Tuesday, March 14, 2017

YESU AMEKUBALI KUITWA MUNGU

Image may contain: text
Yohana 20:28
Tomaso akajibu, akamwambia, BWANA WANGU NA MUNGU WANGU!
Tomaso aliposema hivi, Bwana Yesu hakukanusha na kusema, “Mimi sio Mungu.” Badala yake: Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki. (Yohana 20:29).
Kama Thomaso alikuwa muongo, kwanini Yesu hakukataa kuitwa Mungu. Imani zote zinakiri kuwa Yesu hakufanya dhambi na hakuwa na dhambi.
Shalom
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

No comments:

The Meaning of John 17:3 in Christian Theology

The Meaning of John 17:3 in Christian Theology: A Response to Muslim Claims Regarding the Divinity of Jesus Christ By Dr. Maxwell Shimba ...

TRENDING NOW