Saturday, April 1, 2017

MAOMBI YA KUFUTA UCHAWI ULIOWAHI KUFANYIKA KATIKA MAISHA YAKO

Image may contain: one or more people, people standing and outdoor
Bwana YESU atukuzwe ndugu yangu.
karibu tujifunze Neno la MUNGU kisha tuombe maombi ya ushindi katika damu ya YESU KRISTO.
Maombi yetu yatahusu mambo matatu yafuatayo;
1. Maombi ya kufuta uchawi wa kutamkiwa.
A. Kutamkiwa wewe binafsi.
B. kutamkiwa uzao, iwe ni mababu au wazazi wako waliorogwa kwa kutamkiwa kisha uchawi huo ukakuathiri na wewe uliye sehemu ya uzao wao.
2. Maombi ya kufuta uchawi uliopitishiwa kwenye vitu kuja kwenye mwili wako.
3. Maombi ya kufuta uchawi kupitia ardhi.
Kutoka 22:18 '' Usimwache mwanamke mchawi kuishi.''
Kabla ya yote naomba ujue maana ya uchawi na mchawi.
Uchawi ni nini?
Uchawi ni ufundi wa kutumia dawa ili kuleta madhara.
Uchawi ndio usihiri, Uchawi ndio urogaji na ndio juju.
Kuroga maana yake ni kuzuru kwa kutumia uchawi
Mchawi ni mtu anayeweza kuwadhuru watu kwa njia ya kuwaroga
Kuna watu wengi sana wameathiriwa na uchawi katika maisha yao.
Kuna watu walirogwa zamani lakini madhara ya uchawi ule yapo hadi leo katika maisha yao.
Leo tunafuta uchawi wote uliowahi kufanyika zamani kutuhusu.
Tunafuta madhara ya uchawi yaliyotamkwa kutuelekea sisi.
Biblia ikataza uchawi na inakataza mwanadamu mwenye akili timamu kuwaendea wachawi na waganga.
Walawi 19:31 '' Msiwaendee wenye pepo, wala wachawi; msiwatafute; ili kutiwa unajisi na wao; Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.''
MUNGU anakataza uchawi maana ni kitu kinachoweza kumnajisi mtu.
Uchawi ni dhambi na uchawi ni uadui kwa MUNGU.
Mkristo hatakiwi kuwa mchawi.
Uchawi ni machukizo makuu.
Wachawi wapo sana na wanaroga sana lakini ashukuriwe MUNGU kwa kutupa jina la YESU KRISTO lililo kiboko ya wachawi wote na uchawi wao.
Biblia inathibitisha kwamba wachawi wapo na hutenda kazi zao mbovu za kichawi.
Nahumu 3:4 ''Kwa sababu ya wingi wa ukahaba wa yule kahaba mzuri, yule bibi wa mambo ya uchawi, auzaye mataifa kwa ukahaba wake, na jamaa za watu kwa uchawi wake.''
Kuna watu wamewahi kurogwa fahamu na akili zao zamani lakini hadi sasa hawajawahi kupona vyema.
Kuna watu biashara zao zimewahi kurogwa, uchumi na vipato vyao na hawajawahi kupona katika hayo, Leo uchumi wako utapona, biashara yako itapona na kipato chako kitapona kwa jina la YESU KRISTO.
Kuna watu wamewahi kurogwa afya zao ndio maana hadi sasa hupona magonjwa kwa muda tu kisha magonjwa yale yanarudi, Ndugu leo kuna kupona katika jina la YESU KRISTO.
Kuna watu uzao wa tumbo zao ulirogwa na walikuja kuzaa uzao uliorogwa yaani walipata watoto waliofungwa kipepo.
Kanisa la MUNGU nin lazima lijitenge na uchawi.
Kanisa la MUNGU ni lazima likemee uchawi.
Zamani wachawi walikuwa wanauawa kwa mawe ndivyo Biblia isemavyo, Leo tunauua uchawi ndani ya wachawi kwa njia ya maombi yetu.
Leo malaika wa MUNGU wako tayari kupeleka mapigo kwa wachawi wote waliotusumbua, na kama walikendelea na uchawi huo basi tunamuomba MUNGU wetu awaponde kupitia maombi yetu na damu yao itakuwa juu yao.
Walawi 20:27 ''Tena mtu mume au mtu mke aliye na pepo, au aliye mchawi, hakika atauawa; watawapiga kwa mawe; damu yao itakuwa juu yao.''
MUNGU wetu yuko tayari kutushindia leo dhidi ya wachawi wote waliofunga maisha yetu.
Leo kwa jina la YESU KRISTO maisha yetu yanaenda kuwa huru.
JEHOVAH MUNGU wetu anasema '' Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami nitakuwa shahidi mwepesi juu ya wachawi, na juu ya wazinzi, na juu yao waapao kwa uongo; na juu yao wamwoneao mwenye kuajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi mimi, asema BWANA wa majeshi.-Malaki 3:5''
Kuna ukoo huwa wanazika kila mwaka kwa sababu tu ya maneno ya mchawi aliyoyatamka zamani kwa ukoo ule.
Kuna watu nyoka hutembea katika miili yao.
Kuna watu fahamu zao zimefungwa katika mafundo ya uchawi.
Leo kila fundo la uchawi linapasuka kwa jina la YESU KRISTO.
Kuna watu miguu yao imerogwa kiasi kwamba hata waende wapi hawawezi kufanikiwa.
Kuna watu mikono yao imerogwa hata wafanye kazi gani hakuna kufanikiwa kiuchumi.
Biblia inasema kwamba kwa sababu hiyo ya uonevu wa shetani na wachawi wake ndio maana Bwana YESU alikuja ili tu kuziharibu kazi zote za shetani wakiwemo na wachawi.
1 Yohana 3:8 '' atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa MUNGU alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi.''
Hakikisha leo kazi zote za uchawi zilizowahi kufanyika zikikuhusu, hakika zinaharibika na kutoweka.
YESU KRISTO alithihirishwa ili azivunje na kuzifuta kazi zote za shetani.
Leo futa uchawi wote uliowekewa kwenye uti wako wa mgongo.
Leo futa kwa damu ya YESU KRISTO kila uchawi ulifanyika kuhusu tumbo lako.
Leo hakikisha uso wako hautumiki tena kichawi, utakase uso wako na hakikisha uchawi hauharibu kibali chako tena.
Leo ni siku ya kushinda kama ukiomba katika jina la YESU KRISTO.
Leo futa uchawi wa kutamkiwa uliowahi kutamkiwa, Futa kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Leo futa laana zote zilotamkwa na mchawi kwa wazazi wako au wazazi wa wazazi wako na laana hizo zimekupata na wewe, leo Futa kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Leo futa uchawi wote uliowekwa kwenye vitu ili uchawi huo uupate mwili wako, futa kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Futa uchawi wote uliotamkwa katika ardhi yeyote inayokuhusu.
Siku napata ufunuo wa somo hili nilifuta kila uliofanyika katika ardhi ambayo mimi Peter nimewahi kukanyaga, Kila mabaya yanayonena mabayo kuhusu mimi yaliyo katika ardhi ambako nimewahi kukanyaga nilifuta kwa jina la YESU KRISTO na kwa damu ya YESU KRISTO, nilitaja mikoa hadi wilaya maana mawakala wa shetani hutumia sana ardhi ili kuwafunga watu wa MUNGU.
Leo ni siku moja ya kushinda katika jina la YESU KRISTO kama ukiomba katika kweli, katika imani na katika utakatifu autakao MUNGU.
MUNGU akubariki sana na usikose kukunua kitabu changu cha MAOMBI YA KINA ambacho kimeshachapwa na kinasubiri tu kuwekwa wakfu kwa maombi siku chache zijazo na baada ya hapo kila mtu atakipata.
Ukipenda pia kunisapoti kwa sadaka yako nakukaribisha sana ili sadaka hiyo inisaidie katika uinjilisti.
Maombi haya chini naomba yamsaidie muombaji mchanga katika kuliendea hitaji lake mwenyewe. Kwa waombaji wazoefu naamini kabisa baada tu ya kusoma somo umeandika maeneo ya kuombea na utaomba maana ni siku ya ushindi. Nasubiri pia shuhuda maana MUNGU Baba atatenda muujiza leo katika jina la YESU KRISTO.
Baada ya kuomba maombi ya kutubu na kuacha dhambi omba maombi haya chini.
MAOMBI YA KUFUTA UCHAWI ULIOWAHI KUFANYIKA KATIKA MAISHA YAKO.
Katika jina la YESU KRISTO aliye hai.
Ninafuta kila uchawi uliotamkwa kunihusu mimi, naufuta huo uchawi na naharibu madhara yake kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila mchawi aliyenitamkia nikiwa nasikia au hata nikiwa sisikii, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila uchawi ulionenwa njia panda au dirishani mwa chumba changu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila neno la siri la kichawi alilolitamka mchawi wa aina yeyote kunihusu mimi, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila mchawi anayeitamkia maneno mabaya ndoa yangu, uchumba wangu, biashara yangu, uzao wangu au masomo yangu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila mchawi anayenitamkia kifo au kuumwa au ajali au kufukuzwa kazi, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila mchawi aliyenena uchawi kuhusu mababu zangu zamani au wazazi wangu na uchawi huo unafuatilia maisha yangu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Ninafuta kila kazi ya wachawi iliyofanyika zamani katika uzao wa babu yangu au wazazi wangu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila laana ya mchawi iliyotamkwa ili inipate, leo napangua kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila majanga yaliyokusudiwa kichawi, kiba balaa zilizopangwa kichawi, kila ajali zilizopangwa kichwi, leo nakataa kwa jina la YESU KRISTO na Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila uchawi uliotegwa kwenye vyakula au nguo zangu ili nidhurike, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila uchawi nilioukanyaga na sasa unanitesa, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila uchawi uliowekwa vitu nilivyonunua, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila nguo yangu iliyoibwa kichawi leo naichoma moto kwa damu ya YESU KRISTO huko iliko na kuanzia leo hakuna antena ya mchawi itaniona.
Kila kiungo cha mwili wangu, kila kucha au nywele au nguo za ndani vilivyotumika kichawi, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila uchawi uliowekwa katika mwili wangu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila kiungo cha mwili cha bandia kilichopandwa na wachawi ndani ya mwili wangu, Leo nakifuta kitu hicho kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila uchawi uliowekwa kwenye vitu nilivyopewa kama zawadi, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila uchawi ulitegwa katika ofisi yangu au kiti changu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Sasa pia nafuta kila uchawi unaonena katika ardhi, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Najua kabisa damu huwa haifi hivyo damu za wanyama zilizomwagwa katika ardhi zikiambatana na maneno ya laana kwangu, Nazifuta leo damu hizo kwa damu ya agano ya YESU KRISTO.
Kila mchanga uliowahi kuhukuliwa kwenuye nyayo zangu na ukatumika kichawi kunifunga,
Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila uchawi wa aina yeyote uliofanyika popote kunihusu mimi au ndoa yangu au uzao wangu au familia yangu au ukoo wangu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Nakushukuru MUNGU BABA maana umenipa ushindi kupitia damu ya YESU KRISTO aliye hai.
Naamini nimeshinda katika kilaeneo la Miasha yangu lililokuwa limefungwa kichawi.
Katika jina la YESU KRISTO nimeomba na kupokea ushindi.
Amen Amen.
Asante kama umelielewa Neno la MUNGU ila nina neno moja la mwisho kwako leo.
BWANA YESU Amekaribia Kurudi.
Je, Umejiandaaje?
Je, Unaendeleza Dhambi Ili Siku Ile Uachwe Na BWANA YESU? Je, Umeshika Wokovu Na Utakatifu Hata Unyakuliwe Siku Ile Kwa Ajili Ya Kwenda Uzima Wa Milele?
Majibu Sahihi Yako Moyoni Mwako Ila Nakusihi Mpokee BWANA YESU Kama Hujampokea Na Nakusihi Ishi Maisha Matakatifu Ukiwa Ndani Ya Wokovu.
Vya Dunia Tulivikuta Na Tutaviacha.
Ndugu, Vya Dunia Visikupotezee Muda Wako Hata Ukasahau Kuokoka.
Vya Dunia Visikupotezee Muda Wako Hata Ukasahau Wokovu Wa BWANA YESU Kwako.
Ni mimi ndugu yako Peter M Mabula.
Mtenda kazi katika shamba la BWANA YESU.
0714252292.
mabula1986@gmail.com
Umeshashare sana jumbe zisizo na maana leo
Nakuomba share kwa marafiki zako ujumbe huu.

SIJIDA YA WAISLAM NI ALAMA YA MPINGA KRISTO

Image may contain: one or more people and text
Nabii wa uongo ndiye ambaye husababisha watu kuchukua alama hii kwenye paji ya nyuso zao.
Sehemu kuu katika Biblia ambayo inataja "alama ya mnyama" ni Ufunuo 13:15-18. Mistari mingine inaweza kupatikana katika Ufunuo 14: 9, 11, 15:2, 16:2, 19:20, na 20:4.
Alama hii hutumika kama muhuri kwa wafuasi wa Mpinga Kristo na nabii wa uongo (msemaji wa Mpinga Kristo). Nabii wa uongo ndiye ambaye husababisha watu kuchukua alama hii ya SIJIDA kwenye paji ya nyuso zao.
Alama ya mnyama itakuwa ni kitu kimepatiwa wale tu ambao huabudu Mpinga Kristo yaaani Allah. Alama ya mnyama itakuwa nyakati za mwisho kitambulisho cha Mpinga Kristo kinachohitajika ili kununua au kuuza (ISLAMIC BANKING), na kitapewa tu kwa wale ambao wanamwabudu Mpinga Kristo yaani Waislam.
Nabii wa uongo ndiye ambaye husababisha wafuasi wa Allah kuchukua alama hii. Alama hasa huwekwa paji la uso na sio kadi mtu atabeba.
Je, ni Nabii gani na dini gani wana alama hii ya SIJIDA?
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

KORAN NI SAWA NA TANGAZO LA VITA

Image may contain: one or more people and text
Dhana ya Kiislamu ya Amani, kwa maana ya kufanya ulimwengu kuwa wa Kiislamu, ni mipango ya kishetani kwa ajili ya kufanya vita na kumwaga damu. Ilikuwa si jambo la kufikirika kuwa siku moja Ugaidi wa Kishetani utaweza ingia kwenye Nchi za Kistaarabu, kwa kupitia njia ya "dini" ya amani, nikimaanisha Uislam. Maantiki ya fikra yakinifu katika Uislamu ni tofauti na ile ya Wastani wa Mtu ..., nikimaanisha, katika Uislam, kuuwa kwao ndio amani wanayo itangaza.
Mtu KAMWE hawezi kuuacha Uislamu, unajua, wale ambao waliiuacha Uislam na kujiunga na Imani zingine, wale hawakupigwa Muhuri wa kwenda Jehanamu. Maana Allah ameahidi Jehanamu kwa Waislamu wote Soma: Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike. Kuukacha Uislam na kuingia kwenye hekima hilo ni kosa la kifo katika dini ya amani/Islam. Hapo ndipo panaanza kufanya mtu afikirie, Je, kweli Koran ni kitabu cha Mungu? Mbona kuna kulazimishana kwenye hii dini?
Hivyo, hii ni sehemu ya mantiki hiyo hiyo ya kuwa, Mtu ambaye anabadili dini na au shirika kama vile Al Shabaab au Uislamu ni tu kama nilivyoeleza, mtu wa namna hiyo hakupigwa Muhuru wa kwenda Jehannam na Allah, anyway. Hivyobasi, huyu mtu ni Msaliti na akikamatwa basi aelewe kuwa kifo kipo mkonini mwake, kwa kuikacha dini ha Amani/Islam.
Mwenye akili lazima ataelewa kuwa amani ya Allah na Muhammad ni vita na umwagaji damu. Hakuna jema kwenye hii dini ya Jibril zaidi ya kutangaza kifo kwa makafiri.

ALLAH ANAOMBA MSAADA WA KUNUSURIWA KWASABABU YEYE NI MPWEKE

Image may contain: one or more people and text
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA.
Enyi mlioamini! mkimnusuru Mwenyezi Mungu ,naye atakunusuruni na ataithubutisha miguu yenu” (Quran 47:7)
Utasikia wakisema, yeye haitaji msaada na ni mjuzi wa kila kitu (Quran 41:53). Lakini nilipo isoma hii aya ya Quran 47:7, kumbe Allah yeye si lolote wala chochote kile zaidi ya kuonyesha unyonge na upweke kwa viumbe wake. Allah anaomba anusuriwe, je, ni wapi Allah amekwama?
Moja ya jina la Allah ni “Al-waahid”. Yaani “Mpweke” linalo toka kwenye neno la Kiarabu la ”Tawhiid”. Hivyo, hapa Allah anatukumbusha kuwa yeye ni MPWEKE na anahitaji msaada. Hivi, wapi tumesoma kwenye Biblia kuwa Yehova alikuwa Mpweke?
Ndugu zanguni, huyu Allah ni mpweke na hajiwezi kabisaa ndio maana anaomba anusuriwe.
Kumbe ndio maana Waislam wapo kutwa nzima wanapigania dini ya Allah ambaye ni Mpeweke na anaihitaji kunusuriwa.
Mkristo anaye jitambua, kamwe hawezi kupoteza muda wake kumpigania Allah ambaye ni MPWEKE NA ANAHITAJI KUNUSURIWA.
Mpokee Yesu aliye kupigania na kufa kwa ajili yako, na sio yule Allah dhaifu ambaye hata kujisaidia mwenye hawezi.
Shalom.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo,

MUHAMMAD KASEMA UISLAM NI BIASHARA NA SIO DINI

No automatic alt text available.

SALAALEEEEHHHHH

“Enyi mlioamini!Je! Niwajulishe BIASHARA ITAKAYOKUOKOENI na adhabu iumizayo? Biashara yenyewe ni hii, Muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na piganieni dini ya Mwenyezi Mungu kwa mali zenu na nafsi zenu. Haya ni bora kwenu.Mkifanya hivi, atakusameheni dhambi zenu na atakuingizeni katika Mabustani
Yapitayo mito mbele yake na atakupeni maskani mazurimazuri katika Bustani za milele.Huku ndiko kufuzu kukubwa.Na atakupeni kingine mnachokipenda;Nayo ni nusura itokayo kwa Mwenyezi Mungu na ushindi ulio karibu!Na wapashe habari njema Waislam”
(Quran 61:10-13).

Waislam mara zote wamekuwa wanasema kuwa Ukristo ni Biashara na madai haya yapo kwenye tovuti zao. Ingawa tunapo waomba aya walete ili kutetea madai yao, mpka hii leo wameshindwa.

Uzuri wa Allah, yeye huwa hafikichi kitu na anasema ukweli kuwa UISLAM NI BIASHARA NA DINI YA KUTENGENEZA.

Ndio maana, Uislam haufundishiki bila ya kuutukana Ukristo, Imani ya kweli na thabiti mbele ya Mwenyezi Mungu.

SWALI KWA WAISLAM:
Tumabieni hiyo biashara ambayo Allah amekupeni kwa kutumia aya zake.

Kumbe Uislam ni dini ya biashara.

Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema, Mtume wa Allah (s.a.w) amesema, “Hakuna yeyote miongoni mwenu atayeokolewa na amali yake” Wakasema hata wewe mtume wa Allah? Mtume (S.A.W) akasema, “Wala mimi isipokuwa anifunike Allah kwa rehema zake; hivyo fanyeni amali njema kwa uadilifu” (Bukhari Hadithi Na. 470, Juzuu ya

Sasa kama mtume mwenyewe hajui hatima yake siku ya mwisho kuna haja gani Wakristo tunaojitambua kuufuata UISLAMU? Yaani tumwache Yesu mwenye uhakika na watu wake na kile atakachowapa wanaomfuata NA TUFUATE DINI YA BIASHARA ILIYO TUNGWA NA MUHAMMAD.

Karibuni kwa Yesu Mungu Mkuu.

Shalom.

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Thursday, March 30, 2017

END TIME: Watch Video Of The Lagos Woman Who Allegedly Transformed Into An Owl!!

optimized-btju

The incident happened last Monday at Boundary road Shasha, Akowonjo area Egbeda in Lagos, where an old woman, who a Nigerian pastor addressed as a witch, was accused of transforming into an owl.

Photos from the scene went viral after Pastor Stephen Ihesiabia, the General Overseer of The Lord’s Army Ministry, shared them on Facebook. He had claimed that the woman who was allegedly in the form of an owl, was flying either going to or from a meeting when she crash landed after thunder struck her.


All MuslimS Must Change To Christian To Avoid Hell Fire. Muslim Priest Urges All Muslim

06caf79bc983613da14eae7d9473_grande

All MuslimS Must Change To Christian To Avoid Hell Fire. Muslim Priest Urges All Muslim

While I was working in a muslim mosque as an imam, as a parish priest, I preach in my parish that Jesus Christ is not God, for me, God was only Allah, and I believed Allah never got married, so no sons for Allah. So I preached there that Jesus is not God. Then somebody ask me, who is Jesus?’’ from the crowd. Maybe a muslim, but he asked me, who is Jesus?’’ I was preaching he is not God, but the question is who is he? To know who is Jesus? I read the entire Koran once again: 114 chapters, 6666 in the Koran when I read it, the name of prophet Muhammad. I found it in Koran 4 places, but the name of Jesus I found in 25 places. There itself, I was a little confused. Why does the Koran give more preference to Jesus? And second thing, I could not see any woman’s name in Koran: the Prophet Muhammad’s mother’s name, or wife’s name, no, in the Koran, there is only one woman’s name that i found is Mariam, the mother of Jesus no other woman’s name. And in the holy Koran chapter 3, the name of the chapter is family of Mariam,’’ and holy Koran chapter 19, the name of the chapter itself is ‘’MARIAM’’ one chapter is ‘’MARIAM’’ so I was very curious to know why does Koran says all these things about MARIAM, holy Koran chapter 3 verse 34 onwards says that Mary was born without original sin, she never committed any sin in her life, she was ever virgin.


Koran chapter 50 verses 23 say that she went to heaven with her physical body. Even the assumption is writing in the holy Koran and then about Jesus, when I read chapter 3 verses 45 to 55 verses, there is 10 point which the Koran makes about Jesus. The first thing Koran says (kallimatulli) the arabic word which means ‘’the of God’’ and second thing is ( ahimokuli ) which mean spirit of God and the third (isa masi) which means Jesus Christ so Koran give the name for Jesus WORD OF GOD, SPIRIT OF GOD, JESUS CHRIST. And then Koran says that Jesus spoke when he was very small, like 2 days old. after his birth he began to speak , Koran says that Jesus created a live bird with mud. He took some mud, he formed a bird; when breathed into it, it became a live bird. So I think Jesus can give life because he gave life to mud, clay, and then Koran says that Jesus cured a man born blind and a man with leprosy, e.t.c



Curiously, the Koran says that Jesus gave life to dead people; Jesus went to heaven; he is still alive and he will come again. When I saw all these things in the Koran I taught of what Koran says about Muhammad, according to the Koran, prophet Muhammad is not the word of God, not spirit of God he never spoke when he was 2 days old, he never created any bird with mud, he never cure any sick people, he never raised any dead people, he himself died, and according to Islam he is not alive and he will not come back. So there is a lot of different between these two prophets. I didn’t call Jesus, God, you know my idea was ‘’He is a prophet but he is a prophet greater than Muhammad; so one day I went to my teacher, the one who taught me 10 years in Arabic college, and I ask him, teacher, how did God created the universe? Then he said God created the universe through the word,’’ THROUGH THE WORD. Then my question is: ‘’WORD’’ is creator or creation? He must clear this, my question is whether the WORD of God is creator or creation. Koran says Jesus is WORD of God. If my teacher says word of God is creator, which means Jesus is the creator, then muslim must become Christian suppose if he says the word is creation he will be trapped. You know why? He said everything was created through the word. Suppose if he said the word is creation, then how did God created the word? So he cannot say that the word is creator, or creation, so he was quite angry he push me out of his room and said word is not God, not creator or the creation you get out of here, ‘’he said.


The reason why Muslim doesn’t accept to be Christian is because they are blinded with the wrong teaching of their priest, Imam. They said that the word is creation they try to prove it wrongly…… they say the word is not creator, not the creation, but not God. And no creation also. They don’t equal with God, that all their problem. So when he said that I told my teacher, word is not the creator or the creation.’’ So, that is why Christian says the word is son of God. Then he told me if there is son for God, I must show him the wife of God. That without wife no chance of having a son then I showed him a portion from the Koran. Koran says that God can see without eyes, God can talk without tongue, God can hear without ears. It is writing in the Koran. I said if that is the case, so God can have a child without a wife. I took my Koran, I put it on my chest, and I said ‘’Allah’’, tell me what I should do because your Koran says Jesus is still alive, and Mohammad is no more. Tell me whom should I accept.’’ after my prayer I opened the Koran, I didn’t asked anyone, I asked only my Allah. When I opened Koran, I saw chapter 10 verses 94. You know what Koran says? It says if you have any doubt in this Koran which I give to you, go and read the Bible, or ask the people, those who read the Bible. The truth is already revealing that.


I beg all muslim to give their life to Christ because he is the only way to the kingdom of God. Please don’t perish like other muslims that is serving the god they do not know. I welcome you into Christ Jesus as you change your mind to accept him today. God bless you.

http://www.whatzp.com/all-muslims-must-change-to-christian-to-avoid-hell-fire-muslim-priest-urges-all-muslim/

Wednesday, March 29, 2017

Germany now allows forced child marriage (aka paedophilia) for Muslims


Muslim man, approximately 50, looks very pleased with himself after making this 9-year-old girl his “wife.” What number wife is she?

THE CIRCLE OF LIFE – Islamic terrorist style


The Islamic State is now recruiting in Afghanistan…right where al-Qaeda embedded itself to plan and carry out the 9/11 attacks on America. Looks like America’s vast expenditure of blood and treasure to civilize and modernize Afghanistan were all for naught. Not a purple finger in sight anymore.

Hopefully, this Muslim family will move back to the Islamic hellhole of their choice


After an Alexandria, Virginia Muslim family’s home was ransacked and defaced with anti-Muslim graffiti, they are planning to move.

TRENDING NOW