Sunday, January 29, 2017

YESU NI NJIA YA KWELI NA UZIMA

Image may contain: 1 person, text
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. Yohana 14 :6
Kuna mambo mawili ya msingi kwenye huu mstari
1)Kutambua njia ya kweli
2)Kufahamu uzima unaopatikana katika hiyo njia.
Kama kuna njia ya kweli ni wazi kabisa ziko njia za uongo, na kama kuna uzima katika njia ya kweli ni wazi kwamba iko mauti kwenye njia ya uongo!
Kila njia ambayo imebeba mauti kwenye maisha yako ikafungwe kwa jina la Yesu, tunaifunga hiyo njia na kuiteketeza kwa jina la Yesu, Mungu akukumbuke siku ya leo, njia zote za mauti zikuachie.
Sema Amen kama unayo imani ndani ya Kristo Yesu

No comments:

Mohammad’s Myths vs. Biblical and Scientific Reality: A Scholarly Debate on Laughter, Heart, and Divine Truth

By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction In evaluating the truth-claims of any religion, the alignment between i...

TRENDING NOW