Sunday, December 31, 2017

KANISA TAKATIFU LA MUUJIZA WA YESU KRISTO LAFUNGULIWA ISRAEL

Image may contain: one or more people and indoor
Misa maalum imefanyika kufungua rasmi kanisa Katoliki Kaskazini mwa Israel ambalo liliteketezwa na Wayahudi wenye itikadi kali mwaka wa 2015.
Kanisa hilo lililoko eneo la Tabgha kando mwa ziwa la Galilee linaaminika na Wakristo kama eneo takatifu ambapo Yesu Kristo alifanya muujiza wa kuwalisha watu 5000 kwa mikate mitano na samaki wawili pekee.
Ukarabati wa kanisa hilo ulichukua miezi minane na kugharimu kima cha dola milioni moja.
Licha ya Wayahudi watatu wenye itikadi kali kupatikana na makosa ya kuchoma kanisa hilo hata hivyo hawakuhukumiwa.
Uvamizi huo uliharibu maktaba ya kanisa na jengo nzima.
Hata hivyo sakafu yake iliyotengenezwa karne ya tano ilinusurika uharibifu huo.
Source BBC

No comments:

WAS MUHAMMAD PROPHESIED IN THE BIBLE?

SURAH 61:6 Muslims believe that the coming of Muhammad was foretold in the Bible. For centuries, Muslims have tried to find predictions of t...

TRENDING NOW