Tuesday, November 22, 2016

MAANA YA NAMBA 666? (SEHEMU YA NNE)


Dini ya Uislam ni ya Mpinga Kristo
Ndugu Msomaji,
Leo nitawathibitishia kwa kutumia Biblia na Quran kuhusu nani ni Mpinga Kristo. Hebu tuanze kwa kusoma neno la Mungu.
WARAKA WA KWANZA WA YOHANA 4:1-6
Wapenzi msiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho kwamba zimetokana na Mungu, kwa sababu manabii wa uongo wametokea duniani. Katika hili mwamjua Roho wa Mungu , kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu. Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya Mpinga Kristo, ambayo mmeisikia kwa yaja , na sasa imekwisha kuwako duniani, ninyi watoto wadogo mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda kwa sababu yeye aliye ndanii yenu ni mkuu kuliko yeye aliyeko katika dunia.hao ni wa dunia , kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia. Sisi twatokana na Mungu . yeye amjua Mungu atusikia na yeye asiyetokana na Mungu hatusikii. Katika hili twamjua Roho wa kweli, na roho ya upotevu.
Kwanza: Biblia inatufundisha kuwa Mpinga Kristo ni yule ANAYEKATAA KUWA YESU KRISTO HAJAJA KATIKA MWILI…YANI SIYE MWANA WA MUNGU, Soma (2 Yohana 1:7) na hapa tunawaona Waisilamu ndiyo namba moja wa kukataa hilo, sasa je, ni nani ni Mpinga Kristo kama si nyinyi waislamu? Isitoshe bado mnakazania kuwa YESU SIYE KRISTO Kwa madai kuwa eti huyo Kristo ni wa Paulo, na hapo pia Biblia inatuthibitishia kuwa nyinyi waislamu ndiyo haswa ni Wapinga Kristo…tazama na uthibitishe mwenyewe kwenye (1 Yohana 2:22).
Sisi Wakristo lazima tufahamu kuwa Mpinga Kristo kwa mujibu wa Biblia ni yule anayekataa kuwa YESU KRISTO NI MWANA WA MUNGU ALIYESHUKA KATIKA MWILI ILI KUTUOKOA SISI WANADAMU HAPA DUNIANI…Huu ndiyo msingi wetu sisi Wakristo ambao Waislamu wote duniani wamefundishwa na mungu wao Allah kuupinga kabisa kabisa msingi huu…Sasa lazima tujiulize Mpinga Kristo haswa ni nani? Jibu ni rahisi mno ‘ALLAH NA DINI YAKE YA UISILAMU’.
Pili: Mtu yeyote ambaye hamwamini Bwana Yesu ya kuwa ni Bwana na Mwokozi wa maisha yake huyo tayari ni mpinga Kristo kwa sababu hana ushirika nayeye na wala hamuabudu yeye kabisa. Aliye hivyo huyo anaitwa Mpinga Kristo na ule mwisho Yesu akija kuhukumu ulimwengu hatawachukua hao wasiyo mwabudu yeye, na Nabii huyo Yesu wa Nazareti. Nabii huyu watu wanamjua ni nabii wa Mungu na ndiye atakayekuja kuhukumu ulimwengu siku ile ya kiama. Sasa kama hapa tu sasa hivi unampinga, je jiulize swali nayeye atakukubali uende naye uzimani alipo yeye? Jibu hatakuchukua na ameniambia niuambie ulimwengu wote atakaye sikia na asikie atakayekataa shauri lake. Wote wasiomwabudu yeye 100% ni wapingaji wa kumpinga Yesu Kristo na hao ni wapinga Kristo.
Tazama sasa shetani alivyoitumia Quruani kuwa Mpinga Kristo wa wazi wazi kabisa!! Kwa sababu alijua kabisa kuwa Mwana wa Mungu na damu yake ya wokovu pale Msalabani vingewaletea wanadamu wote neema ya Mungu na kuwatoa katika utumwa wa dhambi na hukumu dhidi ya sheria au haki ya Mungu, soma (Zaburi 85:13). Akaona azuie njia ile ya Mungu ili watu waangamie!!. Fahamu kuwa msamaha wa dhambi katika Torati ni damu ya wanyama, soma (Walawi 17:11) na msamaha wa dhambi katika njia ya Mungu (Injili) ni Yesu Kristo) soma (Isaya 53:4-12) linganisha na (Waefeso 1:7).
Sasa baada ya yote haya, namalizia na mpambano mkali kati ya MPINGA KRISTO (ALLAH NA KURUANI YAKE) DHIDI YA BIBLIA NENO LA KWELI LA MUNGU.
Ndugu msomaji utakaesoma mpambano huu sitanukuu moja kwa moja maandiko lakini nitakachokiandika, mashahidi mtakuwa wenyewe kuona kama ni kweli au uongo ya kuwa vitabu hivi vinapambana kiasi hicho..nami sitaandika uongo kamwe.
Hebu tuanze:
BIBLIA: ‘Yesu Kristo alisulubiwa. QURAN: hapana hapana walimsulubisha mwandaazimu mwingine wakizani ndiye!!.
BIBLIA: Yesu ni Mwana wa Mungu. QURAN: ni uongo kwa kuwa Mungu hana mwana wala hazai!!.
BIBLIA: ’tunapata msamaha wa dhambi kupitia damu ya Yesu. QURAN: sivyo kabisa…Mnyaai Mungu ndiye akusameheni madhambi yenu pale mtakapoenda Makka japo mara moja kuhiji. (kiswali chandu cha uzushi..wale masikini je?..Ndiyo kusema pepo ni ya matajiri tu?!!).
BIBLIA: Majini wana asili ya mashetani, ni kundi au jeshi la yule muovu, msishirikiane nayo katika ibada wala kuwatolea sadaka.
QURAN: ALLAH asema: nimekuumbeni na majini ili mpate kuniabudu!! (swali la uzushi:Shetani na majini yake yanaabudu na waisilamu ili yaende wapi wakati wao walisha laaniwa na wanachosubiri ni jehanam tu!!).
Huu ni Msiba Mwengine katika dini ya Allah ambayo sasa tumejifunza kuwa ni ya Mpinga Kristo.
Nawakaribisha kwa Mungu Mkuu ambaye ni Yesu Kristo aliye hai.
Katika huduma yake,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo
For Max Shimba Ministries Org

DALLAS: “Is this where the terrorists are meeting?”


Another stupid non-story reported by the media, FOX News, this time. Designated terrorist group CAIR spokesjihadist claims that Muslims are frightened after a prank caller called a cafe where Muslims were meeting to ask the above question. Seems like a legitimate question to me.

AUSTRALIA: Illegal alien Muslim invader injures 27 after setting himself on fire causing an explosion at Melbourne bank


3a812ab500000578-3949382-on_friday_morning_the_man_became_agitated_after_not_having_enoug-a-19_1479510363563The 21-year-old MUSLIM FREELOADER from Myanmar who doused himself in accelerant and set fire to a Commonwealth Bank branch had minutes earlier complained about being ‘broke’ and not having enough welfare money for food. Witnesses said the man became agitated after not having enough funds to withdraw money from the ATM.

UK Daily Mail (h/t David Y)  The suspect, known by his friends as Noor, and five bystanders were taken to hospital with serious burns following the fire and had been waiting three years to be accepted as a refugee. Another 21 people ranging from children to elderly in their 80s were taken to hospitals with breathing problems.

Muslim entering back with petrol container
Muslim entering bank with petrol container

A witness said the alleged attacker was angry because not enough staff were available to help him. Commonwealth Bank never pays enough staff to serve us customers. I have been waiting for one hour,’ the witness claimed he said, to which a bank staff member replied ‘it’s not your business’.

‘The guy eventually went home and got a flamethrower to burn everyone especially bank staff,’ the witness wrote on his Facebook page. (How come he had enough money to buy a flamethrower but not food?)

The Muslim perp with police
The Muslim perp with police

Australian Burmese (Muslim) Rohingya Organisation president Habib Habib said the man was by himself in Australia and had been struggling financially and mentally, worried about his family and immigration status.

‘He was struggling mentally for the past year or two because his visa has not been processing,’ he told the Sydney Morning Herald(Maybe because he is a Muslim nutjob? Should have sent him back)

4f9ced721c12171459659d1909f93c18

‘He has been suffering and his friends say his welfare payment was not received and he couldn’t pay his rent.’ (He HAD enough money but spent it on something else)

ISRAELI bill seeks to end the extreme noise pollution of the Muslim Call to Prayer


makeitstop-225x300A bill aimed at banning mosques from broadcasting the Muslim supremacist call to prayer over loudspeakers has been slammed as “an attempt to erase the religion.” (One can only hope!)

UK Express (h/t Terry D) Prime Minister Benjamin Netanyahu claims the bill is not intended to suppress Islam, but aims to protect citizens from the loud and offensive noise disturbance of the call to prayer which awakens people as early as 5AM and continues five times a day. It’s a form of cruelty to animals, too as you can see by this Israeli German Shepherd’s reaction in Jerusalem (below) to the prayer noise.

Coalition parties are expected to back the legislation, which would ban the prayer call from being broadcast at night and early morning. Moni Aloleimi, 44, a Muslim originally from Jordan now living in Jaffa, Israel, described the bill as “an attempt to erase the religion”.

He added: “People can’t accept this. If there is no call to prayer, there is no prayer. And if there is no prayer, there is no religion.” (That’s the idea!)

muslims-734258

Mr Aloleimi, who runs a manpower company, said the prayer call, which is broadcast five times a day and dates back to the time of the prophet Muhammed, is required to “rouse and remind people that there is a god and to not do evil deeds.”  He warned that if the law goes through, “there will be an explosion and it will end very badly.”

He added: “You don’t infringe on the religion of an Arab. It starts with this and then they will take other steps like telling us we don’t need 20 mosques, that five is enough.”(How about none?)

Amjab Rasas, 40, from Jerusalem, claimed he would flout the ban if it goes ahead, by attaching loudspeakers to his house. He added: “I’ve been hearing the call to prayer from al-Aksa mosque all my life. How can they stop it? I hear the Shabbat siren on Fridays, and there’s no problem with it. (That’s once a week at sundown, NOT everyday at dawn through dusk)

“Why should people be disturbed by the call to prayer? Whoever doesn’t want to hear it, can leave. The call to prayer was here before the Jews came.”(CRAP. Jews were in Israel before there ever was an Islam)

Forget the ‘Muslim Registry,’ put this Hamas-linked CAIR spokesbaghead with the clown makeup on the terror watch list


After President Trump bans CAIR’s parent group, the Muslim Brotherhood, from operating in America, he should deport all the leaders of CAIR, already a designated terrorist group in the UAE.



AVOID MUSLIM CAB DRIVERS, TOO! Muslim Uber driver in Brooklyn charged with plotting a Nice-style jihadi mass murder terrorist attack in Times Square


The MUSLIM man, who has been identified as Mohammed Rafik Naji, 37, a legal US resident originally from Yemen, made several online posts in support of the Islamic State (ISIS). Naji was arrested this morning and charged in a federal court in Brooklyn.

gettyimages-609004380

NY Daily News  An Uber cab driver from Brooklyn, who is a citizen of Yemen, was arrested Monday on federal charges that he allegedly traveled to Turkey and Yemen last year to join ISIS and expressed support for a Nice-style attack with a garbage truck in Times Square, authorities said.

“I was saying if there is a truck, I mean a garbage truck and one drives it there to Times Square and crushes them…” the complaint quotes Naji as saying to a FBI informant during a recorded phone conversation in July, NBC reported.

mohamed-raji

Mohamed Rafik Naji, 37, revealed his support of the terrorist organization on his Facebook page, including a photo of an ISIS flag, videos of jihadists engaged in fighting, and a YouTube link of an ISIS spokesman exhorting attacks on Western targets, according to court papers.

Last summer, Naji allegedly expressed support to an informant for carrying out a deadly attack in Times Square with a garbage truck crushing pedestrian just like the ISIS truck attack in Nice, France in July.

NICE.........NEW YORK CITY
NICE……………….NEW YORK CITY

“They (ISIS) want an operation in Times Square,” Naji told the informant on July 19. “The Islamic State already put up scenes of Times Square … I said that was an indication for whoever is smart to know.”

Previously, Naji had been persistent in his efforts to join ISIS, Brooklyn U.S. Attorney Robert Capers pointed out. Naji apparently made it to the ISIS battlefield in his Yemeni homeland. “As we alleged in our complaint today, Naji has shown continued support to ISIS, beginning in 2014 with social media posts and ultimately traveling to Yemen in March 2015 where he claimed his allegiance to ISIS stating, ‘I belong to Islamic state only.’

isis-ww3

He allegedly emailed his wife from Yemen in March 2015 that “it’s very hard to get in I’m on my 5th try … keep trying if not m have to go from somewhere else.”

Monday, November 21, 2016

YESU HAKUWA MUISLAM (SEHEMU YA TATU)


YESU HAKUWAI KUOMBA HUKU AKIANGALIA MAKKAH
Yesu hakuwai kusujudu huku akiangalia Makkah, jambo ambalo ni moja ya masharti katika kumwomba na au abudu “ALLAH”. Quran 2:149. Na popote wendako elekeza uso wako kwenye Msikiti Mtakatifu. Na hiyo ndiyo Haki itokayo kwa Mola wako Mlezi. Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na mnayo yatenda. 150. Na popote wendako elekeza uso wako kwenye Msikiti Mtakatifu. Na popote mlipo elekezeni nyuso zenu upande huo ili watu wasiwe na hoja juu yenu, isipokuwa wale walio dhulumu miongoni mwao. Basi msiwaogope wao, lakini niogopeni Mimi - na ili nikutimizieni neema yangu, na ili mpate kuongoka.
Sasa tumsome Yesu katika Biblia, wapi aliangalia wakati akiomba.
Yesu aliomba huku akiangalia Mbinguni soma: Marko 6: 41 Akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama mbinguni, akashukuru, akaimega ile mikate, akawapa wanafunzi wake wawaandikie; na wale samaki wawili akawagawia wote.
Katika aya tuliyo isoma hapo juu, imetupa ushaidi kuwa Yesu aliangalia Juu Mbinguni ambapo Baba yake alipo na si Makkah.

YESU HAKUWA MUISLAM (SEHEMU YA PILI)


YESU HAKUWAI MWABUDU ALLAH
Yesu hakuwai kuomba na au kumwabudu “Allah”, lakini kutokana na Biblia, Yesu aliomba kwa Baba yake, Yohana 17:1 Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe. Koran na Uislam unakiri kuwa Allah si Baba na hakuna hata aya moja inayo mwita Allah Baba. Yesu hakuwa Muislam.
YESU NI MUNGU.

MAANA YA NAMBA 666? (SEHEMU YA KWANZA)


Kifungu kuu katika Biblia ambacho kinataja "alama ya mnyama" ni Ufunuo 13:15-18. Marejeo mengine yanaweza kupatikana katika Ufunuo 14: 9, 11, 15:2, 16:2, 19:20, na 20:4. Alama hii hutumika kama muhuri kwa wafuasi wa Mpinga Kristo na nabii wa uongo (msemaji wa Mpinga Kristo). Nabii wa uongo (mnyama wa pili) ndiye ambaye husababisha watu kuchukua alama hii. Alama hasa huwekwa katika mkono au paji la uso na sio kadi mtu atabeba.
Ufunuo 13:16-18 na imeandikwa:
"Naye awafanya wote wadogo kwa wakubwa, au katika vipaji vya nyuso zao; tena kwamba mtu aawaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake. Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu . Na hesabu yake ni mia sita sitini na sita(666)".
Katika siku za hivi karibunu, namba hii imeanza kujitokeza kwa nguvu sana katika bidhaa mbalimbali. Namba hii inakuwa imeandikwa katika vifungashio na hata kwenye bidhaa yenyewe. Watu wengine wanaihusisha namba hii na matandao wa siri wa Freemasons ambao athari zake zinaonekana duniani na inasemekana mtandao huo kuwa na nguvu na ushawishi mkubwa duniani katika kila kitu. Kulingana na lugha ya ishara yaani 'Symbolism' na mtiririko wa namba yaani 'numerical patterns' katika Biblia na mojawapo ya vifungu vinavyoamsha utata huu ni Ufunuo wa Yohane 13:16-18
Maana ya 666 ni siri pia. Baadhi ya uvumi kwamba kulikuwa na uhusiano na mwezi wa 6, 2006-06/06/06. Hata hivyo, katika Ufunuo sura ya 13, namba 666 hubainisha mtu, si tarehe. Ufunuo 13:18 inatuambia, "Hapa ndipo penye hekima. Yeye mnyama huyo; maan ni hesabu ya sita, sitini na sita." Kwa namna fulani, namba 666 humtambua Mpinga Kristo. Kwa karne silizopita watafsiri wa Biblia wamekuwa wakijaribu kutambua baadhi ya watu wenye 666. Hakuna kubaliano kamili. Hiyo ndio sababu Ufunuo 13:18 inasema namba hii inahitaji hekima. Wakati Mpinga Kristo atafunuliwa (2 Thes 2:3-4), itakuwa wazi yeye ni nani na jinsi ya namba 666 humbainisha yeye.
Lugha ya misemo ya kitabu cha Ufunuo (Greek,apokalypsis; English , revelation) inafanana na ie ya kitabu cha Daniel. Hivyo kuna kundi la watafiti linalodai kuwa huenda mwandishi wa vitabu hivi viwili (Daniel na Ufunuo wa Yohane) ni mmoja. Watafiti wengine wanasema kuwa Kitabu cha Ufunuo wa Yohanne kiliandikwa wakati ambao Kanisa / wakristo walipata mateso makubwa na ujumbe wa kitabu hicho ilikuwa ni kuwatia moyo wakristo waliokuwa wakiteswa kwa ajili ya imani yao wasikate tamaa na waamini kuwa Mungu yupo pamoja nao muda wote na kwamba yeye ndiye mwanzo na mwisho wa yote.
Hivyo, mateso ya hapa duniani siyo mwisho wa yote.
Ndiyo maana katika mateso yote hayo kuna ujumbe wa matumaini- Mungu atawaokoa watu wake na kuwafanya waishi naye milele katika maisha mapya na atafuta kila chozi walilo nalo. Kitabu hiki kiliandikwa mwishoni mwa utawala wa Domitian (81-97 AD).
Kulingana na lugha na ujumbe wa kitabu chenyewe, inaaminika kuwa kiliandikwa wakati wa mateso kwa hiyo, lugha na misemo iliyotumika, lazima isomwe sambamba na lugha ya zamani ya Greek. Katika Greek namba kama 1,2,3,4,6,7 na 12 au mara mbili yake zina maana fulani. Namba 6 ni namba ya uovu au mwovu na hivyo namba 6 tatu (666) ni alama ya mwovu na hasa (kusisitiza zaidi)-mwovu wa waovu-evil forces.
Kwa wakati ule, ujumbe uliwahusu-first addressees- wale waliokuwa wanatesa Kanisa kwa ajili ya imani yake hasa mfalme Nero kwani kwa Kigiriki herufi za jina hilo zinafanya 666 au mtawala yoyote ambaye alitawala kimabavu (kinyama) na kuwatesa watu na pia wakristo wenyewe ili wasikate tama. Hivyo,666 ilikuwa kama alama na jina la mtu mkatili na mpinga Kristo aliyekuwa anawatesa na kuwaua wakristo (Wafuasi wa Yesu Kristo)
Biblia inasema kwamba watu hupata ile “alama ya yule mnyama-mwitu” kwa sababu wanamfuata “kwa mshangao,” kufikia hatua ya kumwabudu. (Ufunuo 13:3, 4; 16:2) Wanafanya hivyo kwa kutukuza nchi yao kutia ndani nembo zake na uwezo wa kijeshi, kufikia hatua ya kuabudu mambo hayo. Kitabu The Encyclopedia of Religion kinasema hivi: “Utaifa umekuwa dini kuu katika ulimwengu wa leo.”
Mtu anapewaje alama hiyo ya mnyama-mwitu juu ya mkono na paji la uso wake? (Ufunuo 13:16) Mungu alipolipatia taifa la Israeli amri, alisema hivi: ‘Myafunge kama ishara juu ya mkono wenu, nayo yatakuwa kama utepe wa kipaji katikati ya macho yenu.’ (Kumbukumbu la Torati 11:18) Hilo halikumaanisha kwamba Waisraeli walipaswa kutia alama juu ya mikono na vipaji vyao kihalisi, bali kwamba maneno ya Mungu yangeongoza matendo na mawazo yao. Vivyo hivyo, ingawa kihalisi nambari 666 haipaswi kuonwa kuwa kama chanjo au chale ambayo mtu amechorwa, kwa njia ya mfano wale ambao huruhusu mifumo ya kisiasa itawale maisha yao wanatambulishwa kwa alama hiyo ya huyo mnyama-mwitu. Wale walio na alama ya mnyama-mwitu wanampinga Mungu.—Ufunuo 14:9, 10; 19:19-21.
Kwa mujibu wa ufun 13 fungu la 17, kuna sifa 3 muhimu za kumtabulisha
¨ Alama yake (Mamlaka yake)
¨ Jina lake
¨ Namba ya jina lake (666).
Angalia maana ya jina lake kwa Kigiriki = LATEINOS
¨ L = 30 lambda
¨ A = 1 alpha
¨ T = 300 tau
¨ E = 5 epsilon
¨ I = 10 iota
¨ N = 50 nu
¨ O = 70 omicron
¨ S = 200 sigma
————
666
Rejea hapa Encyclopedia Britannica under “Languages of the World”, Table 8.
Maana ya Kimaandishi:
VICARIUS – Asimamaye badala ya, au kwa
niaba ya.
FILII – Mwana/kijana wa kiume
DEI – Maana yake ni MUNGU
Ufafanuzi wa jina lenyewe
V = 5 F = no value D = 500
I = 1 I = 1 E = no value
C = 100 L = 50 I = 1
A = no value I = 1 501
R = no value I = 1
I = 1 53
U/V = 5
S = no value
112
Haya fanya mahesabu rahisi tu 112 + 53 + 501 = 666
Barikiwa sana na endelea kusoam Biblia mwenyewe na mwombe Roho Mtakatifu akufungua macho ya rohoni.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
Shalom

MAANA YA NAMBA 666? (SEHEMU YA PILI)


JE, ALLAH, MUHAMMAD, UISLAM NA QURAN NDIO 666?
ALLAH SASA ATEUA MTUME KWA WANYAMA = 666. KUMBE BASI ALLAH NA MUHAMMAD NA DINI YAKE NDIO 666
Ndugu Msomaji,
Katika kijaridi hiki, tutajifunza kuhusu Mnyama aliye semwa kwenye Kitabu cha Ufunuo, Biblia Takatifu.
KATIKA kitabu cha Ufunuo 13:18 ametabiriwa mnyama ambaye idadi ya herufi za jina lake itakuwa 666. Wataalamu wa Biblia (wanatheologia) wamekhitilafiana katika aya hiyo.
Kifungu kuu katika Biblia ambacho kinataja "alama ya mnyama" ni Ufunuo 13:15-18. Marejeo mengine yanaweza kupatikana katika Ufunuo 14: 9, 11, 15:2, 16:2, 19:20, na 20:4. Alama hii hutumika kama muhuri kwa wafuasi wa Mpinga Kristo na nabii wa uongo (msemaji wa Mpinga Kristo). Nabii wa uongo (mnyama wa pili) ndiye ambaye husababisha watu kuchukua alama hii. Alama hasa huwekwa katika mkono au paji la uso na sio kadi mtu atabeba.
Kabla ya kusema wazi ni nani kati ya hao ni "mnyama" mwenye namba "666", kwanza niweke sawa mambo mawili yafuatayo: Kwanza tujue kuwa kitabu cha Yohana ni kitabu cha unabii (ufunuo).
Mnyama - Ufunuo 13:1-18
Kila kitu kinatambulika kwa sifa zake na vitendo vyake. Jina pekee haliwezi kuthibitisha mtu au kitu. Kwani mara nyingi majina hufanana au hubadilishwa au kubadilika. Hivyo katika makala hii sitajihangaisha na utafiti wa majina kama hao wanatheolojia waliofilisika kielimu wanavyofanya. Hapa nitafafanua sifa zilizotajwa katika ufunuo ili kila msomaji mwenye akili zilizotulia aone mwenyewe ninani mnyama huyo.
Kwanza tujue "mnyama" huyu amepata kutoka wapi madaraka hayo makubwa. Kama inavyoeleweka, hadi sasa dunia iko chini ya miliki ya Shetani (Taz. Yohana 12:31, 16:11; 1 Yohana 5:19 nk). Hivyo naye mnyama amepewa mamlaka hayo na shetani, yaani "Joka". (Taz. Ufunuo 13:1-10, 12:7-9). Kwa hiyo "Mnyama" huyo ni Wakala wa Shetani duniani. Hivyo atafanya juhudi zote kinguvu, kiushawishi nk. ili wanadamu wamwasi Mwenyezi Mungu na wamtii Mkubwa wake (Shetani).
Sifa za Mnyama
(1) Atasifiwa, atatiiwa na kuogopwa na watu wote duniani. "...Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule. Wakamsujudu yule joka (Shetani -kufanya maasi) kwa sababu alimpa huyo mnyama uwezo wake; nao wakamsujudu yule mnyama (yaani wakamtii na kumuogopa kupita kiasi), wakisema, ni nani afananaye na mnyama huyu?" (Ufunuo 13:3-4).
(2) Wakuu wa dola (Marais, Wafalme, Masultani nk.) wote watamtegemea yeye na kumpa mamlaka na nguvu zao za kidola. Hivyo watatawala kwa kufuata apendavyo "mnyama". Kwa hiyo watakuwa mawakala wa mnyama katika nchi zao. Kwa hiyo nao watakuwa mawakala wa "Joka" (Shetani). "... Na zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme (watawala) kumi, ambao hawajapokea ufalme bado, lakini wapokea mamlaka kama wafalme muda wa saa moja pamoja na yule mnyama. Hawa wana shauri moja, nao wampa yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao: (Ufunuo 17:12-13).
ALLAH ATEUWA NABII "MNYAMA"
Surat An Naml 82. Na itapo waangukia kauli juu yao, tutawatolea mnyama katika ardhi atakaye wasemeza, ya kuwa watu walikuwa hawana na yakini na Ishara zetu
Allah anasema kuwa ataleta Mnyama ambaye atawasemeza watu.
Kitabu cha Quran ndio namba 666. Ngoja nikuonyeshe jinsi namba 666 ilivyo ndani ya Quran.
Kwanza fahamu kuwa, namba SITA ni namba thabit katika Mahesabu, ni namba pekee ambayo ukiijulimsha au zidisha namba tatu za kwanza unapata 6.
1 + 2 + 3 = 6
1 x 2 x 3 = 6
Sura 111 ina 100 letters na Gematrical Value of letter Qaf ni namba 100.
Sura 111 ina aya 6 ; 111 x 6 = 666 , The Quran
Sura 6 aya 111 ambayo ukizidisha unapa 666 aya katika jedwali la Qaf.
Waislam wanasema “ALLAHUAKBAR” mara 111 katika maombi yao ya kila siku "times in daily contact prayers".
Ukijumlisha namba zote 666 = 6+6+6 unapata 18, na mfano 111 ni sawa na 111 (100+10+1).
SASA BASI,
Sura 18 ina aya 111 na 18 x 111 = 1998 (666×3). Soma zaidi kwenye hii link http://freerepublic.com/focus/f-chat/1971221/posts
SIRI IMESHA FUNGUKA, SASA TUNAFAHAMU KUWA, ALLAH NDIE ATAKAYE LETA MPINGA KRISTO 666, NA ALLAH AMEKIRI KATIKA SURAT AN NAML KUWA YEYE AMESHA TEUA MTUME AMBAYE NI MNYAMA NA HUYO MTUME ANASOMA QURAN YA MUHAMMAD.
KAMA kweli Quran ni maneno ya Allah na aliiteremsha, basi, leo tunafahamu kuwa Allah sio tu ataleta Mpinga Kristo, bali Allah na Muhammad ndio Mpinga Kristo.
Kwanini Waislam wanasema kuwa "ISLAM WILL DOMINATE THE WORLD" ?
Kwanini Allah aliumba Mnyama na kumpta UTUME?
Hakika kuna siri kubwa kwenye Uislam ambao unapinga Kristo.
Karibuni kwa Yesu ambaye ndie Njia Pekee ya Kwenda Mbinguni.
Mungu awabariki sana.
USIKOSE SEHEMU YA TATU, JE QURAN NI 666?
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

TRENDING NOW