Saturday, April 28, 2018

ALLAH NI SHETANI

Image result for satan is allah
Kumbukeni kwamba Ibilisi (Shetani) amejaribu kuigiza kila kitu ambacho Mwenyezi Mungu ametenda.

Katika Wakorintho tunasoma:

2 Wakorinthon 11: 14 Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.

Biblia iliyo kuja miaka 632 kabla ya Kuzaliwa Muhammad na kuwepo kwa Quran, inatuonya kuwa Shetani hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.

Uthibitisho wa kwanza, tunaupata kutoka Muhammad mwenyewe aliye kiri kuwa Shetani alimjia katika umbo la Malaika.

Imesimuliwa na Anas Ibn Malik, "Nilimsikia Nabii wa Allah akisema: Allah ni Shaitwan aliye katika umbo la Malaika na alinifunulia aya zake na kitabu chake ni Quran, na mimi ni mtume wake. ( Umdah Al - Ahkaam : Volume 3, Page 460 )

رواه أنس ابن مالك : " سمعت من رسول الله صلى الله عليه وسلم أنه قال " كان الله هو شيطان في شكل ملاك كشف لي الآيات وكتابه القرآن وأنا نبي له . (عمدة الأحكام المجلد 3، الصفحة 460)

Quran inasema kuwa, Shetani amewatawala Waislam na kundi lake lina hasira. Hili si jambo la ajabu, maana unapo msema Muhammad, Waislam hupandwa na khasira kali sana.

Quran 58: “19. Shetani amewatawala na akawasahaulisha kumkumbuka Mwenyezi Mungu. Hao ndio kundi la Shetani. Kweli hakika kundi la Shetani ndilo lenye kukhasirika.


Kumuabudu shetani (Jini) ni kumuabudu Allah.

Katika Suratul Sabaa, 34:40-41
“ Na kumbuka siku atakayowakusanya wote, kisha atawaambia malaika, “ Je hawa walikuwa wakikuabuduni?” waseme umeepukana na kila upungufu! Wewe ndiwe kipenzi chetu si hao bali walikuwa wakiwaabudu MAJINI; wengi wao waliwaamini hao majini”

Dini pekee inayo dai kuwa kuna majini mazuri na ni Maislam, ni dini ya Muhammad, yaani Uislam.

Shetani anapoamuru watu wamfuate pia anawaamuru wafanye madhambi na wakose maadili. Huwataka waseme uongo kuhusu Mwenyezi Mungu kutokana na kutokujua kwao. Wanaweza kusema kuwa sisi wanaadamu tumeumbwa kwa mfano wa Mungu. Mungu alijifanyisha na kuwa umbile la kibinadamu. Mungu amezaa, na mwanaye niwa pekee. Zaidi ya hayo mwanaye si mtoto tu bali ni Mungu pia. Huyo mwana ni Bwana Yesu. Asiyeamini hivyo huchukulika kuwa ni kafiri au muasi hivyo ameangamia na atakwenda jehanamu” (Asili ya Majini, Sheikh Dr. Ahmad H. Sakr Uk 54)

Hapa ndipo sura halisi ya huyu shetani yaani Allah inapojitokeza. Yesu alipokuwa duniani kabla Muhammad hajazaliwa, wala Uislamu haujaanzishwa na Mohammad wala Quran haijaandikwa na wale waarabu wanne Seyidna Abubakar, Omar, Othuman na Ally, Majini yaani mashetani yalipomuona Yesu yalimwita “ Mwana wa Mungu tuna nini nawe? Je, umekuja kututesa kabla ya muhula wetu? (Mathayo 8:28-31) Mwaka 610 B.K majini hayo hayo yakaanza kuwadanganya Waislamu kuwa Mwenyezi Mungu hana mwana (Quran 72:1-3) Na bila kuitafakari. Nao wao wanaamini tu kuwa Quran ni maneno ya Mungu bila kupambanua huyo ni Mungu yupi.

Katika Suratul An- Nisaa (Wanawake) 4:120

“ Shetani hawaahidi ila uwongo…………..”

Hii ndiyo sababu Mohammad mtume wa waislamu katika kitabu “ Wakeze Mtume Wakubwa na Wanawe kilichoandikwa na Sheikh Abdallah Saleh Farsy Uk. 12, Mohammad anasema:-

Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na mashetani na kuni haribu akili yangu na kunizuga………………”

Aliyasema maneno hayo baada yakubanwa na shetani yaani Allah kule pangoni alikokuwa na baada ya hapo akaanza kujiita mtume.

Shalom

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu. Tito 2:13

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW