Sunday, February 21, 2016

JE, HIZI SIFA ZA AJABU ZA MUHAMMAD NI ZA KITUME?

1. Muhammad alizini na kijakazi
2. Muhammad alikuwa na changu doa
3. Muhammad alinyonya ulimi wa mwenzake
4. Muhammad alikuwa Mlevi
5. Muhammad alikuwa amerogwa
Wengi wenu labda hamkuwa mnazifahamu hizi siri ambazo Waislam wanazificha kila siku. Naam, naziita siri kwasababu huwa hawasemi huu ukweli wa Muhammad Mtume wa Allah.
MTUME MUHAMMAD ALIFUMANIWA NA KIJAKAZI WA MKEWE
Siku moja mtume (s.a.w) Alikuwa Nyumbani kwa Mkewe Hafsa bint Umar, Hafsa akaenda kwa Baba yake kumjulia hali, Mtume (s.a.w) alimwita Mjakazi wake bibi Mariya Alqbitiyya, akawa nae Chumbani, Aliporudi Hafsa Akasema Maneno makali kwa Mtume juu ya tendo hilo (s.a.w) Mtume akasema nakuhakikishia Kuwa: Kuanzia Leo Sitamwingilia tena, mjakazi wako.
(Tafsir Ibn Kathir J. 6 Uk. 367)
Je, huku kufumaniwa ndio sifa za kitume?
MTUME MUHAMAMD ALIKUWA NA CHANGU DOA
Sunan Abu-Dawud, Kitabu 38, Namba 4458: Amehadithia Ali ibn AbuTalib: "Mtumwa wa Kisichana ambaye alikuwa mali ya nyumba ya Mtume wa Allah aligawa Uroda kwa Rafiki ya Muhammad. Basi Nabii wa Allah akasema kwa Ali: Nenda na ukampe adhabu Muasherati wangu kwa kufanya Ngono bila ya ruhusa yangu. Ali akaharakisha kwenda alipo yule Mtumwa wa Kisichana wa Muhammad na kuona damu ilikuwa inatiririka kutoka kwake, na bila kuacha. Hivyo Muhammad alikwenda kwake na akasema: Mwache damu iendelee kutiririka mpaka itakopo simama; kisha mpe adhabu kwa mujibu wa dhambi yake".
Je, kuwa na chagu doa ni sifa ya kiutume?
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN
Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.
Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah? Eti akikula denda na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam. Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake
Je, Muhammad kunyonya ulimi watu wa jinsia yake, ni sifa ya kitume?
MTUME MUHAMMAD ALIKUWA MLEVI
Sahihi Muslim 3753:'' Sisi tulikuwa pamoja na Mtume wa Allah, na Yeye Mtume wa Allah alikuwa na kiu na mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, Je, UNATAKA KUNYWA MVINYO? Mtume Muhammad akasema: NDIO. Basi yule Mtu alikwenda kuleta mvinyo. Mtume wa Allah akamwambia: Lete MVINYO ULIO MKALI ILI NINYWE; Basi Mtume wa Allah alipo kunywa ule MVINYO MKALI ALILEWA
Je, kula ulabu ni sifa ya kitume?
MTUME MUHAMMAD ALIKUWA AMEROGWA
Pia, kwa mujibu wa Sahih Bukhari juzuu ya 4, Kitabu cha 54, Hadithi namba 490 na Sahih Bukhari, juzuu ya 7, kitabu cha 71, hadithi namba 658; Muhammad alirogwa na akazurika na uchawi. Kisa cha mtume kurogwa na kuzurika na uchawi pia kinasimuliwa katika quran Tafsiri ya Sheikh Abdullah Saleh Al-Farsy ukurasa wa 977 na 978.
Je, kurogwa ni sifa ya utume?
MASWALI:
(a) Ikiwa uchawi ni ukafiri, kuna uhusiano gani kati ya Allah na ukafiri mpaka atelemshe uchawi?
(b)Mtume Muhammad alirogwa na wachawi wa kiislam au wachawi wengine?
(c) Mtume Muhammad alirogwa na uchawi ulioteremshwa na malaika wa Allah au uchawi mwingine?
(d) Mtume au nabii gani mwingine alirogwa na akaathirika na uchawi?
Kama Muhamamd alikuwa Mtume wa Mungu, mbona tabia zake si za kitume na hazifanani na mitume walio tangulia kbala yake?
Hakika huyu Muhammad hakuwa Mtume wa Mungu bali Allah ambaye ni Mpinga Mungu.
Karibu kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu,
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

UISLAM NI DINI YA MAKAFIRI

1. Kumbe Makafir ni Waislam
2. Kumbe Allah ni Kafir
3. Kumbe Muhammad ni Kafir

Ndugu msomaji,
Hakuna ubishi katika hili, kuwa Dini inayo thibitisha kuwa wao ni Makafiri ni ya Uislam.

Nini Maana ya Kafiri?
Neno Kafir limetoka katika neno "Kafara" likiwa lina maanisha kupinga Mungu, kuficha , kukataa au kufuru . Kwa hiyo, kaafir ni Mtu au Kiumbe au Roho au Malaika au miungu anaye kufuru, anakataa au anakanusha.

ALLAH KAANDIKWA KAFIR KATI YA MACHO YAKE
Hadithi ya Anas (r.a) amesema, Mtume (s.a.w) amesema, "Hakuna Mtume aliyetumwa, isipokuwa amewahadharisha watu wake na mwenye Jicho moja mrongo. Eleweni kuwa yeye ana jicho moja na hakika Bwana wenu hana Jicho moja kati ya Macho yake pameandikwa neno 'KAFIRI." (Bukhari, Hadithi Na. 245, Juzuu ya 9).
Teyari Waislam wanapata mshtuko baada ya kusoma kuwa, Kumbe Allah ana MHURI kati ya macho yake unao sema yeye ni KAFIR.

USHAHIDI WAKUPINGA MUNGU KATIKA UISLAM
Shahada: LA ILAHA ILLALLAH Muhammadur Rasulullah, Quran 3:18 na soma hapa pia (Sahih Al-Bukhari, Volume 4, Book 56, Number 725)

Hakuna Mungu ila Allah na Muhammad ni Mtume wa Allah. Hii ni Shahada wanayo sema Waislam au mtu anaye taka kuwa Muislam.
Hii Shahada katika Surat Ali Imran inasema kuwa Hakuna Mungu ila Allah. Huu ni mtego ambao Ibilisi anautumia kwa hwa Waislam na wanakanusha kuwepo na au uwepo wa Mungu. Zaidi ya hapo, Waislam wanakanusha na au ficha ukweli kuwa Yesu ni Mungu.

Hivyobasi, kufuatana na ushahid yakinifu hapo juu wa SHAHADA ya LA ILAHA ILLALLAH Muhammadur Rasulullah na maana ya neno kafiri, leo tumejifunza kuwa Allah wa Waislam na Mtume wake na Waislam wote wanapinga uwepo wa Mungu na kufanikiwa kuwa MAKAFIRI kutokana na maana ya KAFIR katika Uislam.

Ngoja niweke maana ya hiyo SHAHADA neno kwa neno:
Maneno hayo manne "lâ ilâha illâ allâh" yana maanisha hivi:
:
lâ = HAKUNA, no, not, none, neither
ilâha = MUNGU, a god, deity, object of worship
illâ = ISIPOKUWA but, except (illâ is a contraction of in-lâ, literally if not)
allâh = ALLAH, allâh
Kama tulivyo soma hapo juu maana ya hayo maneno Manne. Utangundua kuwa Neno ILAHA maana yake ni MUNGU na Neno ALLAH halina Tafsir na kubakia ALLAH (Thibitisha kupitia Al Tafsir Kitengo cha Tafsir cha Serikali ya Saudi Arabia/
http://www.altafsir.com/).
Huo ndio mtego wenyewe. Kumbuka Allah hana wa kufananishwa na au linganishwa. Hivyo Kumfananisha Allah na Mungu wa Buddah, au Mungu wa Rasta Fari au na Mungu wa Wabantu ni KUKUFUR. Allah yeye kasema hana wa kufananishwa wala linganishwa. Kumbe basi Allah sio Mungu.

Allah Anasema:
لَيْسَ كَمِثْلِهِ شَيْءٌ وَهُوَ السَّمِيعُ البَصِيرُ
"Hapana kitu kama mfano wake. Naye ni Mwenye kusikia Mwenye kuona."
Ash-Shuuraa – 11
Hivyo basi, Allah ni Kafir. Muhammad ni Kafir na Waislam wote ni Makafir maana wote wanapinga Uwepo wa Mungu kwa kusema Shahada.''

Tusome Biblia na tuone inasemaje kuhusu mtu anaye sema hakuna Mungu:
Biblia inasema: Zaburi 14: 1; Mpumbavu asema moyoni mwake hakuna Mungu wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo hakuna atendaye mema.
Jibu mmesha pata kuhusu mtu yeyote yule (na/au kiumbe chechote kile) anayesema hakuna Mungu.
Leo tumejifunza kutoka Uislam kuwa, MAKAFIR ni WAISLAM na sio Wakristo wanaokubali Mungu.
Mungu awabariki sana,
Karibu kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu,
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
Al Tafsir.com - Tafseer Holy Quran from all Tafseer Schools, Quran Translations, Quran...
Al Tafsir.com - Tafseer Holy Quran from all Tafseer Schools, Quran Translations, Quran Recitations, Quran Interpretation (Tafseer), Quran Syntax, Quran Asbab…
ALTAFSIR.COM|BY INTEGRATED TECHNOLOGY GROUP - ITG

ATHARI YA MKRISTO KUOANA NA MUISLAMU

Imeletwa kwenu na Abel Suleiman Shiriwa
Imekuwa ni jambo la kawaida kushuhudia Wakristo na waislamu wakiishi pamoja kama mke na mume, na wengi wao huona ni jambo sahihi, kwa sababu Mungu wetu ni mmoja, kwa hivyo hata kama ataolewa na muislamu, hakuna tatizo kwake, tena kama ataoneshwa mapenzi ya dhati kwa kipindi fulani, basi hapo atajiona kuwa amefika sehemu salama, na wengine hujitetea kupitia andiko ambalo Paulo alitoa ushahuri kuhusiana na mtu aaminie kuishi na mtu ambae hana imani kama yake:
1 Korintho 7:12 Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.
13 Na mwanamke, ambaye ana mume asiyeamini, na mume huyo anakubali kukaa naye, asimwache mumewe.
14 Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa katika
Andiko hili Watu wengi hulitumia vibaya, wakidhani kwamba, limewapa ruhusa ya Mkristo kuolewa na mtu ambae si Mkristo, Kwanza hapo naomba ifahamke kwamba, katika maelezo hayo ya PAULO, hakuna ndoa baina ya mtu asie amini (Asiye Mkristo) na Mkristo ambae ameamini, ndiyo maana Paulo akasema:
1 Korintho 7:15 Lakini yule asiyeamini akiondoka, na aondoke. Hapo huyo ndugu mume au ndugu mke hafungiki. Lakini Mungu ametuita katika amani.
Amesema huyo asie amini kama ataamua kundoka, basi ni ruksa kwake kuondoka, na hapo hapatakuwa na kizuizi cha Mkristo kuoa au kuolewa, ushauri huo hakumlenga Mkristo na Muislamu, bali ulilenga juu wa watu ambao Walipelekewa Injili huko Korintho, kuna baadhi ya watu ambao walilipokea neno, wakaamini, lakini wengine hawakukubali, na miongoni mwa wale ambao hawakukubali, walikuwa tayari wanaishi na kama mume na mke na wale ambao wamekwisha kuamini, kwa hivyo Paulo hakutaka kuwatenganisha, akawataka wale walioamini waendelee kuishi nao, kwa ushauri wake Paulo, na si agizo la Yesu, maana aliamini kwamba kupitia jambo hilo, huyo asie amini anaweza kuongoka kupitia mume au mke alie ongoka, ila kwa wale ambao walioana katika ndoa inayokubalika kwa Mungu, aliweka msimamo wa Yesu mwenyewe akasema:
1 Korintho 7:10 Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;
11 lakini, ikiwa ameachana naye, na akae asiolewe, au apatane na mumewe; tena mume asimwache mkewe.
Hapo aliposema kuwa waliokwisha kuoana, maana yake wale ambao ndoa zao zinatambulikana na Mungu, (Hawakuchukuana tu na kuanza kuishi pamoja) bali hao ni wale ambao tayari wameshaunganishwa na Mungu, kwa kufuata taratibu zote, akasema hakuna ruhusa ya kuachana, kama ilivyo kwa mtu asie amini na aaminie, hata kama mmefunga ndoa, ikatokea mmoja akakengeuka, hakuna ruhusa hiyo ya kuachana, mke akae bila kuolewa, na mume nae pia akae bila kuoa.
Mathayo 19:5 akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?
6 Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe.
Kwa mafundisho haya ya Yesu, ni dhahiri kuwa, hakuna idhini ya Mke kumwacha mumewe, wala mume kumwacha mkewe, kama ulikurupuka, ukaja kumuona mwanamke mwingine ukataka awe mkeo, ukataka umwache mkeo, basi huna idhini hiyo, wala huna ruhusa ya kumpa talaka na kuoa mwingine:
Lakini ukija upande wa pili wa Uislamu, kama kuna mwanamke ambae anaishi na muislamu, hata kama wamekaaa mika 10 akiwa peke yake, asidhani kwamba, ndo dini yao nayo pia ipo kama ya Kikristo kwamba mke mmoja na mume mmoja, yaani Double M, Hapana, yeye ameambiwa hivi:
Quran 4:3. Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao wapenda katika wanawake, (madam mtawafanyia Insafu) wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi (oeni) mmoja tu, au (wawekeni masuria)wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki. Kufanya hivi ndiko kutapelekea kutofanya jeuri.
Hapo anaambiwa kuwa, aanze kuoa wawili, au watatu, au wanne, kama anao uwezo wa kufanya uadilifu, wewe jiulize, moyo wa mtu unaweza kuwapenda watu wanne kwa upendo mmoja? Pia kama hawawezi kufanya uadilifu, basi waoe mke, mmoja, sasa wewe ambae umeishi nae kwa mika 10 au zaidi, au chini ya hapo, usidhani kwamba, dhamira yake ni hiyo ya kuishi na wewe tu la, bali anahitaji kuongeza mke wengine akupangeni kama mafungu ya nyaya, ila bado hela hazijamtembelea, siku zikimtembelea, basi ataoa, na pia ukiwa peke yako, usidhani upo peke yako, ameambiwa akiwa na mke moja, basi ajiweke masuria, (Vimada) ili kukufanya wewe usilete jeuri, kwa hivyo usiku ukimzingua, ameambiwa akupe kichapo
Quran 4:34. Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi, na kwa mali yao wanayo yatoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Mwenyezi Mungu ameamrisha wajilinde. Na wanawake ambao mnaona uasi wao kwenu, waonyeni, waacheni peke yao katika vitanda na wapigeni. Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye juu na Mkuu.
Mwanume akikuacha peke yako kitandani, unadhani anenda wapi? Ni kule kwa wale vimada wao, pia tambua kuwa anaishi na wewe kama adui yake, pia ujue kuwa, Mwanume wa kiislamu, unaweza kuwa umejifunika shuka moja nae, mnafanya mapenzi, anakuchekea, ukadhani anakupenda kwa dhati, tambua kuwa moyoni mwamke wewe ni adui yake, kama isemavyo Quran
Quran 64:14. Enyi mlio amini! Hakika miongoni mwa wake zenu na watoto wenu wamo maadui zenu. Basi tahadharini nao. Na mkisamehe, na mkapuuza, na mkaghufiria basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa maghfira, Mwenye kurehemu
Lakini sisi Wakristo, hatujaambiwa tuwafanye wanawake kuwa maadui zetu, bali tuwapende wake zetu
Waefeso 5:25 Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake;
Waefeso 5:28 Vivyo hivyo imewapasa waume nao kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe.
29 Maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake po pote; bali huulisha na kuutunza, kama Kristo naye anavyolitendea Kanisa.
Hayo ndiyo maagizo ya BIBLIA, tuwapende wake zetu kama miili yetu, maana mwili wako uwezi kuupiga, lakini kwa waislamu, kichao ruksa, jao wanajaribu kupoza kwa kusema eti umpige kwa kipande cha Kanga. Sisi tumeambiwa kuwa, Wanawake ndiyo walinzi wa wanaume,
Yeremia 31:22 Hata lini utatanga-tanga, Ee binti mwenye kuasi? Kwa maana Bwana ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume.
Hapo kuna hekima kubwa sana kwa mwanamke kumlinda mumewe, maana mwanamke ndiye mwenye kutupikia, kutufulia, kwa hivyo wanatulinda, hawatuwekei sumu, wala upupu kwenye nguo zetu, na kwa kutambua kuwa, hawa wanawake ni walinzi wetu, ndiyo maana tukaambiwa tuwapende, tuwajali, ili wafanye ulinzi kwetu, unadhani ukimpiga mwanamke na kumtesa, unamjengea mazingira gani? sasa kwa upande wa pili, mwanaume ndiye anaemlinda mwanamke,
Dada yangu ambae unaishi na Muislamu, usibweteke ukajisahau, ukadhani kwamba, eti ndiyo umefika, wewe ndiye mwanamke pekee wa maisha yake, anakupenda hivyo kwa sababu, bado upo mbichi, kifuani unalipa, (saa 6) wowo lipo, subiri siku umeanza kuchuja, akijisikia kuwa, hana haja nawe tena, ameona kifaa kipya, basi anayo ruhusa ya kukupa Talaka wewe ulie choka, na kuchukua kifaa kingine kipya,
Quran 4:20. Na mkitaka kubadilisha mke mahali pa mke, (yaani kumwoa mke mwengine na kumwacha huyo wa zamani) na hali mmoja wao (nae ndiye huyo nae mwacha) mmempa chungu ya mali, basi msichukue katika hayo kitu chochote. Je, mtachukua kwa dhulma na kosa lilio wazi?
Hapa katika Tafsiri ya Quran ya Sheikh Abdulla Saleh Farsy, imeweka wazi kuwa, muislamu anayo ruhusa ya kuoa mke mwingine mpya, yaani wewe ambae umeishi nae ka mika 10 unakuwa used, anahitaji kitu kipya (New) unakuwa kama Screpa, au gari linalowekwa juu ya mawe, anachukuliwa mwaanamke mwingine, suala kubwa la kujiuliza, ni nani alie kufanya uchakae kama siye yeye? Tena pengine amekuwa anakutumia kingono kwa sana kiasi kwamba anakuzalisha watoto kibao, matunzo unakosa, unachuja, sasa anaamua akuache, aoe mke mwingine mpya, safi, mwenye kupendeza, sasa wewe unae achwa, nani atakuoa tena wakati umeshakuwa Screpa? Hivi anaestahili kuwa wazamani ni nani kati ya mwanamke na mwanaume? Maana mwanaume umri wake huwa ni mkubwa, mzee wa miaka 50, anamwacha mkewe wa miaka 40, anaenda kuoa kifaa kipya cha miaka 18, eti yeye Mwanaume bado mpya, ila mkewe ameshakuwa wa zamani, Lakini kwa Yesu, mambo hao hakuna, maana hata Wayahudi, nao pia walitaka tabia hiyo ya kuwaacha acha ovyo wanawake, kama ilivyokuwa kwa Musa, iendelee, pale walipomkumbushia, wakimwambia:
Mathayo 19:7 Wakamwambia, Jinsi gani basi Musa aliamuru kumpa hati ya talaka, na kumwacha?
Ni kweli kwamba Musa alitoa ruhusa ya Talaka, kwa wanawake, kama tunavyosoma hapa:
Kumbu kumbu la Torati 24:1 Mtu akiisha kutwaa mke kwa kumwoa, asipopata kibali machoni mwake, kwa kuwa ameona neno ovu kwake, na amwandikie hati ya kumwacha, akamtilie mkononi mwake, na kumtoa katika nyumba yake.
2 Naye akiisha kuondoka katika nyumba yake, ana ruhusa kwenda akawa mke wa mtu mwingine.
Wayahudi hao ambao waliuliza swali walidhani kwamba Yesu aweza, kutoa idhini ya kumwacha mwanamke, walidhani ule ulikuwa ni mpango wa Mungu, na kumbe sivyo, kama ambavyo
Yesu aliwafafanulia kwa kusema:
Mathayo 19:8 Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.
9 Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
10 Wanafunzi wake wakamwambia, Mambo ya mtu na mkewe yakiwa hivyo, haifai kuoa.
11 Lakini yeye akawaambia, Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale waliojaliwa.
Yesu akaweka mkazo kuwa, mwanamke atakae achwa, haruhusiwi kuolewa, hata kama ndoa imevunjwa Mahakamani, mwanamke huyo ahana ruhusa ya kuolewa na mwanamume mwingine kama ilivyo kuwa kwa Musa, maana sheria hiyo iliwekwa sababu ya ugumu wa mioyo ya watu, kwa mwanamke yule kama ataaolewa, basi ajue maisha yake yote atakuwa ni mzinzi tu, na hata kama atakuwa anafanya Huduma ya Mungu, matendo yake mema kwa Mungu yatahesabaika kuwa, ni sawa na mavi tu, maana ni mzinzi, na mzinzi sehemu yake ni motoni, pia Yesu hakumpa ruhusa mwanaume amwachae mkewe aoe mke mwingine, kama ataoa, atakuwa anazini, hata kama atakuwa ni Mchungaji, huduma yake haitafaa mbele za Bwana, kwa sababu kwa Mungu huyo ni mzinzi, kwa hivyo hapo kuna tahadhari kwa wale ambao bado hawajaoa na kuolewa, na wanapenda kwenda mbinguni, wawachunguze kwanza hao ambao wanataka kuoana nao kam,a wana ndoa tayari.
Kwani Mwanamke wa Kikristo, yupo katika kifungo cha ndoa, mpaka mume amekufa, na mme pia nae yupo katika kifungo, mpaka mkewe amekufa, Maandiko yakamkataza Mwanamke wa Kikrito kuolewa na mwanaume pindi mumewe atakapofariki.
1 Korintho 7:39 Mwanamke hufungwa maadamu mumewe yu hai, lakini ikiwa mumewe amefariki, yu huru kuolewa na mtu ye yote amtakaye; katika Bwana tu.
Pengine unaweza kujiuliza ni kwa nini Ameambiwa aolewe mwanaume amatake katika BWANA tu? Ni kwa sababu kuna athari kama ataolewa na Muislamu, maana atamkengeusha moyo wake aache kumwabudu BWANA, na kuigeukia miungu mingine, kama waliyo onywa wana wa Israeli.
Kumbukumbu la Torati 7:2 wakati Bwana, Mungu wako, atakapowatoa mbele yako, nawe utawapiga; wakati huo ndipo uwaondoe kabisa; usifanye agano nao, wala kuwahurumia; wala usioane nao;
3 binti yako usimpe mwanawe mume, wala usimtwalie mwanao mume binti yake.
4 Kwa kuwa atamkengeusha mwanao mume asinifuate, ili wapate kuabudu miungu mingine; ndipo itakapowaka hasira ya Bwana juu yenu, naye atakuangamiza upesi.
Mataifa hayo ambayo Mungu aliwakataza wana wa israel kuoana nao, ni wale ambao walikuwa wakiabudu miungu mingine kwa hivyo Mungu alijua wazi kuwa kama atawaruhusu kuoana nao, watawakengeusha, na kuwafanya wakaiabudu miungu mingine, kwa hivyo akasema, usimpe binti yako aolewe na mtu ambae hamwambudu Mungu wa Israeli, wala mwanao mume usimtwalie binti kule, maana katika mapenzi anaweza kukolea, na ukashangaa tayari amesha iacha imani, kwa mzazi ambae atamruhusu mwanae aolewe na muislamu, basi ajue kuwa, damu ya mwanae ambae ataenda kusilimishwa na kwenda kuiabudu miungu mingine, Mungu atakuja kumdai mzazi huyo, ngoja nikupe mfano mmoja wa Mfalme Suleman, pamoja na hekima yake aliyokuwa nayo, kupitia wanawake wa kigeni ambao Mungu aliwazuia kuonanao, yeye alipowaoa wanamgeuza moyo wake:
1 Wafalme 11:1 Mfalme Sulemani akawapenda wanawake wengi wageni, pamoja na binti yake Farao, wanawake wa Wamoabi, na wa Waamoni, na wa Waedomi, na wa Wasidoni, na wa Wahiti,
2 na wa mataifa Bwana aliyowaambia wana wa Israeli, Msiingie kwao, wala wasiingie kwenu; kwa kuwa hakika wataigeuza mioyo yenu kuifuata miungu yao. Sulemani akaambatana nao kwa kuwapenda.
3 Akawa na wake mia saba binti za kifalme, na masuria mia tatu; nao wakeze wakamgeuza moyo.
4 Maana ikawa, Sulemani alipokuwa mzee, wake zake wakamgeuza moyo wake, afuate miungu mingine, wala moyo wake haukuwa mkamilifu kwa Bwana, Mungu wake, kama moyo wa Daudi baba yake.
5 Kwa kuwa Sulemani akamfuata Ashtorethi, mungu mke wa Wasidoni na Milkomu, chukizo la Waamoni.
6 Sulemani akafanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana, wala hakumfuata Bwana kwa utimilifu, kama Daudi baba yake.
Hiyo ndiyo athari ya Mkristo kuoana na muislamu Suleman yalimkuta, wanawake wa Kigeni ambao Mungu aliwazuia waoane nao, wao kwa shingo ngumu, alioana nao, kwa Hivyo Ukamilifu katika Kumwabudu Mungu, haukuwepo tena, kwa hivyo Mkristo usidanganyike kamba, eti Ukiolewa na muislamu, wewe ukabaki kuwa Mkristo wewe yeye akaendelea kuwa Muislamu, basi utakuwa salama, hapana, lazima vikwazo katika kumtumikia Mungu utavipata tu, hutamwabudu Mungu katika hali ya ukamilifu, huwezi kufanya maombi ya nguvu ambavyo Mumeo muislamu atayafurahia, lazima atainua vikwazo kwako, maana kuna nguvu ambazo unaziharibu:
kama sisi Wakristo tutapuuza agizo la Mungu angalia Mungu anavyosema, juu yetu sisi.
Yoshua 23:12 Lakini mkirudi nyuma kwa njia yo yote na kushikamana na mabaki ya mataifa, yaani, mataifa haya yaliyobaki kati yenu, na kuoana nao, na kuingia kwao, nao kuingia kwenu;
13 jueni hakika ya kuwa Bwana, Mungu wenu, hatawafukuza tena mataifa haya mbele ya macho yenu, bali watakuwa mtego kwenu na tanzi, na mjeledi mbavuni mwenu, na miiba machoni mwenu, hata mtakapoangamia na kutoka katika nchi hii njema, ambayo Bwana, Mungu wenu, amewapa ninyi.
Kwa hivyo usione waislamu wanavyowatesa Wakristo katika Nchi nyingi, na mnafanya maombi Ili Mungu alete amani, ana amani haiji, mkadhani kwamba, Mungu amewasahau, hapana Mungu ameamua kuachia adha hiyo, Wakristo wachinjwe, walipuliwe kwa Mabomu, makanisa yachomwe moto, maana hao ambao ametuzuia kuoana nao, tumeoana nao, kwa hivyo wamekuwa mitego kwetu, wamekuwa tanzi na Jeledi mbavuni mwetu, Mungu anatupiga kupitia wao, wamekuwa ni miiba machoni petu, hata hatuwezi kuutazama Wokovu wa BWANA,
Kwa hivyo dada zangu ambao mnapena kuuona ufalme wa Mungu, msizuzuke na mali ambazo waislamu wanazo, mkaamua kukimbilia huko, mjue kuwa adhabu ya Mungu ni kubwa sana na isiyo na kikomo, maana utaadhibiwa milele, Wanawake wa kiislamu, siyo rahisi kubadili dini ili waolewe, sasa iweje ninyi mjirahisi? Hata wanume nanyi, acheni kujirahisi, kusilimu kisa umuoe Mwanamke wa kiislamu, ambae anakukengeusha moyo wako, nanyi pia wazazi, msiwape ruhusa wana wenu kuoana na watu ambao si Wakristo, kwa sababu tu ya tamaa ya mali.
MWISHO: waislamu wana amini kwamba eti kuoa kwao wawake wengi ndo kuwafanya wawe wengi, wanadahani sisi Wakristo kuwekewa sheria ya kuoa mke mmoja, hatuwezi kuongezeka kama wao walivyo na wanawake wanne, wamesahau kuwa, Ng’ombe huzaa mtoto mmoja tu kwa mwaka, na Ng’ombe kila siku wanachinjwa, lakini hawaishi, Lakini Mbwa, anazaa mpaka watoto nane, na Mbwa hana machinjio, wala hana zizi, lakini Mbwa siyo wengi kama Ng’;ombe, kwa nini Ng’ombe wanaochinjwa kila siku na wanazaa mtoto mmoja, ni wengi kuliko Mbwa ambae anazaa watoto kibao na hachinjwi?
Hosea 4:10 Nao watakula, lakini hawatashiba; watafanya zinaa, lakini hawataongezeka; kwa sababu wameacha kumwangalia BWANA..
Kwa hivyo kuoa wanawake wengi, na kuzaa watoto wengi, hakumaanishi kwamba, eti wao watakuwa wengi, Mungu amesema, Waislamu watafanya zinaa sana lakini hawataongezeka kwa sababu wamemuacha BWANA. Kwa hivyo BWANA nae amewaacha, kwa hivyo hata kama kuna Manabii na watu ambao waliwahi kuoa wake wengi, Yesu ameshasema kuwa, ni ugumu wa mioyo yao, lakini si mpango wa Mungu, zama zile za Ujinga zimeshapita, kwa sasa hivi Mungu anatutaka tutubu
Matendo 17: 30 Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu.
31 Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa watu wote uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua katika wafu.
MUNGU AKUBARIKI WEWE AMBAE UTACHUKUA HATUA, NA KUYAONA MAISHA YA MBINGUNI NI BORA ZAIDI.
By permission
Max Shimba Ministries

MUHAMMAD AKIRI KUCHEZEWA NA SHETANI

1. Mtume Muhammad asema, Yesu hakuwai chezewa na Shetani.
2. Muhammad akiri kuwa, Waislam wote wanachezewa na kupulizwa matakoni na Shetani.
3. Muhammad akiri kuwa Uislam ni Bandia.
Hebu tuanze kwa ushahidi kuhusu Yesu ambaye hakuchezewa na Shetani.
MUHAMMAD AKIRI KUWA YESU HAKUCHEZEWA NA SHETANI
Hadith ya Bhukari Mwaminifu 4:506 kama ilivyo letwa kwenu na Abu Huraira:
Mtume Muhammad alisema, Binadamu yeyote yule anapo zaliwa, Shetani humgusa sehemu zote mbili za mwili wake kwa vidole viwili, ISIPO KUWA Yesu Mwana wa Mariamu ambaye Shetani alishindwa kumgusa na wala kumsogolea.
HADITHI nyinge ya Mkweli Mwaminifu Bhukar 4: 642, kama ilivyo letwa kwenu na Said bin Al-Musaiyab:
MUHAMMAD AKIRI KUCHEZEWA NA SHETANI
Abu Huraira alisema, "nilimsikia Nabii wa Allah akisema, Hakuna kiumbe ambaye hakuguswa na Shetani, ndio maana mtoto hulia kwa sauti kubwa wakati wa kuzaliwa kwasababu Shetani anakuwa amemgusa, ISIPOKUWA Mariyam na Mwanae Yesu, wao hawakuguswa na Shetani. Kisha Abu Huraira akasema : " Na najikinga na Wewe kwa ajili yake na kwa ajili ya watoto wake kutoka kiwa Shetani" ( 3.36 )
Ndugu zanguni, Muhammad leo amekiri kuwa, YESU hakuwai kuguswa na Shetani lakini yeye na Waislam wote wameguswa na kuchezewa na Shetani.
SHETANI ANAWAPULIZA WAISLAM MSIKITINI
Kasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)
Muhammad anasema: Shetani anaingia msikitni na kuwachezea Waislam kama ushahidi unavyo sema hapo juu.
Kwanini mfuate dini ambayo inaongozwa na MASHETANI Msikitini?
Kwanini Shetani ana mamlaka ya kuwapuliza Waislam matako yao tena wakiwa Msikitini?
Karibuni kwa Yesu ambaye hakuwai guswa na Shetani kama alivyo kiri Muhammad.
Mungu awabariki sana,
Max Shimba
For Max Shimba Ministries Org,

KWANINI ALLAH NA MUHAMMAD WANALAZIMISHA WATU WAJIUNGE NA UISLAM?

KUMBE UISLAM SIO DINI YA AMANI
Uislam unafundisha nini kuhusu kulazimishana katika dini?
Ndugu msomaji,
Waislam wameembiwa wapigane na Makafiri au wawauwe au wakubali kujiunga na dini ya Muhammad. Uislam hauruhusu waumini wa imani zingine au dini zingine waabudu kwa uhuru. Ndio maana kwenye nchi za Kirabu kama Uarabuni kwenye Makkah, huko hakuna kanisa hata moja. Allah hapendi uhuru wa kuabudu.
Surat Tawba 29. Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii
Surat Al Anfaal 38. Waambie wale walio kufuru: Wakikoma watasamehewa yaliyo kwisha pita. Na wakiyarudia basi imekwisha pita mifano ya wa zamani.
39. Na piganeni nao mpaka isiwepo fitna na mateso, na Dini yote iwe kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Lakini wakiacha, basi hakika Mwenyezi Mungu anayaona wanayo yatenda.
Surat Tawba 5. Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia. Lakini wakitubu, wakashika Sala, na wakatoa Zaka, basi waachilieni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.
Surat Al Baqaara 193. Na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina, na Dini iwe ya Mwenyezi Mungu tu. Na kama wakiacha basi usiweko uadui ila kwa wenye kudhulumu
Surat Al Imran 84. Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.
Juhudi za Muhammad za kuutanganza Uislam bila ya chuki ziligonga mwamba. Kwa miaka 13 Muhamamd alikuwa na watu 100 tu ambao wengi wao walikuwa ni ndugu zake na jamaa zake. Baada ya kushindwa vibaya sana kuutangaza Uislam kwa kutumia amani, Muhammad akabadilisha mbinu ya kuutangaza Uislam na kuteremsha hizi aya hapo juu za kulazimisha watu wajiunge na dini yake, au lasivyo watakiona cha mtema kuni, kama sio kuuliwa kabisa. Aliwaambia wafuasi wake kuwa Allah amemuamrisha kuwalazima watu wajiunge katika dini yake ya Uislam.
Katika miaka yake ya mwishoni. kabla ya kifo chake, Muhammad hakujali tena kwamba watu wanajiunga au, la, bali alikuwa analazimisha kila mtu ajiunge na Uislam kwa kutishia kifo. Hii ni pamoja na adui yake mkubwa Abu Sufyan na mke wake Hind. Kutokana na wana historia wa Kiislam, Abu Sufyan alikwenda kwa Muhammad kutaka wawe na amani baada ya chuki kubwa ya Muhammad, lakini Muhammad alimlazimisha kujiunga na Uislam, la sivyo alimwambia atamuua. Maneno halisi ambayo Muhammad alimwambia ni haya "Nyenyekea na shahadia kuwa hakuna Mungu ila Allah na Muhammad ni Mtume wake au ukikataa utakatwa kichwa chako" Soma Ushahdi katika Ibn Ishaq/Hisham 814. Hivyo basi Abu Sufyan akakubali.
Mji mzima wa Mekkah ulisaliti amri, pale Muhammad alipo uvamia akiwa na kundi lake. Wengi walikataa lakini walilazimishwa kuingia Uislam na walio kataa walikatwa kichwa na Muhammad mwenyewe.
Wengine walifukuzwa kutoka Mekka baada ya hija ya mwisho Soma Quran 9:5. Wakristo na Wayahudi walio kuwa Urabuni wakati huo, nao walipatwa na hii shida/balaa ya Muhammad kulazimisha kujiunga na Uislam au unauwawa. Wengi walipewa chaguo moja wajiunge na Uislam au wafukuzwe kutoka kwenye ardhi zao. SOMA Sahihi Muslim 19:4366.
Kabla hajafa, Muhammad alituma majeshi yake kwenda kuwalazima Wapagani wa Kiarabu kujiunga nae, kabila la al Harith. Aliwaambia wamepewa chaguo moja tu kujiunga nae au atawauwa wote kwa upanga. Lakini hilo kabila la kipagani liliogopa na kiunga nae. Baadae Muhammad akawalaani Wakristo wote na Wayahudi. SOMA Sahihi Bukhari 8:427.
Kutoka na al Shafi : "The Ordinances of the Quran", Muhammad alilazimisha watu wajiunge nae au aliwauwa watu walio mkataa. Soma Bukhari 53:386.
Vinyo hivyo, Abu Kabkr, aliye chukua baada ya Muhammad, alifanya Jihad mbaya zaidi katika nchi za jirani kwa watu walio ukataa Uislam. Katika Barua iliyo tumwa kwa Persians, Abu Bakr alisema kuwa "Silimuni na muwe waislam hapo mtakuwa huru na kama mkikataa basi eleweni kuwa nimekuja kwenu na Jeshi la Kiislam ambalo linapenda kuuwa watu, kama jinsi ninyi mnavyo penda maisha/uhai"
Hizi sifa za Muhammad sasa zinaonekana kwa akina Boko Haram, Al Qaeda, Al Shabab. Ushahid wa huu utamaduni vile vile upo kwa ISIS ambao wameuwa mamilioni ya watu huko Syria. Hata kule Afrika katika nchi ya Naijeria, Boko Haram wamekuwa mstari wa mbele kutekeleza amri hii ya Muhammad ya kuuwa Wakristo. Waislam wao wanaamini kuwa kufanya hivi ni kutekeleza matakwa ya Allah na watapewa Akhera kwa kulazimisha watu wajiunge na Uislam. Bukharu 52: 254.
Muhammad vile vile alilazimisha Wayahudi walipe JIZYA. Eti, kwasababu wamekataa kujiunga na dini yake. Hii ilikuwa ni mbinu ya kuwaumiza na kuwatesa Wayahudi, ili wajiunge na Uislam dini ya Muhammad. Bukhari na Ahmed (5114 au 4869, inategemea na tafsir)
Kitu kimoja inakubidi uelewe ni kuwa, katika Uislam, matendo ni zaidi ya kuamini katika Allah. Hata hivi leo, ukienda kwenye nchi zenye Waislam wengi, huwa hawapendi uwepo wa imani au dini nyingine. Mfano Saudi Arabia, kule Zanzibar, Somalia, nk.
Mwishoe, mtoto wa Abu Sufyani, Muawiyah, alifanikiwa kuuteka na kumshinda mtoto wa kufikia wa Muhammad, Ali. Vilevile alimlisha sumu Hassan, mmoja wa wajukuu walio pendwa na Muhammad. Mjukuu wa Abu Sufyan aitwaye Yazid, akawa Caliph na akawa mkuu wa mjukuu wa Muhammad, Hussein.
Huu ndi Uislam na jinsi unavyo lazimisha watu wajiunge nao, tofauti na Ukristo ambao wao hawalazimishi, bali wafundisha kuhusu Yesu. Katika Ukristo hakuna kulazimishana kama kwenye Uislam wa Muhammad.
1. Je, Mungu gani huyu anaye tumia Mapanga kulazimisha watu kujiunga nae?
2. Je, Mungu gani huyo anaye uwa watu na kudai kuwa hiyo ndia njia ya kwenda Akhera?
3. Kwanini katika Biblia hakuna kulazimishana?
4. Kwanini hakuna Mitume katika Ukristo ambao wanatumia Mapanga na Visu kulazimisha watu wajiunge na Ukristo kama ilivyo kwenye Uislam?
5. Kwanini kwenye Ukristo Mungu wake hana chuki kubwa kama Allah wa Uislam?
Leo tumejifunza kuwa katika Uislam kuna kulazimishana tofauti na ilivyo kwenye Ukristo. Zaidi ya hapo, Allah sio Jehova Mungu wa kwenye Biblia, maada matendo yao hayafanani kabisa. Hivyo, si kosa kusema kuwa Adam, Ibrahim, Daudi, Yesu na Mitume wote wa kwenye Biblia hawakuwa Waislam na wala hawakumuabudu Allah.
Mungu awabariki sana.
Max Shimba
For Max Shimba Ministries Org.
Such are the perils of forcing others to say that you are a prophet when they do not believe it to be true.

ALLAH, MUHAMMAD, NA QURAN NI WAPINGA KRISTO (SEHEMU YA PILI)


1. KUMBE UISLAM NI 666
2. KUMBE UISLAM NI MPINGA KRISTO
Ndugu msomaji,
Kristo, Mwana wa Mungu, alipokuwa duniani, alikuwa na maadui wengi. Ijapokuwa sasa hawezi kufikiwa na wanadamu, bado ana wapinzani leo. Ebu angalia baadhi ya wapinzani hao.
MAANA YA MPINGA KRISTO:
Neno la asili la Kiyunani la "anaye mpinga Kristo" laweza kuwa na maana mbili. Laweza kumaanisha 'aliye kinyume na Kristo', kwa maana ya mtu au mamlaka ipingayo kazi ya Kristo. Au kwa matumizi mengine, neno hilo laweza kumaanisha 'badala ya Kristo', likimaanisha mtu au mamlaka ichukuayo 'mahali pa Kristo', au ni 'Kristo bandia'.
Mtume Yohana alisema: “Ni nani aliye mwongo ikiwa si yeye ambaye hukana kwamba Yesu ndiye Kristo? Huyu ndiye mpinga-Kristo, yeye ambaye hukana Baba na Mwana.” (1 Yohana 2:22) Waasi-imani na viongozi wa ibada bandia kama Uislam hupotosha mafundisho ya Yesu yaliyo wazi kuwa uwongo wa kidini unaotatanisha. Watu hao hukataa ukweli wa Biblia nao hueneza uwongo wakitumia jina la Allah na la Kristo. Wao hukana uhusiano wa kweli uliopo kati ya Baba na Mwana wa Mungu ambaye ni Kristo Yesu.
Biblia inasema Mpinga Kristo atakuja, ambaye kazi yake itakuwa kuwaua na kuwafunga gerezani Wakristo.
Leo nataka nikwambie huyo Mpinga Kristo ni nani na namna gani utamtambua.
UHUSIANO WA UISLAM NA NAMBA 666
Je! Uislam unahusiana vipi na namba 666?
Uislam umejengeka kupitia kitabu change kiongozi ambacho ni
qruani? Kitabu hiki kina jumla ya sura 114 na maneno 6666!
Kumbuka hesabu ya mpinga kristo ni 666! Sasa hapa ili shetani asijidhihishe wazi kwa Kuwa aliona Yesu amefunua siri hii kwa ulimwengu. Akaamua kuongeza sita moja nyuma ya mia sita sitini na sita. Lakini vile vile Sura hizo 114 ni sawa na 1+1+4 = 6. Hiyo ndio ile namba Sita ya nne kwenye maneno 666(6).
Lakini hii haitoshi, moja ya dalili kubwa kabisa za mpinga Kristo ni kuwaua na kuwafunga gerezani wafuasi wa YESU. huu ushahid upo kwenye nchi zote za Kiislam.
Qruan imeagiza kwamba kama mtu ni Mwislam kisha akaamua kuuacha Uislam, mtu huyo auawe maana amekuwa kafiri!
Tumeona mara kwa mara waislamu wakitekeleza mauaji na uharibifu wa mali za Wakristo, wakichoma moto Mahekalu.
Mfano:Tumeona wakichoma moto makanisa hapa kwetu Dar Es Salaam na sehem zingine.
Kwa sura hii moja kwa moja Uislamu ndiye mpinga Kristo.! Hivi umewahi kujiuliza ni kwanini hawachomi moto nyumba za Waganga wa Kienyeji, lakini wanashughulika na Wakristo tu! Ni kwa sababu misheni ya mpinga Kristo sio kuwasumbua watu ambao wako chini ya shetani, Bali ni kuwataabisha wafuasi wa YESU na kuhakikisha hawaendelei kuwepo duniani.
JINSI AMBAVYO MPINGA KRISTO ANAVYO FANYA KAZI
Namna gani huyu shetani anafanya kazi?
Ikumbukwe kwamba Mungu hutumia watu ili kutekeleza kazi zake duniani, ndiyo maana utasikia kuna watu wanaitwa watumishi wa Mungu. Vivyo hivyo shetani naye hutumia watu ili kutekeleza kazi zake. Shetani yeye anatumia Waislam kufanya hii kazi ya kupinga Kristo.
Kwa kifupi Biblia imesema wazi moja ya Siri za huyo mpinga Kristo kuwa hesabu yake (namba yake) itakuwa 666, na hii namba ipo kwenye Uislam. Jumla ya maneno yote katika Quran ni 6666, kukiwa na ziada ya sita moja ambayo ni jumla ya 114 sura za Quran 1+1+4 = 6.
Kwa kuangalia andiko hilo watu wengi walidhani kuwa mpinga Kristo atatoka Marekani, dhana hii ilikuja baada ya ndege na vifaru vya Marekani kuonekana na namba 666.
Je! Dhana hii ni sahihi?
Jibu ni hapana. Mpinga Kristo hatoki Marekani, bali anatoka katika miji ya Makka na Madina ambako aliishi bwana mmoja maarufu sana aliyejulikana kwa jina la Muhammad. Huyu bwana ndiye mwasisi wa dini ya uislam duniani na ni mpinga Kristo.
Rafiki, tuko katika dunia ya shida. Na hizi ni nyakati za mwisho, kaza mwendo ukimtazama Bwana maana siku zetu hazikawii kuisha. Mungu akupe nguvu za kuweza kushindana siku ya uovu kwa Jina la YESU.
Tafakari
Jihoji
Chukua Hatua
YESU ANAKUPENDA
Ijue kweli nayo hiyo itakuweka Huru.
Max Shimba
For Max Shimba Ministries Org

ALLAH, MUHAMMAD, NA QURAN NI WAPINGA KRISTO (SEHEMU YA KWANZA)


(SEHEMU YA KWANZA)

1. Biblia inathibitisha kuwa ni Allah, Muhammad na Uislam
2. Quran inakiri kuwa Yesu si Mwana wa Mungu
3. Dini ya Uislam ni ya Mpinga Kristo

Ndugu Msomaji,

Leo nitawathibitishia kwa kutumia Biblia na Quran kuhusu nani ni Mpinga Kristo. Hebu tuanze kwa kusoam neno la Mungu.
WARAKA WA KWANZA WA YOHANA 4:1-6

Wapenzi msiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho kwamba zimetokana na Mungu, kwa sababu manabii wa uongo wametokea duniani. Katika hili mwamjua Roho wa Mungu , kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu. Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya Mpinga Kristo, ambayo mmeisikia kwa yaja , na sasa imekwisha kuwako duniani, ninyi watoto wadogo mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda kwa sababu yeye aliye ndanii yenu ni mkuu kuliko yeye aliyeko katika dunia.hao ni wa dunia , kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia. Sisi twatokana na Mungu . yeye amjua Mungu atusikia na yeye asiyetokana na Mungu hatusikii. Katika hili twamjua Roho wa kweli, na roho ya upotevu.

Kwanza: Biblia inatufundisha kuwa Mpinga Kristo ni yule ANAYEKATAA KUWA YESU KRISTO HAJAJA KATIKA MWILI…YANI SIYE MWANA WA MUNGU, Soma (2 Yohana 1:7) na hapa tunawaona Waisilamu ndiyo namba moja wa kukataa hilo, sasa je, ni nani ni Mpinga Kristo kama si nyinyi waislamu? Isitoshe bado mnakazania kuwa YESU SIYE KRISTO Kwa madai kuwa eti huyo Kristo ni wa Paulo, na hapo pia Biblia inatuthibitishia kuwa nyinyi waislamu ndiyo haswa ni Wapinga Kristo…tazama na uthibitishe mwenyewe kwenye (1 Yohana 2:22).

Sisi Wakristo lazima tufahamu kuwa Mpinga Kristo kwa mujibu wa Biblia ni yule anayekataa kuwa YESU KRISTO NI MWANA WA MUNGU ALIYESHUKA KATIKA MWILI ILI KUTUOKOA SISI WANADAMU HAPA DUNIANI…Huu ndiyo msingi wetu sisi Wakristo ambao Waislamu wote duniani wamefundishwa na mungu wao Allah kuupinga kabisa kabisa msingi huu…Sasa lazima tujiulize Mpinga Kristo haswa ni nani? Jibu ni rahisi mno ‘ALLAH NA DINI YAKE YA UISILAMU’.

Pili: Mtu yeyote ambaye hamwamini Bwana Yesu ya kuwa ni Bwana na Mwokozi wa maisha yake huyo tayari ni mpinga Kristo kwa sababu hana ushirika nayeye na wala hamuabudu yeye kabisa. Aliye hivyo huyo anaitwa Mpinga Kristo na ule mwisho Yesu akija kuhukumu ulimwengu hatawachukua hao wasiyo mwabudu yeye, na Nabii huyo Yesu wa Nazareti. Nabii huyu watu wanamjua ni nabii wa Mungu na ndiye atakayekuja kuhukumu ulimwengu siku ile ya kiama. Sasa kama hapa tu sasa hivi unampinga, je jiulize swali nayeye atakukubali uende naye uzimani alipo yeye? Jibu hatakuchukua na ameniambia niuambie ulimwengu wote atakaye sikia na asikie atakayekataa shauri lake. Wote wasiomwabudu yeye 100% ni wapingaji wa kumpinga Yesu Kristo na hao ni wapinga Kristo.

Tazama sasa shetani alivyoitumia Quruani kuwa Mpinga Kristo wa wazi wazi kabisa!! Kwa sababu alijua kabisa kuwa Mwana wa Mungu na damu yake ya wokovu pale Msalabani vingewaletea wanadamu wote neema ya Mungu na kuwatoa katika utumwa wa dhambi na hukumu dhidi ya sheria au haki ya Mungu, soma (Zaburi 85:13). Akaona azuie njia ile ya Mungu ili watu waangamie!!. Fahamu kuwa msamaha wa dhambi katika Torati ni damu ya wanyama, soma (Walawi 17:11) na msamaha wa dhambi katika njia ya Mungu (Injili) ni Yesu Kristo) soma (Isaya 53:4-12) linganisha na (Waefeso 1:7).

Sasa baada ya yote haya, namalizia na mpambano mkali kati ya MPINGA KRISTO (ALLAH NA KURUANI YAKE) DHIDI YA BIBILIA NENO LA KWELI LA MUNGU.

Ndugu msomaji utakaesoma mpambano huu sitanukuu moja kwa moja maandiko lakini nitakachokiandika, mashahidi mtakuwa wenyewe kuona kama ni kweli au uongo ya kuwa vitabu hivi vinapambana kiasi hicho..nami sitaandika uongo kamwe.

Hebu tuanze: 
BIBLIA: ‘Yesu Kristo alisulubiwa. QURAN: hapana hapana walimsulubisha mwandaazimu mwingine wakizani ndiye!!.

BIBLIA: Yesu ni Mwana wa Mungu. QURAN: ni uongo kwa kuwa Mungu hana mwana wala hazai!!.

BIBLIA: ’tunapata msamaha wa dhambi kupitia damu ya Yesu. QURAN: sivyo kabisa…Mnyaai Mungu ndiye akusameheni madhambi yenu pale mtakapoenda Makka japo mara moja kuhiji. (kiswali chandu cha uzushi..wale masikini je?..Ndiyo kusema pepo ni ya matajiri tu?!!).

BIBLIA: Majini wana asili ya mashetani, ni kundi au jeshi la yule muovu, msishirikiane nayo katika ibada wala kuwatolea sadaka.
QURAN: ALLAH asema: nimekuumbeni na majini ili mpate kuniabudu!! (swali la uzushi:Shetani na majini yake yanaabudu na waisilamu ili yaende wapi wakati wao walisha laaniwa na wanachosubiri ni jehanam tu!!).

Huu ni Msiba Mwengine katika dini ya Allah ambayo sasa tumejifunza kuwa ni ya Mpinga Kristo.

Nawakaribisha kwa Mungu Mkuu ambaye ni Yesu Kristo aliye hai.

Katika huduma yake,
Max Shimba
For Max Shimba Ministries Org
July 2015

MAISHA BAADA YA KIFO

 
Je, unaamini kwamba kuna maisha baada ya kifo?

Je, unaamini kwamba kuna wakati wa hukumu baada ya binadamu kukutwa na mauti?

Ndugu Msomaji,

Nivyema ufahamu nini kitakutokea punde utakapo kata roho/kufa. Swali la muhimu la kujiuliza ni hili hapa: Je, unauhakika wa wapi utakuwa baada ya kifo?


Biblia inatuambia ya kuwa baada ya mtu kufa, hupelekwa mbinguni ya Muda “Peponi” (Sio Mbingu ambayo Mungu yupo sasa ila ni –Abraham’s bosom) au Jehanamu “kuzimuni ya muda-Akhera” kulingana na hoja ya kuwa alikuwa amemkubali ama kumkataa Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wake/wako. Kwa walioamini, kufa ni kuondoka katika mwili na kuenda kukaa na Bwana “to be absent from this body is to be present with the Lord” (Wakorintho wa pili 5:6-8; Wafilipi 1:23). Kwa wasioamini, kufa ina maana ya hukumu ya milele Jehanamu (Luka 16:22-23).


Hapa ndipo kwenye utata juu ya ni nini hufanyika baada ya kifo. Kitabu cha Ufunuo Sura 20:11-15 inaeleza juu ya wale walio kuzimu wakitupwa katika ziwa la moto. Ufunuo 21 na 22 inazungumzia juu ya mbingu mpya na dunia mpya. Kwa hivyo ina maana ya kuwa mpaka wakati wa ufufuo wa mwisho, baada ya kufa mtu hubaki katika mahali Fulani kwenye mfano wa mbinguni na kuzimu. Mahali pa mtu anapofaa kukaa milele hapatabadilika ila makazi ya muda yatabadilika “NI KAMA MAHABUSU, HALAFU MTU ANAPELEKWA JELA/ACHIWA”. Muda Fulani baada ya kufa, waumini watapelekwa katika mbingu mpya na nchi mpya (ufunuo wa Yohana 21:1) na wasioamini katika ziwa la moto (ufunuo 20:11-15). Haya ndiyo makao ya milele ya watu yanayotegemea kama mtu alimwamini Yesu Kristo pekee kwa wokovu kutokana na dhambi zake.

Wakati sisi hufa, sisi hupatana na hukumu ya Mungu (Waebrania 9:27). Kwa waumini, kuwa mbali na mwili ni kuwa pamoja na Bwana (2 Wakorintho 5:6-8; Wafilipi 1:23). Kwa makafiri kifo kinamaanisha adhabu ya milele katika jehanamu (Luka 16:22-23). “Makafiri ni wale walio kataa kuwa Yesu ni Mungu”

Mpaka kufufuka kwa mwisho, hata hivyo, kuna Mbinguni ya muda- Peponi (Luka 23:43, 2 Wakorintho 12:04) na kuzimuni ya muda-ahera (Ufunuo 1:18; 20:13-14). Kama inavyoweza kuonekana wazi katika Luka 16:19-31, katika Peponi wala katika Akhera watu hawalali. inanaweza semekana kuwa, mwili wa mtu "unalala" huku nafsi yake ikiwa peponi au kuzimuni. Wakati wa ufufuo, mwili huu "utaamshwa" na kubadilishwa hadi mwili wa milele mtu atamiliki milele, hata kama ni mbinguni au kuzimu. Wale ambao walikuwa katika peponi watapelekwa mbingu mpya na nchi mpya (Ufunuo 21:1). Wale ambao walikuwa katika kuzimu kutupwa katika ziwa la moto (Ufunuo 20:11-15). Hizi ndizo hatima za mwisho na milele ya watu wote ikitegemea ikiwa mtu aliamini katika Yesu Kristo kwa ajili ya wokovu au la.

Zaidi ya hapo, Bibilia inatuambia yakwamba sio maisha pekee tu baada ya kifo, bali kuna uzima wa milele wenye utukufu mwingi “Hakuna jicho limeshaona, wala sikio kuyasikia, wala hayakuingia katika moyo wa mwanadamu, mambo ambayo Mungu aliwaandalia wampendao’’ (1Wakorintho 2:9) Yesu Kristo, Mungu katika mwili, alikuja duniani kutupa karama ya uzima wa milele. “Alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona’’ (Isaya 53:5).

YOHANA 14:1-3"Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi. Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo , ningaliwaambia ; maana naenda kuwaandalia mahali.Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali , nitakuja tena nitawakaribishe kwangu ; ili nilipo mimi, nanyi mwepo"




Je kuna haja ya kuogopa kifo??
“Yesu akamwambia, mimi ndiye huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi ajapokufa, atakuwa anaishi, naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je Unayasadiki hayo?” – John 11:25-26


Je, unaamini kwamba kuna maisha baada ya kifo?

Je, unaamini kwamba kuna wakati wa hukumu baada ya binadamu kukutwa na mauti?
Ikiwa ndivyo, hii ina maanisha kwamba binadamu anaishi baada ya kuondokana na mazingira ya duniani?
Je, anaishije huko?
Anakula, anakunywa, anatembea, anaongea au anasikia?
Vipi ana mwili wa nyama au roho?
Kama roho basi, ataunguaje motoni siku ya hukumu?
Maisha ya duniani ya sasa ni mtihani tu; ni matayarisho ya yale yajayo. Kwa waaminio, huu ni uzima wa milele kuweko mbele za uwepo wa Mungu. Basi ni kwa jinsi gani tunafanyinyika wenye haki na kustahili kupokea uzima huu wa milele?
YESU NDIO NJIA PEKEE YA UZIMA WA MILELE:

Kuna njia moja pekee – kupitia imani na tumaini ndani ya Mwana wa Mungu, Yesu kristo. Yesu alisema, “mimi ndimi huo ufufuo na uzima. Waniaminio mimi wajapokufa wataishi. Wanapawa uzima wa milele kwa kuniamini mimi na hawatapotea…” (Yohana 11:25-26).


Kipawa hiki cha uzima wa milele kinapatikana na ni bure kwa wote lakini kinagharimu kujikana wenyewe raha Fulani za dunia na kutoa sadaka kwa Mungu. “na wote wamwaminio mwana wa Mungu wana uzima wa milele. Wasiomtii Mwana hawatapata uzima wa milele bali ghadhabu ya Mungu inadumu juu yao” (Yohana 3:36).
BAADA YA KUFA HAKUNA NAFASI YA PILI YA KUTUBU:
Hatutapatiwa nafasi ya kutubu dhambi zetu baada ya kufa kwa kuwa tukimuona Mungu uso kwa uso hatutakuwa na lengine ila kumwamini. Anatutaka tumjilie sasa kwa imani na upendo. Tunapokubali kwamba kifo cha Yesu Msalabani ni malipo kamili ya dhambi zetu dhidi ya Mungu, tumeahidiwa si tu maisha mema duniani bali pia uzima wa milele mbele ya Kristo.

JEHANNAM:

Jehanamu, kama vile mbinguni, si mahali patajwapo kwa utisho tu bali ni mahali dhahiri. Hapa ni mahali ambapo wasiohaki watakutana na ghadhabu isiyokoma ya Mungu. Watavumilia mateso ya kihisia, kiakili, na kimwili wakiwa katika akili zao timamu huku wakijihisi kuaibika na kujuta kwa matendo yao maovu.


Jehanamu inaelezewa kama shimo la giza (Luka 8:31, Ufunuo wa Yohana 9:1), na Ziwa la Moto, liwakalo na kiberiti ambapo watakao kuwemo watateswa usiku na mchana milele na milele (Ufunuo 20:10). Huko kutakuwa na kulia na kusaga meno, ikiashiria machungu makali na hasira (Mathayo 13:42). Hapa ni mahali ambapo mdudu hatakufa wala makaa kuzimika (Marko 9:48). Mungu hafurahishwi na kufa kwa mtu muovu, lakini hutaka wazighairi njia zao mbaya ili waishi (Ezekiel 33:11). Lakini hatatulazimisha kumkubali; tukiamua kumkataa yeye. Hana budi kutupatia tulilolichagua – kuishi mbali naye.

Je unaamini kuwa kunayo maisha baada ya kifo?
Ni nini hufanyika baada ya kufa?

Je! Unaamini kuwa Jahannamu ni kitu cha kweli? Jehannamu ni ya milele?

Je, kuna ngazi mbalimbali za mbinguni?

Je, kuna viwango tofauti vya adhabu jehanamu?

Basi ungani nami katika kijarida kijacho kuhusu Maisha ya Milele.

Mungu awabariki sana,

Max Shimba


For Max Shimba Ministries Org.



Neuroplasticity, Spiritual Formation, and Holistic Redemption in Christ

Neuroplasticity, Spiritual Formation, and Holistic Redemption in Christ By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction ...

TRENDING NOW