Sunday, February 21, 2016

ALLAH, MUHAMMAD, NA QURAN NI WAPINGA KRISTO (SEHEMU YA PILI)


1. KUMBE UISLAM NI 666
2. KUMBE UISLAM NI MPINGA KRISTO
Ndugu msomaji,
Kristo, Mwana wa Mungu, alipokuwa duniani, alikuwa na maadui wengi. Ijapokuwa sasa hawezi kufikiwa na wanadamu, bado ana wapinzani leo. Ebu angalia baadhi ya wapinzani hao.
MAANA YA MPINGA KRISTO:
Neno la asili la Kiyunani la "anaye mpinga Kristo" laweza kuwa na maana mbili. Laweza kumaanisha 'aliye kinyume na Kristo', kwa maana ya mtu au mamlaka ipingayo kazi ya Kristo. Au kwa matumizi mengine, neno hilo laweza kumaanisha 'badala ya Kristo', likimaanisha mtu au mamlaka ichukuayo 'mahali pa Kristo', au ni 'Kristo bandia'.
Mtume Yohana alisema: “Ni nani aliye mwongo ikiwa si yeye ambaye hukana kwamba Yesu ndiye Kristo? Huyu ndiye mpinga-Kristo, yeye ambaye hukana Baba na Mwana.” (1 Yohana 2:22) Waasi-imani na viongozi wa ibada bandia kama Uislam hupotosha mafundisho ya Yesu yaliyo wazi kuwa uwongo wa kidini unaotatanisha. Watu hao hukataa ukweli wa Biblia nao hueneza uwongo wakitumia jina la Allah na la Kristo. Wao hukana uhusiano wa kweli uliopo kati ya Baba na Mwana wa Mungu ambaye ni Kristo Yesu.
Biblia inasema Mpinga Kristo atakuja, ambaye kazi yake itakuwa kuwaua na kuwafunga gerezani Wakristo.
Leo nataka nikwambie huyo Mpinga Kristo ni nani na namna gani utamtambua.
UHUSIANO WA UISLAM NA NAMBA 666
Je! Uislam unahusiana vipi na namba 666?
Uislam umejengeka kupitia kitabu change kiongozi ambacho ni
qruani? Kitabu hiki kina jumla ya sura 114 na maneno 6666!
Kumbuka hesabu ya mpinga kristo ni 666! Sasa hapa ili shetani asijidhihishe wazi kwa Kuwa aliona Yesu amefunua siri hii kwa ulimwengu. Akaamua kuongeza sita moja nyuma ya mia sita sitini na sita. Lakini vile vile Sura hizo 114 ni sawa na 1+1+4 = 6. Hiyo ndio ile namba Sita ya nne kwenye maneno 666(6).
Lakini hii haitoshi, moja ya dalili kubwa kabisa za mpinga Kristo ni kuwaua na kuwafunga gerezani wafuasi wa YESU. huu ushahid upo kwenye nchi zote za Kiislam.
Qruan imeagiza kwamba kama mtu ni Mwislam kisha akaamua kuuacha Uislam, mtu huyo auawe maana amekuwa kafiri!
Tumeona mara kwa mara waislamu wakitekeleza mauaji na uharibifu wa mali za Wakristo, wakichoma moto Mahekalu.
Mfano:Tumeona wakichoma moto makanisa hapa kwetu Dar Es Salaam na sehem zingine.
Kwa sura hii moja kwa moja Uislamu ndiye mpinga Kristo.! Hivi umewahi kujiuliza ni kwanini hawachomi moto nyumba za Waganga wa Kienyeji, lakini wanashughulika na Wakristo tu! Ni kwa sababu misheni ya mpinga Kristo sio kuwasumbua watu ambao wako chini ya shetani, Bali ni kuwataabisha wafuasi wa YESU na kuhakikisha hawaendelei kuwepo duniani.
JINSI AMBAVYO MPINGA KRISTO ANAVYO FANYA KAZI
Namna gani huyu shetani anafanya kazi?
Ikumbukwe kwamba Mungu hutumia watu ili kutekeleza kazi zake duniani, ndiyo maana utasikia kuna watu wanaitwa watumishi wa Mungu. Vivyo hivyo shetani naye hutumia watu ili kutekeleza kazi zake. Shetani yeye anatumia Waislam kufanya hii kazi ya kupinga Kristo.
Kwa kifupi Biblia imesema wazi moja ya Siri za huyo mpinga Kristo kuwa hesabu yake (namba yake) itakuwa 666, na hii namba ipo kwenye Uislam. Jumla ya maneno yote katika Quran ni 6666, kukiwa na ziada ya sita moja ambayo ni jumla ya 114 sura za Quran 1+1+4 = 6.
Kwa kuangalia andiko hilo watu wengi walidhani kuwa mpinga Kristo atatoka Marekani, dhana hii ilikuja baada ya ndege na vifaru vya Marekani kuonekana na namba 666.
Je! Dhana hii ni sahihi?
Jibu ni hapana. Mpinga Kristo hatoki Marekani, bali anatoka katika miji ya Makka na Madina ambako aliishi bwana mmoja maarufu sana aliyejulikana kwa jina la Muhammad. Huyu bwana ndiye mwasisi wa dini ya uislam duniani na ni mpinga Kristo.
Rafiki, tuko katika dunia ya shida. Na hizi ni nyakati za mwisho, kaza mwendo ukimtazama Bwana maana siku zetu hazikawii kuisha. Mungu akupe nguvu za kuweza kushindana siku ya uovu kwa Jina la YESU.
Tafakari
Jihoji
Chukua Hatua
YESU ANAKUPENDA
Ijue kweli nayo hiyo itakuweka Huru.
Max Shimba
For Max Shimba Ministries Org

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW