Sunday, March 19, 2017

YESU NI MLANGO

Image may contain: cloud, sky and text


Yohana 10:9 Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho.
Hakuna Njia nyingine zaidi ya Yesu. Ukitaka uhakikisho wa maisha baada ya kifo, basi ni lazima upitie MLANGO WA YESU.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

No comments:

The Two Spiritual Lineages in Biblical Theology

Title: The Two Spiritual Lineages in Biblical Theology: A Theological Critique of Islam’s Anthropological and Ethical Framework Abstract:...

TRENDING NOW