Saturday, March 26, 2016

ALLAH KARUHUSU KULA NYAMA YA MIJUSI, FISI, NA NGAMIA


Ndugu msomaji,
Leo tutaandali nyama zinazo liwa na Waislam ambazo ni haram na Najisi kutokana na Biblia.
Mambo ya Walawi 7: 4 Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na katika wale walio na kwato; NGAMIA, kwa sababu yuacheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu. 6 Na SUNGURA, kwa sababu hucheua, lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.
Lakini nilipo soma vitabu vya Kiislam, nikagundua kuwa, wao wana chuki kubwa na Nguruwe tu, huku wakila kwa furaha nyama ya Ngamia, mijusi, Sungura, Bata, nk.
Hebu tusome kidogo ushahid kutoka vitabu vyao:
Sayyidina Ibn Ammar (RA) alisema kuwa, siku moja alimuuliza Jabir Jbn Abdullah (RA) kuhusu uwindaji wa FISI. Alinijibu na kusema, inaruhusiwa kuwinda Fisi. Nilimuuliza, Je, tunaruhusiwa kula, na akanijibu kuwa Kula Fisi ni Halal (Inaruhusiwa kula Fisi).
Nikamuuliza tena, Je, Nabii wa Allah(SAW) aliruhusu kula Fisi? Jabir r alinijibu na kusema. NDIO, Nabii wa Allah aliruhusu kula Fisi. [Abu Dawud 3801, T 1798, Ibn e Majah 3085, Ahmedl4456]
9- Kitabu cha HAJJ
Kama tulivyo soma hapo juu, Waislam wameruhusiwa kula nyama ya Fisi. Zaidi ya hapo, Muhammad aliendelea na kuruhusu kula nyama za mijusi.
MTUME MUHAMMAD ASEMA KULA NYAMA YA MIJUSI NI HALAL
Sahih Muslim Kitabu 21, 4788 Idadi :
Ibn 'Umar taarifa kwamba kulikuwa na baadhi ya watu na Mtume wa Allah (amani iwe juu yake) miongoni mwa maswahaba wake alikuwepo Sad. Basi ililetwa nyama ya Mjusi na mwanamke miongoni mwa wake wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (amani iwe juu yake) alisema: Ni nyama ya mjusi. Hapo Nabii Muhammad alisema: Kuleni hiyo nyama ya Mjusi kwa kuwa ni halali…
Eti kula Nguruwe ni haram lakini wanakula Fisi na Mijusi. Eti kula nguruwe ni haram lakini wanakula NGAMIA. Huu ni msiba.
Swali la kujiuliza, kama kweli Yehova Mungu wa Musa ndie huyo huyo Allah wa Waislam, kwanini WAISLAM wanapinga aya ya kula NGAMIA? Mambo ya Walawi 7: 4 Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na katika wale walio na kwato; NGAMIA, kwa sababu yuacheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.
Zaidi ya hapo, Waislam wanakunywa Mikojo ya Punda na maziwa ya Punda. Je, huko si kuvynja amri ambayo ilisemwa katika Mambo ya Walawa 7 aya ya 4?
Abdallah Ibn Umar anasema kuwa kula Nyama ya Ngamia, na kunywa Maziwa yake ni HARAM. Lakini waislam wao wanaendelea kula Nyama ya Ngamia na kunywa Maziwa na Mikojo ya NGAMIA. (‘Abdallah Ibn ‘Umar al-Baydawi, Tafsir al-baydawi)
MUHAMAMD AWARUHUSU WAISLAM KUNYWA MIKOJO NA MAZIWA YA NGAMIA AMBAYE NI HARAMU KATIKA [WALAWI 7: 4]
Hata hivyo Muhammad aliwaamuru baadhi ya watu kumfuata mchungaji wake na kunywa maziwa na mikojo ya ngamia.

Bukhari juzuu ya 7 kitabu cha 71 sura ya 6 na.589, 590 uk.398, 399 na juzuu ya 7 kitabu cha 71 sura ya 29 na.623 uk.418.
Muhammad pia alisema kuwa mkojo wa ngamia ni dawa nzuri. Ibn-i-Majah juzuu ya 5 kitabu cha 31 na.3503 uk.38.
Baadhi ya Waislam waliambiwa kunywa mkojo wa Ngamia, waliishia kuwa waasi na kumuua mchungaji. Muhammad aliamuru wakatwe miguu na mikono yao na macho yao yachomwe. Sunan Nasa’i juzuu ya 1 na.308-309 uk.255-256. Tazama pia Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 52 sura ya 152 na.261 uk.162.
Sasa, kama Ngamia ni haramu katika Mambo ya Walawi 7 aya ya 4, kwanini Muhammad aliruhusu Waisla wale Nyama yake na kunywa Mikojo na maziwa yake?
Mbona Muhammad na Allah wanaruhusu kula na kunywa mikojo na Maziwa ya Ngamia ambaye ni haramu kwenye Mambo ya Walawi?
Huu ni MSIBA mkubwa sana kwa Waislam na Mtume wa Muhammad kwa kuvunja sheria ya Mungu ya kuto kula nyama ya Ngamia, Mijusi, Fisi na Sungura.
Karibu kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu,
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
March 26, 2016

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW