره الذي يبصر به ويده التي يبطش بها ورجله) (التي يمشي بها" Basi nikimpenda nakuwa (Mimi ndio) sikio lake analosikia kwalo, na jicho lake analoonea na mkono wake anaoshikia na mguu wake anaoendea."
Hapo Allah kesha kiri kuwa yeye ana masikio, mikono na macho.
Ndugu wasomaji, teyari mmesha uelewa kuwa Allah ni kiumbe kama binadamu kwasabau ana vaa nguo.
Mungu awabariki sana.
Katika Huduma yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW