Saturday, March 25, 2017

USIOGOPE KWA MAANA MIMI NI PAMOJA NAWE, ASEMA BWANA WA MAJESHI

Image may contain: 1 person, text


Isaya 41:10 usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu.
Kumbuka kuwa Mungu yu pamoja nawe na atakusaidia katika kila shida zako. Usikate tamaa na Mtegemee yeye.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo

No comments:

God

  Theology 101 When we attempt to conceive what God is like, we are immediately confronted with the limitation of human imagination, for ou...

TRENDING NOW