Monday, August 1, 2016

JE, UNAFAHAMU KUWA MAKAFIRI NDIO WANAOSEMA KUWA DINI MBELE YA MWENYEZI MUNGU NI UISLAM?


LAANA MBAYA YA KAFIRI NI KUMZULIA UONGO MWENYEZI MUNGU KUWA ANAYO DINI
KAFIRI SIO TUSI BALI NI SIFA AU JINA TUU LENYE MAANA YA MPINGA IMANI AU DINI AU KUMZULIA MWENYEZI MUNGU UONGO, AU ANAE ENDA KINYUME NA AMRI ZA MWENYEZI MUNGU ZILIZO KUWEPO KABLA YA QURAN.
SHALOM SHALOM
Ndugu msomaji,
Hakuna siri katika hili jambo la kumzulia UONGO Mwenyezi Mungu kuwa anayo dini. Waislam wamekuwa mstari wa mbele kuuliza hivi:
NI IPI DINI YA KWELI YA MWENYEZI MUNGU? Mtafutaji ukweli mara nyingi anafikia mahali ambapo anatatizika pale anapotambua kuwa kila dini, Imani, dhehebu, ideolojia na falsafa yoyote inadai kuwa ndiyo njia ya pekee iliyo sahihi kwa mwanadamu. Kwa hakika, zote zinawahimiza watu kufanya mambo mema na mazuri. Hivyo, ipi ndiyo iliyo sahihi? Haiwezekani zote kuwa sahihi kwa vile kila moja inadai kwamba zile nyengine hazipo sawa. Kwa hivyo, vipi mtafutaji haki na ukweli ataweza kuchagua njia ya sawa.
Njia sahihi ya kumtafuta Mungu lazima itoke kwa Mungu. [[Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu. 1 Petro 3:18]] Na ndio maana Yesu alisema kuwa yeye ni Njia Kweli na Uzima. Mungu hana dini na hakuwai mwambia Adam awe na dini. Hakuna huu ushahid katika Taurat. Zaidi ya hapo hakuna ushahid wowote ule katika Zaburi au Injili kuwa Mungu aliwaamrisha watu wafuate dini yake, la hasha, ila tunasoma kuwa Yesu alikuja kutengeza njia ya kwenda kwa Baba yake. [[Mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele. Yohana 10:10]]
ALLAH ANASEMA DINI MBELE YA MWENYEZI MUNGU NI UISLAM, AU SIO?
Allah anasema hivi: 3|19|Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.
SASA TUMUULIZE ALLAH:
1. Upo wapi Ushahid wa aya kutoka Taurat kuwa Uislam ulikuwa dini ya Musa?
2. Upo wapi Ushahid wa aya kutoka Zaburi kuwa Uislam ulikuwa dini ya Daudi?
3. Upo wapi ushahid wa aya kutoka Injili kuwa Uislam ulikuwa dini ya Yesu?
KUMBE NDIO MAANA ALLAH KAANDIKWA KAFIR KATI YA MACHO YAKE KWASABAU ALLAH ANAMZULIA UONGO MWENYEZI MUNGU.
Hadithi ya Anas (r.a) amesema, Mtume (s.a.w) amesema, "Hakuna Mtume aliyetumwa, isipokuwa amewahadharisha watu wake na mwenye Jicho moja mrongo. Eleweni kuwa yeye ana jicho moja na hakika Bwana wenu hana Jicho moja kati ya Macho yake pameandikwa neno 'KAFIRI." (Bukhari, Hadithi Na. 245, Juzuu ya 9).
Teyari Waislam wanapata mshtuko baada ya kusoma kuwa, Kumbe Allah ana MHURI kati ya macho yake unao sema yeye ni KAFIR. NDIO MAANA WAISLAM WANAKIRI KUWA DINI YA UISLAM NI YA ALLAH AMBAYE ANAPINGA MWENYEZI MUNGU ALIYE UMBA KILA KITI NA MWENYE MUHURI UNAO SEMA KAFIRI. MUNGU HANA DINI.
Hivyo basi, unapomsikia mtu anasema eti dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislam huko ni kumzulia uongo Mwenyezi Mungu na hiyo ni sifa nambari moja ya KAFIRI. Makafiri wote wanakiri kuwa Mwenyezi Mungu ana dini bila ya ushahid kutoka Taurat au Zaburi au Injilihttp://www.jewishvirtuallibrary.org/jsour…/Bible/jpstoc.html . Makafiri hawa Wakiislam wanasema kuwa eti, dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislam. Hivi, nyie Waislam mnafahamu maana ya dini na madhumuni yake?
Al Kashif Juzuu ya kumi aya ya 42-44: Ni nani dhalimu mkubwa zaidi kuliko yule amzuliaye Mwenyezi Mungu uongo.
Ikiwa kumzulia uongo kiumbe ni kauli mbaya, itakuwaje kwa muumba? Kumzulia uongo Mwenyezi Mungu kuko aina nyingi; kama vile kusema Mungu ana dini, kuhalalisha na kuharamisha bila ya hoja kutoka Taurat au Injil au Zaburi, wizi na unyang’anyi kwa kisingizio cha Jihad kwa Allah n.k.
Hivyo basi, Allah ni Kafir. Muhammad ni Kafir na Waislam wote ni Makafir maana wote wanakiri kuwa Mwenyezi Mungu anayo dini bila ya Ushahid kutoka kwenye Taurat au Zaburi au Injili. http://www.chabad.org/…/632…/jewish/The-Bible-with-Rashi.htm
Kama kuna Muislam anabisha kuwa yeye sio KAFIRI basi aniletee aya kutoka Taurat au Zaburi au Injili inayo sema kuwa Mwenyezi Mungu dini yake ni Uislam ili nisilimu sasa hivi.
TOWENI ''ILIMU'' BILA MATUSI!
Kumbuka dini zote zinakataza matusi!
UISLAMU:
Amesema Muhamaad: "Hakika muumini wa kweli hawi ni mwenye kuwatuhumu watu, wala KUWALAANI watu, wala hawi na maneno MACHAFU" {Musnadu Ahmad juzu ya 1 ukurasa 416, hadith nambari:3948}
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa: Mtume (s.a.w) amesema, "Ye yote mwenye kutukana, basi huyo amejambiwa na Shetani katika Mdomo wake." (Fat'hul Baary J. 10, Uk. 176)
NAMALIZA KWA KUSEMA KUWA, KAFIRI ANASEMA KUWA DINI MBELE YA MWENYEZI MUNGU NI UISLAM.
Ni mimi Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo,

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW