Friday, March 23, 2018

ETI, UKIJAAMIANA HUKU UNAELEKEA KIBLA NI LAANA

Related image
Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amekataza watu kujamiiana wakati wakiwa wameelekea Qiblah, au mtu mgongo wake kuelekea Qiblah, na amesema kwamba endapo kitendo kama hicho kikifanyika, kinaleta matokeo ya laana ya Mwenyezi Mungu Mtukufu, na Malaika na wanadamu wote kuwa juu yako mwenye kufanya hivyo.

Ibid., Juz. 20, Uk. 138, namba 25240

No comments:

The Quran’s Inconsistencies and Contradictory Claims: A Theological and Scholarly Inquiry

  Title: The Quran’s Inconsistencies and Contradictory Claims: A Theological and Scholarly Inquiry By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theologica...

TRENDING NOW