Tuesday, August 14, 2018

MATATIZO YA KUOA NDUGU WA FAMILIA MOJA KWA WAISLAM NDIO HAYA

Image may contain: 3 people, people smiling, people sitting

Matokeo ya kufanya mapenzi na familia (incest) ndoa kati ya ndugu na dada, shangazi wa kwanza, (first cousins, na kifamilia ili ni jambo la kawaida katika nchi za Kiislamu.
Huu hapa ni ushahidi wa Quran kuhusu upenzi wa ngono wa Allah ibn Muhammad.
Suratul Al Ah'Zab 50: Ewe Nabii! Tumekuhalalishia wake zako ulio wapa mahari yao, na ulio wamiliki kwa mkono wako wa kulia katika alio kupa Mwenyezi Mungu, na mabinti ami zako, na mabinti wa shangazi zako, na mabinti wa wajomba zako, na mabinti wa dada za mama yako walio hama pamoja nawe; na mwanamke Muumini akijitoa mwenyewe kwa Nabii, kama mwenyewe Nabii akitaka kumwoa. Ni halali kwako wewe tu, si kwa Waumini wengine. Sisi tunajua tuliyo wafaridhia wao katika wake zao na wanawake ilio wamiliki mikono yao ya kulia. Ili isiwe dhiki kwao. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
MAELEZO: Aya hapo juu inamruhusu Muhammad kula ngono wafuatao:
1. KULA NGONO WAKE ZAKE
2. KULA NGONO MABINTI AMI ZAKE.
3. KULA NGONO MABINTI WA SHANGAZI ZAKE.
4. KULA NGONO MABINTI WA WAJOMBA ZAKE.
5. KULA NGONO MABINTI WA DADA ZA MAMA YAKE.
6. KULA NGONO WANAWAKE WOTE WALIO PAMOJA NAYE.
Ndugu zanguni, huyu ndio Allah ibn Muhammad aliye jipa uhalali wa kula ngono mpaka watoto wa dada zake. Hivi wapi tunasoma kwenye Taurat au Zaburi au Injili kuwa Mitume kabla ya Muhammad na Quran waliruhusiwa kula ngono kila kiumbe mpaka watoto wa ndugu zake.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW