Monday, May 14, 2018

MGANGA WA KIENYEJI "MUISLAM" AKAMATWA AKIJARIBU KULOGA MKUTANO WA INJILI KASULU

Image may contain: 7 people, people smiling, people standing
Katika hali isiyo ya kawaida hapa mjini kasulu Mganga maarufu sana hapa anayejulikana kwa jina la Sheikh Abdalah "MUISLAM" amekamatwa na na nguvu za Mungu akiwa anajaribu kuloga katika mkutano mkubwa wa Injili uliofikia tamati yake siku ya leo hapa mjini Kasulu.
Sheikh Abdalah alijikuta akinasa katika anga za Mkutano ulikoandaliwa na Mwinjilist Jailos Maloda kutoka Morogoro.
Sheikh Abdalah alikuwa katika harakati za kutaka kutekeleza mpango wa kumshambulia mtumishi Jailos Maloda, mpango ambao kwa maelezo yake ni kwamba alichaguliwa na wenzie baaada ya kuonekana kwamba yeye ndiye angekuwa na nguvu ya kutosha kuweza kumkabili mtumishi huyu wa Mungu.
Badala yake alijikuta akijipeleka mwenyewe mbele ya Mtumishi wa Mungu na hatimaye kuongozwa sara ya toba na Mikoba yake kuteketezwa kwa moto ikiwa pamoja na Quran.
Pichani Sheikh Abdala (Mwenye shati ya Mistari ya kijani na mnyeupe) amekaa kwenye kiti pamoja na wake zake baada ya kujisalimisha na kuamua kumpa Yesu maisha.
HAKIKA YESU NI MUNGU MKUU.

Image may contain: one or more people and shoes

Image may contain: 6 people, people standing and crowd

Image may contain: one or more people

Saturday, May 12, 2018

ALLAH AMEKIRI KWA AYA KUWA YESU NI MWEZA WA YOTE NA ANAWEZA KUPITISHA NGAMIA KWENYE TUNDU LA SINDANO




Hebu tuanze kwa kusoma aya kutoka Quran.
Suratul Al Araaf 40. Hakika wale wanao zikanusha Ishara zetu na wakazifanyia kiburi hawatafunguliwa milango ya mbingu, wala hawataingia Peponi mpaka apite ngamia katika tundu ya sindano. Na hivi ndivyo tunavyo walipa wakosefu......Allah Amesema!!!.
Ndugu zanguni, Allah anasema hakika wanao pinga ishara zake kamwe hawataingia peponi, mpaka siku ambayo Ngamia ataweza kupita katika tudu la sindano. Allah anawahakikishia wabaya wake kuwa, kamwe hawata iona pepo yake maana Ngamia kamwe hato weza kupita katika tundu la sindano. Je, haya yanawezekana kwa Yesu Mungu Mkuu. Tito 2:13?
Je, Yesu anaweza kupitisha Ngamia kwenye tundu la sindano ambalo Allah ameshindwa vibaya sana katika Suratul Al Araaf 40?
Yesu Mungu Mkuu anakujibu kama ifuatavyo?
Marko 10:25 Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.
Luka 18:25 Kwa maana ni vyepesi ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.
Mathayo 19:24 Nawaambia tena, Ni rahisi zaidi ngamia kupenya tundu ya sindano, kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.
Baada ya kumsoma Yesu anaye pitisha Ngamia kwenye tundu la Sindano, na Allah anaye shindwa kupitisha Ngamia kwenye tundu la Sindano, wewe utafuata ishara za nani?
Marko 10 :27, Yesu akawakazi macho akasema, « kwa
wanadamu haiwezekani, bali kwa Mungu sivyo, maana yote yanawezekana kwa Mungu ». hakuna jambo liwalo lote lile ambalo Mungu linamshinda. Hakuna.
Yesu amekujibu kuwa, Allah sio Mungu bali ni kama mwanadamu ndio maana anashindwa kupitisha Ngamia kwenye tundu la sindano.
Waefeso 3 :20, Neno la Mungu linasema, Basi, atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu.
Yesu Mungu Mkuu anao uwezo wa kufanya mambo makubwa na ya ajabu kuliko yale tuliyowahi kuyaona, kuyaomba au kuyawaza. Mungu aweza kufanya mambo makubwa sana na ya ajabu LAKINI Allah yeye hana uwezo huo kama tulivyo soma kweye Suratul Al Araaf 40.
Shalom,
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

MUHAMMAD HAKUWAI PASUA MWEZI





ALITUMIA KUPATWA KWA MWEZI KAMA MUUJIZA KWA MANGUMBARU WA KIISLAM


Ungana nami moja kwa moja na tuone huo uongo upo wapi katika dini hii ya Jibril ibn Allah.

MADAI YA MUHAMMAD KUHUSU KUPASUKA KWA MWEZI

"Hitaji la wapagani kwa Nabii kuwa awaonyeshe miujiza. Nabii aliwaonyesha kupasuka kwa mwezi. ‘Abdullah bin Massud alisimulia: Wakati wa maisha ya Nabii mwezi ulipasuliwa vipande viwili na Nabii alisema kuhusiana na hilo, ‘Shuhudia (jambo hili).’" Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 56 sura ya 26 na juzuu ya 4 kitabu cha 56 sura ya 26 na.830, uk.533.

Tambua kuwa kupasuliwa vipande viwili kunamaanisha kuwa mwezi uligawanywa nusu kwa nusu, na kitenzi kilichotumika hapa ni cha wakati uliopita. Hatuna kumbukumbu za watu wengine wowote ulimwenguni, ikiwa ni pamoja na jirani zao wa Misri, Syria, au Uajemi ambao waliuona mwezi uliopasuliwa vipande viwili. Kurani na hadithi hazisemi ni jinsi gani mwezi uliweza kurudi kuwa kitu kimoja tena.

Imaam Ahmad amerekodi kuwa Jubayr bin Mutw'im alisema: "Mwezi ulipasuka vipande viwili wakati wa Mjumbe wa Allah na sehemu ya mwezi ulikuwa juu ya mlima na sehemu nyingine kwenye mlima mwingine. Wakasema (makafiri) "Muhammad ametufanyia uchawi". Kisha wakasema: "Angeliweza kututeka kwa uchawi asingeliweza kufanya kwa watu wote" [Imaam Ahmad]

Imaam Ahmad aliye rekodi kuwa Jubayr Mutwila aliye sema eti Mwezi ulipasuliwa vipande viwili na sehemu ya Mwezi ukawekwa kwenye mlima.

SASA TUANZE UTAFITI WETU WA KISAYANSI NA MAHESABU.

MWEZI UNA KIPENYO CHA MAILI 1079

Hii inamaanisha ukubwa wa Mwezi ni kiasi cha Maili za Mraba Milioni 14.6 sawa na Kilometa za Mraba Milioni 38. Ukilinganisha na bara zima la Asia lenye ukubwa wa Maili za Mraba 17.2 utaona Bara zima la Asia ni kubwa kidoogo ya mwezi.

SAUDI ARABIA INA UKUBWA WA (LAKI 8.3 MAILI ZA MRABA)

Sasa nusu ya mwezi inaukubwa wa MAILI ZA MRABA MILIONI 7.3 ambayo ni zaidi ya mara 14 ya nchi ya Saudi Arabia. LAKINI MUHAMMAD ANADAI NA KUWAAMINISHA WAISLAM ETI YEYE ALIWEKA KIPANDE HICHO CHA MAILI ZA MRABA MILIONI 7.3 KWENYE MLIMA ULIO NDANI YA NCHI AMBAYO NI NDOGO KWA MARA 14.

Hivi kwanini Waislam hawajui Hisabati na au kwanini wanapenda kujifanya malofa na wapumbavu wa akili wakati hili dai la kupasua Mwezi linaweza kuthibitishwa kwa hesabu za darasa la Nne?

HEBU TUSOME DAI HILI KWA HADITHI NYINGINE

"Anas alisimulia kwamba watu wa Maka walimwomba Mtume wa Allah awaonyeshe muujiza, na kwa ajili hiyo aliwaonyesha mwezi unaopasuka." Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 56 sura ya 26 na.831, uk.533.

SASA, Muhammad aliwezaje kuwaonyesha Mwezi ambao kama ungeweka juu ya Mlima kama anavyo dai, kipande kimoja tu ni nusu ya bara zima la Asia, na Uarabuni yote ingefunikwa na kipande hicho kimoja tu?

Sasa Muhammad alisimama wapi wakati anaonyesha hivyo vipande viwili vya Mwezi vyenye ukubwa wa nusu ya bara zima la Asia?

Tunaposeam kuwa Marehemu Muhammad alikuwa mtume BANDIA huwa hakumsingizii zaidi ya kumpa sifa yake thabiti ya UBANDIA.

NINI KILITOKEA? KUPATWA KWA MWEZI Kupatwa kwa Mwezi (en:lunar eclipse) ni hali ya Mwezi kutoonekana kisehemu au kabisa kwa muda mfupi hadi kuonekana tena kama mwezi mpevu. Badiliko hili linaweza kudumu kati ya saa moja hadi masaa matatu na nusu. Kupatwa kwa Mwezi kunasababishwa na kivuli cha Dunia kinachomwaga giza juu ya Mwezi kabisa au kisehemu. Hali hii inatokea wakati Mwezi - Dunia na Jua zinakaa katika mstari mmoja, ikiwa Dunia iko katikati ya Jua na Mwezi. Hapo kivuli cha Dunia inagusa Mwezi. Inatokea tu wakati wa mwezi mpevu. Hali hii ni kinyume cha kupatwa kwa Jua ambako Jua, Mwezi na Dunia ziko pia kwa mstari mmoja lakini hapo Mwezi uko kati ya Jua na Dunia na hapo ni Mwezi unaosababisha giza kenye uso wa ardhi pale ambako kivuli chake kinapita juu ya Dunia. Mara nyingi kupatwa kwa Mwezi si rahisi kutambua kwa sababu si kupatwa kikamilifu. Hapo Mwezi unapita katika nusukivuli cha Dunia tu. Nusukivuli ni hali ambako sehemu ya nuru inazuiliwa lakini sehemu nyingine bado inafika. Tofauti ya uangavu si kali sana. MUHAMMAD AKATUMIA KUPATWA KWA MWEZI NA KUDAI KUWA AMEUPASUA MWEZI.

Shalom,

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

Friday, May 11, 2018

ALLAH HAKUMUUMBA IBILISI BALI YEYE NI IBILISI


Tuanze na madai ya Allah ya kumhukumu Ibilisi kuhusu kumsujudia Adam.
Surat Al Baqara 34. Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Ibilis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri.
Allah anadai kuwa Ibilisi alipo ambiwa amsujudie Adam alikataa. Je, Ibilisi alikosea kukataa kumsujudia Adam? Je, Ibilisi ni Malaika kutokana na Quran?
Kumbuka Allah kawaamrisha Malaika wamsujudie Adam.
Surat Al Araaf 11. Na hakika tulikuumbeni, kisha tukakutieni sura, kisha tukawaambia Malaika: Msujudieni Adam. Basi wakasujudu isipo kuwa Iblisi, hakuwa miongoni mwa walio sujudu.
12. Mwenyezi Mungu akasema: Nini kilicho kuzuia kumsujudia nilipo kuamrisha? Akasema: Mimi ni bora kuliko yeye. Umeniumba kwa moto, naye umemuumba kwa udongo.
Ibilisi anamjibu Allah kuwa mimi umeniumba kwa moto, ndio maana sikumsujudia Adam. Je, Malaika waliumbwa kwa moto kama Ibilisi?
Uislam unadai kuwa: Malaika waliumbwa kwa mwanga.
Nabii wa Allah alisema: Malaika waliumbwa kutoka mwanga, kama ambavyo majini yaliumbwa kutoka moto usio na moshi na binadamu aliumbwa kama mlivyo fundishwa. Sahih Muslim
MASWALI:
1. Kwanini Allah alimhukumu Ibilisi huku akijua kuwa alio waamrisha wamsujudie Adam ni Malaika?
2. Je, Ibilisi sasa ni Malaika na aliumbwa kwa mwanga?
3. Kama Allah ni Mungu, kwanini asahau kuwa Ibilisi sio Malaika?
HAKIKA ALLAH SIO MUNGU
Imesimuliwa na Anas Ibn Malik, "Nilimsikia Nabii wa Allah akisema: Allah ni Shaitwan aliye katika umbo la Malaika na alinifunulia aya zake na kitabu chake ni Quran, na mimi ni mtume wake. ( Umdah Al - Ahkaam : Volume 3, Page 460 )
رواه أنس ابن مالك : " سمعت من رسول الله صلى الله عليه وسلم أنه قال " كان الله هو شيطان في شكل ملاك كشف لي الآيات وكتابه القرآن وأنا نبي له . (عمدة الأحكام المجلد 3، الصفحة 460)
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kriso Mungu Mkuu. Tito 2:13

KWANINI MAGAIDI WENGI NI WAISLAM?

Image may contain: one or more people and people standing

Ugaidi ni mfumo wa kulenga mabadiliko ya kidini kwa kutisha watu kwa njia ya vurugu au mauaji. Matendo ya kigaidi yanatisha kwa sababu watu wanajeruhiwa au kuuawa. Watendaji wa ugaidi kwa kawaida ni vikundi au watu wasio na cheo au nafasi rasmi.
Allah ndio amewatuma waislam wawe magaidi:
Nimeendelea kufuatilia kwa makini matukio mengi katika nchi za kiarabu/kiislam: Libya, Misri, Afghanistan, Iraq, Sudan, na jana huko France. Ni mauaji, mauaji, mauaji. Damu, damu, damu. Hofu, hofu, hofu, na ukatili, ukatili, ukatili.
Yote haya yanafanywa kwa kisingizio cha kutetea uislam au kufuata mafundusho ya mtume. etc.
Quran 2:191. Na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. Wala msipigane nao kwenye Msikiti Mtakatifu mpaka wakupigeni huko. Wakikupigeni huko basi nanyi pia wapigeni. Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri.
193. Na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina, na Dini iwe ya Mwenyezi Mungu tu. Na kama wakiacha basi usiweko uadui ila kwa wenye kudhulumu.
Quran 47:4 Basi mnapo wakuta walio kufuru wapigeni shingoni mwao, mpaka mkiwadhoofisha wafungeni pingu. Tena waachilieni kwa hisani au wajikomboe, mpaka vita vipoe. Ndio hivyo. Na lau angeli taka Mwenyezi Mungu angeli washinda mwenyewe, lakini haya ni kwa sababu akutieni mitihani nyinyi kwa nyinyi. Na walio uliwa katika njia ya Mwenyezi Mungu hatazipoteza a'mali zao.
Quran 4:74 Basi nawapigane katika Njia ya Mwenyezi Mungu wale ambao wanao uza uhai wa dunia kwa Akhera. Na anaye pigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu kisha akauliwa au akashinda basi tutakuja mpa ujira mkubwa
Leo magaidi wanaweza kupata silaha mbalimbali pia: “Twaishi katika enzi iliyo na silaha nyingi hatari zinazoweza kuangamiza watu wengi sana: silaha za nyuklia, kemikali, na zenye viini.” Waislamu wenye siasa kali wanaotaka kushtua ulimwengu wanatumia silaha hatari zaidi za kisasa.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

Thursday, May 10, 2018

TANZANIA YAFUNGUA UBALOZI ISRAEL

Image may contain: 3 people, people smiling
Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa Dr. Augustine Mahiga akikata utepe wa kufungua Ubalozi wa Tanzania Tel Aviv, Israel. Pamoja naye ni Waziri wa Sheria wa Israel Ms Ayelet Shaked and Tanzania’s ambassador wa Israel, Mr Job Masima.
GOD BLESS ISRAEL
GOD BLESS TANZANIA

Image may contain: 3 people, people smiling

Image may contain: stripes

ALLAH ALICHOKA KUUMBA

Image may contain: night and text
Hivi tokea lini Mungu anachoka kuumba? Allah anadai kuwa yeye alichoka kuumba mara ya kwanza.
Surat Al Qaaf 15. Kwani tulichoka kwa kuumba mara ya kwanza. Bali wao wamo katika shaka tu juu ya umbo jipya. http://www.theholyquran.org/…
Iweje Allah achoke kuumba wakati yeye ni Mwenyezi Mungu?
Zaidi ya hapo, Allah anadai kuwa alichoka kuumba mara ya kwanza, kwahiyo Allah alifanya uumbaji mara mbili. Je, mara ya kwanza kabla ya kuchoka aliumba nini?
Kama aya inamaanisha Allah alichoka kumuumba Adam mara ya kwanza, ni nani hao wamo katika shaka juu ya umbo jipya? Je, umbo kabla ya hapo lilikuwa na tatizo gani hadi likamchosha Allah kuumba na kumfanya aumbe mara ya pili?
Huu ni msiba mkubwa sana kwa ALLAH anaye CHOKA.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

This Abu Dhabi mosque is now called the ‘Mary, Mother of Jesus’ mosque 🕌

No automatic alt text available.
In a move to promote religious tolerance, a mosque in Abu Dhabi has just been renamed to ‘Mariam Umm Eisa’ mosque, which translates from Arabic to English as ‘Mary Mother of Jesus’.
You’ll find the mosque in Al Mushrif in Abu Dhabi and the new name was decided by Abu Dhabi’s Crown Prince H.H. Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan “to promote the social connections between the followers of different religions” and highlight Christianity and Islam’s similarities according to the UAE’s official news agency.
Just next door to the renamed mosque you’ll find St Andrew’s Church, an Anglican parish.
Remember, ‘Mary, Mother of Jesus’ is actually mentioned and highly revered in the Quran.
“There are people from over 200 nationalities currently living in the UAE, who enjoy security, peace and co-existence, as our holy religion urges us to follow justice, respect others and co-operate in giving with other people,” explained the Chairman of the General Authority of Islamic Affairs, Dr Mohammed Matar Al Kaabi.
UAE CHRISTIAN LEADERS PRAISE MOVE
“The UAE sets a real example of tolerance, which transcends ideas and slogans to become a practical reality and reaching the stage of social harmony,” said Reverand Bishoy Fakhri, pastor of the Cathedral Church in Abu Dhabi.
“Using the name of ‘Mother Mary’ on this mosque is a gesture of love and peace that we hope will be followed around the world,” added Reverend Ibrhaim Farouk from the Christian Coptic Orthodox Church of Egypt in Abu Dhabi.
The UAE now has a Tolerance Charter and a Minister of Tolerance, and as H.H. Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum, ruler of Dubai, explained in an open letter recently, when the Arab world was “tolerant and accepting of others it led the world”. He writes that, from the civilizations of Damascus to Andalusia, Arab people “provided beacons of science, knowledge, and civilization, because humane values were the basis of our relationships with all civilizations, cultures, and religions.”
And last year, Sheikh Mohammed bin Zayed went to meet the Pope to discuss religious tolerance in the region:

ALLAH HAKUMUUMBA IBILISI BALI YEYE NI IBILISI

Image result for ALLAH SI MUNGU
Tuanze na madai ya Allah ya kumhukumu Ibilisi kuhusu kumsujudia Adam.

Surat Al Baqara 34. Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Ibilis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri.

Allah anadai kuwa Ibilisi alipo ambiwa amsujudie Adam alikataa. Je, Ibilisi alikosea kukataa kumsujudia Adam? Je, Ibilisi ni Malaika kutokana na Quran?

Kumbua Allah kawaamrisha Malaika wamsujudie Adam.

Surat Al Araaf 11. Na hakika tulikuumbeni, kisha tukakutieni sura, kisha tukawaambia Malaika: Msujudieni Adam. Basi wakasujudu isipo kuwa Iblisi, hakuwa miongoni mwa walio sujudu.
12. Mwenyezi Mungu akasema: Nini kilicho kuzuia kumsujudia nilipo kuamrisha? Akasema: Mimi ni bora kuliko yeye. Umeniumba kwa moto, naye umemuumba kwa udongo.


Ibilisi anamjibu Allah kuwa mimi umeniumba kwa moto, ndio maana sikumsujudia Adam. Je, Malaika waliumbwa kwa moto kama Ibilisi?

Uislam unadai kuwa: Malaika waliumbwa kwa mwanga.

Nabii wa Allah alisema: Malaika waliumbwa kutoka mwanga, kama ambavyo majini yaliumbwa kutoka moto usio na moshi na binadamu aliumbwa kama mlivyo fundishwa. Sahih Muslim

MASWALI:

1. Kwanini Allah alimhukumu Ibilisi huku akijua kuwa alio waamrisha wamsujudie Adam ni Malaika?

2. Je, Ibilisi sasa ni Malaika na aliumbwa kwa mwanga?

3. Kama Allah ni Mungu, kwanini asahau kuwa Ibilisi sio Malaika?

HAKIKA ALLAH SIO MUNGU

Shalom

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kriso Mungu Mkuu. Tito 2:13

Tuesday, May 8, 2018

Ulafi ni nini?

JE, ULAFI NI DHAMBI?
Ulafi ni nini?
Ulafi (pamoja na ulevi) ni hamu isiyoratibiwa ya kula (na kunywa). Tabia hiyo ina madhara makubwa kwa afya ya binadamu. Inakadiriwa kuwa siku hizi mtu 1 kati ya 3 anakula kuliko mwili wake unavyohitaji, na hivyo anasababisha maradhi mbalimbali yampate.
Upande wa maadili unahesabiwa kuwa kimojawapo kati ya vilema vikuu, ambavyo ni mizizi ya dhambi nyingine.
Hamu ya kimwili ni mfano wa uwezo wetu wa kujidhibiti wenyewe. Kama sisi hatuwezi kuidhibiti tabia yetu ya kula, hivyo basi hatuwezi kudhibiti tabia a wengine, kama vile wale wa akili ya (tamaa, ona shauku, hasira) na hawawezi kuzuia midomo yao na uvumi au ugomvi. Hatupaswi kuruhusu hamu zetu kututawala, bali tunafaa kuwa udhibiti kwa hamu zetu. (Angalia Kumbukumbu 21:20, Mithali 23:2, 2 Petro 1:5-7, 2 Timotheo 3:1-9, na 2 Wakorintho 10:5). Uwezo wa kusema "hapana" na kitu chochote zaidi ya ziada ni udhibiti wa binafsi -na moja ya matunda ya Roho ambayo ni kawaida kwa waumini wote (Wagalatia 5:22).
Mithali 23:20-21 anatuonya, "Usiwe miongoni mwao wanywao mvinyo; miongoni mwao walao nyama kwa pupa. Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, na utepetevu humvika mtu." Mithali 28:7 inasema, "Yeye ashikaye sheria ni mwana mwenye hekima; bali aliye rafiki wa walafi humbaibisha babaye. "Mithali 23:2 anatangaza," Jitie kisu kooni kam ukiwa mlafi. "
Shalom,
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13
Image may contain: 1 person, sitting and foodImage may contain: food and indoor
Image may contain: fruit, table, food and indoor

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...

TRENDING NOW