Wednesday, March 29, 2017

MASHEHE NA USTAADH WASALI KANISA LA UFUFUO NA UZIMA

Image may contain: 1 person, standing
Naona Madhabu ya Ufufuo na Uzima leo imepokea Ustaadhi..😝😝😝. Sijui Shekhe?
Mambo yanazidi Kunoga!
JUMAPILI 26/03/2017
Jumapili ya leo Ufufuo na Uzima wamekuwa na ugeni wa kutembelewa na Mashehe kwa sababu Ufufuo na Uzima ni rafiki wa waislam. “Anasema Shekhe dini ya uislam haizuii mtu kuwa na rafiki asiye Muislam” ameendelea kusema Ugomvi wa kidini ni uchoyo, kila tunalofanya tufanye kwa kuhakikisha watu wanaishi kwa Amani na furaha. Pia amesema ifike mahali Serikaliyetu itumie watu kama Askofu Gwajima kuitangaza Tanzania na vivutio vilivyopo Tanzania na isiwe kuwasakama na kuwasumbua.
@Bishop
Mungu akiwaita watu kuwa makuhani ni kwa makusudi yake na kila kuhani anaitwa kwa saa yake na wakati wake, kila mtu ana wito wake.Image may contain: 2 people, people on stage and people standing

Image may contain: 3 people, people standing
Image may contain: 3 people, child

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW