Friday, August 26, 2016

JE, UNAFAHAMU KWANINI AISHA MKE WA MUHAMMAD ALIZINI NA SAFWAN IBN AL MUATTAL?



ZAIDI YA HAPO, KWANINI AISHA ALIKATAA KUZAA WATOTO NA MUHAMMAD?
Utasikia Waislam wakijgamba, Aisha ni mama wa waaminio, ikimaanisha ni Mama wa Waislam.
Swahaba wa Muhammad Amr bin Al-Aas alimuuliza Nabii wa Allah (PBUH): O, Nabii wa Allah, ni Mke yupi unampenda zaidi kuliko wake zako wat? Nabii Muhammad akamjibu "Aisha"
Kama tulivyo soma hapo juu, Muhammad alimpenda Aisha zaidi ya wake zake wote.
LAKINI:
AISHA MWANA WA ABU BAKAR ALIFUMANIWA AKIFANYA NGONO NA SAFWAN BIN AL MUATTAL:
Imesimuliwa na Ibn Hisham, na kusimuliwa na Ibn Ishaq, kuwa Aisha alifumaniwa akifanya ZINAA "ngono" na Safwan Ibn Al Muattal, mmoja wa Maswahiba wa Muhammad "Safwan incident". Haya mambo yalifanyika huko Madina na habarii ilitapakaa Madina yote na kumfanya Nabii wa Allah amrudishe Aisha kwa Wazazi wake.
Ali ambaye alikuwa binamu yake wa karibu na Mume wa binti yake Fatimah, alimsihi Muhammad ampe takala Aisha ili kuficha hii aibu kubwa ya fumanizi la KUZINI.
Hii ni siri kubwa sana kwa Waislam na hawataki ifahamike kuwa Aisha alifanya ZINAA na Safwan Ibn Al Muattal na kumfanya Muhammad amrudishe Aisha kwa Wazazi wake.
KAMA AISHA ALIPENDWA SANA NA MUHAMMAD KULIKO WAKE ZAKE WOTE, KWANINI AISHA ALIAMUA KUZINI NA SAFWAN BIN AL MUATTAL?
Huu ni msiba Mkubwa sana kwa Muhammad na Waislam.
LABDA NDIO MAANA AISHA ALIKATAA KUZAA NA MUHAMMAD AU LABDA NI KWASABABU YA TABIA MBAYA YA MUHAMMAD YA KUZINI NA WATUMWA WAKE WA KIKE. http://www.islam-watch.org/…/Muhammad-Juwairiya-Aisha-Adult…
Waislamu wa Madina wakiongozwa na Abdulla bin Ubai, walitangaza kuwa Bibi Aisha (RAAH) amezini na Safwan. Mtume (SAW) aliposikia haya aliwaita maswahaba zake na kushauriana nao nini la kufanya, kuna waliotowa ushauri amuache. Mtume (SAW) alimzuru na akamwambia: “Ukiwa huna makosa basi Mwenyenzi Mungu atakusamehe, la kama sihivyo basi omba maghufira kwa Mola wako.” Aisha alilia na kuomba msamaha kwa wazazi wake kwa kosa la uzinifu alilo fanya na Safwan, lakini wazazi wake hakuwa na la kusema.
References:
1) Ibn Sa’ad, Al Tabakat Al Kubra, vol.8 (Arabic)
2) Ibn Hisham, sira al nabaweyya(Arabic)
3) Dr. Sami Alrabaa, Karen in Saudi Arabia
4) Sahih al Bukhari, chapter of washing, Narrated by Anas. (Arabic)
5) Al Lulu wa Al Marjan fima ittaffaqa alihi al shaikhan: Muslim and Bukhari, hadith No.168; 173 (Arabic)
Maswali ya kujiuliza ni haya, Kwanini AISHA ALIKATAA KUZAAA NA MUHAMMAD NABII WA ALLAH. HUKU IKIFAHAMIKA KUWA, MUHAMMAD ALIMPENDA SANA TENA SANA AISHA?
Natanguliza pole zangu kwa Waislam wote. Hakika hii dini imejaa vituko na viroja kedekede.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW