UTANGULIZI
Maombi ya hatari ndiyo ni sahihi. Kichwa cha habari kinaogopesha katika mtazamo wa kwanza, lakini maelezo yake ni matamu, naamini matamu kuliko asali. Huwezi kueeleza kwa undani maana ya maombi ya hatari mpaka utakapokua unafanya. Haya ni maombi ambayo ulimwengu mzima umekuwa ukiyatamani, kila mtoto wa Mungu anapaswa kuomba haya ili kuweza kumweka shetani pamoja na mapepo yake kule wanakostahili.
Maombi ya hatari ndiyo ni sahihi. Kichwa cha habari kinaogopesha katika mtazamo wa kwanza, lakini maelezo yake ni matamu, naamini matamu kuliko asali. Huwezi kueeleza kwa undani maana ya maombi ya hatari mpaka utakapokua unafanya. Haya ni maombi ambayo ulimwengu mzima umekuwa ukiyatamani, kila mtoto wa Mungu anapaswa kuomba haya ili kuweza kumweka shetani pamoja na mapepo yake kule wanakostahili.
Unapokuwa umeomba maombi haya katika Roho na kweli, utakuwa unamwambia shetani 'IMEKWISHA'' mimi niko nje ya kambi yako. Hebu turudi kwenye jarada hili la kitabu hiki tuone kwanza nyundo nzito na yenye hatari inavyoharibu kijibanda kwa nguvu isiyo kifani na utaweza kuona kufuli (kitasa) na mlango wa kijibanda vinavunjwa vipande vipande kwa ile nyundo. Ukitazama kwa uangalifu zaidi, utamwona mtu akikimbia kutoka kwenye kibanda akiwa huru kabisa.
Hivi ndivyo maombi haya ya hatari yalivyomweka mtu huru kutoka kwenye vifungo vya shetani na mapepo yake. Maombi ya hatari ni nguvu na uwezo mkuu wa Roho Mtakatifu unaona hivi na kuangamiza nguvu za giza zilizopo dhidi yako. Maombi haya ukiyatumia, utakuwa huru kutokana na vigongo na mashambulizi ya kishetani yanayo kuzunguka. Kamwe usinisifu mimi, baada ya maombi haya, bali mpe Mungu, Yesu na Roho Mtakatifu utukufu wote, ambao ndiyo walioniwezesha kuyafahamu maombi haya.
Kabla ya maombi yako hayajawa na hatari unapaswa kwa mtu wa hatari unapokuwa mtu wa hatari ndipo utakapoweza kuomba maombi ya haraka na utakapoomba maombi ya hatari UPAKO WA HATARI uatanza kutiririka, na mambo ya hatari yataanza kufanyika katika ulimwengu huu na katika ulimwengu wa Roho.
Kabla ya maombi yako hayajawa na hatari unapaswa kwa mtu wa hatari unapokuwa mtu wa hatari ndipo utakapoweza kuomba maombi ya haraka na utakapoomba maombi ya hatari UPAKO WA HATARI uatanza kutiririka, na mambo ya hatari yataanza kufanyika katika ulimwengu huu na katika ulimwengu wa Roho.
MAPAMBANO YA KIHEKIMA
Kama tutajua nafasi yako ndani ya Kristo, ndipo utakapojua haki yako. Ukijua haki yako unauwezo wa kutumia haki yako, shetani na mapepo yake watakimbia.
Maombi ya hatari yanashambulia kiini cha matatizo yako. Hii ni njia nzuri ya kufanya nashambulizi. Unapokishinda kiini cha matatizo, sehemu nyingine ya hilo tatizo huwa inakufa. Unapotaka kuua mmea, unachotakiwa ni kung'oa shina lake na mti huo utakufa. Ikiwa tu utakata matawi, bila kung'oa shina hilo shina unaweza kuchipua tena. Hivyo inachotakiwa ni kuikata mizizi na mmea utakufa kabisa.
Maombi ya hatari ni aina ya maombi ambayo yanamlazimisha shetani na majeshi yake kuhama kwa nguvu na Roho Mtakatifu, hata kwama hawataki kuhama. Maombi haya yanaangamiza nguvu zote za shetani kuanzia ngazi za chini hadi ngazi za juu. Maombi ya hatari kama yanavyoitwa humfanya mtu wa Mungu kuwa huru kutokana na kutawaliwa na nguvu za shetani. Maombi haya huleta ukombozi kwa kila mtu wa Mungu
Maombi ya hatari huondoa na kuharibu kila laana maagano na makubaliano dhidi ya mtu wa Mungu. Tukitumia ujasiri tunaopata kwa njia ya Roho Mtakatifu, tunaweza kujiletea ukombozi sisi wenyewe tuapoomba maombi haya.
Maombi ya hatari hayampi shetani nafasi ya kuaingilia maisha yetu au maendeleo yetu. Maombi ya hatari ni maombi ya nguvu yanayopaswa kuombwa na watu wa Mungu wenye nguvu. Maombi ya hatari hutangaza VITA dhidi ya nguvu za giza zinakuzunguka na ufalme wa shetani mwenyewe.
Maombi haya yanakufanya kuwa zaidi ya mshindi; kila mtu wa Mungu anahitaji maombi haya ili awe mshindi wakati unaposhindwa kuishi maisha ya ushindi.
Fellowship, vikundi bya Kikristo, Makanisa na huduma zinahitaji aina hii ya maombi kwa ajili ya ushindi na kuwafanya waumini wake kukombolewa kwa jina la Yesu.
i. Biblia inasema utakuwa kiumbe kipya kiroho (2 Wakoritho 5:17)
ii. Ni lazima uwasamehe wote wakikukosea
Kama ulivyokwesha kujulishwa maombi ya hatari ni nini? Inakufahamisha juu ya maombi haya kwa uangalifu, maombi haya siyo ya mkato bali ni maombi yenye nguvu, kwa sababu ufalme wa Mungu hutekwa na wenye nguvu (MATHAYO 11: 12)
ii. Ni lazima uwasamehe wote wakikukosea
Kama ulivyokwesha kujulishwa maombi ya hatari ni nini? Inakufahamisha juu ya maombi haya kwa uangalifu, maombi haya siyo ya mkato bali ni maombi yenye nguvu, kwa sababu ufalme wa Mungu hutekwa na wenye nguvu (MATHAYO 11: 12)
JINSI YA KUOMBA MAOMBI HAYA



