Wednesday, November 16, 2016

IMAM KUTOKA YEMEN AKAMATWA NA NYAMA YA NGURUWE AIRPORT AKIWA AMEIFICHA KWENYE SEHEMU ZAKE ZA SIRI


Maofisa wa Uhamiaji katika Uwanja wa Ndege wa Hamad International Airport, Nchini Qatari, wamemkamata raia wa Yemen aliye kuwa akijaribu kuiingiza nyama ya Nguruwe nchini humo.
Abd Al Rahman Smoun mwenye umri wa miaka 53 aliificha nyama hiyo kwenye sehemu zake za aja kubwa ikiwa ndani ya Kondom kubwa nne. Nyama hiyo yenye uzito wa Kilo 12 iligundulika baada ya Mbwa maalum ambao wamefungwa kuchunguza watu wenye Nyama ya Nguruwe na Madawa ya Kulevya.
SWALI LA KUJIULIZA:
KWANINI WAMEWEKA MBWA WA KUCHUNGUZA NYAMA YA NGURUWE UWANJA WA NDEGE?
HAKIKA HAWA NI WALAJI WAKUBWA WA HII NYAMA YA NGURUWE KIASI CHA KUWEKEWA MBWA WA KUWACHUNGUZA KILA WANAPO INGIA NCHINI QATAR.
NDIO MAANA NASEMA YANINI KUWA MUUMINI WA HII DINI YA KULAZIMISHANA HUKU NYOYONI MWAKO UNATAMANI KULA NYAMA YA NGURUWE?
Kwa habari zaidi soma hapa

UNALIJUA KABILA LA ADAM NA HAWA?


ADAM NA HAWA WALITUMIA LUGHA YA KIEBRANIA NA SIO KIARABU
Ndugu msomaji,
Katika somo letu hili, tutajifunza na kujibu swali kuhusu; ni lugha ipi Adam na Hawa walitumia wakati wakiwa katika Bustani ya Edeni?
Tunaweza kuthibitisha kuwa Adam na Hawa walitumia Kiebrania kwasababu ya majina mawili ambayo Adam alimpa Hawa ambayo yanaweza kuwa yakinifu pekee katika lugha ya Kiebrania. Adam alimuita Hawa jina la “ISHA” ikiwa na maana ya MWANAMKE kwasabau ya kuwa alitoka kwa “ISH” ikiwa na maana ya MWANAUME , zaidi ya hapo, Adam alimuita mkewe “CHAVA” [HAWA] ikiwa na maana ya mama wa watu wote “CHAI” [UHAI].
Zaidi ya hapo, jina la ADAM linatokana na neno la Kiebrania “ADAMAH” likimaanisha “udongo”, hili jina linathibitisha kuwa Mungu alimuumba Adam kutoka kwenye udongo, kama ambavyo Biblia inasema katika Kitabu cha Mwanzo Mlango 2 na aya ya 7. Hivyo basi, tokea wakati wa Adam na Hawa mpaka wakati wa Mnara wa Babeli, watu wote walitumia lugha ya Kiebrania. Bereshet 2:23, 3:20, Midrash Bereshet Rabbah 38
Wasomi wa Kiyahudi na wa Kikristo wanaendelea kuthibitsiha kuwa Lugha ya Kiebrania ndio ilikuwa lugha ya kwanza, na majadiliano makali yalifanywa zamani na watafiti kama Dante Alighierl (1265-3121), Guillaume Postel (1510-1581) Claude Duret (1570-1611), Etienne Guichard (wakati huo huo wa ATHANASIUS Kircher (1602-1680) na Franciscus Mercurius van Helmont (1614-1698) wana sema kuwa, lugha ya Kiebrania ndio ilitumika na Adam na Hawa. Kwa mfano Mtaalam Guichard alisema kuwa neno la Kilatini “divider” likimaanisha tenganisha au kutenganisha limetokana na neno la Kiebrania la “batar” likimaanisha kukata katika sehemu mbili, hili neno lilifanana na la “tarab” ambalo lilikuja neno la Kilatini la “tribus” likimaanisha “kabila “tribe”
Hebu tuangalie ushahid mchache kutoka Biblia:
Matendo ya Mitume 26:14 Tukaanguka nchi sote, nikasikia sauti ikisema nami kwa lugha ya KIEBRANIA, Sauli! Sauli! Mbona waniudhi? Ni vigumu kwako kuupiga mateke mchokoo.
Yohana 19: 17 Akatoka, hali akijichukulia msalaba wake, mpaka mahali paitwapo Fuvu la Kichwa, au kwa KIEBRANIA, Golgotha.
Matendo ya Mitume 22: 2 Waliposikia kwamba anasema nao kwa lugha ya Kiebrania wakazidi kunyamaza; akasema,
Kutoka 2:6 Akakifungua, akamwona mtoto, na tazama, mtoto yule analia. Basi akamhurumia, akasema, Huyu ni mmojawapo wa watoto wa Waebrania.
Katika kitabu cha Kutoka hapo juu, tunajifunza kuwa MUSA ANAITWA MTOTO WA KIEBRANIA “Eevriym in Hebrew” na katika kipindi chote watoto wa Kiisraeli waliitwa kama WAEBRANIA ambao ni watoto au wajukuu wa Ibrahim na Musa. Soma Mwanzo 10:24. Zaidi ya hapo, katika kitabu cha Mwanzo 14:13 tunasoma kuwa Ibrahim anaitwa Muebrania (Eevriy in Hebrew).
Huu ni ushahid tosha kuwa Lugha ya Mungu kwa Adam na Hawa ilikuwa ni Kiebrania na sio Kiarabu au lugha nyengine.
Je, Kwanini Mungu alitumia Kiebrani alipo zungumza na Adm na Hawa?
Kwanini Adam na Hawa walitumia Kiebrania walipo kuwa katika Bustani ya Edeni?
Hapa pana hitaji ufunuo wa hali ya kuu kufahamu kwanini Mungu alitumia lugha ya Kiebrania ambayo ni tofauti kabisa na Allah anaye tumia Kiarabu tu.
Kumbe sababu za Allah kutumia Kiarabu ni kupinga Mungu wa Biblia ambaye alitumia Kiebrani na kuwapinga Waisraeli ambao waliitwa wana wa KIEBRANIA.
References:
1. Merrill F. Unger, "Tower of Babel," Unger's Bible Dictionary, 1977 ed.: 115. (BCE - Before the Common Era, equivalent to BC)
2. J.I. Packer, Merril C. Tenney, William White, Jr., Nelson's Illustrated Encyclopedia of Bible Facts (Nashville: Thomas Nelson, 1995) 337.
3. Madelene S. Miller and J. Lane Miller, "Sumer," Harper's Bible Dictionary, 1973 ed.: 710.
4. Unger, "Scythian," 987.
5. Unger, "Egypt," 288.
6. William Smith, "Hebrew Language," Smith's Bible Dictionary, 1948 ed.: 238.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
March 12, 2016

ALLAH ATEREMSHA MATOLEO ISHIRINI 20 TOFAUTI YA QURAN


JE TOLEO LIPI NI SAHIH?
Je, Kati ya haya Matoleo 20 (Ishirini) ya Quran, toleo lipi ni la kweli?
Ndugu msomaji,
Leo nitaweka ukweli kuhusu Quran ambayo ina Matoleo 20 na kati ya hayo Ishirini (20) Matoleo 7 (Saba) yametajwa katika Hadith Mwaminifu za Muhammad.
Hapa chini ni Wasomaji Saba (7) ambao wote wana Matoleo Mawili mawili. Hawa Wasomaji saba wanapatikana hapa:
Nafi (from Medina; d.169/785)
Ibn Kathir (from Mecca; d.119/737)
Abu `Amr al-'Ala' (from Damascus; d.53/770)
Ibn `Amir (from Basra; d.118/736)
Hamzah (from Kufah; d.156/772)
al-Qisa'i (from Kufah; d.189/804)
Abu Bakr `Asim (from Kufah; d.158/778)
WASOMAJI SABA NA MATOLEO YAO YA QURAN
1. Msomaji : Nafi`
MATOLEO YAKE
Warsh
Qalun
2. Msomaji: Ibn Kathir
MATOLEO YAKE
al-Bazzi
Qunbul
3. Msomaji: Abu `Amr al-'Ala'
MATOLEO YAKE
Al-Duri
al-Suri
4. Msomaji: Ibn `Amir
MATOLEO YAKE
Hisham
Ibn Dhakwan
5. Msomaji: Hamzah
MATOLEO YAKE
Khalaf
Khallad
6. Msomaji: al-Qisa'i
MATOLEO YAKE
al-Duri
Abu'l-Harith
7. Msomaji: Abu Bakr `Asim
MATOLEO YAKE
Hafs
Ibn `Ayyash
HAWA NI WASOMAJI WENGI WATATU NA MATOLEO YAO MAWILI KILA MMOJA
"The Three" readers
1. Msomaji: Abu Ja`far
MATOLEO YAKE
Ibn Wardan
Ibn Jamaz
2. Msomaji: Ya`qub al-Hashimi
MATOLEO YAKE
Ruways
Rawh
3. Msomaji: Khalaf al-Bazzar
MATOLEO YAKE
Ishaq
Idris al-Haddad
Wadhalimu wa dini ya Kiislamu wanakiri kuwa kuna WASOMAJI wengi zaidi, lakini wanasema kuwa hawa walio tajwa hapo juu ndio thabit na sahihi. Kumbe basi kuna VERSIONS ISHIRINI ZA QURAN !!!!!!
SASA MASWALI YAKUJIULIZA NI HAYA:
1. Kati ya hao wasomaji wakurani, ni yupi yupo sahihi?
2. Kama Allah ndie aliteremsha Quran kwa Muhammad, kivipi awe na wasomaji wengine na kumsahahu Muhammad mtume wake kipenzi?
Ndugu msomaji, leo tumejifunza kuwa katika Uislam kuna siri nyingi sana ambazo zimefichwa na wanaona aibu kusme aukweli kuwa QURAN INA VERSIONS 20. HUU NI MSIBA KWA ALLAH NA MTUME WAKE MUHAMMAD.
Mungu awabariki sana na kuendelea kuwafungua macho.
Katika huduma yake
Max Shimba Ministries Org.

UTATU UNATHIBITISHWA KWA KUTUMIA HESABU/HISABATI


Kume kuwa na madai na hoja nyingi sana kuhusu hili swala la UTATU. Wengine wanasema kuwa ukijumlisha 1+1+1 unapata 3 na sio MOJA kama ambavyo Wanao amini Utatu wanavyosema.
Tatizo kubwa sio KUJUMLISHA bali unajumlsiha kwa kutumia KANUNI ZIPI AU IPI YA HISABATI. Leo katika Max Shimba Ministries tutawajibu watu wote hili swali la HESABU YA 1+1+1 =1?
Je, inawezekana au haiwezekani?
HESABU/HISABATI ZINA KANUNI ZAKE NA LAZIMA TUZIFUATE, KWA BAHATI NZURI, hapa Kwenye Huduma yetu ya Max Shimba Ministries tunazifahamu sana KANUNI ZA HISABATI.
Kuhusu swala la UTATU, Linahusisha NAMBA TATU na hivyo sheria yake lazima iwe ya "TERNARY ADDITION" na sio "BASE TEN ADDITION" kama wengi wenu mnao tumia hiyo hesabu bila ya hata kufahamu kuwa addition yenu MNATUMIA SHERIA YA "BASE TEN" .
SASA NINI MAANA YA TERNARY ADDITION:
1. Ternary namba inatumia BASE 3, tofauti na BASE 10 ambayo mkihesabu na kufikia namba 9, unarudi kwenye 1 na kuongeza "SIFURI" = 10. SASA, katika Ternary addition, unapo hesabu namba mwisho wako ni NAMBA MBILI na inayo fuata ni 10, kama kwenye "BINARY ADDITION" namba yako ya mwisho ni MOJA http://www.allaboutcircuits.com/…/d…/chpt-2/binary-addition/ .
Ninafahamu wengi wenu labda hamjawai soma Hesabu za juu na mnaweza pata walakini, lakini ingia hapa na ujifunze mwenyewe Ternary addition
http://homepage.cs.uiowa.edu/~jones/ternary/arith.shtml
SASA TUANZE KUTHIBITISHA UTATU WA MUNGU KWA KUTUMIA HESABU
MSINGI WA TERNARY ADDITION UNATUMIKA:
A. (1 + 1 + 1) Ternary = 10 Ternary
UNAONA JAWABU LAKO NI Ternary (10)
SASA namba zetu tumesha zipunguza na kufikia Tenary 10. Ikiwa na maana kuwa, MSINGI UNAO FUATA NI KUZIJUMLIZA HIZO NAMBA " DIGITS MBILI ZA MOJA NA SIFURI KWA KUTUMIA msingi ule ule wa Ternary addition.
B. (1 + 0) Ternary = 1 Ternary.
SASA TUMESHA PATA JIBU LETU KUWA UTATU UNATHIBITISHIKA KWA KUTUMIA HISABATI, na leo nimewajibu wale wote ambao HESABU SIO SOMO LAO KUWA UTATU UNAJIBIKA HATA KWA KUTUMIA HISABATI.
SASA NENDA KAMUULIZE MKUFUNZI WAKO WA HISABABI YAFUATAYO:
A. Ternary ya (1 + 1 + 1 ) = ?
B. Ternary ya ( 1 + 2) = ?
UKISHA PEWA JIBU MUULIZE TENA HUYO MKUFUNZI WAKO
C. Ternary ya (1 + 0 ) = ?
HAKIKA MUNGU NDIE MWANZILISHI WA HISABABTI na hakuna asilo liweza.
Mungu awabariki sana, na leo UMESHA JIBIWA KUWA UTATU UNATHIBITISHIKA HATA KWENYE HISABATI.
KURIDHIKA NA YALE TULIYOFUNULIWA .
A. BABA anaitwa MUNGU ( 1 WAKORINTHO 8:6 ).
B. MWANA ( YESU ) anaitwa MUNGU ( ISAYA 9:6; YOHANA 20:26-29 ).
C. ROHO MTAKATIFU anaitwa MUNGU ( MATENDO 5:3-4 )
Katika Isaya 48:16 na 61:1, Mwana azungumza huku akihusisha Baba na Roho Mtakatifu. Fananisha Isaya 61:1 na Luka 4:14-19 kuona Mwana akizungumza. Mathayo 3:16-17 inaelezea ubatizo wa Yesu. Anayeonekana hapa ni Mungu Roho mtakatifu akimshukia Mungu Mwanahuku Mungu Baba akitangaza furaha yake katika Mwana. Mathayo 28:19 na wakorintho wa pili 13:14 ni mifano ya nafsi tatu katika Mungu mmoja.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

KWANINI MUHAMMAD ALITAKA KUJINYONGA “COMMIT SUICIDE”?

1. MUHAMMAD ALITAKATA KUJINYONGA
2. MUHAMMAD ALIPANDA MLIMANI NA KUJARIBU KUJIRUSHA ILI AFE
3. AISHA ASEMA MUHAMMAD ALIKUWA AMEROGWA
Ndugu msomaji,
Tunaposoma Biblia tunajifunza kuwa Mungu aliwapa Unabii na Utume watu wake kwa njia ya upendo. Lakini nilipo soma vitabu vya Allah nilikutana na mambo ya ajabu sana.
Bila ya kupoteza muda, ngoja niweke vitabu vyake ili na wewe ujisomee mwenyewe. Maana Waislam huwa wanadai eti nawasingizia au namzulia uongo Allah.
KATIKA SAHIHI BUKHARIY TUNASOMA KUWA MUHAMMAD ALIJARIBU KUJINYONGA KWA SABABU YA HUZUNI KWENYE NYOYO YAKE:
Mtume wa Mwenyezi Mungu akasema: Wao watanifukuza? Riwaya inaendelea kwa yanayoshangaza zaidi kuliko hayo Waraqa bin Naufal alipomkuta MTUME AKIJARIBU KUJINYONGA KWASABABU YA HUZUNI yake kwa kukatika Wahyi, kama si Jibril kumtuliza mara hii baada ya kuwa Waraqa bin Naufal akifanya hivyo. Sahihi Bukhariy J:9 uk 93 kita Ta’abiyri
Swali la kujiuliza hapa ni hili: Hivi wapi tunasoma kwenye Taurat au Zaburi au Injili kuwa Mitume wa kwenye Biblia walijaribu kujinyonga kama Muhammad wa kwenye Quran?
Nilipo endelea kusoma vitabu vya Waislam nikagundua kuwa, hilo tukio la kujaribu kujinyonga “commit suicide” halikufanywa mara moja na Muhammad ambaye ni Nabii kipenzi cha Allah.
MUHAMMAD ALIPANDA MLIMANI NA KUJARIBU KUJITUPA ILI AFE, JE HII TABIA YA KUTAKA KUJIUA NI YA KINABII? Soma hiki kisa hapa chini:
Kisha Waraqa hakuchukua muda akafariki na Wahyi ukakatika kwa muda na Nabii (s.a.w.w.) akahuzunika, ambapo katika yaliyo tufikia mara nyingi huzuni ilipelekea kutaka kujirusha kutoka katika vilele vya milima, lakini kila alipopanda mlima ili ajiangushe Jibril alimtokea na akamwambia Ewe Muhammad “Hakika wewe ni Mtume wa kweli wa Mwenyezi Mungu, basi kwa hayo inapoa hasira yake na nafsi yake inatulia na anarudi na unaporefuka muda wa kutopata Wahyi anarudia hayo, na anapofika kwenye kilele cha mlima Jibril anamtokea na kumwambia mfano wa aliyomwambia. J: 8 uk 234 kitabu Daawaati
Umesoma mwenyewe ushahid kutoka vitabu vyao kuwa Muhammad alitaka kujinyonga na au kujiua au kuitoa nafsi yake. Hii ni ishara tosha kuwa yule anaye daiwa kumpa wahai ni Shetani na sio Mungu wa kwenye Biblia ambaye ni wa upendo. Lakini nilipo endelea kusoma vitabu vyao, nikagundua kuwa labda haya matatizo yanatokana na kurogwa kwake Muhammad. Hebu soma kwanza hiki kisa cha Muhammad kama kinavyo simuliwa na mke wake kipenzi Aisha:
Kutoka kwa Aisha amesema:- Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alilogwa hadi alikuwa anapagawa kuwa amefanya kitu kumbe hakukifanya hadi siku moja alipokuwa kwangu alimuomba Mwenyezi Mungu akamjibu, kisha akasema ewe Aisha umehisi kuwa Mwenyezi Mungu amenijibu nilivyomuomba. “ “ J: 8 uk 56 kitabu Adabu
Nabii (s.a.w.w.) alibaki siku kadhaa wa kadha amepagawa kuwa amemwingilia mke wake na wala hakumwingilia. Al –fruqaan 25
UMESOMA MWENYEWE KUWA MUHAMMAD ALIKUWA AMEROGWA na niajabu sana kwa Nabii wa Allah kurongwa huku Allah akimwangalia tu na kuto fanya chochote kile. Nilipo isoma Biblia Takatifu, sikuwai soma kuwa kuna Nabii wa Jehovah ambaye alirogwa kama Muhammad wala ona kuwa kuna Manabii walitaka kujinyonga kama Muhammad wa kwenye Quran.
Nilipo endelea kusoma vitabu vya Waislam, nikagundua kuwa kumbe Muhammad alikiri kuwa yeye ni mwendawazimu: Soma huu ushuhuda wa Nabii wa Allah:
The "Kitab al-Tabaqat al-Kabir", (Book of the Major Classes), by Ibn Sa'd, kimetafsiriwa na S. Moinal Haq, [4], Ukurasa 225 Nabii Muhammad anasema:
O Khadija, ninaona mwanga na kusikia masauti sauti, nafikiri mimi ni Mwendawazimu.
Kwenye tafsiri zingine zinasema kuwa Muhammad alisema anafikiria kuwa yeye ni “KICHAA”
Je, huu ushuhuda inawezakana kuwa ulitokana na kupigwa kwake kabali na Jibril kwenye pango:
MUHAMMAD AKIRI KUPINGWA NA KUBANWA MBAVU ZAKE NA KIUMBE AKIWA PANGONI,
Katika kitabu kiitwacho: Maisha Ya Nabii Muhammad s.a.w uk 16-17 kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al-Farsy, tunasoma kama ifuatavyo;-
Hata siku moja- katika mwezi wa Ramadhani mwezi 17, Jumatatu katika mwaka wa 40 ½ wa umri wake- mtume alimwona mtu kamsimamia mbele yake bila ya kumwona wapi katokea, akamwambia; “soma”. Mtume akamjibu; “Mimi sijui kusoma kwani sijapata kujifundisha kusoma.” Akaja akamkamata akambana, akamwambia tena; “soma,” Mtume akamjibu jawabu yake ileile. Hata mara ya tau akamwambia; “soma- Iqraa Bismi Rabbik.” Akamsomea sura hiyo ya 96 mpaka kati yake. Kisha mtume akaisoma kama alivyosomewa. Hii ndiyo sura ya kwanza kushuka katika Qur’an, ingawa haijawekwa mwanzo.
Mara, yule mtu (Malaika) akaondoka machoni mwake- asimwone kenda wapi. Na mtume naye akarejea kwake-khofu imemshika. Alipofika nyumbani, Bibi Kadhija alidhani ana homa, akamfunika maguo gubigubi na akakaa mbele yake akimsikiliza anavyoweweseka. Hata homa ilipomwachia alimweleza Bibi Kadhija yote yaliyomtokea; na Bibi Kadhija akamtuliza moyo wake, akamyakinishia ya kuwa hapana lolote baya litakalomzukia. Mara bibi huyu akaondoka akenda kwa jamaa yake – Bwana Waraqa bin Naufal- akampa habari yote iliyompata mumewe. Naye akamwamrisha amwite. Na mtume akenda akamweleza habari yake yote. Bwana Waraqa akamwambia; “ Huyo ndiye Jibril aliyemshukia Nabii Musa na Nabii Isa. Basi jibashirie kuwa wewe ni mtume wa umma huu, nami natamani kuwa hai nikuone unavyosimama kuwatengeneza jamaa zako; Inshaallah nitakuwa mkono wako wa kulia” Wakarejea kwao na khofu yote imemtoka”.
Alipokuwa pangoni alichezewa na Shetani: Katika kitabu kiitwacho “ Wakeze Mtume Wakubwa Na Wanawe” kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy uk.12 tunasoma maneno haya
Umejisomea mwenyewe visa vya Muhammad aliye tajiribu kwa mara kadhaa kuitoa nafsi yake na au kujinyonga.
Kulingana na Biblia, kujiua si kigezo cha kukufanya uingie mbinguni. Mtu asiyeokoka akijiua huwa amejipeleka moja kwa moja katika ziwa la moto. Biblia inataja watu wanne waliojiua: Sauli (samueli wa kwanza 31:4), Ahithofeli (samueli wa pili 17:23), Zimri (wafalme wa kwanza 16:18), na Yuda (Mathayo 27:5). Kila mmoja wao alikuwa mwovu na mwenye dhambi. Biblia inachukulia kujiua sawa na kuua – na hivyo ndivyo ilivyo – kujiua mwenyewe. Mungu ndiye ni aamue lini na vipi mtu afe. Kuchukua jukumu hilo mkononi mwako kibiblia ni kufuru kwa Mungu.
SASA WAISLAM, NIONYESHENI, wapi kwenye Taurat, au Zaburi au Injili kama kuna Mtume aliye na sifa za ajabu kama za Muhammad, sifa za kujaribu kujinyonga?
Karibuni kwa Yesu ambaye ndie Njia Pekee ya Kwenda Mbinguni.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

JE, MUHAMMAD ALIROGWA?


Leo napenda Kumnukuu Mwalimu wangu Daniel Mwankemwa katika majawapo ya Makala ambayo anaelezea kuhusu swala zima la Utume wa Muhammad kwenye kipengele cha KUROGWA KWAKE.
"Kwa mujibu wa Qurani tunaona Muhammad alirogwa. Kurogwa ni hali ya mtu kuathirika na nguvu za giza yaani uchawi..
Je Nabii au Mtume wa Mwenyezi Mungu wa Kweli anaweza kurogwa?
Katika Qur’an Suratul Ban-Israel, 17:47 “ Tunajua sana, sababu wanayosikiliza, na wanaponong’ona, wanaposema hao madhalimu. Nyinyi hamfuati isipokuwa mtu aliyerogwa”
Tunasoma tukio hilo katika ufafanuzi wake uliyomo ndani ya Qur’an chapa ya nane uk.977 unaofafanua Sura ya 113-114 “Athari ya uchawi juu ya mtume (s.a.w).
Swali la pili lijitokezalo kuhusu sura mbili hizi ni kwamba kwa mujibu wa hadithi uchawi ulifanywa dhidi ya mtume (s.a.w) naye akawa mgonjwa, na ili kuiondoa athari hiyo ya uchawi Jibril (a.s) alikuja na kumpa maelekezo Mtume (s.a.w) ya kusoma sura mbili hizi. Watafiti wengi zamani na wa sasa wamelifanyia upinzani jambo hilo, kwamba ikiwa hadithi zitakubaliwa, basi mfumo wote wa sharia utakuwa ni wa kutiliwa shaka, kwa sababu kama mtume (s.a.w) aliweza kuathirika kwa uchawi, na kwa mujibu wa hadithi hizi kweli uchawi huo ulionesha athari yake, basi hatuwezi kukaidi au kukana hadi kiwango gani maadui waliweza kumfanya Mtume (s.a.w) aseme na atende mambo kwa nguvu ya uchawi, na katika mafundisho yake mambo mangapi yatoka kwa Allah na mangapi yatokana na athari ya uchawi juu yake. Si hiyo tu, bali pia wasema kuwa baada ya kuyatambua hayo kuwa ni kweli katu haitawezekana hata kule kukaidi kuwa (s.a.w) alishawishiwa kudai utume kwa mauzauza ya kinjozi kuwa alimjia malaika. Pia wanasema hadithi hizi zapingana na Qur’an, na kama ilivyo katika Qur’an kuwa tuhuma hiyo batili kwa makafiri ilivyotajwa kuwa mtume s.a.w amerogwa naye ameathirika na uchawi:
wanaposema hao madhalimu, ‘Ninyi hamumfuati isipokuwa mtu aliyerogwa’.” (17:47), lakini hadithi hizi zinathibitisha madai ya makafiri kuwa kwa kweli aliathirika na kuongozwa na uchawi……Kadri historia inavyohusika,ukweli kuwa kiasi fulani cha athari ya uchawi juu ya Mtume (s.a.w) ni hakika iliyothibiti; na kama kwa ustadi wa ubishi inawezekana kuthibitisha kuwa kweli.
Limesimuliwa jambo hilo na Bukhari, Muslim, Nasai, Ibn Majah, Ahmad, ‘Abdur Razzaq, Humaid, Baihaqi, Tabarani, Ibn Sa’d, Ibn Marduyah, Ibn Abi Shaibah, Hakim, Abd bin Humaid na Muhadithina wengine toka kwa Bi. ‘Aisha (r.a), Zaid bin Arqam, Ibn ‘Abbas kupitia silsila nyingi mno kiasi kwamba jambo lenyewe limefikia hali ya ufululizo kamili, isipokuwa kila Hadithi, yenyewe ni ripoti kamili.
Hii ni uthibitisho mwingine mzito unaoonesha kuwa utume wa Muhammad una utata. Ikiwa na wao Waislamu kwa mujibu wa hadithi hizi hawajui ni mambo mangapi Muhammad aliyoyasema yanatoka kwa Allah na mangapi aliyasema akiwa ameshinikizwa na wachawi , Je ufunuo na utume wake utakuwa umetoka kwa Mungu wa Kweli? Tafakari !!
Ndani ya Biblia Takatifu hakuma kurogwa kwa mtu wa Mungu. Hesabu 23:23 “ Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israel. Sasa habari za Yakobo na Israel zitasemwa , Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!”
Daniel Mwankemwa is a Tanzanian Helarder for the Persecuted Body of Christ. A teacher of World Religious Studies in Theological and Bibles Colleges. A presenter of the same at different Christian radio stations in the Great Lakes. He writes articles about the World Religions in both secular and religious newspapers in Tanzania, and author of the series of books in similar field. If you want to reach him feel free to do at +255 755 680101. Email: dmwankemwa@gmail.com. Skype: daniel . mwankemwa

IMAM MUNAF ALI AFUFUKA NA KUMPOKEA YESU KRISTO


ASEMA MAJINI ALIYO KUWA ANAYAFUGA AKIWA MUISLAM NDIO YALIO MUUA
AKIRI KUWA YESU NI MUNGU
Ima Munfa Ali sio tu alikuwa anauchukia Ukristo, alikuwa vile vile mwenye siasa kali na kuwaambia waumini wake kuwapiga na kuwauwa Wakristo.
Siku moja Imam Munaf alikuwa na mjadala mkali wa dini na Wakristo, aliwatukana na kusema kuwa Yesu sio Mungu zaidi ya kuwa ni mtu wa kawaida tu. Aliendelea kusema kuwa eti Biblia ni kitabu dhaif na kisicho kuwa na nguvu yeyote ile.
Baada ya huyo mjadala, Mchungaji Paulo alimpe nakala ya Agano Jipya, lakini Imam Munaf alichukizwa sana na hilo tukio na kutukana na kumlaani Mchungaji Paulo ambaye ni mkuu wa kitengo cha MBiles 4 Mideast.
Basi, usiku ule ule, Imam Munaf aliwatuma vijana wake wenye Mapanga huku walisema Allahu wakbar kwenda kuwauwa Wakristo.
Bila ya wao kujua, Roho Mtakatifu alisha waonya Wakristo, na waliondaka masaa mawili kabla ya Waisalm wenye harira kali kufika sehemu ambaye Wakristo hao walikuwa wamepanga kulala.
Siku chache baadae, yule Imam Munaf alipatwa na kizunguzungu, akaanguka chini , akapoteza fahamu na kufa papo hapo.
Alipo kufa, Ima Munaf akasema, aliona MASHETANI yanakuja kumpokea, na ndipo alipo gundua kuwa Uislam ni dini ya Shetani na Allah ni Shetani......
SASA ENDELEA .....
Kwa habari kamili ingia kwenye link provided

KWANINI WAISLAM WANAPENDA KUWATUKANA WAKRISTO?


1. SIRI YA MATUSI KUTOKA KWA WAISLAM HII HAPA
2. MUHAMMAD NAYEYE ATOA LUGHA CHAFU KWA MTOTO YATIMA
Wakristo msishangazwe sana na matusi ya Waislamu.
Imekuwa ni kawaida sana kuona Waislamu wakitoa matusi mazito tena bila hofu kabisa, pale wanapoona hoja za Wakristo zimekuwa ngumu kwao, Lakini matusi hayo wanayatoa kwa kuwa Vinywa vyao, vimejaa Vijambo vya shetani, yaani Shetani hutanua makalio yake na kuwaachia mishuzi midomoni mwao, ambayo hupeleka kuwafanya waislamu watukane bila aibu, na ushahidi huo ameusema Muhammad mwenyewe mtume wa Waislamu.
WAISLAM WAMEJAMBIWA MIDOMO YAO NA SHETANI:
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa: Mtume (s.a.w) amesema, "Ye yote mwenye kutukana, basi huyo amejambiwa na Shetani katika Mdomo wake." (Fat'hul Baary J. 10, Uk. 176)
Kwa hivyo wenzetu hawa wapo katika himaya ya shetani, tusiwashangae sana bali tuzidi kuwapa Injili, Ili wazinduke waache kujambiwa midomoni mwao na shetani, maana shetani amewatawala sana, Licha ya kuwajambia midomoni, lakini pia, hujikita kulala katika tundu za pua zao waislamu.
SHETANI ANALALA KWENYE PUA ZA WAISLAMU:
Amesimulia Abu Huraira (r.a) Mtume (s.a.w) alisema “Mmoja wenu anapoamka kutoka usingizini, basa atawadhe na apandishe maji puani, na apenge mara tatu, kwa sababu shetani alilala ndani ya tundu za pua yake” (Bukhari, Hadithi na. 516, juzuu ya 4)
LAKINI PIA SHETANI HAISHI TU KUWAJAMBIA NA KULALA KATIKA TUNDU ZA PUA ZAO, bali pia huyafanya matako ya Waislamu, kama sehemu ya kujiburudhisha kwa michezo yake ya kupuliza,
Kasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)
Kwa hivyo sisi Wakristo tunalo jukumu kubwa sana la kuwafikishia Injili hawa watumwa wa shetani yaani Waislamu, Ili waache Kujambiwa na shetani, waache kufanywa vitanda vya shetani, Waachwe kufanywa sehemu ya michezo ya shetani kupitia matako yao.
MUHAMMAD AMTUKANA NA KUMLAANI MTOTO YATIMA
Nabii Muhammad alimtukana na kumlaani mtoto yatima aliye kuwa na Umm Sulaim (Ambaye ni mana ya Anas). Sahih Muslim, Book 032, Number 6297)
TOWENI ''ILIMU'' BILA MATUSI!
Kumbuka dini zote zinakataza matusi!
UISLAMU:
Amesema Muhamaad: "Hakika muumini wa kweli hawi ni mwenye kuwatuhumu watu, wala KUWALAANI watu, wala hawi na maneno MACHAFU" {Musnadu Ahmad juzu ya 1 ukurasa 416, hadith nambari:3948}
UKRISTO:
(Waefeso 4:31)-Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na MATUKANO yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya.
KUNA HUKUMU KWA WATUKANAJI!
(1Wakorintho 6:9-10)-Au hamjui wadhalimu hawataurithi Ufalme wa Mungu? Msidanganyike;Waasherati hawataurithi Ufalme wa Mungu wala wevi, wala walevi,wala WATUKANAJI.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 11, 2016

KWANINI WAISLAM HAWANA FURAHA?


Nimetembelea nchi nyingi duniani. Waislamu hawana furaha! Huko Gaza, hawana furaha. Ukienda Misri, hawana furaha. Ukienda Libya, hawana furaha. Ukienda Morocco, hawana furaha. Ukenda Iran na Iraq, hawana furaha. Ukienda Yemen, Afghanistan na
Pakistan, hawana furaha. Ukienda Syria na Lebanon huko nako waislamu hawana furaha. Ukienda Somalia, ndio kabisa, waislamu hawana amani wala furaha!
Waislamu wana furaha huko Australia. Wana furaha huko Uingereza. Wana furaha huko Ufaransa na Italia. Wana furaha huko Ujerumani. Wana furaha huko Sweden, USA, Canada na Norway. Kwa ujumla Waislamu wenye furaha utawakuta katika nchi ambazo si za kiislam..
Lakini je, lawama zinatoka wapi? Wanamlaumu nani? Hawaulaumu Uislamu hata kidogo! ... wala hawaulaumu uongozi wao ... wala hawajilaumu wao wenyewe. Bali wanazilaumu zile nchi ambamo ndimo wanamoishi kwa amani na furaha. Wanataka kuzibadili hizo nchi ambamo wanaishi kwa amani na furaha kuwa kama zile nchi ambamo hawana furaha. Hebu wenye mang’amuzi mapana jaribuni kupata mantiki katika hili kwa mfano:
- Iwapo mtu anajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya ili kujipatia fedha haramu, lakini wakati huo huo kwa misingi ya dini, analaani unywaji wa pombe hadi anachoma vilabu vya pombe ... huyo ndiye Muislam safi..
- Iwapo mtu anamiliki bunduki yenye thamani ya $3000, mabomu ya gharama kubwa na rocket launcher yenye thamani ya $5000, wakati huo huo hana hata uwezo wa kununua viatu vya kuvaa...huyo ndiye Muislam.
- Iwapo leo hii kibaka yeyote ataapa na kutangaza kwa jina la Allah vita ya jihad, kisha akaanza kuiba mali za watu, kuua watu wasio na hatia, kuteka wanawake, kuwachukua utumwani na kuwabaka, huyo atakuwa ni Muislam!
- Iwapo mwendawazimu yeyote atasimama leo hii na kuwahamasisha watu kwa misingi ya kidini kuwa Televisheni na simu za mkononi ni hatari, wakati huo huo amebeba mabomu katika mavazi yake ... huyo ndiye muislam...
Lakini ukweli ni kwamba, Waislamu hawana furaha kwa kuwa walio wengi wamenaswa na giza la roho hizi za udanganyifu, chuki, fitna, visasi na mauaji, huku wakidhani kwamba hiyo ndiyo dini... lakini kumbe ni utumwa tu ambao unamkosesha mwanadamu furaha. Poleni sana wahanga wa imani za namna hii!
Wengi walionaswa na utando wa giza la namna hii, hawataki kuona mwanga wa ukweli kuhusu jambo hili. Utawasikia wakisema kwamba hoja za kweli kama hizi ni udini, kufuru, upumbavu, uchochezi wa kidini n.k... Hao ndio waislam halisi!

QURAN SIO MANENO YA ALLAH WALA MWENYEZI MUNGU


Ndugu msomaji,
Huu ni MSIBA mkubwa sana kwa Waislam wote duniani. Waislam wamekuwa na tabia ya kusema kuwa, eti Quran yote ni maneno ya Allah. Unapo wauliza, huyo Allah aliwezaje ongea na Muhammad, wanabakia kimya na kuanza kukutukana. Zaidi ya hapo, leo nitawawekea ushahid tosha kuwa Quran sio maneno ya Allah.
Haya ungana nani kwa ushahidi:
SHETANI ANASEMA KWENYE QURAN
Surah Al Hijr 39. Shetani akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
Kwenye Surat Al Hijr, tumesoma kuwa Shetani ndie anazungumza katika hiyo aya ya 39. Kumbe basi, Shetani ni msemaji ndani ya Qurani.
HAPA TUNASOMA KUWA ZAKARIA NA YEYE NI MZUNGUMZAJI KATIKA QURAN
Surat Maryam: Zakaria Akasema: Mola wangu Mlezi! Mafupa yangu yamedhoofika, na kichwa kinameremeta kwa mvi; wala, Mola wangu Mlezi, sikuwa mwenye bahati mbaya kwa kukuomba Wewe.
Waislam, hivi Quran ni maneno ya nani?
Endelea kupata darasa hapa:
MARYAM NA YEYE NI MSEMAJI KATIKA QURAN
Surat Maryam aya 18: Maryamu akasema: Hakika mimi najikinga kwa Mwingi wa Rehema aniepushe nawe, ukiwa ni mchamngu.
Waislam, mbona na Maryam anasema kwenye Quran? Au siku hizi Maryam amekuwa Allah? Huu ni Msiba mkubwa sana kwa Waislam.
MALAIKA NAO WANASEMA KWENYE QURAN
Surat Maryam aya 21: Malaika akasema: Ndio hivyo hivyo! Mola wako Mlezi amesema: Haya ni mepesi kwangu! Na ili tumfanye kuwa ni Ishara kwa watu, na Rehema itokayo kwetu, na hilo ni jambo lilio kwisha hukumiwa.
Ndugu msomaji, kwanini Waislam wanapenda kusema uongo namna hii, eti Quran yote ni Maneno ya Allah? Mbona tunasoma viumbe wengine wakisema ndani ya Quran?
ISSA BIN MARYAM NA YEYE ANASEMA KWENYE QURAN
Surat Maryam aya 36: Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mola wangu Mlezi, na Mola wenu Mlezi. Basi muabuduni Yeye. Hii ndiyo Njia Iliyo Nyooka.
Issa na yeye alisema kwenye Quran. Lakini Muhammad yeye hakuwai sema chochote kile kwenye Quruani wala kuzaliwa kwake hakukutajwa kwenye Quran. Huu ni Msiba mkubwa sana kwa WAISLAM.
SWALI LANGU KWA WAISLAM NI DOGO SANA:
1. NI NANI MSEMAJI KATIKA QURAN?
2. QURANI NI MANENO YA NANI?
Mkiweza nijibu kwa aya na bila shari, leo hii nitasilimu na kuwa Muislam.
Waislam huwa wanasema kama huamni kuwa Quran ni maneno ya Mungu, basi teremsha aya kama za Quran, huku tukifahamu kuwa kuna aya nyingi ambazo wasemaji wake ni wengine na sio Allah.
Sasa, huu utata tunawaachia waislam waje hapa kutujibu bila ya kuweweseka.

QURAN NI MANENO YA NANI?

Karibu sana kwa Yesu aliye hai ambaye ndie NENO LA UZIMA.

Dr. Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Max Shimba Ministries Org.

Jesus is good because He is God

 

TRENDING NOW