Wednesday, July 27, 2016

MUHAMMAD ALIKUWA NABII BANDIA, HAKUWA MUISLAM, HAKUFUATA MILA, DESTURI NA SHERIA ZA KIISLAM


Ndugu zanguni, huu ni msiba mwingine kwa Waislam. Hebu tuanze moja kwa moja kwa ushahidi kuhusu huyu Mtume wa Allah aliyeitwa Muhammad.
Ningependa mfahamu kuwa, Mohammad s.a.w hajawahi kuwa Muislamu japo aliwaongoza Waislamu.
Kwa sababu: alikuwa na wake wengi (Quran 33:50) huku Waislamu wakitakiwa kuwa na wake 4 tu (Quran 4:3).
Alipokufa hakukamuliwa Ngama (kinyesi), huku Waislamu leo wanapokufa hukamuliwa Ngama (kinyesi).
Alipokufa aliagwa siku tatu huku Waislamu leo wanafichwa kama madawa ya kulevya wala hakuna kuagwa.
Aliamuru watu wapigane ndani ya mfungo wa ramadhani huku Qurani ikikataza vita yoyote katika mwezi mtukufu (9:5).
Alikuwa hajui kuandika wala kusoma (7:157) huku Waislamu leo wakiwa wanajua kusoma na kuandika.
Je huyu bado ni Muislamu?
Poleni sana Waislamu kwa kufuata Nabii Bandia.
Lakini Mitume wote wa Biblia waliongea na Mungu na hawakufanya huo uchawi wa Allah aka Jibril aka Muhammad incarnate.
1. Musa anoangea na Mungu: Kutoka 3:1-21. Muhammad hakuwai ongea na aliye mtuma.
2. Elia anaongea na Mungu: 1 Wafalme 19- Soma yote. Muhammad hakuwai ongea na aliye mtuma.
3. Paulo anaongea na Mungu: Matendo ya Mitume 18:9. Muhammad hakuwai ongea na aliye mtuma.
Hiyo ni mifano michache kutoka Biblia ina thibitisha sifa za kitume au Mtume.
MAANA YA NENO/JINA "MTUME"
Neno “mtume” lamaanisha mwanafunzi au mfuasi. Neno “mtume” la maanisha “mtu aliyetumwa”
SASA BASI, hakuna aya hata Moja katika Quran inayosema kuwa Muhammad aliwai ongea na Allah aliye mmpa Utume. Hivyobasi, huu utume wa Muhammad alipewa na nani? Maana Allah hakuwai mpa utume.
Kama Muhammad alikuwa Mtume wa Allah, kwanini hakufuata mila za Kiislamu?
Karibu kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu,
Mungu awabariki sana,
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo.
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW