Tuesday, March 6, 2018

RAHA YA URODA WA PEPONI


ANASEMA MWENYEZI MUNGU
(Subuhaanahu wata’alaa)
”…. Na humo watapata wanawake walio takasika (Na kila mabaya na machafu)….” (Quran 2;25)
Na kila watakapokuwa wanaingiliwa na waume zao watakuwa ni mabikira. Bikira hii haishi kwa kuingiliwa, isipokuwa inakuwa mpya, hatoki damu wala kusikia maumivu yoyote.
Mtu atapewa nguvu za watu 100 katika unywaji na uingiliaji; kisha ataongozewa nguvu zingine zaidi, mme atamwingilia mke wake kama alivyokuwa akimwingilia hapa Duniani, lakini peponi ni kwa muda mrefu, ni miaka 80 ya huko akhera, bila kufika kileleni (Kutokwa shahawa)
Ifahamike siku moja ya akhera ni sawa na mika 1000 ya huku duniani. Kwa hisabu ya huku duniani ni miaka 28,000,000, Miaka Milioni 28! Wakati wote huo wanasikia ladha nzuri mno na raha kubwa ajabu! Hizo ndizo neema za Allah peponi!
Basi, Hakika tutafute Radhi za ALLAH na kila mara tumuombe ALLAH atujalie tuwe miongoni mwa watu wema AMIN. (Mwisho wa kunukuu)..
Wanawake wako 72, Na mwanamke mmoja anaingiliwa kwa muda wa mika 80 kwa hisabu ya miaka ya akhera, ambayo kwa hapa duniani, ni sawa na miaka milioni 28 Mwanaume bado yupo juu ya kifua cha mwanamke, hao wengine 71 wapo sijui chumbani, wanasubiri mwenzao amalize zamu yake ya kuingiliwa, na wao waingiliwe, sasa kama mwenzao mmoja tu, anaingiliwa kwa miaka hiyo milioni 28, bila mwanaume kumwaga mbegu za uzazi, (Na haijulikani atamwaga lini) sasa hao wanawake wengine watakuja kuingiliwa lini? Huyo wa 72 zamu yake itamfikia lini ikiwa tu mwenziwe wa kwanza anaingiliwa kwa mika milioni 28 bila mzee kufika magogoni?
JANGA HILI HATA UFANYE NINI MAGAIDI WATAENDELEA KUEPO.
MSIBA MZITO HUU KWA MAKAFIRI

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW