Sunday, November 27, 2016

UISLAM NI DINI YA KULAZIMISHANA


Kutoka na al Shafi : "The Ordinances of the Quran", Muhammad alilazimisha watu wajiunge nae au aliwauwa watu walio mkataa. Soma Bukhari 53:386.
Vinyo hivyo, Abu Kabkr, aliye chukua baada ya Muhammad, alifanya Jihad mbaya zaidi katika nchi za jirani kwa watu walio ukataa Uislam. Katika Barua iliyo tumwa kwa Persians, Abu Bakr alisema kuwa "Silimuni na muwe waislam hapo mtakuwa huru na kama mkikataa basi eleweni kuwa nimekuja kwenu na Jeshi la Kiislam ambalo linapenda kuuwa watu, kama jinsi ninyi mnavyo penda maisha/uhai"
Hizi sifa za Muhammad sasa zinaonekana kwa akina Boko Haram, Al Qaeda, Al Shabab. Ushahid wa huu utamaduni vile vile upo kwa ISIS ambao wameuwa mamilioni ya watu huko Syria. Hata kule Afrika katika nchi ya Naijeria, Boko Haram wamekuwa mstari wa mbele kutekeleza amri hii ya Muhammad ya kuuwa Wakristo. Waislam wao wanaamini kuwa kufanya hivi ni kutekeleza matakwa ya Allah na watapewa Akhera kwa kulazimisha watu wajiunge na Uislam. Bukharu 52: 254.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW