Monday, August 3, 2015

ALLAH SIO MUNGU (SEHEMU YA KWANZA)

Kwanza Qruani inajua kabisa kwamba mungu wake si mungu aliyeumba Mbingu na Nchi! Kwasababu hii ndiyo maana hakuna aya hata moja ndani ya Qruani ambayo mungu wa Qruan anasema kwamba “Mimi ndiye niliyeziumba Mbingu na Nchi” bali utakutana na aya ikisema “Mwenyezi Mungu aliziumba mbingu na nchi”

SASA, kama Allah ni Mungu, kwanini anasema kuwa Mwenyezi Mungu kaumba mbingu na Nchi na HASEMA Mimi nimeumba Mbingu na Nchi?

Pia ujulikane kwamba kila kitu hutambulika kwa majina yake. Hata wanadamu hutambulika kwa majina ndipo mtu utapata kuelewa kwamba anayekusudiwa ni fulani. Mungu wa Biblia anaitwa Niko ambaye Niko, Yehova, Bwana wa Majeshi, Alfa na Omega. Lakini mungu wa Qruani jina lake ni Allah, sasa hoja inakuja hapa, KAMA mungu wa waislam na Mungu wa Wakristo ni mmoja:

1. Ni andiko gani katika Biblia linalosema kwamba Mungu jina lake ni Allah?
2. Pia ni aya gani ndani ya Qruani inayokubali kwamba Mungu jina lake ni Yehova?
Lakini katika kufanya utafiti nimegundua kwamba Allah si Mungu wa kweli bali ni Shetani kwamujibu wa Qruani Surat Muhamad aya ya 15. Inasema hivi “Mfano wa pepo aliyowaandalia waja wake mwenyezi Mungu iko hivi, ndani yake kuna mito ya maziwa na mito ya ulevi wenye ladha kwa wanywaji. Humo watapata kuburudishwa kwa matunda ya kila namna na samahani kutoka kwa mola wao.” Lakini ukisoma Qruani hiyo hiyo Sura ya 5 aya ya 90, inasema hivi: “Enyi mlioamini bila shaka ulevi na kamari na kuombwa yeyote asiyekuwa Mwenyezi Mungu ni uchafu na ni kazi ya shetani.”

Sasa rafiki yangu kwa mujbu wa aya hizi hebu fikiria sasa aya ya kwanza imesema Allah katika pepo yake kuna mito ya ulevi, lakini Qruani hiyo hiyo imesema ulevi ni kazi ya shetani, kama aya zenyewe ndizo hizi hoja yangu inakuja hapa: Yeye Allah kama siye Shetani amepata wapi ulevi hali yakuwa ulevi ni wa shetani? lakini Biblia imesemaje kuhusu ulevi: Walevi na wachawi na wazinzi hawataurithi ufalme wa mbinguni. Mungu anasema katika isaya Ole wao waamkao asubuhi na kufuata ulevi. mpendwa kuwa macho hizi ni nyakati mbaya za Mpinga Kristo.

Leo tumejifunza tena kuwa, Allah sio Mungu bali ni Mpinga Mungu.

Hakika Allah aabudiwe na Waislam sio Mungu.
Katika Hudma yake
Max Shimba Ministries
@July 2015.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW