Wednesday, January 11, 2017

ALLAH ANASEMA KUWA: WANAWAKE WOTE NI MASHETANI NA WACHAFU KAMA SEHEMU ZA SIRI!!!

Image may contain: 1 person, text
WANAWAKE WA KIISLAM: KWANINI MNAMFUATA MUHAMMAD AKA ALLAH ANAYE WATUKANA NAMNA HII?
Ndugu zanguni,
leo ningependa tujifuze kidogo kuhusu mapenzi ya Allah kwa Wanawake alio waumba.
Hebu twende moja kwa moja kwenye Ushahidi:
ALLAH ANASEMA KUWA: WANAWAKE WOTE NI MASHETANI NA WACHAFU KAMA SEHEMU ZA SIRI!!!
Wanawake ni mashetani; wao ni kama uchafu wa sehemu za siri.
Sahih Muslim - 8.3240, 3242; Ghazali - gombo la 2, p. 26, gombo la 2, p. 43
HAKIKA CHUKI HII YA ALLAH WA WAISLAM IMEZIDI!!!
WANAWAKE KWANINI MNAFUTA HUYU KIUMBE ALLAH ANAYE WATUKANA KILA SIKU?
LAANA NYINGINE KWA WANAWAKE WA KIISLAMU:
WANAWAKE NI WABAYA KULIKO MAITI ASEMA ALLAH NA MTUME MUHAMMAD
=====================================================
Wanawake ni wabaya zaidi ya watu walio kufa (Maiti), hawaruhusiwi hata kufuata jeneza
Sahih Muslim - 4.2039
HIVI MWANAMKE WA KIISLAM UNAFANYA NINI HUKO?
WEWE NI MBAYA KULIKO MAITI ASEMA ALLAH
ALLAH AMELAANI WANAWAKE WANAO KATA NYUSI. ALLAH ASEMA HUKO NI KUBADILISHA MAUMBILE ALIYO UMBA ALLAH
((Allah Amemlaani mwanamke anayefanya tatoo (chanjo za kujichora) Na mwenye kuomba kufanyiwa, na anayetoa nyusi na mwenye kuomba kutolewa na anayechonga meno kuweka nafasi (mwanya), kubadilisha maumbile ya Allah kwa ajili ya kupata uzuri)) Al-Bukhariy Imetoka kwa 'Abdullah Ibn Mas'uud (r.a.)
HIVI MWANAMKE WA KIISLAM UNAFANYA NINI HUKO?
WEWE NI MBAYA KULIKO MAITI ASEMA ALLAH
Ndugu zanguni, huu ndio Uislam unao pigiwa debe kila siku, lakini umejaa chuki kubwa kubwa kwa Wanawake na Mama zetu. Swali ninalo kuuliza wewe Mwanamke wa Kiislam, ni ahadi gani Allah amekupa baada ya kifo?
Hebu endelea kusoma Ahadi kubwa kubwa kwa Wanaume wenu baada ya kifo:
Sura 78: 29. Na kila kitu tumekidhibiti kwa kukiandika. 30. Basi onjeni, wala hampati kwetu ila kuzidishiwa adhabu tu. 31. Hakika wenye kumcha Mola wao Mlezi watapata kuokoka na adhabu, na wataipata Pepo, 32. Na mabustani yenye matunda, na mizabibu mizuri, 33. Na wanawari walio watipwatipwa wa hirimu yao, 34. Na bilauri safi (Matiti)zilizo jaa pomoni, Ushahid zaidi soma (QURAN 37:40-4) : (QURAN 44:51-55) (QURAN 52: 17-20): (QURAN 55:54-59): (QURAN 55:70-77): (QURAN 56:37-40): (QURAN 78:31-34)
Allah anamwaga baraka kwa Wanaume wa Kiislam, lakini hakuna hata sehemu moja kwenye Quran ambayo Allah ametoa ahadi kwa Wanawake.
Wanawake wa Kiislam, karibuni katika Ukristo ambako hakuna ubaguzi wa Mungu katika jinsia kama ambavyo Allah anaonyesha katika Quran yake.
Mungu awabariki sana.
Katika Huduma yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW