Thursday, February 25, 2016

JE, MASHAHIDI WA YEHOVA NI WAKRISTO?

Ndugu msomaji,
Swali la kwanza la kujiuliza hapa ni hili, Je, Mashahidi wa Yehova wanaamini nini?
Tukianza kuutafakari kwa karibu sana msimamo wa kanuni yao kwa masomo ya IMANI YA KIKRISTO kama, Mwili wa Kristo, Wokovu, Utatu wa Mungu, Roho Mtakatifu na upatanisho wa Mungu na mwanadamu yaonyesha bila shauku yoyote kuwa hawashikilii kanunu ya msimamo wa Kikristo katika masomo haya.
Utadungua kuwa:
1. Mashahidi wa Yehova wanaamini kuwa Yesu ndiye Mikaeli malaika mkuu, kiumbe kikuu. Hii inahitilafiana maandiko mengi ambayo wazi yamtaja Yesu kuwa Mungu (Yohana 1:1,14, 8:58, 10:30).
2. Mashahidi wa Yehova wanaamini kuwa wokovu unapatikana kwa ushirika wa imani, matendo mazuri na itiivu. Hii inahitilafiana maandiko mengi yasiyo hesabika ambayo yasema wokovu unapatikana kwa neema kupitia kwa imani (Yohana 3:16; Waefeso 2:8-9; Tito 3:5).
3. Mashahidi wa Yehova wanakataa utatu wa Mungu, wakiamini kuwa Yesu ni kiumbe na Roho Mtakatifu kuwa ni nguvu za Mungu zizokuwa na uhai (active force/energy).
4. Mashahidi wa Yehova wanakataa dhana ya Kristo kuwa thabihu kwa niaba yetu na badala yake wanashikilia kuwa nadharia ya ukombozi, kuwa kifo cha Yesu fidia ya dhambi ya Adamu.
5. Wanakana kwamba Mungu alifanyika mwili (incarnation) ...kinyume na Yohana 1:14;1Timotheo 3:16
6. Wanakana Kifo mbadala cha Kristo kwa ondoleo la dhambi(substitutionary atonement)..kinyume na aya hizi Mathayo 20:28; Marko 10:45.
7. Wanakana fundisho la Utatu Mtakatifu...kinyume na Yohana 1:1-3; 1 Yohana 5:8
8. .Wanakana Uungu wa Yesu na wanafundisha Yesu ni kiumbe si Muumbaji...kinyume na ya hizi Isaya 9:6; Tito 2:13; Wakolosai 1:16-17; Yohana 1:1-3
9. Wanaamini kuwa wanakazi moja ya kubadili aya zote za Biblia ili ziendane na kile wanachodai kuvuviwa!!! Hii ni kinyume na Wagalatia 1:6-9; Ufunuo 22:18,19.
10. Wameunda bodi yao inayofasiri maandiko na mfuasi wao yeyote hatakiwi kupambanua jambo kinyume na tafsiri hizo!! Bodi hiyo inaitwa Watchtower Bible and Tract Society....na Biblia yao inaitwa New world Translation; ama Le monde neauval Tradiction en Francois. Yaani wana injili yao na Biblia yao, Mungu wao!!
11. Wanakana "Umasihi" 'Ukristo" wa Yesu....kwa hiyo hawa ndo wapinga Kristo hasa.1 Yohana 4:3 kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu.Hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani.
12. 1 Yohana 2:22-23 Ni nani aliye mwongo ila yeye ya kuwa Yesu ni Kristo? Huyo ndiye mpinga Kristo,yeye amkanaye Baba na Mwana.Kila amkanaye Mwana hana Baba; amkiriye Mwana ana Baba.
Ndugu msomaji,
Inawezekana vipi kwa mtu kujiita Mikristo bila ya Roho Mtakatifu ambaye ni Mungu na anaye ukamilisha Ukristo ndani yetu -sustaining?
Inawezekana vipi mtu au watu kujiita Wakristo bila ya Yesu ambaye ndie Mungu katika Mwili na ndie KRISTO Mwenyewe?
Biblia inasema:
Kwanza: Biblia inatufundisha kuwa Mpinga Kristo ni yule ANAYEKATAA KUWA YESU KRISTO HAJAJA KATIKA MWILI…YANI SIYE MWANA WA MUNGU, Soma (2 Yohana 1:7) na hapa tunawaona Mashahidi wa Yehova wanafauli kuingia katika hili kundi, sasa je, ni nani ni Mpinga Kristo kama si wewe unaye sema kuwa eti, Yesu ni Malaika Gabrieli?
Pili: Mtu yeyote ambaye hamwamini Bwana Yesu ya kuwa ni Bwana na Mwokozi wa maisha yake huyo tayari ni mpinga Kristo kwa sababu hana ushirika nayeye na wala hamuabudu yeye kabisa. Aliye hivyo huyo anaitwa Mpinga Kristo na ule mwisho Yesu akija kuhukumu ulimwengu hatawachukua hao wasiyo mwabudu yeye, na Nabii huyo Yesu wa Nazareti. Nabii huyu watu wanamjua ni nabii wa Mungu na ndiye atakayekuja kuhukumu ulimwengu siku ile ya kiama. Sasa kama hapa tu sasa hivi unampinga, je jiulize swali nayeye atakukubali uende naye uzimani alipo yeye? Jibu hatakuchukua na ameniambia niuambie ulimwengu wote atakaye sikia na asikie atakayekataa shauri lake. Wote wasiomwabudu yeye 100% ni wapingaji wa kumpinga Yesu Kristo na hao ni wapinga Kristo.
Namaliza kwa kusema kuwa, Mashahid wa Yehova sio Wakristo bali wanampinga Kristo kama ilivyo semwa katika 2 Yohana 1:7. Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea duniani, wasiokiri ya kuwa Yesu Kristo yuaja katika mwili. Huyo ndiye yule mdanganyifu na mpinga Kristo.
Ni maombi yangu Mungu ayafungue macho ya Mashahidi wa Yehova kwa ukweli wa injili na mafundisho ya kweli ya neno la Mungu.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

Wednesday, February 24, 2016

MAJINA KUMI NA MBILI YA ROHO MTAKATIFU

 
Katika kijarida hiki, tutajikumbusha majina kumi na mbili ya Roho Mtakatifu na kazi zake.

Haya ungana nami moja kwa moja na tujifunze kuhusu Roho Mtakatifu.
Roho Mtakatifu anamajina mengi na wasifa mwingi, mengi yao kama sio yote yanaeleza kazi na huduma yake. Hapa chini ni baadhi ya majina na wasifa wake kama yalivyo semwa katika Biblia kuhusu Roho Mtakatifu.

1.   MWANDISHI WA NENO (Author of Scripture)
2 Petro 1:21; 2 Timotheo 3:16. Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; 
Roho Mtakatifu ndie aliye weka pumzi katika vitabu vyote vya Biblia 66. Hivyo basi, waandishi wa Biblia walipewa nguvu/upako na Roho Mtakatifu na wakaandika Biblia bila ya makosa.

2.   MSAIDIZI/WAKILI/MSHAURI WETU (Comforter / Counselor / Advocate)
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele.
Isaya 11:2; Yohana 14:16, 15:26; 16:7.
Maneno yote matatu yanatokana na neon la Kigiriki Parakletos, amabalo linatupa Paraclete. Jina linguine la Roho. Yesu alipo ondoka duniani, Wafuasi wake walijisikia vibaya sana kwasababu awalikosa mfariji. LAKINI Yesu aliwapa ahadi ya Roho ambaye atawafariji, Washauri, Wawakilisha na kuwa Msaidizi wao wale ambao wapo katika Kristo. Roho Mtakatifu vile vile yeye Ushuhudia roho zetu kuwa sisi ni watoto wa Mungu na utuhakikishia wokovu wetu.
KUMBE BASI, ROHO MTAKATIFU akama aya zinavyo sema atakuwa nasi MILELE.


3.   MHAKIKISHI WA DHAMBI (Convictor of Sin)
Yohana 16: 7 Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu. 
8 
Naye akiisha kuja, huyo atauhakikisha ulimwengu kwa habari ya dhambi, na haki, na hukumu. 
9 Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi; 
10 kwa habari ya haki, kwa sababu mimi naenda zangu kwa Baba, wala hamnioni tena; 
11 kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa. 
Roho Mtakatifu yeye ndio anakuonyesha au kufunulia UKWELI kuhusu Mungu katika akili zetu na roho zetu. Ukweli huu ndio utatuhumu kwa kuwa tutafahamu kuwa sisi ni watenda dhambi na hatuto weza pinga huo ukweli. Hufanya hivi kwa kuweka hatiani Moyo wako kwamba sisi ni watenda dhambi mbele ya Mungu Baba, na kwamba tunahitaji haki yake (righteousness) na kwamba kwahakika siku moja hukumu itakuja kwa watu wote. Wale ambao wanapinga ukweli huu, basi wanapinga ukweli wa Roho Mtakatifu.

        4. AMANA/MHURI/BIDII (Deposit / Seal / Earnest)
2 Wakorintho 1:22; 5:5; Waefeso 1:13-14. Roho Mtakatifu ni Mhuri kwa watu wa Mungu. Yeye hutujali sisi kama watoto wake. Zawadi ya Roho Mtakatifu ni kama malipo ya amana kwetu sisi kwa urithi wa mbinguni, ambao Kristo alituahidi baada ya kazi ya pale Msalabani. Ni kwasababu ya Roho Mtakati ambaye ameweka Mhuri kwetu ndio maana tuna uhakika wa Wokovu. Hakuna mwenye uwezo wa kuvunja hii “SEAL” ya Mungu.

5.   KIONGOZI (Guide)
Yohana 16:13. Kama ambavyo Roho alivyo waongoza waandishi wa Biblia katika kweli yote, vivyo hivyo ametuahidi kutuongoza wote tuaminio katika Kristo. Ukweli kuhusu Mungu ni jambao la mzaha kwa watu wa dunia na Makafiri, kwasababu hawana macho ya rohoni na hawamweli Roho Mtakatifu (1 Wakorintho 2:14)  Wale walio katika Kristo ndani yao wana Roho Mtakatifu ambaye anatuongoza katika yote tunayo hitaji. Wale ambao hawana Roho Mtakati wao ni kama yatima, maana hawana kiongozi na hawata weza elewa maneno ya Mungu, wao baba yao ni Yule muovu, IBILISI.

6.   ANAMAKAZI NDANI YA WAAMINIO (Indweller of Believers)
Warumi 8:9-11; Waefeso 2:21-22; 1 Wakorintho 6:19) Roho Mtakatifu anaishi katika mioyo ya waaminio/watu wa Mungu, na huku kuishi ndani ya kila mtu kwa wakati mmoja (omnipresence) ni sifa mojawapo pekee ya Mungu. Akiwa ndani ya Waaminio, huwaongoza, huwafundisha, kuwafariji, na ni mshawishi na zaidi ya hapo huzalisha matunda ya Roho (Wagalatia 5:22-23) Hutoa uhusiano wa karibu kati ya Mungu na Watoto wake “Intimate connection” Wakristo wote walio okoka wana Roho Mtakatifu ndani yao/katika mioyo yao.


     7. MWOMBEZI (Intercessor)
Warumi 8:26 Kazi na au huduma moja ya muhimu sana ya Roho Mtakatifu kwa walio kombolewa na damu ya Yesu ni kuwaombea “interceding”
Kadhalika Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa.

    8. MFUNUAJI/ROHO WA KWELI (
Revealer / Spirit of Truth)
Yohana 14:17; 16:13; 1 Wakorintho 2:12-16.
Yohana 14: 16 Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele; 
17 
ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni wala haumtambui; bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, naye atakuwa ndani yenu. 
18 Sitawaacha ninyi yatima; naja kwenu. 
Roho Mtakati yeye ndie anatufunulia yote ambayo Yesu aliyafanya na yote ambayo Yesu anataka tuyaelewa. Ndio maana watu ambao hawa Roho Mtakatifu wao huona mambo tunayo funiliwa si ya maana.

1 Wakorintho Mlango wa 2 :12 Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, bali Roho atokaye kwa Mungu, makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na Mungu. 
13 
Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni. 
14 Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni. 
15 Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu. 
16 Maana, Ni nani aliyeifahamu nia ya Bwana, amwelimishe? Lakini sisi tunayo nia ya Kristo.

.         9. ROHO YA MUNGU/BWANA/KRISTO (Spirit of God / the Lord / Christ)
Mathayo 3:16; 2 Wakorintho 3:17; 1 Petro 1:11 Katika vitabu hivyo tunahakikishiwa kuwa Hakika Roho Wa Mungu ni sehemu ya Utatu na Hakika yeye Ni Mungu kama alivyo Mungu Baba na Mungu Mwana. Alisemwa kwa mara ya kwanza wakati wa uumbaji, ikifuatiwa na Yesu ambaye aliumba kila kitu. Yohana 1:1-3. Tunaona Utatu huohuo katika Yesu wakati alipo kuwa anabatizwa, wakati Roho alipo shuka na tukasikia sauti ya Mungu Baba.

   10. ROHO YA UZIMA (Spirit of Life)
Warumi 8:2 Neno Roho ya Uzima maana yake kuwa ni Roho Mtakatifu ambaye anatupa na au umba UZIMA, haimaanishi kuwa anasaidia wewe kuoka, bali anakufanya wewe kuwa umeokoka. Bila ya Roho Mtakatifu hakuna wokovu. HAPA VILE VILE tunaona Utatu katika Kazi ya Mungu. Tumeokolewa na Mungu Baba kupitia kazi ya Mwana wake Yesu, na wokovu unaedelezwa “sustained” na Roho Mtakatifu.

11.MWALIMU (Teacher)
Yohana 14:16; 1 Wakorintho 2:13.  Yesu aliahidi kuwa Roho atawafundisha kila kitu na kuwakumbusha yote ambayo aliwafundisha wakati alipo kuwa nao. Waandishi wa Agano Jipya waliongozwa na Roho Mtakatifu ndio maana walikumbuka kila kitu ambacho Yesu alisema na kufanya.
Yohana 14: 26 Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia. 

12.SHAHIDI (Witness)
Warumi 8:16; Waebrania 2:4; 10:15 Roho anaitwa SHAHIDI kwasababu YEYE anatuhakikishia na kutushuhudia kuwa sisi ni watoto wa Mungu, na kwamba Yesu na Wanafunzi wake walitumwa na Mungu Baba na kuwa Biblia ni Neno la Mungu. Zaidi ya hapo, Roho hutupa Zawadi ya Roho Mtakatifu, na utushuhudia sisi na dunia kuwa sisi tulio okolewa na Damu ya Yesu ni watoto wa Mungu.
Warumi Mlango wa 8:16 Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu, ya kuwa sisi tu watoto wa Mungu; 
17 
na kama tu watoto, basi, tu warithi; warithi wa Mungu, warithio pamoja na Kristo; naam, tukiteswa pamoja naye ili tupate na kutukuzwa pamoja naye. 

Nakushauri uendelee kumwomba Mungu aliki aendelee kukufulia mambo makuu kupitia Roho Mtakatifu. Kumbu, bila ya Roho Mtakatifu, Wokovu wetu unakuwa wa mashaka. Ndio maana lazima tumfahamu huyu Roho Mtakatifu aliye ahidiwa kuja na Bwana wetu Yesu Kristo aliye kufa kwa ajili ya dhambi zetu.

Basi mpendwa, Mungu aendelee kukubariki.

Ni mimi, Mtumishi wake Max Shimba.

Katika huduma yake

Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED

Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

Monday, February 22, 2016

YESU ATABIRI KUWA MUHAMMAD NI MTUME NA NABII WA UONGO


Ndugu msomaji,
Mara nyingi Waislam wamekuwa wakisema kuwa, eti, Yesu alitabiri kuja kwa Muhammad, pale alipo sema kuhusu Roho wa Kweli, la hasha.
Nabii ni mtu gani?
Nabii ni mtu aliyeteuliwa rasmi kwa vigezo vya Kiungu ili kuleta ujumbe wa Mungu kwa wanadamu, kwa maneno mengine nabii ni msemaji wa siri za Mungu.
Nabii: Ni mtu ambaye ni msemaji wa Mungu (a mouthpiece of God) .Husimama kati ya Mungu na binadamu, mwenye jukumu la kupeleka ujumbe wa Mungu kwa watu. Nabii anapokuwa msemaji wa Mungu, huvuviwa na Roho wa Mungu, bila ujumbe wake kuwa na makosa. Nabii hujizuia kabisa utashi wake, nafsi yake, na mawazo yake, anapokuwa anatoa ujumbe wa Kinabii toka kwa Mungu. Wakati mwingine Mungu mwenyewe hutia maneno yake vinywani mwao (Kum 18:18, Yer 1:9). Nabii ni mtumishi wa Mungu (Zekaria 1:6) na mjumbe wa Mungu 2 Nyak 36:15).
Ni kweli kuwa Yesu alitabiri kuja kwa manabii, lakini kamwe hakusema lolote kuhusu utume wa Muhammad zaidi ya kukiri kuwa watu wenye sifa kama za Muhammad ni Mitume na Manabii wa Uongo.
Miongoni mwa wanadamu wanaoitwa nabii na mtume, ni mtu aitwaye Muhammad s.a.w ibn Abdullah, ibn Abdu Mutallib, ambaye ni mtume na nabii katika dini ya Kiislamu.
Pengine wewe msomaji wa somo hili unaweza kushangaa ni kwa vipi sisi ambao si Waislamu bali Wakristo tuanze kuhoji habari za Muhammad s.a.w mtume wa Waislamu? Jibu lake ni kwamba kitabu cha Qur’an kinachotumiwa na Waislamu kimetutaja sisi Wakristo mara 62 kikitutaka kuupokea, kuuamini na hatimaye kuufuata ujumbe wa Muhammad s.a.w kwa madai ya kuwa yeye ni nabii na mtume wa mwisho hata kwetu Wakristo, aliyetumwa na Mungu.
YESU ATABIRI KUHUSU MTUME WA UONGO AMBAYE NI MUHAMMAD
Tahadhari ya Bwana Yesu: Bwana Yesu alipokuwa hapa duniani alituonya kuhusu kuwatambua manabii na mitume wa uongo kabla Muhammad hajazaliwa (amezaliwa 570 B.K), wala kabla Uislamu haujaanzishwa na Muhammad mwaka 610 B.K, wala kabla ya kuwepo kitabu kinachoitwa Qur’an. Tunayasoma maonyo hayo ya Bwana Yesu katika
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
Yesu katika Ufunuo alisema kuwa watakuja Manabii na Mitume wa Uongo.
Ufunuo 2:2 Nayajua matendo yako na taabu yako, subira yako, na kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wajiitao mitume nao sio, ukawaona kuwa waongo.
Je, Muhammad ni nabii wa Mungu?
Je, Muhammad anasifa za nabii wa Mungu?
Hebu endelea na somo hapa chini:
JINSI YA KUMFAHAMU NABII WA UONGO:
Kwa hivyo Muhammad ni miongoni mwa hao Mitume ambao ni waongo, ambao sisi kama Wakristo yatupasa kuutambua uwepo wao hapa Duniani, kwani tumeshapewa angalizo la kuwatambua hawa wanaojiita Mitume na Manabii, hali ya kuwa ni waongo
1 Yohana 4:1-3
1 Wapenzi msiamni kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu: kwa sababu manabii wengi wa uongo wametokea duniani. 2 Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; KILA ROHO IKIRIYO KWAMBA YESU KRISTO AMEKUJA KATIKA MWILI, YATOKANA NA MUNGU, 3 Na Kila roho isiyomkiri Yesu, haitokani na Mungu. Na HII NDIO ROHO YA MPINGA KRISTO ambayo mliskia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani.
Vigezo hivi tulivyopewa na Biblia Takatifu kuwajua manabii na mitume wa uongo ni muhimu sana tukavichunguza katika maisha ya wale wanaoitwa nabii au mtume
Kila nabii na mtume ambaye yeye hakubali kuwa Kristo alikuja katika mwili, kwa maana kuwa Mungu alidhihirishwa katika mwili, hiyo roho yaani huyo nabii si ambaye anatokana na Mungu, huyo ni Nabii anaetokana na shetani, kwa mujibu ya maandiko Matakatifu, Kristo alidhirishwa katika mwili.
1 Timotheo 3:16 Na Bila shaka siri ya utauwa ni kuu, Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulikana kuwa na haki katika roho,
Akaonekana na Malaika, akahubiriwa katika mataifa. akaaminiwa katika ulimwengu, akachukuliwa juu katika utukufu,
SASA KAMA MNATAKA KUAMINI KUWA KWELI Muhammad ni nabii na mtume wa uongo, waulizeni wafuasi wake,
SWALI LA KUPIMA UNABII WA MUHAMMAD:
Je! Kwa mujibu wa uislamu, Wanakubali kuwa Mungu alikuja kwa njia ya mwili wa kibinadamu na kuonekana?
Wakikubali, basi tambueni kuwa Muhammad ni mtume wa kweli, na wakikataa basi mjue kuwa Muhammad ni nabii na mtume wa Uongo.
SIFA ZA NABII WA KWELI:
Nabii wa kweli hupata ufunuo wake kwa njia ya Roho Mtakatifu:- 2Petro 1:20-21.” Mkijua neno hili kwanza,ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu.Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu;bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu,wakiongozwa na Roho Mtakatifu”.
LAKINI MUHAMMAD YEYE ALIPATA UNABII KWA NJIA HII, SOMA
Katika kitabu kiitwacho “ Wakeze Mtume Wakubwa Na Wanawe” kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy uk.12 tunasoma maneno haya
“Basi Mtume akafanya hofu akarejea kwa mkewe akamhadithia; na pale pale homa kubwa kabisa ikampanda akataka afunikwe maguo. Mara akawa anatetemeka kwa nderema na anaweweseka na kusema “Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga”. Bibi Khadija palepale alimdakiza akamwambia; “ Wacha hayo; Siyo yatakayokuwa hayo. Wewe huwezi kuchezewa na mashetani. Shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako. Wewe unatazama vyema jamaa zako, unachukuwa mizigo ya hata watu wasiokuwa wako, unawadhihirishia watu sifa zako nzuri ambazo hakuna mwenye nazo. Unafanya hivi na unafanya hivi. Furahi ndugu yangu. Tua moyo wako, Wallahi! Mimi naona umekwishakuwa mtume”.
Je, wapi katika Injili au Taurat au Zaburi tunasoma kuwa Manabii na Mitume katika Biblia walipata kwa njia ya homa na kukiri kuchezewa na mashetani kama Muhammad wa kwenye Quran?
1 Petro1:10-11 “Katika habari ya wokovu huo manabii walitafuta tafuta na kuchunguza chunguza ambao walitabiri habari za neema itakayowafikia ninyi. Wakatafuta ni wakati upi na wakati wa namna gani ulioonywa NA ROHO WA KRISTO ALIYEKUWA NDANI YAO ambaye alitangulia kuyashuhudia mateso yatakayompata Kristo na utukufu utakaokuwako baada ya hayo…..” (maneno ya msisitizo kwa herufi kubwa ni ya mwandishi)
Ufunuo 19:10 “Nami nikaanguka mbele ya miguu yake, ili nimsujudie; akaniambia, Angalia, usifanye hivi; mimi ni mjoli wako na wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudie Mungu. Kwa maana ushuhuda wa Yesu ndiyo roho ya unabii”
Biblia Takatifu imetuonya kuwachunguza mitume na manabii. Katika kitabu cha Ufunuo 2:1-2 “ Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu. Nayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako, na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wajiitao mitume, nao siyo ukawaona kuwa waongo”
Kwa mujibu wa aya hizi Muhammad s.a.w hastahili kuitwa nabii na mtume wa Mungu wa Kweli, bali anaangukia katika kundi la manabii na mitume wa uongo.
Mungu awabarikisana, na tuendelee kujifunza kweli, na kweli itatuweka huru.
Max Shimba
For Max Shimba Ministries Org.

ISLAM, QURAN AND 666

"The truth is that This Quran is the 666 , The Book from The Lord of the Universe.
GOD made His Messenger a witness with the letter Qaf and the number 666."

The following links are to more Islamic sites that connect the Quran (Koran Kuran), and Islam's "Messenger", to the number 666. Scroll down (or Ctrl+f) on this link for the following quote:

"This book is the Quran; and the Quran is '666.'"


"They say, '666 is the sign of the Anti Christ, the sign of the Anti Church.' Obviously the Church has recognized the importance of the 666, they believe that the number represents a force that shall rise against them."

Since the false prophet Muhammad denied the whole subject of the Gospel.....

Surah 4:157 That they said (in boast), "We killed Christ Jesus the son of Mary, the Messenger of Allah";- but they killed him not, nor crucified him, but so it was made to appear to them, and those who differ therein are full of doubts, with no (certain) knowledge, but only conjecture to follow, for of a surety they killed him not:-

.....and his followers are commanded to conquer all kingdoms and subjugate all people to denying the Son of God and rejecting the blood He shed for us all, is it really a stretch to consider that Muhammad could be THEfalse prophet of the book of Revelation, and his Islamic kingdom "beast" the final foe of God's people?

Bukhari, V1 B2 #24 Narrated Ibn 'Umar: Allah's Apostle said: "I have been ordered (by Allah) to fight against the people until they testify that none has the right to be worshipped but Allah and that Muhammad is Allah's Apostle, and offer the prayers perfectly and give the obligatory charity, so if they perform a that, then they save their lives an property from me except for Islamic laws and then their reckoning (accounts) will be done by Allah."

Surah 9.29 Fight those who believe not in Allah nor the Last Day, nor hold that forbidden which hath been forbidden by Allah and His Messenger, nor acknowledge the religion of Truth, (even if they are) of the People of the Book, until they pay the Jizya with willing submission, and feel themselves subdued. 30 The Jews call 'Uzair a son of Allah, and the Christians call Christ the son of Allah. That is a saying from their mouth; (in this) they but imitate what the unbelievers of old used to say. Allah's curse be on them: how they are deluded away from the Truth!

Links to sections on this page include The 666 BeastThe Tragedy of the Mark and Saved By the Grace of God.
Here's a link to a 9 minute video regarding that site.
Here's a video of a Muslim that has 666 written on the page edges of his Quran.

"The sum of sura numbers from Sura 1 to Sura 36 is 666 (Table 7)."

Revelation 13:18 Here is wisdom. Let him that hath understanding count the number of the beast: for it is the number of a man; and his number [is] Six hundred threescore [and] six.

Not such a surprise for a Christian to find an association when we learn that the single most egregious and only unforgivable sin in Muhammadanism, is committed if a Muslim were to confess that Jesus is the Son of God or even pray in Jesus' name. As compared to child rape or cold-blooded mass murder, for example, which may be forgiven. (more on Islam's sin of "shirk")
 
"Allah" = 666 (link to this spot)

On the Zola Levitt program, Walid Shoebat, a former PLO terrorist now Christian evangelist, said that when he saw the Greek symbol that is translated in the Bible as 666, he immediately read it as the Arabic character “Bismillah” (some spell Bismilla) which means "in the name of Allah." (Though it looks more like the character for "Allah").

Here's a seven minute video of Walid Shoebat on 666 at a different venue:

Below (left) are photos of Greek symbols translated in the Bible as 666, from Free Jesus.net:  The gold symbol(bottom and right) is Arabic for "Allah" when turned and mirrored.  Additionally, crossed swords are a symbol for Islam.  So in 666 we may find symbols for both "Islam" and "Allah".


If Shoebat's account seems a stretch, even though Arabic was his first language and Islam the religion he was indoctrinated into, consider how this Arabic character is stylized into many different artistic forms.  Consider also how some look for this character in trees, clouds and virtually everywhere, as this search link attests - even in a fish!

Can you make out the word in the picture below?

Sunday, February 21, 2016

JE, HIZI SIFA ZA AJABU ZA MUHAMMAD NI ZA KITUME?

1. Muhammad alizini na kijakazi
2. Muhammad alikuwa na changu doa
3. Muhammad alinyonya ulimi wa mwenzake
4. Muhammad alikuwa Mlevi
5. Muhammad alikuwa amerogwa
Wengi wenu labda hamkuwa mnazifahamu hizi siri ambazo Waislam wanazificha kila siku. Naam, naziita siri kwasababu huwa hawasemi huu ukweli wa Muhammad Mtume wa Allah.
MTUME MUHAMMAD ALIFUMANIWA NA KIJAKAZI WA MKEWE
Siku moja mtume (s.a.w) Alikuwa Nyumbani kwa Mkewe Hafsa bint Umar, Hafsa akaenda kwa Baba yake kumjulia hali, Mtume (s.a.w) alimwita Mjakazi wake bibi Mariya Alqbitiyya, akawa nae Chumbani, Aliporudi Hafsa Akasema Maneno makali kwa Mtume juu ya tendo hilo (s.a.w) Mtume akasema nakuhakikishia Kuwa: Kuanzia Leo Sitamwingilia tena, mjakazi wako.
(Tafsir Ibn Kathir J. 6 Uk. 367)
Je, huku kufumaniwa ndio sifa za kitume?
MTUME MUHAMAMD ALIKUWA NA CHANGU DOA
Sunan Abu-Dawud, Kitabu 38, Namba 4458: Amehadithia Ali ibn AbuTalib: "Mtumwa wa Kisichana ambaye alikuwa mali ya nyumba ya Mtume wa Allah aligawa Uroda kwa Rafiki ya Muhammad. Basi Nabii wa Allah akasema kwa Ali: Nenda na ukampe adhabu Muasherati wangu kwa kufanya Ngono bila ya ruhusa yangu. Ali akaharakisha kwenda alipo yule Mtumwa wa Kisichana wa Muhammad na kuona damu ilikuwa inatiririka kutoka kwake, na bila kuacha. Hivyo Muhammad alikwenda kwake na akasema: Mwache damu iendelee kutiririka mpaka itakopo simama; kisha mpe adhabu kwa mujibu wa dhambi yake".
Je, kuwa na chagu doa ni sifa ya kiutume?
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN
Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.
Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah? Eti akikula denda na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam. Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake
Je, Muhammad kunyonya ulimi watu wa jinsia yake, ni sifa ya kitume?
MTUME MUHAMMAD ALIKUWA MLEVI
Sahihi Muslim 3753:'' Sisi tulikuwa pamoja na Mtume wa Allah, na Yeye Mtume wa Allah alikuwa na kiu na mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, Je, UNATAKA KUNYWA MVINYO? Mtume Muhammad akasema: NDIO. Basi yule Mtu alikwenda kuleta mvinyo. Mtume wa Allah akamwambia: Lete MVINYO ULIO MKALI ILI NINYWE; Basi Mtume wa Allah alipo kunywa ule MVINYO MKALI ALILEWA
Je, kula ulabu ni sifa ya kitume?
MTUME MUHAMMAD ALIKUWA AMEROGWA
Pia, kwa mujibu wa Sahih Bukhari juzuu ya 4, Kitabu cha 54, Hadithi namba 490 na Sahih Bukhari, juzuu ya 7, kitabu cha 71, hadithi namba 658; Muhammad alirogwa na akazurika na uchawi. Kisa cha mtume kurogwa na kuzurika na uchawi pia kinasimuliwa katika quran Tafsiri ya Sheikh Abdullah Saleh Al-Farsy ukurasa wa 977 na 978.
Je, kurogwa ni sifa ya utume?
MASWALI:
(a) Ikiwa uchawi ni ukafiri, kuna uhusiano gani kati ya Allah na ukafiri mpaka atelemshe uchawi?
(b)Mtume Muhammad alirogwa na wachawi wa kiislam au wachawi wengine?
(c) Mtume Muhammad alirogwa na uchawi ulioteremshwa na malaika wa Allah au uchawi mwingine?
(d) Mtume au nabii gani mwingine alirogwa na akaathirika na uchawi?
Kama Muhamamd alikuwa Mtume wa Mungu, mbona tabia zake si za kitume na hazifanani na mitume walio tangulia kbala yake?
Hakika huyu Muhammad hakuwa Mtume wa Mungu bali Allah ambaye ni Mpinga Mungu.
Karibu kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu,
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

UISLAM NI DINI YA MAKAFIRI

1. Kumbe Makafir ni Waislam
2. Kumbe Allah ni Kafir
3. Kumbe Muhammad ni Kafir

Ndugu msomaji,
Hakuna ubishi katika hili, kuwa Dini inayo thibitisha kuwa wao ni Makafiri ni ya Uislam.

Nini Maana ya Kafiri?
Neno Kafir limetoka katika neno "Kafara" likiwa lina maanisha kupinga Mungu, kuficha , kukataa au kufuru . Kwa hiyo, kaafir ni Mtu au Kiumbe au Roho au Malaika au miungu anaye kufuru, anakataa au anakanusha.

ALLAH KAANDIKWA KAFIR KATI YA MACHO YAKE
Hadithi ya Anas (r.a) amesema, Mtume (s.a.w) amesema, "Hakuna Mtume aliyetumwa, isipokuwa amewahadharisha watu wake na mwenye Jicho moja mrongo. Eleweni kuwa yeye ana jicho moja na hakika Bwana wenu hana Jicho moja kati ya Macho yake pameandikwa neno 'KAFIRI." (Bukhari, Hadithi Na. 245, Juzuu ya 9).
Teyari Waislam wanapata mshtuko baada ya kusoma kuwa, Kumbe Allah ana MHURI kati ya macho yake unao sema yeye ni KAFIR.

USHAHIDI WAKUPINGA MUNGU KATIKA UISLAM
Shahada: LA ILAHA ILLALLAH Muhammadur Rasulullah, Quran 3:18 na soma hapa pia (Sahih Al-Bukhari, Volume 4, Book 56, Number 725)

Hakuna Mungu ila Allah na Muhammad ni Mtume wa Allah. Hii ni Shahada wanayo sema Waislam au mtu anaye taka kuwa Muislam.
Hii Shahada katika Surat Ali Imran inasema kuwa Hakuna Mungu ila Allah. Huu ni mtego ambao Ibilisi anautumia kwa hwa Waislam na wanakanusha kuwepo na au uwepo wa Mungu. Zaidi ya hapo, Waislam wanakanusha na au ficha ukweli kuwa Yesu ni Mungu.

Hivyobasi, kufuatana na ushahid yakinifu hapo juu wa SHAHADA ya LA ILAHA ILLALLAH Muhammadur Rasulullah na maana ya neno kafiri, leo tumejifunza kuwa Allah wa Waislam na Mtume wake na Waislam wote wanapinga uwepo wa Mungu na kufanikiwa kuwa MAKAFIRI kutokana na maana ya KAFIR katika Uislam.

Ngoja niweke maana ya hiyo SHAHADA neno kwa neno:
Maneno hayo manne "lâ ilâha illâ allâh" yana maanisha hivi:
:
lâ = HAKUNA, no, not, none, neither
ilâha = MUNGU, a god, deity, object of worship
illâ = ISIPOKUWA but, except (illâ is a contraction of in-lâ, literally if not)
allâh = ALLAH, allâh
Kama tulivyo soma hapo juu maana ya hayo maneno Manne. Utangundua kuwa Neno ILAHA maana yake ni MUNGU na Neno ALLAH halina Tafsir na kubakia ALLAH (Thibitisha kupitia Al Tafsir Kitengo cha Tafsir cha Serikali ya Saudi Arabia/
http://www.altafsir.com/).
Huo ndio mtego wenyewe. Kumbuka Allah hana wa kufananishwa na au linganishwa. Hivyo Kumfananisha Allah na Mungu wa Buddah, au Mungu wa Rasta Fari au na Mungu wa Wabantu ni KUKUFUR. Allah yeye kasema hana wa kufananishwa wala linganishwa. Kumbe basi Allah sio Mungu.

Allah Anasema:
لَيْسَ كَمِثْلِهِ شَيْءٌ وَهُوَ السَّمِيعُ البَصِيرُ
"Hapana kitu kama mfano wake. Naye ni Mwenye kusikia Mwenye kuona."
Ash-Shuuraa – 11
Hivyo basi, Allah ni Kafir. Muhammad ni Kafir na Waislam wote ni Makafir maana wote wanapinga Uwepo wa Mungu kwa kusema Shahada.''

Tusome Biblia na tuone inasemaje kuhusu mtu anaye sema hakuna Mungu:
Biblia inasema: Zaburi 14: 1; Mpumbavu asema moyoni mwake hakuna Mungu wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo hakuna atendaye mema.
Jibu mmesha pata kuhusu mtu yeyote yule (na/au kiumbe chechote kile) anayesema hakuna Mungu.
Leo tumejifunza kutoka Uislam kuwa, MAKAFIR ni WAISLAM na sio Wakristo wanaokubali Mungu.
Mungu awabariki sana,
Karibu kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu,
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
Al Tafsir.com - Tafseer Holy Quran from all Tafseer Schools, Quran Translations, Quran...
Al Tafsir.com - Tafseer Holy Quran from all Tafseer Schools, Quran Translations, Quran Recitations, Quran Interpretation (Tafseer), Quran Syntax, Quran Asbab…
ALTAFSIR.COM|BY INTEGRATED TECHNOLOGY GROUP - ITG

ATHARI YA MKRISTO KUOANA NA MUISLAMU

Imeletwa kwenu na Abel Suleiman Shiriwa
Imekuwa ni jambo la kawaida kushuhudia Wakristo na waislamu wakiishi pamoja kama mke na mume, na wengi wao huona ni jambo sahihi, kwa sababu Mungu wetu ni mmoja, kwa hivyo hata kama ataolewa na muislamu, hakuna tatizo kwake, tena kama ataoneshwa mapenzi ya dhati kwa kipindi fulani, basi hapo atajiona kuwa amefika sehemu salama, na wengine hujitetea kupitia andiko ambalo Paulo alitoa ushahuri kuhusiana na mtu aaminie kuishi na mtu ambae hana imani kama yake:
1 Korintho 7:12 Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.
13 Na mwanamke, ambaye ana mume asiyeamini, na mume huyo anakubali kukaa naye, asimwache mumewe.
14 Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa katika
Andiko hili Watu wengi hulitumia vibaya, wakidhani kwamba, limewapa ruhusa ya Mkristo kuolewa na mtu ambae si Mkristo, Kwanza hapo naomba ifahamke kwamba, katika maelezo hayo ya PAULO, hakuna ndoa baina ya mtu asie amini (Asiye Mkristo) na Mkristo ambae ameamini, ndiyo maana Paulo akasema:
1 Korintho 7:15 Lakini yule asiyeamini akiondoka, na aondoke. Hapo huyo ndugu mume au ndugu mke hafungiki. Lakini Mungu ametuita katika amani.
Amesema huyo asie amini kama ataamua kundoka, basi ni ruksa kwake kuondoka, na hapo hapatakuwa na kizuizi cha Mkristo kuoa au kuolewa, ushauri huo hakumlenga Mkristo na Muislamu, bali ulilenga juu wa watu ambao Walipelekewa Injili huko Korintho, kuna baadhi ya watu ambao walilipokea neno, wakaamini, lakini wengine hawakukubali, na miongoni mwa wale ambao hawakukubali, walikuwa tayari wanaishi na kama mume na mke na wale ambao wamekwisha kuamini, kwa hivyo Paulo hakutaka kuwatenganisha, akawataka wale walioamini waendelee kuishi nao, kwa ushauri wake Paulo, na si agizo la Yesu, maana aliamini kwamba kupitia jambo hilo, huyo asie amini anaweza kuongoka kupitia mume au mke alie ongoka, ila kwa wale ambao walioana katika ndoa inayokubalika kwa Mungu, aliweka msimamo wa Yesu mwenyewe akasema:
1 Korintho 7:10 Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;
11 lakini, ikiwa ameachana naye, na akae asiolewe, au apatane na mumewe; tena mume asimwache mkewe.
Hapo aliposema kuwa waliokwisha kuoana, maana yake wale ambao ndoa zao zinatambulikana na Mungu, (Hawakuchukuana tu na kuanza kuishi pamoja) bali hao ni wale ambao tayari wameshaunganishwa na Mungu, kwa kufuata taratibu zote, akasema hakuna ruhusa ya kuachana, kama ilivyo kwa mtu asie amini na aaminie, hata kama mmefunga ndoa, ikatokea mmoja akakengeuka, hakuna ruhusa hiyo ya kuachana, mke akae bila kuolewa, na mume nae pia akae bila kuoa.
Mathayo 19:5 akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?
6 Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe.
Kwa mafundisho haya ya Yesu, ni dhahiri kuwa, hakuna idhini ya Mke kumwacha mumewe, wala mume kumwacha mkewe, kama ulikurupuka, ukaja kumuona mwanamke mwingine ukataka awe mkeo, ukataka umwache mkeo, basi huna idhini hiyo, wala huna ruhusa ya kumpa talaka na kuoa mwingine:
Lakini ukija upande wa pili wa Uislamu, kama kuna mwanamke ambae anaishi na muislamu, hata kama wamekaaa mika 10 akiwa peke yake, asidhani kwamba, ndo dini yao nayo pia ipo kama ya Kikristo kwamba mke mmoja na mume mmoja, yaani Double M, Hapana, yeye ameambiwa hivi:
Quran 4:3. Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao wapenda katika wanawake, (madam mtawafanyia Insafu) wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi (oeni) mmoja tu, au (wawekeni masuria)wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki. Kufanya hivi ndiko kutapelekea kutofanya jeuri.
Hapo anaambiwa kuwa, aanze kuoa wawili, au watatu, au wanne, kama anao uwezo wa kufanya uadilifu, wewe jiulize, moyo wa mtu unaweza kuwapenda watu wanne kwa upendo mmoja? Pia kama hawawezi kufanya uadilifu, basi waoe mke, mmoja, sasa wewe ambae umeishi nae kwa mika 10 au zaidi, au chini ya hapo, usidhani kwamba, dhamira yake ni hiyo ya kuishi na wewe tu la, bali anahitaji kuongeza mke wengine akupangeni kama mafungu ya nyaya, ila bado hela hazijamtembelea, siku zikimtembelea, basi ataoa, na pia ukiwa peke yako, usidhani upo peke yako, ameambiwa akiwa na mke moja, basi ajiweke masuria, (Vimada) ili kukufanya wewe usilete jeuri, kwa hivyo usiku ukimzingua, ameambiwa akupe kichapo
Quran 4:34. Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi, na kwa mali yao wanayo yatoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Mwenyezi Mungu ameamrisha wajilinde. Na wanawake ambao mnaona uasi wao kwenu, waonyeni, waacheni peke yao katika vitanda na wapigeni. Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye juu na Mkuu.
Mwanume akikuacha peke yako kitandani, unadhani anenda wapi? Ni kule kwa wale vimada wao, pia tambua kuwa anaishi na wewe kama adui yake, pia ujue kuwa, Mwanume wa kiislamu, unaweza kuwa umejifunika shuka moja nae, mnafanya mapenzi, anakuchekea, ukadhani anakupenda kwa dhati, tambua kuwa moyoni mwamke wewe ni adui yake, kama isemavyo Quran
Quran 64:14. Enyi mlio amini! Hakika miongoni mwa wake zenu na watoto wenu wamo maadui zenu. Basi tahadharini nao. Na mkisamehe, na mkapuuza, na mkaghufiria basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa maghfira, Mwenye kurehemu
Lakini sisi Wakristo, hatujaambiwa tuwafanye wanawake kuwa maadui zetu, bali tuwapende wake zetu
Waefeso 5:25 Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake;
Waefeso 5:28 Vivyo hivyo imewapasa waume nao kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe.
29 Maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake po pote; bali huulisha na kuutunza, kama Kristo naye anavyolitendea Kanisa.
Hayo ndiyo maagizo ya BIBLIA, tuwapende wake zetu kama miili yetu, maana mwili wako uwezi kuupiga, lakini kwa waislamu, kichao ruksa, jao wanajaribu kupoza kwa kusema eti umpige kwa kipande cha Kanga. Sisi tumeambiwa kuwa, Wanawake ndiyo walinzi wa wanaume,
Yeremia 31:22 Hata lini utatanga-tanga, Ee binti mwenye kuasi? Kwa maana Bwana ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume.
Hapo kuna hekima kubwa sana kwa mwanamke kumlinda mumewe, maana mwanamke ndiye mwenye kutupikia, kutufulia, kwa hivyo wanatulinda, hawatuwekei sumu, wala upupu kwenye nguo zetu, na kwa kutambua kuwa, hawa wanawake ni walinzi wetu, ndiyo maana tukaambiwa tuwapende, tuwajali, ili wafanye ulinzi kwetu, unadhani ukimpiga mwanamke na kumtesa, unamjengea mazingira gani? sasa kwa upande wa pili, mwanaume ndiye anaemlinda mwanamke,
Dada yangu ambae unaishi na Muislamu, usibweteke ukajisahau, ukadhani kwamba, eti ndiyo umefika, wewe ndiye mwanamke pekee wa maisha yake, anakupenda hivyo kwa sababu, bado upo mbichi, kifuani unalipa, (saa 6) wowo lipo, subiri siku umeanza kuchuja, akijisikia kuwa, hana haja nawe tena, ameona kifaa kipya, basi anayo ruhusa ya kukupa Talaka wewe ulie choka, na kuchukua kifaa kingine kipya,
Quran 4:20. Na mkitaka kubadilisha mke mahali pa mke, (yaani kumwoa mke mwengine na kumwacha huyo wa zamani) na hali mmoja wao (nae ndiye huyo nae mwacha) mmempa chungu ya mali, basi msichukue katika hayo kitu chochote. Je, mtachukua kwa dhulma na kosa lilio wazi?
Hapa katika Tafsiri ya Quran ya Sheikh Abdulla Saleh Farsy, imeweka wazi kuwa, muislamu anayo ruhusa ya kuoa mke mwingine mpya, yaani wewe ambae umeishi nae ka mika 10 unakuwa used, anahitaji kitu kipya (New) unakuwa kama Screpa, au gari linalowekwa juu ya mawe, anachukuliwa mwaanamke mwingine, suala kubwa la kujiuliza, ni nani alie kufanya uchakae kama siye yeye? Tena pengine amekuwa anakutumia kingono kwa sana kiasi kwamba anakuzalisha watoto kibao, matunzo unakosa, unachuja, sasa anaamua akuache, aoe mke mwingine mpya, safi, mwenye kupendeza, sasa wewe unae achwa, nani atakuoa tena wakati umeshakuwa Screpa? Hivi anaestahili kuwa wazamani ni nani kati ya mwanamke na mwanaume? Maana mwanaume umri wake huwa ni mkubwa, mzee wa miaka 50, anamwacha mkewe wa miaka 40, anaenda kuoa kifaa kipya cha miaka 18, eti yeye Mwanaume bado mpya, ila mkewe ameshakuwa wa zamani, Lakini kwa Yesu, mambo hao hakuna, maana hata Wayahudi, nao pia walitaka tabia hiyo ya kuwaacha acha ovyo wanawake, kama ilivyokuwa kwa Musa, iendelee, pale walipomkumbushia, wakimwambia:
Mathayo 19:7 Wakamwambia, Jinsi gani basi Musa aliamuru kumpa hati ya talaka, na kumwacha?
Ni kweli kwamba Musa alitoa ruhusa ya Talaka, kwa wanawake, kama tunavyosoma hapa:
Kumbu kumbu la Torati 24:1 Mtu akiisha kutwaa mke kwa kumwoa, asipopata kibali machoni mwake, kwa kuwa ameona neno ovu kwake, na amwandikie hati ya kumwacha, akamtilie mkononi mwake, na kumtoa katika nyumba yake.
2 Naye akiisha kuondoka katika nyumba yake, ana ruhusa kwenda akawa mke wa mtu mwingine.
Wayahudi hao ambao waliuliza swali walidhani kwamba Yesu aweza, kutoa idhini ya kumwacha mwanamke, walidhani ule ulikuwa ni mpango wa Mungu, na kumbe sivyo, kama ambavyo
Yesu aliwafafanulia kwa kusema:
Mathayo 19:8 Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.
9 Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
10 Wanafunzi wake wakamwambia, Mambo ya mtu na mkewe yakiwa hivyo, haifai kuoa.
11 Lakini yeye akawaambia, Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale waliojaliwa.
Yesu akaweka mkazo kuwa, mwanamke atakae achwa, haruhusiwi kuolewa, hata kama ndoa imevunjwa Mahakamani, mwanamke huyo ahana ruhusa ya kuolewa na mwanamume mwingine kama ilivyo kuwa kwa Musa, maana sheria hiyo iliwekwa sababu ya ugumu wa mioyo ya watu, kwa mwanamke yule kama ataaolewa, basi ajue maisha yake yote atakuwa ni mzinzi tu, na hata kama atakuwa anafanya Huduma ya Mungu, matendo yake mema kwa Mungu yatahesabaika kuwa, ni sawa na mavi tu, maana ni mzinzi, na mzinzi sehemu yake ni motoni, pia Yesu hakumpa ruhusa mwanaume amwachae mkewe aoe mke mwingine, kama ataoa, atakuwa anazini, hata kama atakuwa ni Mchungaji, huduma yake haitafaa mbele za Bwana, kwa sababu kwa Mungu huyo ni mzinzi, kwa hivyo hapo kuna tahadhari kwa wale ambao bado hawajaoa na kuolewa, na wanapenda kwenda mbinguni, wawachunguze kwanza hao ambao wanataka kuoana nao kam,a wana ndoa tayari.
Kwani Mwanamke wa Kikristo, yupo katika kifungo cha ndoa, mpaka mume amekufa, na mme pia nae yupo katika kifungo, mpaka mkewe amekufa, Maandiko yakamkataza Mwanamke wa Kikrito kuolewa na mwanaume pindi mumewe atakapofariki.
1 Korintho 7:39 Mwanamke hufungwa maadamu mumewe yu hai, lakini ikiwa mumewe amefariki, yu huru kuolewa na mtu ye yote amtakaye; katika Bwana tu.
Pengine unaweza kujiuliza ni kwa nini Ameambiwa aolewe mwanaume amatake katika BWANA tu? Ni kwa sababu kuna athari kama ataolewa na Muislamu, maana atamkengeusha moyo wake aache kumwabudu BWANA, na kuigeukia miungu mingine, kama waliyo onywa wana wa Israeli.
Kumbukumbu la Torati 7:2 wakati Bwana, Mungu wako, atakapowatoa mbele yako, nawe utawapiga; wakati huo ndipo uwaondoe kabisa; usifanye agano nao, wala kuwahurumia; wala usioane nao;
3 binti yako usimpe mwanawe mume, wala usimtwalie mwanao mume binti yake.
4 Kwa kuwa atamkengeusha mwanao mume asinifuate, ili wapate kuabudu miungu mingine; ndipo itakapowaka hasira ya Bwana juu yenu, naye atakuangamiza upesi.
Mataifa hayo ambayo Mungu aliwakataza wana wa israel kuoana nao, ni wale ambao walikuwa wakiabudu miungu mingine kwa hivyo Mungu alijua wazi kuwa kama atawaruhusu kuoana nao, watawakengeusha, na kuwafanya wakaiabudu miungu mingine, kwa hivyo akasema, usimpe binti yako aolewe na mtu ambae hamwambudu Mungu wa Israeli, wala mwanao mume usimtwalie binti kule, maana katika mapenzi anaweza kukolea, na ukashangaa tayari amesha iacha imani, kwa mzazi ambae atamruhusu mwanae aolewe na muislamu, basi ajue kuwa, damu ya mwanae ambae ataenda kusilimishwa na kwenda kuiabudu miungu mingine, Mungu atakuja kumdai mzazi huyo, ngoja nikupe mfano mmoja wa Mfalme Suleman, pamoja na hekima yake aliyokuwa nayo, kupitia wanawake wa kigeni ambao Mungu aliwazuia kuonanao, yeye alipowaoa wanamgeuza moyo wake:
1 Wafalme 11:1 Mfalme Sulemani akawapenda wanawake wengi wageni, pamoja na binti yake Farao, wanawake wa Wamoabi, na wa Waamoni, na wa Waedomi, na wa Wasidoni, na wa Wahiti,
2 na wa mataifa Bwana aliyowaambia wana wa Israeli, Msiingie kwao, wala wasiingie kwenu; kwa kuwa hakika wataigeuza mioyo yenu kuifuata miungu yao. Sulemani akaambatana nao kwa kuwapenda.
3 Akawa na wake mia saba binti za kifalme, na masuria mia tatu; nao wakeze wakamgeuza moyo.
4 Maana ikawa, Sulemani alipokuwa mzee, wake zake wakamgeuza moyo wake, afuate miungu mingine, wala moyo wake haukuwa mkamilifu kwa Bwana, Mungu wake, kama moyo wa Daudi baba yake.
5 Kwa kuwa Sulemani akamfuata Ashtorethi, mungu mke wa Wasidoni na Milkomu, chukizo la Waamoni.
6 Sulemani akafanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana, wala hakumfuata Bwana kwa utimilifu, kama Daudi baba yake.
Hiyo ndiyo athari ya Mkristo kuoana na muislamu Suleman yalimkuta, wanawake wa Kigeni ambao Mungu aliwazuia waoane nao, wao kwa shingo ngumu, alioana nao, kwa Hivyo Ukamilifu katika Kumwabudu Mungu, haukuwepo tena, kwa hivyo Mkristo usidanganyike kamba, eti Ukiolewa na muislamu, wewe ukabaki kuwa Mkristo wewe yeye akaendelea kuwa Muislamu, basi utakuwa salama, hapana, lazima vikwazo katika kumtumikia Mungu utavipata tu, hutamwabudu Mungu katika hali ya ukamilifu, huwezi kufanya maombi ya nguvu ambavyo Mumeo muislamu atayafurahia, lazima atainua vikwazo kwako, maana kuna nguvu ambazo unaziharibu:
kama sisi Wakristo tutapuuza agizo la Mungu angalia Mungu anavyosema, juu yetu sisi.
Yoshua 23:12 Lakini mkirudi nyuma kwa njia yo yote na kushikamana na mabaki ya mataifa, yaani, mataifa haya yaliyobaki kati yenu, na kuoana nao, na kuingia kwao, nao kuingia kwenu;
13 jueni hakika ya kuwa Bwana, Mungu wenu, hatawafukuza tena mataifa haya mbele ya macho yenu, bali watakuwa mtego kwenu na tanzi, na mjeledi mbavuni mwenu, na miiba machoni mwenu, hata mtakapoangamia na kutoka katika nchi hii njema, ambayo Bwana, Mungu wenu, amewapa ninyi.
Kwa hivyo usione waislamu wanavyowatesa Wakristo katika Nchi nyingi, na mnafanya maombi Ili Mungu alete amani, ana amani haiji, mkadhani kwamba, Mungu amewasahau, hapana Mungu ameamua kuachia adha hiyo, Wakristo wachinjwe, walipuliwe kwa Mabomu, makanisa yachomwe moto, maana hao ambao ametuzuia kuoana nao, tumeoana nao, kwa hivyo wamekuwa mitego kwetu, wamekuwa tanzi na Jeledi mbavuni mwetu, Mungu anatupiga kupitia wao, wamekuwa ni miiba machoni petu, hata hatuwezi kuutazama Wokovu wa BWANA,
Kwa hivyo dada zangu ambao mnapena kuuona ufalme wa Mungu, msizuzuke na mali ambazo waislamu wanazo, mkaamua kukimbilia huko, mjue kuwa adhabu ya Mungu ni kubwa sana na isiyo na kikomo, maana utaadhibiwa milele, Wanawake wa kiislamu, siyo rahisi kubadili dini ili waolewe, sasa iweje ninyi mjirahisi? Hata wanume nanyi, acheni kujirahisi, kusilimu kisa umuoe Mwanamke wa kiislamu, ambae anakukengeusha moyo wako, nanyi pia wazazi, msiwape ruhusa wana wenu kuoana na watu ambao si Wakristo, kwa sababu tu ya tamaa ya mali.
MWISHO: waislamu wana amini kwamba eti kuoa kwao wawake wengi ndo kuwafanya wawe wengi, wanadahani sisi Wakristo kuwekewa sheria ya kuoa mke mmoja, hatuwezi kuongezeka kama wao walivyo na wanawake wanne, wamesahau kuwa, Ng’ombe huzaa mtoto mmoja tu kwa mwaka, na Ng’ombe kila siku wanachinjwa, lakini hawaishi, Lakini Mbwa, anazaa mpaka watoto nane, na Mbwa hana machinjio, wala hana zizi, lakini Mbwa siyo wengi kama Ng’;ombe, kwa nini Ng’ombe wanaochinjwa kila siku na wanazaa mtoto mmoja, ni wengi kuliko Mbwa ambae anazaa watoto kibao na hachinjwi?
Hosea 4:10 Nao watakula, lakini hawatashiba; watafanya zinaa, lakini hawataongezeka; kwa sababu wameacha kumwangalia BWANA..
Kwa hivyo kuoa wanawake wengi, na kuzaa watoto wengi, hakumaanishi kwamba, eti wao watakuwa wengi, Mungu amesema, Waislamu watafanya zinaa sana lakini hawataongezeka kwa sababu wamemuacha BWANA. Kwa hivyo BWANA nae amewaacha, kwa hivyo hata kama kuna Manabii na watu ambao waliwahi kuoa wake wengi, Yesu ameshasema kuwa, ni ugumu wa mioyo yao, lakini si mpango wa Mungu, zama zile za Ujinga zimeshapita, kwa sasa hivi Mungu anatutaka tutubu
Matendo 17: 30 Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu.
31 Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa watu wote uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua katika wafu.
MUNGU AKUBARIKI WEWE AMBAE UTACHUKUA HATUA, NA KUYAONA MAISHA YA MBINGUNI NI BORA ZAIDI.
By permission
Max Shimba Ministries

Ancient Jewish Wedding Ceremony: “No man knows the day or hour, only the Father”

  The Ancient Jewish Marriage Rite: A Detailed Exposition of Betrothal, Preparation, and Consummation Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological ...

TRENDING NOW