Friday, April 8, 2016

KWANINI ALLAH NA MUHAMMAD WANAMCHUKIA ISA BIN MARYAM?

Ndugu msomaji,

Labda hukuwai jiuliza jambo hili, KWANINI ALLAH ALISEMA ISA BIN MARYAM SI CHOCHOTE? 

KWANINI ALLAH HAKUWAI SEMA KWA MANABII WENGINE KUWA WAO SI CHOCHOTE, BALI ALIMDHIHAKI KWA CHUKI MBAYA ISA BIN MARYAM?

Hebu tusome kwanza aya kutoka Suratul Al Maidah:

Qur’an katika Suratul Al-Maidah, 5:75 “ Masihi mwana wa Maryam si chochote ila ni Mtume. Wamekwisha pita Mitume kabla yake. Na mama yake ni mwanamke mkweli. Wote wawili walikuwa wakila chakula. Angalia jinsi tunavyo wabainishia Aya, kisha angalia vipi wanavyo geuzwa. http://www.quranitukufu.net/005.html

Eti, Isa Bin Maryam si chochote na anageuzwa. Hivi kuna aya gani zingine kwenye Quran zinaita mitume wengine si chochote na wanageuzwa?

Hivi kwanini Allah na Muhammad wanamchukia Isa Bin Maryam namna hii? Huyu Isa bin Maryam aliwafanya nini Allah na Muhammad kiasi cha kusema eti "WAMEKWISHA PITA MITUME KABLA YAKE". Kwani Isa Bin Maryam alikuwa anashindana na Allah na mtume wake Muhammad, mpaka kusema eti wamekwisha pita mitume kabla yake? Nani hajui hilo kuwa kulikuwa na mitume kabla ya Isa bin Maryam? Mbona Allah hakusema maneno haya machafu na ya dhihaka kwa Muhammad?

Eti, Isa na Mama yake walikuwa wanakula chakula!! Hivi wapi Isa na Mama yake walisema hawali chakula? Allah mbona unaonyesha kupaniki namna hii?

Angalia jinsi Allah anavyo endeleza chuki zake kwa Isa Bin Maryam, MARA ASEMA KAZALIWA CHINI YA MTENDE, MARA ASEME ISA KAUBWA KWA KUSEMA KUWA NA ISA AKAWA.

UTATA WA KWANZA: ISA KAZALIWA CHINI YA MTENDE
Tofauti ya kuzaliwa Isa ni hii
- Isa alizaliwa katika shina la mtende, Qr, 19:23 Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa! http://www.quranitukufu.net/019.html

Umesoma mwenyewe kuwa Isa anazaliwa chini ya Mtende. SASA ONA MAAJABU YA ALLAH HAPA CHINI.

UTATA WA PILI: ISA BIN MARYAM KAUMBWA
Qr. 3 au surat Imran 59
“Bila shaka hali ya Isa kwa Mwenyezi Mungu ni kama hali ya Adam; alimwumba kwa udongo kisha akamwambia: “Kuwa”; basi akawa” http://www.quranitukufu.net/003.html

Ngugu msomaji, Isa bin Maryam haijulikani alikujaje maana Allah anaweka UTATA mkubwa sana. Mara asema kazaliwa na Maryam, mara asema kaumbwa kwa kusema kuwa na Isa akawa, hivi Isa Bin Maryam alimkosea nini Allah mpaka afanywe namna hii? Allah, kwanini unamchukia Isa Bin Maryam namna hii?

Allah anaendelea kusema kuwa eti, Isa atakapo kuja tena ataoa na kuzaa watoto. Hii nayo ni chuki kubwa kubwa kutoka kwa Allah.

Soma:
ISA BIN MARYAM ATAKAPORUDI, ATAOA NA KUZAA WATOTO
Mishkat Al- Masabih, vol 2 uk.1159 na Sahih Muslim, vol. 1 uk 92 wanadai kwamba Isa atakaporudi ataishi miaka arobaini (40), muda ambao atakuwa ameoa na kuzaa watoto, na atafanya ibada ya hija.

Hivi kwanini Allah anapenda kulazimisha mambo? Kama Isa Bin Maryam alitaka kuwa na Mke, si angeoa alipo kuja mara ya kwanza? Lakini Allah na Muhammad wanatuambia uongo eti Isa anakuja Kuoa, hivi, kwani kuoa ni lazima?

Ndugu msomaji, nategemea unaziona chuki kubwa kubwa za Allah kwa Isa Bin Maryam, ETI ISA BIN MARYAM SI CHOCHOTE, kama vile Isa Bin Maryam alikuwa anajigamba kwa Allah kuwa yeye ni zaidi? Hivi Allah kwanini unamchukia Isa bin Maryam?

Labda kwasababu Isa bin Maryam aliumba ndege kutoka UDONGO na Muhammad hakuwai fanya muujiza hata chembe moja.

Labda kwasababu Isa bin Maryam alizaliwa bila ya Baba na Allah hana uwezo wala ubavu wa kuwa na Mwana bila ya MKEWE Allat.

Zipo sababu nyingi tunaweza zitumia kama ushahidi wa Allah na Muhammad kumuonea WIVU Isa Bin Maryam.

Swali kwa Allah na Waislam: Kwanini Allah alisema " Masihi mwana wa Maryam si chochote ila ni Mtume"? Kwani Allah alifikiria Isa ni nani? Allah si anadai alimuumba yeye, mbona inaonekana kama vile Allah anajibizana na mtu? Allah, hivi Isa Bin Maryam ni nani kwako? Maana inaonekana kuwa umepaniki na humjui Isa Bin Maryam.

HIVI KWANI ISA BIN MARYAM ALIJIITA NANI? Mpaka uanze kutoa maneno makali na dhihaka namna hii ambayo hukuwai sema kwa Mtume mwengine?

Eti, Isa Bin Maryam si chochote, hivi, Isa bin Maryam alisema yeye ni nani mpaka uanze kujihami namna hii NA KUSEMA "ISA SI CHOCHOTE"?

Eti, Isa na Mama yake wanakula chakula: Kwani ISA NA MAMA YAKE walisema hawali chakula?

Allah, kwanini unamchukia Isa Bin Maryam namna hii?

Sina la ziada zaidi ya kuwaonea huruma Waislam wanao fuata Allah na marehemu Muhammad wenye chuki kubwa kubwa tena kwa viumbe anavyo wana dai kuwa vimeumbwa na Allah.

Poleni sana Waislam kwa msiba huu.

Katika huduma Yake,

Mungu awabariki sana.

Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,

For Max Shimba Ministries Org,

MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED

Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

April 8, 2016

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW