Thursday, January 26, 2017

THOMASO ANASADIKI KUWA YESU NI MUNGU




Tomaso mwanafunzi wa Yesu alisema kuhusu Yesu, “Bwana na Mungu wangu” (Yohana 20:28). 28 Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! 29 Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki.
Baada ya Thomaso kumwita Yesu "Bwana na Mungu wangu", tunasoma kuwa Yesu anakubali na kumwabia, wewe Thomaso unameniona ndio unasadiki. Sasa Thomaso anasadiki nini? Kumbe Thomaso sasa anasadiki aliyo sema kuwa Yesu ni Bwana na Mungu.

No comments:

Where are the names of the Apostles of Jesus (ʿĪsā ibn Maryam) in the Qu...

Where are the names of the Apostles of Jesus (ʿĪsā ibn Maryam) in the Qur’an? If ʿĪsā was truly a Muslim—a servant of Allah preaching Islam—...

TRENDING NOW