Sunday, September 16, 2018

ALLAH KASEMA MUHAMMAD SIO ROHO MTAKATIFU

Image may contain: bird, cloud and text

ALLAH KASEMA MUHAMMAD SIO ROHO MTAKATIFU

ISA BIN MARYAM HAKUPEWA MUHAMMAD BALI ROHO TAKATIFU QURAN 2:87.
WAISLAM WAWEWESEKA KWA NDEREMO NA KU-PANIC 

Tuanze kwanza kwa kusoma aya za Biblia:

Hubiri la kwanza la Yesu baada ya kutoka kufunga siku 40 jangwani linatangaza habari njema ya Yesu. Katika Luka 14:18-19 Yesu anatangaza huduma yake kwa kusema;

“Roho wa Bwana yu juu Yangu, kwa sababu amenitia mafuta kuwaletea maskini habari njema.

Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao na vipofu kupata kuona tena, kuwaweka huru wanaoonewa na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubalika”

ISA BIN MARYAM HAKUPEWA MUHAMMAD BALI ROHO TAKATIFU QURAN 2:87.
Qurani nayo pia inakubaliana na ukweli huu kwamba Yesu alitiwa nguvu kwa Roho Mtakatifu. Sura ya 2:87 tunasoma kwamba;

“…na tukampa Isa mwana wa Mariam miujiza mingi na tukampa nguvu kwa Roho Takatifu…”

Je, ina maana Isa Bin Maryam alitiwa nguvu kwa Muhammad kama wanavyo dai Waislam?

Kama dai la Waislam eti Muhammad ni Roho Takatifu, kivipi alikuwepo wakati wa Isa Bin Maryam?

Je, Muhammad aliishi wakati wa Isa Bin Maryam?

Quran hapa inatueleza kwamba Yesu alipewa miujiza mingi. Miujiza hii ni kama ilivyotangazwa na Yesu mwenyewe katika Luka 4:18-19. Katika Quran Sura ya 5:110 tunaona baadhi ya miujiza hii aliyopwewa Yesu ni kuponya watu.

“(Kumbuka) Mwenyezi Mungu atakaposema: Ewe Isa bin Mariam! Kumbuka neema yangu juu yako, na ujuu ya mama yako, nilipokutia nguvu kwa Roho Takatifu, ukazungumza na watu katika utoto na utu uzima. Na nilivyokufunza kuandika na hekama na Taurati na Injili. Na ulipotengeneza udongo sura ya ndege, kwa idhini yangu, na ulipowaponyesha, vipofu na wakoma kwa idhini yangu, na ulipowafufua wafu kwa idhini yangu…”

KAMA MUHAMMAD NI ROHO TAKATIFU, KIVIPI ALIKUWEPO WAKATI WA ISA BIN MARYAM ALIYE KUWEPO MIAKA 630 KABLA YA KUZALIWA KWAKE MUHAMMAD?
Kwanini Allah hakusema Isa Bin Maryam alitiwa nguvu kwa Muhammad bali Roho Takatifu?

Kama Muhammad ni Roho Takatifu kama wanavyo dai Waisam, je, alikuwepo wakati wa Isa Bin Maryam?

Shalom,

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW