Thursday, January 26, 2017

THOMASO ANASADIKI KUWA YESU NI MUNGU




Tomaso mwanafunzi wa Yesu alisema kuhusu Yesu, “Bwana na Mungu wangu” (Yohana 20:28). 28 Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! 29 Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki.
Baada ya Thomaso kumwita Yesu "Bwana na Mungu wangu", tunasoma kuwa Yesu anakubali na kumwabia, wewe Thomaso unameniona ndio unasadiki. Sasa Thomaso anasadiki nini? Kumbe Thomaso sasa anasadiki aliyo sema kuwa Yesu ni Bwana na Mungu.

No comments:

The Origin of the Paper Quran: A Theological and Textual Critique

  The Origin of the Paper Quran: A Theological and Textual Critique By Dr. Maxwell Shimba | Shimba Theological Institute One of the signif...

TRENDING NOW