Tuesday, August 2, 2016

KIJIJI KIZIMA HUKO UFILIPINO CHA OKOKA NA KUWA WAKRISTO

Habari kutoka "Christian Aid Mission" zinasema kuwa Kijiji cha Mindanao chenye Kabila la Manobo kilicho Kaskazini ya Filipino kimegeuka na kuwa Kanisa.
Baada ya kuangalia sinema ya Passion of Christ, wanakijiji wa Mindanao walimpokea Yesu na kuwa Wakristo.
Mavuno ni mengi sana na Yesu anaendelea kuokoa vijiji kwa vijiji.

No comments:

Muhammad’s Inconsistencies

  More of Muhammad’s Inconsistencies – Doing to others what he didn’t want to be done to him It comes as no surprise to those who have studi...

TRENDING NOW