Friday, October 7, 2016

MUHAMMAD ALIKUWA HAPENDI WATOTO NA ALIRUHUSU KUUWAWA KWA WATOTO


Ndugu msomaji,
HUU NI MSIBA MBAYA SANA KWA WAISLAM.
Imesimuliwa na Sa'b b. Jaththama kwamba Nabii wa Allah (PBUH0, alipo ulizwa kuhusu Wanawake na Watoto wa Makafiri walio uwawa kwenye ujangili walio fanya usiku. Muhammad alisema, Watoto wao ni makafiri hivyo si sawa kuuwawa. (Sahih Muslim 4322, see also Bukhari 52:256)
Baada ya kuuteka mji wa Mecca, Nabii wa Allah alitoa amri ya kuuwawa wasichana wawili "waimbaji" ambao walimuimba Muhammad:
... Wasichana waimbaji wawili Fartana na rafiki yake walikuwa wakiimba "satirical songs" kuhusu Nabii wa Allah, Muhammad akaamuru kuuwawa kwa hao Wasichana mara moja kwa kukatwa vichwa vyao. (Ibn Ishaq/Hisham 819)
Zaidi ya hapo, Muhammad alichukua mtoto wa miaka sita aitwaye Aisha na kumuingili kimwili bila ya ruhusa yake.
Sahih Muslim 3310—Aisha alisema: Nabii wa Allah alinioa kwa nguvu nilipo kuwa na miaka Sita na akaniingilia kimwili nilipo fikisha miaka tisa bila ya ridhaa yangu.
Hii ndio tabia ya nabii wa Allah kuhusu watoto, aliruhusu kuuwa watoto na kuwaingilia kimwili.
Sunan Abu Dawud 2116—Aishah alisema: Nabii wa Allah alinioa nilipo fikisha miaka sita na kulala nami kingono nilipo fikisha miaka tisa.
LAKINI NILIPO SOMA KUHUSU YESU WA KWENYE BIBLIA NILIONA HAYA:
Nyakati nyingine pia, Yesu anaonyesha namna anavyopenda sana watoto wadogo. Miezi michache baadaye watu fulani wanaleta watoto wamwone Yesu. Mitume wanajaribu kuwazuia. Lakini Yesu anawaambia mitume wake hivi: ‘Acheni watoto waje kwangu, msiwazuie, kwa sababu ufalme wa Mungu ni wa watu kama hao.’
Ndipo Yesu anachukua watoto mikononi mwake, anawabariki. Ni vizuri kujua kwamba Yesu anawapenda watoto wadogo.
Mathayo 18:1-4; 19:13-15; Marko 9:33-37; 10:13-16.
Yesu aliwapenda watoto na aliwabariki na kuwapa Ufalme wa Mungu jambo ambalo Muhammad wa kwenye Quran alifanya kinyume chake huku akiwaingilia kimwili.
Je, hivi kweli huyu Muhammad ni Mtume wa Mungu kwa tabaia hii mbaya sana ya kuuwa watoto na kuwaingilia kimwili?
Uchaguzi ni wako kumfuata Muhammad ambaye aliruhusu kuuwa watoto na kuwaingilia kimwili
AU
Kumfuata Yesu aliye wapenda watoto na kuwabariki na kuwapa ufalme wa Mbinguni.
Ni mimi, Max Shimba mtumwa wa Yesu kristo

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW