Friday, October 7, 2016

WAISLAM WANASEMA KUWA WACHUNGAJI NI MBWA

1. Je Allah wa Quran ni Mchungaji?
2. Je, Nabii Muhammad ni Mchungaji?
Naanza na mbwembwe za Waislam kwa Wakristo:
“Waislamu Takabiir” Wanaitikia kwa sauti kubwa, “Allahu Akbaru” Wanasema, oneni makafiri hawa, hawajui hata maandiko yao, wanauliza kama kuna andiko lisemalo kuwa Wachungaji wote ni Mbwa” WANASEMA,
“Msomaji, hebu soma Isaya 56:10-11, Inasomwa, nayo inasema.
Isaya 56: 10 Walinzi wake ni vipofu, wote pia hawana maarifa; wote ni mbwa walio bubu, hawawezi kulia; huota ndoto, hulala, hupenda usingizi. 11 Naam, mbwa hao wana choyo sana, hawashibi kamwe; na hao ni wachungaji wasioweza kufahamu neno; wote pia wamegeuka upande, wazifuate njia zao wenyewe, kila mmoja kwa faida yake, toka pande zote.
Inaposomwa hapo, Waislamu acha walipuke kwa Takbiir, Allahu Akbaru, Wakaristo wanaokuwa wanasikiliza basi wananywea, Huku Waislam wanacheka, wanasema, andiko hilo hapo, kumbe Wachungaji ni Mbwa bhana, wanaanza kuwazomea Wakristo na kuwaita mijibwa hiyo Mijibwa hiyo, Wuwuwuwuwu, Wanasema tulieni basi tuendelee na Mjadala, wanatulia, “ Kwa hiyo kwa mujibu wa andiko hilo, kila anaeitwa Mchungaji ni Mbwa sawa”?
Hapo Wakristo wanatokwa chozi baada ya kuambiwa kuwa WACHUNGAJI NI MBWA. JE, HAYA MADAI NI KWELI?
QURAN INASEMA KUWA ALLAH NI MCHUNGAJI WA WAKOSEFU WOTE. KUMBE BASI ALLAH NI MBWA, MAANA TEYARI WAISLAM WANAKIRI KUWA WACHUNGAJI NI MBWA, AU SIO?
Hakuna kukanusha hapa kuwa Allah wa Waislamu, ni MCHUNGAJI wa waovu yaani waenda Jehanamu. Ndio maana nilitoa mada kuwa WAISLAMU NI MBWA MWITU. http://www.maxshimbaministries.org/…/uislam-ni-uzao-wa-mbwa…
ALLAH ANASEMA KWENYE QURAN KUWA YEYE NI MCHUNGAJI:
ASTAGHAFURILLAH, KUMBE HUYU ALLAH NAYE ANA SIFA YA MBWA. ASTAGHAFURILLAH
Quran 19:86 Na TUKAWACHUNGA wakhalifu kuwapeleka Jehanamu.
Kumbe Allah ni MCHUNGAJI wa wakhalifu "WAISLAMU AMBAO NI MAMBWA MWITU" wanaochungwa na Allah akikusuhudia kuwapeleka Jehanamu!!
Ufafanuzi wa aya hiyo Qur'an iliyotafsiriwa na Shekhe Baruan,
Inasema: 19:86 Na tutawachunga wakosefu kuwasukumia Jehanamu nao wamebanwa na kiu, kama wanavyochungwa wanyama kwenda kwenye maji.
Kwenye Isaya 56:10 na 11 tumesoma andiko kuhusu Wachungaji Mbwa, Waislam wanasema, Kila anaeitwa Mchungaji ni Mbwa na Quran 19:86 inasema kuwa ALLAH NI MCHUNGAJI. JE, ALLAH NI MBWA? Jibu unalo mwenye wewe Muislam unaye ita WACHUNGAJI MBWA.
Haya msomaji wangu, hebu nisomee tena Quran 5:116 Suratul MAIDAH (SURA MEZA ILIYOANDALIWA CHAKULA)” andiko hilo likasomwa, nalo linasema.
Quran 5: 117. Sikuwaambia lolote ila uliyo niamrisha, nayo ni: Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Na mimi nilikuwa shahidi juu yao nilipo kuwa nao. Na ulipo nikamilisha muda wangu Wewe wewe ukawa MCHUNGAJI juu yao. Na Wewe ni shahidi juu ya kila kitu.
Hiyo ni Quran Tafsiri ya Sheikh Farsy, inasema kuwa hata Allah nae ni Mchungaji: “Wewe Muislam unaye soma hapa umesema kuwa kila mchungaji ni Mbwa, na Quran imesema kuwa Allah ni Mchungaji, Je unakubali kuwa Allah unae mwabudu ni Mbwa?
WAISLAM MBONA MNA KIGUGUMIZI SASA? Nyie mnasema na kukiri kuwa Wachungaji wote ni Mbwa, sasa unakubali kuwa Allah ni Mbwa maana nae ni mchungaji?”
MUHAMMAD NAE ANAITWA MCHUNGAJI:
Ngoja tuongeze aya nyingine, soma Quran 2:104” nayo inasema.
Quran 2:104. Enyi mlio amini! Msiseme: "Raa'ina", na semeni: "Ndhurna". Na sikieni! (amri) Na makafiri watapata adhabu inayoumiza,
SASA TUSOME ufafanuzi wa aya hiyo katika Tafsiri ya Sheikh Abdulla Saleh Farsy, ufafanuzi nao unasema.
QURAN 2:104 Waislamu walikuwa wakati mwingine wakimwambia Mtume “Raa inaa” (Yaani kuwa ukituchunga kama MCHUNGAJI mzuri anavyochunga wanyama wake, kwani sisi Waislamu ni wajinga, hatujui la madhara wala la maslaha)….
HAYA WAISLAM, TUMESHA SOMA AYA HAPO JUU KUWA MUHAMMAD NI MCHUNGAJI,
Tumemuona MCHUNGAJI wa Pili huyo anaitwa Muhammad, nawe Muislam unasema kuwa kila mchungaji ni Mbwa, AU SIO na ukatoa Isaya 56 aya 10 na 11, Sasa unakubali kuwa Muhammad ni Jibwa?”
“NGOJA NIWAKUMBUSHE WAISLAM
Nyie si mnasema kuwa kila mchungaji ni mbwa, sasa mnakubali kuwa Muhammad na yeye ni MBWA? Tena sifa hizo za ISAYA 56:1-11 zinamwangukia Muhammad mmoja kwa moja, maana maandiko yametaja sifa za Mchungaji ili awe Mbwa,
SIFA ZA MCHUNGAJI MBWA HIZI HAPA:
1. Hawana Maarifa (Hawafahamu neno)
2. Wana Choyo sana.
3. Hawashibi
JE, MUHAMMAD ANAZO HIZI SIFA ZA MCHUNGAJI MBWA?
Muhammad ni Mchungaji, sasa tumtazame kama sifa hizo tatu, kama anazo au hana, Tusome Quran 7:157
SIFA YA KWANZA YA MCHYNGAJI MBWA: "Hawana maarifa"
157. Ambao kwamba wanamfuata Mtume, Nabii, asiyejua kusoma wala kuandika, wanaye mkuta kaandikwa kwao katika Taurati na Injili, anaye waamrisha mema na anawakanya maovu, na anawahalalishia vizuri, na ana waharimishia viovu, na anawaondolea mizigo yao na minyororo iliyo kuwa juu yao. Basi wale walio muamini yeye, na wakamhishimu, na wakamsaidia, na wakaifuata nuru iliyo teremshwa pamoja naye - hao ndio wenye kufanikiwa
Kwa mujibu andiko hili Muhammad, hana maarifa ya kusoma na kuandika, hiyo ni sifa moja ya Mchungaji Mbwa, kwa kuwa Sifa ya Mchungaji mbwa, ni kutokuwa na maarifa na kutolifahamu neno, na Muhammad ni Mchungaji, ambae hajui kusoma neno wala kuliandika, neno, huyo atakuwa nani?
SIFA YA PILI YA MCHUNGAJI MBWA "Wana choyo sana"
Sifa ya pili, mchoyo, Ikasomwa Quran 33:55
53. Enyi mlio amini! Msiingie nyumba za Nabii ila mpewe ruhusa kwenda kula, sio kungojea kiwive. Lakini mtakapo itwa basi ingieni, na mkisha kula tawanyikeni, wala msiweke mazungumzo. Hakika hayo yanamuudhi Nabii naye anakustahini, lakini Mwenyezi Mungu hastahi kwa jambo la haki. Na mnapo wauliza wakeze haja waulizeni nyuma ya mapazia. Hivyo ndio usafi zaidi kwa nyoyo zenu na nyoyo zao. Wala haikufalieni kumuudhi Mtume wa Mwenyezi Mungu, wala kuwaoa wake zake baada yake kabisa. Hakika jambo hilo ni kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu
Hapa Muhammad ameonyesha uchoyo wa hali ya juu, kwa kuwataka Waislamu wenye njaa wasiende kwake, kupiga stori, ili chakula kiive, bali mpaka watakapopewa ruhusa, ina maana kama asipokuitwa nawe una njaa, basi huna ruhusa ya kula, na jambo la kukaa kusubiri Chakula kiive, ni jambo ambalo, linamkwaza Muhammad, kwa sifa hii ya Uchoyo, atakuwa nani?
SIFA YA TATU YA MCHUNGAJI MBWA "Hawashibi"
Kitabu cha Historia ya Mtume Muhammad kilichoandikwa na Mohammed RIDAY wa Mombasa Kenya, Uk wa 176, Paragraph ya 5 Kinasema,
“Mtume Muhammad alikuwa hali chakula, mpaka ashikwe na Njaa, na akila hashibi…..”
Kwa kuwa sifa ya ya tatu ya Mchungaji mbwa, ni kutokushiba, na Muhammad tumeambiwa alikuwa akila hashibi, kwa mujibu wa andiko hilo atakuwa nani?
Waislam msikilizeni Mchungaji huyu hapa. Yohana 10:11 Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.
1 Jamani kuna haja gani kumfata Allah ambaye ni Mchungaji wa watu WABAYA?
2 Kwani katika Qur'an hakuna aya Allah kasema yeye ni mchungaji mwema?
3 Kama sifa ya uchunga ni Mbwa, basi leo tumejifunza kuwa Muhammad naye ni mchungaji. Kumbe nayeye ni Mbwa kama Allah.
KUNA HAJA GANI YA KUFUATA DINI YENYE ALLAH MBWA NA NABII WAKE MBWA?
Ndio maana nasema kuwa Allay sio Yehova Mwenyezi Mungu.
Ndio maana nasema kuwa Uislam ulitengenezwa tu, tena sasa tunafahamu kuwa aliye tengeneza Uislam ni Mbwa kama wanavyo kiri waislam.
Ni mimi Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo,
www.maxshimbaministries?

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW