Thursday, January 26, 2017

THOMASO ANASADIKI KUWA YESU NI MUNGU




Tomaso mwanafunzi wa Yesu alisema kuhusu Yesu, “Bwana na Mungu wangu” (Yohana 20:28). 28 Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! 29 Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki.
Baada ya Thomaso kumwita Yesu "Bwana na Mungu wangu", tunasoma kuwa Yesu anakubali na kumwabia, wewe Thomaso unameniona ndio unasadiki. Sasa Thomaso anasadiki nini? Kumbe Thomaso sasa anasadiki aliyo sema kuwa Yesu ni Bwana na Mungu.

No comments:

Qur'anic Contradiction? A Flood During the Time of Moses

Qur'anic Contradiction? A Flood During the Time of Moses By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute Introduction One of the recu...

TRENDING NOW