Tuesday, January 10, 2017

WAISLAM 667 WANAMPOKEA YESU KILA SAA.

Image may contain: 1 person, text and outdoor
Haya yalisemwa na SHEIKH AHMAD AL KATANI.
Akitoa ushuda kupitika Televisheni ya Al Jazeerah, Sheik Ahmad Al Katan ambaye ni Rais wa Kitengo cha Sayansi na Sharia za Kiislam huko Libya amekiri kuwa, kila saa likipita, Waislam 667 wanampokea Yesu na kuukacha Uislam.
Akionyesha kupagawa na kuto jua nini afanye, Sheikh Ahmad Al Katani alisema, Mfano kule Misri, nchi ambayo Biblia zilikuwa hazinunuliwi, lakini kwa mwa mmoja tu, teyari Biblia LAKI SITA zimeuzwa nchini humo, na maelfu kwa maelfu wanaendelea kuingia Ukristo.
Alisema tena, kule Sudan zaidi ya watu MILIONI MOJA wameingia Ukristo kwa kipingi cha miaka miwili tu.
Kwa habari kamili ingia kwenye live https://muslimstatistics.wordpress.com/2012/12/14/al-jazeerah-6-million-muslims-convert-to-christianity-in-africa-each-year/

No comments:

If the Bible is corrupted, why does the Quran confirm it? If the Bible is not corrupted, why does the Quran contradict it?

  A CHALLENGE TO THE ISLAMIC UMMAH: THE BIBLE IS NOT CORRUPTED—IT IS THE QUR'AN THAT CONTRADICTS THE PRIOR SCRIPTURES Introduction: The ...

TRENDING NOW