Sunday, August 6, 2017

WANASAYANSI WA NASA WATHIBITISHA KUWA BIBLIA NI KITABU THABITI NA HAKINA SHAKA NDANI YAKE

Image may contain: 2 people, people sitting and crowd


Wanayansi baada ya kusoma kitabu cha Joshua 10:13 kuhusu kusimama kwa jua kwa siku moja, walipatwa na butwaa kwa jinsi Biblia livyo thabit na sahihi kuliko vitabu vyote duniani.
Bwana Harold Hill, Rais wa Curtis Engine Company huko Baltimore, Maryland, USA, na vile vile ni mshauri wa "SPACE PROGRAM" alisema baada ya kuisoma Biblia aligundua kuwa habari ya Joshua ni thabit na kama isinge tokea basi dunia ingepata matatizo miaka 1000 kutokea sasa.

No comments:

Bible vs. Quran: The Pathways of Blessing and Bondage

Bible vs. Quran: The Pathways of Blessing and Bondage By Dr. Maxwell Shimba | Shimba Theological Institute When it comes to charting a pa...

TRENDING NOW