Tuesday, August 1, 2017

ABDUL SASA ANAITWA JOSHUA AKIBATIZWA BAADA YA MIAKA 38 KATIKA UISLAM AMBAKO HAKUWA NA AMANI

Image may contain: 1 person
"Miaka 38 katika dini ya uislamu sikupata Amani nafsini mwangu. lakini leo nimekuwa uzao wa MUNGU katika Kristo. Sina lawama tena kwa sababu Nami nitarithi Ufalme wa BWANA.Jina langu lilikuwa Abdul maana Yake "Mtumwa." Lakini BWANA Akaniambia katika Zaburi 2:6-7 ya kwamba leo nimekuzaa. Bwana kanizawadia jina la Joshua il niwe Na matumaini yakufika kwenye inchi ya Ahadi"
"For 38 years in the relogion of Islam i found NO peace in my soul. But today I am a seed of GOD in Christ. I am no longer guilty of sin for now i am assured to inherit the kingdom of the LORD. My name was Abdul meaning SLAVE. But the LORD told me in Psalms 2:6-7 that today i have begotten you. The LORD gifted me a new name "JOSHUA" that i may have the HOpe of reaching the promised Land"
Huu ndio ushuhuda wa ndugu yangu Abdul Ntawuburumwansi; i want to kindly ask all of you to rem Him and the team He leads in Burundi as they share the love of Jesus all over Burundi and Rwanda.
Kaka Joshua, yeye YESU aliyekuita ni mwaminifu kukutunza hata nchi ile ya ahadi aliyotuahidi. Zidi kumpenda na kumtumikia yeye.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW