Wednesday, August 10, 2016

KIJIJI KIZIMA HUKO UFILIPINO CHA OKOKA NA KUWA WAKRISTO



Habari kutoka "Christian Aid Mission" zinasema kuwa Kijiji cha Mindanao chenye Kabila la Manobo kilicho Kaskazini ya Filipino kimegeuka na kuwa Kanisa.
Baada ya kuangalia sinema ya Passion of Christ, wanakijiji wa Mindanao walimpokea Yesu na kuwa Wakristo.
Mavuno ni mengi sana na Yesu anaendelea kuokoa vijiji kwa vijiji.

No comments:

The Prophethood of Muhammad

  The Prophethood of Muhammad: A Critical Theological Evaluation By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute, New York, NY The cla...

TRENDING NOW