Tuesday, August 22, 2017

YESU ALIKUWEPO KABLA YA KUUMBWA KWA VITU VYOTE DUNIANI NA MBINGUNI



Wakolosai 1:17 “Naye amekuwako kabla ya vitu vyote; na vitu vyote hushikamana katika yeye”.

Yesu Kristo alikuwako kabla ya Ibrahimu kuwako (Yohana 8:52-58).
Watu walioambiwa maneno hayo na Yesu mwenyewe waliokota mawe ili kumpiga Yesu wakisema kuwa anakufuru. Hawa ni watu wa tabia ya mwilini wanaotumia akili kupambanua mambo ya Mungu (mambo ya kiroho huwezi kuyatambua kwa akili maana Mungu ni Roho. (Yohana 4:24).Yohana 17:5,24.Waebrania 7:3.
Yesu ni Alfa na Omega, wakwanza nawa mwisho kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu yeye alikuwako (Ufunuo 22:13).
Shalom
Dr. Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu.

No comments:

John chapter 10 that clearly highlight Jesus’ divinity, His unity with the Father, and His sovereign authority

Suggested Captions from John 10 “I am the Good Shepherd” — a divine title Yahweh reserved for Himself (John 10:11; cf. Psalm 23). Jesus does...

TRENDING NOW