Saturday, April 28, 2018

WAISLAM WAMEMEZWA NA SHETANI MUNGU WAO

Related image

“Iweni wenye kulinda. Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama Simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.”—1 Petro 5:8.

Muwe macho masaa yote, maana Shetani anatafuta wa kummeza.

Hata hivyo, kiumbe huyu wa roho alianza kutamani wanadamu wamwabudu. Badala ya kuing’oa tamaa hiyo mbaya, aliisitawisha hivi kwamba ikakua na kuzaa dhambi. (Yakobo 1:14, 15) Kiumbe huyo ni Shetani, ambaye “hakusimama imara katika kweli.” Alimwasi Mungu na kuwa “baba ya uwongo.”—Yohana 8:44.

Katika Uislam, Muhammad amekiri kuwa yeye alikabidhiwa Quran na Shetani. Hivyo teyari Muhammad kamezwa na shetani.

Imesimuliwa na Anas Ibn Malik, "Nilimsikia Nabii wa Allah akisema: Allah ni Shaitwan aliye katika umbo la Malaika na alinifunulia aya zake na kitabu chake ni Quran, na mimi ni mtume wake. ( Umdah Al - Ahkaam : Volume 3, Page 460 )

رواه أنس ابن مالك : " سمعت من رسول الله صلى الله عليه وسلم أنه قال " كان الله هو شيطان في شكل ملاك كشف لي الآيات وكتابه القرآن وأنا نبي له . (عمدة الأحكام المجلد 3، الصفحة 460)

KUMBE NDIO MAANA SHETANI AMEKETI KWENYE NJIA ILIYO NYOOKA AMBAYO NI DINI YA UISLAMU, QURAN 7:16.

Kwasababu Shetani kaketi huko kwenye njia iliyo nyooka, ndio maana Shetani ana dini, au unabisha?

MUHAMMAD ALIKUWA NA SHETANI TANGU KUZALIWA KWAKE,

Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa "Mtume Muhammad (s.a.w) alikuwa na shetani tangu alipozaliwa, (Fat'hul Baary Juzuu ya 6 Uk. 389).

Je, kuna ushahid wowote ule kuwa Muhammad alitolewa Shetani ALIYE KUWA NALO TANGU KUZALIWA KWAKE?

Kama upo Basi Waislam, tuleteeni tuuone.

Mtume Petro alimfananisha Shetani na “simba anayenguruma.” Kitabu kimoja kinasema kwamba neno la Kigiriki linalotafsiriwa “anayenguruma” linamaanisha “sauti kubwa ya mnyama mwenye njaa kali sana.” Maana hiyo inafafanua vizuri sana ukatili wa Shetani! Ingawa tayari ulimwengu mzima unakaa katika nguvu zake, bado Shetani ana njaa ya kupata mawindo zaidi. (1 Yohana 5:19) Kulingana na Shetani, ulimwengu ni kama tu “kitu cha kuamsha hamu ya kula.” Kwa sababu hiyo, Shetani ameelekeza fikira zake kwenye “chakula chenyewe,” yaani, watiwa-mafuta walio duniani na waandamani wao, “kondoo wengine.” (Yohana 10:16; Ufunuo 12:17) Shetani ana lengo la kuwameza watu wa Mungu. Mateso mengi aliyowasababishia wafuasi wa Kristo kuanzia karne ya kwanza hadi leo yanafunua wazi ukatili wake.

Mpendwa, usilale wala usichoke kuomba, maaana Shetani anakuwinda ili akumeze kama alivyo wameza Waislam.

Shalom,

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW