Tuesday, March 1, 2016

UTATA MKUBWA KUHUSU KUTEREMSHWA KWA QURAN

Ndugu msomaji,
Leo tutaangalia UTATA kuhusu kuteremshwa kwa Quran. Allah na Muhammad kwa mara nyingine tena, wameshindwa kutuhakikishia kuhusu lini Quran iliteremshwa?
Hapa chini kuna aya kadhaa ambazo zinaendelea kutuonyesha shaka kubwa kubwa iliyo ndani ya Quran.
ALLAH ANASEMA KUWA, QURAN ILITEREMSHWA MWEZI WA RAMADHANISurat Al Baqara 185. Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur'ani kuwa ni uwongofu kwa watu, na hoja zilizo wazi za uwongofu na upambanuzi. Basi ataye kuwa mjini katika mwezi huu naafunge. Na mwenye kuwa mgonjwa au safarini, basi atimize hisabu katika siku nyengine. Mwenyezi Mungu anakutakieni yaliyo mepesi wala hakutakieni yaliyo mazito, na mtimize hiyo hisabu, na mumtukuze Mwenyezi Mungu kwa kuwa amekuongoeni ili mpate kushukuru.
Lakini nilipo soma aya kutoka Surat Addukhan, Allah alibadilika na kusema kuwa:
QURAN ILITEREMSHWA USIKU MMOJASurat Addukhan 3. Hakika tumekiteremsha katika usiku ulio barikiwa. Hakika Sisi ni Waonyaji. 4. Katika usiku huu hubainishwa kila jambo la hikima
Nilipo endelea kuisoma Quran kwa makini katika Surat Al Furgan, Allah akabadilika tena na kusema kuwa:
QURAN ILITEREMSHWA KIDOGO KIDOGOSurat Al Furgan
32. Na wakasema walio kufuru: Kwa nini hakuteremshiwa Qur'ani kwa jumla moja? Hayo ni hivyo ili tuuthibitishe moyo wako, na ndio tumeisoma kwa mafungu.
Ndugu zanguni, hivi ni kweli huyu Allah aliteremsha Quran?
Hivi ni kweli kuwa Allah ni mjuzi wa yote?
Hivi, kwanini Allah anashindwa kukumbuka, ni lini aliiteremsha Quran?
Hivi, hata huyo Muhammad, kwanini anashindwa kumkumbsha Allah wake kuhusu kuteresmhwa kwa Quran?
Mbona hata Jibril na yeye ameshindwa kumkumbusha Allah kuhusu lini aliteresmhwa Quran.
WAISLAM, naomba mnijibu kwa aya na bila ya matusi, KURAN ILITERESMHWA LINI?
Watakabahu,
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW